Hii Ni Marekani Usiyooneshwa Kwenye Tv | The America You Won't See On Tv...HUKU YUES (EP 02)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2023
  • Kwa wale wanaodhani kua Marekani hakuna maskini, bhasi video hii itakupatia majibu yote- Kwa kiasi gani maskini wapo na jinsi wanavyoishi kwa Tabu huku Marekani. Nilitembelea mitaa ya Skid Row, Los Angeles, California huku USA. Skid Row ni mtaa unaojulikana kua na homeless wengi huku Los Angeles. Watu wengi wanaoishi mitaa hii ni maskini na hawana makazi. Wengi wao hutengeneza mahema (Tent) ili kujistiri hasa inapofika usiku, angalau wapate sehemu ya kulalia. Tembea na mimi ujionee uhalisia katika hii mitaa ya Skid Row, Los Angeles.
    Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
    My previous video;
    • Umaskini Umekithiri Hu...
    🔸FOLLOW ME ON;
    INSTAGRAM: / jacchalz
    #hukuyues #losangeles #mtaani

ความคิดเห็น • 255

  • @jackwausa
    @jackwausa  ปีที่แล้ว +7

    Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️
    youtube.com/@Jackchalz

    • @MrBless-lz1pf
      @MrBless-lz1pf ปีที่แล้ว +2

      Nisaidie namba yako mkali au email

    • @magrethminja1309
      @magrethminja1309 ปีที่แล้ว +1

      Cyo marekan ty hii hali Kuna sehem niliikuta very bd afu wakija hku wanavyotunyanyasa Sasa nadhan mmepata wap hiyo

    • @dinnahbhoke6658
      @dinnahbhoke6658 ปีที่แล้ว

      ​@@MrBless-lz1pfjgf

    • @rachealsiuji8349
      @rachealsiuji8349 ปีที่แล้ว

      Jaman

    • @rebeccamurigi3035
      @rebeccamurigi3035 ปีที่แล้ว

      O

  • @biddii1972
    @biddii1972 ปีที่แล้ว +23

    Uku kwetu tunafurahia misaada ya watu wamarekani duh kweli atupew misaaada bali wamekuja kutunyonya

    • @josephjamesjosephjames1654
      @josephjamesjosephjames1654 ปีที่แล้ว +5

      Ila ni kweli kabisa ulichokisema ndugu yangu kama kwako hali iko hivyo kwanini wasiwape hiyo misaada watu wao wanyonyaji wakubwa hao wa mali zetu

    • @maalimjaffar5563
      @maalimjaffar5563 ปีที่แล้ว +3

      Asikukatishe tamaa huyu nimjinga mwenye roho mbaya,,,hao anaokuonyesha hawataki kufanya kazi,sio wamekosa kazi

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 ปีที่แล้ว

      @@maalimjaffar5563 wewe ni shoga wa marekani na uerope basi nenda marekani na wewe pumbavuu masikini mkubwa falaaa tu wewe

    • @abdulkavusa7202
      @abdulkavusa7202 ปีที่แล้ว +2

      Huyo kijana ambaye anaye waonesha iyo video ni mujinga sana tena sana ,hawo watu anao waonesha hawataki fanya kazi na government inawasaidiaka na dawa na chakula, hawo wanazo kadi ambazo zinaitwa food stamp na hizo kadi ndizo wanatumiya kwa kupata chakula ndani ya Supermarket.

    • @vivianfortunatus5518
      @vivianfortunatus5518 ปีที่แล้ว +1

      Sasa watu wamesha kuwa addicted na madawa hapo...hata ukimsaidia anarudia tena kwenye hali ile ile

  • @gman3245
    @gman3245 ปีที่แล้ว +6

    Going abroad doesn't guarantee you success people should always understand that. Life ain't easy in foreign countries.

  • @codeit-ministry9900
    @codeit-ministry9900 ปีที่แล้ว +4

    Bro, Mungu akubariki sana kwa kusaidia watu wetu kuona uzuri wa Taifa lao la Tanzania.

  • @jenipherkamugisha4687
    @jenipherkamugisha4687 ปีที่แล้ว +2

    Niache godoro na kitanda Tanzania nije nilale barabarani 😢😢nitafia Africa ❤

  • @mildredokinyo1916
    @mildredokinyo1916 ปีที่แล้ว +5

    Life is hard everywhere around the world....May Almighty God help us..

  • @moureenadisa5937
    @moureenadisa5937 ปีที่แล้ว +5

    Love you my Kenya

  • @user-nc5gf6oh4u
    @user-nc5gf6oh4u 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaiyo tunakusapoti Sana nampenda Sana kukufuatilia mpaka usipotoa kitu nakua Sina Cha kuangalia

  • @willistrillion
    @willistrillion ปีที่แล้ว +2

    😃 I Thank God for the Bighearted❤️ citizens taking care of The Less fortunate people in the society. This is what life is all about!

