Huyu binti bado ni mtoto kwa monekano, si ajabu alishindwa kustahimili akaamua alichoamua. Bint wa kazi ni mwanafamilia kama walivyo watoto wako. Tuwapende na kuwathamini
Acheni kutesa wadada hkn mshhara wa 60 wala 70 na wanaoish na wadada wanawakamand kw hch kipesa Chao huo mfumo serikali wawe wnausimamia kama hawana uwezo wakulipa 15000 kwa ck wish na ndugu zao kwn wao wamezaliwa bila ndugu? Ndugu zao hwtk ujinga kama hwtk kuthamini kz za watu watoto wao watauliwa kila ck pia na has wazee adabu hawna wanawafokea
Kumekucha
"Kuangaria",😱kah
Watangazaji mnatia aibu,cjui huko chuo mlisomajasomaje
Pole sana jamani hatujui hawa wadada wana nini mungu hatusaidie wamama tuondelea kuzas maana walezi hamna
Pole sana familia
Huyo dada wa kazi alithubutu kuchinja ana roho ngumu sana tena sana na ni mazoea hamuwezi kujua alikotoka alitenda Nini
Asante mwanasheria kwa kutuelimisha maana wengi wetu hatuzingatii afya za wadada wa ndani
Aĺlah amponeshe mtoto malick
Pamoja na MH RAISI KUSAIDIA PAMOJA NA HAYO MNATAKIWA KUFANYA MAOMBI YA NGUVU KUTOKANA NA IMANI YENU
Acheni kipamba policy wamempata wapi wakati raia au msamalia mwema ndio kampata
Pole sana,
Mwanasheria msomi umefafanua vizuri sana. Napendekeza pawe na vyuo vya kufundisha wadada wa kazi. Wengine wanafika hata kunawa uso hawajui.
Sasa mme samehe lakini mme mkabidhi kwa Mungu!inamaanisha hamjasamehe 😢
Wadau wanini tena rais anatosha
Kweli samehe 7x70
Huyu binti bado ni mtoto kwa monekano, si ajabu alishindwa kustahimili akaamua alichoamua. Bint wa kazi ni mwanafamilia kama walivyo watoto wako. Tuwapende na kuwathamini
Huwezi jua nn tatizo
Pole
😊
Acheni kutesa wadada hkn mshhara wa 60 wala 70 na wanaoish na wadada wanawakamand kw hch kipesa Chao huo mfumo serikali wawe wnausimamia kama hawana uwezo wakulipa 15000 kwa ck wish na ndugu zao kwn wao wamezaliwa bila ndugu? Ndugu zao hwtk ujinga kama hwtk kuthamini kz za watu watoto wao watauliwa kila ck pia na has wazee adabu hawna wanawafokea
anakula wapi? analala wapi? na najua hujawahi kumweka
Izo pesa za watazania tushukuru sisi sio zake mna sahau sana mhuishi vizuri na Wafa.nyakazi
Wewe inaonekana una chuki n raisi ila mitatano. Tena utajua hujui
@@zulfahaji91 wewe kaa apo kama kijiwa aliye fiwa