  • @josenduwayezu357
    @josenduwayezu357 ปีที่แล้ว +2

    Africa my home you are the best

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 ปีที่แล้ว +1

    Binafsi nilijua huko wenzetu ni matajiri, hawahangaiki kwa hali hii, sitamani tena maisha ya wazungu

  • @winniewandungudariiyamuthee
    @winniewandungudariiyamuthee ปีที่แล้ว +3

    Whaaaat in America !!!is ok acha nikae kwetu 🇰🇪 kenya

  • @bernaremlemeta8987
    @bernaremlemeta8987 ปีที่แล้ว +3

    Tumejifunza kitu kikubwa kwakweli. Asante jack

  • @erickmnyalu553
    @erickmnyalu553 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Mungu kwa mara ya kwanza nimemuona mzungu anaishi hoooovyo hovyo bora haata sis waafrika niseme tuu sitawashobokea teena nabak na Afrka yangu na harahar mnavyozid kujaa huku Afrika kumbe huko ulay ardhi imeisha....

  • @user-nc5gf6oh4u
    @user-nc5gf6oh4u 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka hongela kwa kazi nzuli usikate tamaa usiogope hivi punde utakua mtu mkubwa Sana Mimi nikati ya mtu ninaye kusapoti Sana pia uwa nawaambia nawengine wakufuatilie kaka

    • @jackwausa
      @jackwausa  7 หลายเดือนก่อน

      Asante sana. Ubarikiwe!

  • @MrBless-lz1pf
    @MrBless-lz1pf ปีที่แล้ว +3

    OMG jack feels like crying 😢 meeen when you spoke with the old man and the way he appreciated, keep doing a goood work brother, and Be keen meeen

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Thank you, I will. God bless you!

  • @vitusntahondi2240
    @vitusntahondi2240 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana Mkuu Kwa kutufunua daima tunajua kwamba ni Neena kila kitu USA

  • @geofreymilinga1042
    @geofreymilinga1042 ปีที่แล้ว +4

    One day yes U will have more than 10 million subscribers this is what Africans want to know for they are tired of just positive sides of devoloped countries Keep on JACK

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Amen and Thanks. Hopefully people will get to see the reality on both sides!

  • @aristidesvedasto7855
    @aristidesvedasto7855 ปีที่แล้ว +3

    God bless you manigga Jack to showing this

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 ปีที่แล้ว +4

    Uko poa kabisa mkali tunazidi kuku sapoti nawe pia tusaidie kutuelekeza kuhusu USA man nitawezaje kufika USA kwa visa Naomba nijibu man 🙏🙏♥️❤️👏👏👍💪💪💪

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Nitatengeneza video special kwa ajili ya hii topic!

    • @seffsamwel5649
      @seffsamwel5649 ปีที่แล้ว +1

      @@jackwausa asante kaka kwa majibu yako naisubiri kwa hamu jack wa USA ♥️🇺🇸🇺🇸🇺🇸♥️🙏🙏🙏🙏👏👍❤️❤️❤️ Be blessed brother

  • @leahwambui5608
    @leahwambui5608 ปีที่แล้ว +4

    Kenya we together until the last minute

  • @piusundisputed
    @piusundisputed ปีที่แล้ว +3

    Good job brother,we would keeping viewing these kind of lifestyles

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 ปีที่แล้ว +4

    Damn life isn't easy bro where is love in this earth everywhere people are suffered it's so sad indeed 😢 😔

  • @florakabena12flora29
    @florakabena12flora29 ปีที่แล้ว

    Thanks so much,,,wewe umeletwa na Mungu ,,, nilikua nadhania USA hakuna hard life waaah kweli Acha ni change my dream sasa

  • @donaldsassa7532
    @donaldsassa7532 ปีที่แล้ว

    Wao huonesha uo u na madhira yatupatayo Africa ! Njaa , Vita wanazotuchonganosha wauze. Silaha tuuane kwao ni furaja. Thenks brother be blessed ever

  • @alextercisio
    @alextercisio ปีที่แล้ว +5

    Terrible life I believe Kenya is the best for me🇰🇪🇰🇪

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 10 หลายเดือนก่อน

      nenda Marekani uone kama hiyo Kenya ni nzuri bro😁

  • @saidfarahani8396
    @saidfarahani8396 ปีที่แล้ว

    Kila sehemu kuna ugumu wake kama hutaki kufanya kazi, acha kuzuia ndoto za watu kutoka nje ya Africa, huo ni uselfish, umeshasema kuwa hilo eneo ni watu wenye matatizo ya akili na madawa ya kulevya, Maisha marekani kama ukifanya kazi na kujitambua its better than maisha ya Africa, usidanganye watu na kukatiza watu tamaa

  • @DenisnasoloRaphael-sj6ll
    @DenisnasoloRaphael-sj6ll ปีที่แล้ว +1

    Burundi nchi yangu nzuli naipenda sana

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 10 หลายเดือนก่อน

      nenda Marekani uone kama Burundi ni nzuri😁

  • @bahatiserafini9790
    @bahatiserafini9790 ปีที่แล้ว +3

    Lakin mjiulize kitu wenzetu wanapelekewa chakula jee huku niwapi uliona wanapelekewa chakula hawa hawana makaz ila serikali inawajali sijui hapo mnaelewa

  • @samuelmwakasungula178
    @samuelmwakasungula178 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Kwa kutufamahisha. Je hawa watu ni kwamba hawataki kuifanya kazi za chini au hakuna kazi ye yote ya kufanya hata vibarua

    • @fidodido9578
      @fidodido9578 ปีที่แล้ว

      Asilimia kubwa hao ni mateja ndio wanaolala njee

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว +2

      @@fidodido9578 MWACHE JACK WA USA AJIBU SIO WEWE.

  • @wineljentrix9771
    @wineljentrix9771 ปีที่แล้ว +2

    Your acsent made me subscribe 😂. brothers, tutafute nyota zetu kwanza kabla ya kuweka maamuzi ya kuishi Marekani😅 Kenya 🇰🇪 my beautiful country 🙏🏽sihami😅

  • @ndizihiwesarah1046
    @ndizihiwesarah1046 ปีที่แล้ว +1

    Great work thanks

  • @juliusmutungi4163
    @juliusmutungi4163 ปีที่แล้ว +4

    Young guy doing a great job

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Thanks!🙏🏾

  • @modannygrafx737
    @modannygrafx737 ปีที่แล้ว +2

    Afu inaonekana mahomeless wa us ni matajiri hadi wako na baiskeli😂😂😂 yani nikwambie ukweli mahomeless wa huku wakiona hii wanaeza kupa hata nauli waje huko

  • @rachelmacharia2727
    @rachelmacharia2727 ปีที่แล้ว +14

    What a sad place to be. Thanks for showing us the reality of Skidrow..
    I also noticed you didn't carry your camera by to your shadow. Do you use a spy cam? I wouldn't have the guts to walk and record down that street. Stay safe!

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +6

      I had it on my chest. It's risky recording on those streets. It's just by the grace of God I can do it and get away fine!

    • @rachelmacharia2727
      @rachelmacharia2727 ปีที่แล้ว +4

      @@jackwausa that's great small bro. Keep safe always! May God protect you everyday

    • @lydiavegula7641
      @lydiavegula7641 ปีที่แล้ว +2

      I wish wenye tamaa ya kuja huko waone hizi video.....ubarikiwe KAZI Yako ni njema

  • @harunamujahidi4457
    @harunamujahidi4457 ปีที่แล้ว +1

    Aise hii kali lakini naona kama wanafurahia hayo maisha ila tuna kushukuru kwakutupasha habari asante bro tupe vitu zaidi japokua inauma ila tunapata burudani hasa unapokua unawahoji

  • @santamerra4552
    @santamerra4552 ปีที่แล้ว +2

    Ongera sana bro. Umetufungua akili sana. Ile ya kuwaza huko Marekani kuzurisana kumbe kuna wengine wanakosa pakulala asantesana

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 ปีที่แล้ว +1

    this is easy and sold side of the US kaka sio powa

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika

  • @frankub8107
    @frankub8107 ปีที่แล้ว

    Love from Malawi 🇲🇼 home 🇧🇮 Burundi

  • @greysonmandai132
    @greysonmandai132 ปีที่แล้ว +3

    Tanzania nchi yangu mzuri sana mi siwezi kuishi maeneo kama hayo maana hao watu wake wamepoteza matumaini ya kuishi wamechanganyikiwa akili

    • @Travelgyal
      @Travelgyal ปีที่แล้ว

      Unaweza kuishi Kenya na Uganda.

  • @rachealsiuji8349
    @rachealsiuji8349 ปีที่แล้ว +2

    Aiseeee ni hatari. Hivi hua tunapewa msaada au hua wanatychuna vyetu?? Mbona wasianzie kwao kutoa hiyo misaada ???

  • @harristwaher4864
    @harristwaher4864 ปีที่แล้ว +1

    Asee I’m grateful for my life dawg🙂!

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 ปีที่แล้ว +1

    Nimejikuta me nna maisha mazuri kuzidi watu wa Marekani baada ya kuiona ii video

  • @officialkalengotalent2014
    @officialkalengotalent2014 ปีที่แล้ว +1

    Keep going bro🙌 endelea kutuonyesha zaidi 🚀🌍👀

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 10 หลายเดือนก่อน

    Hawna mkao lakin wakula vzur.. serikali yao sio kma yetu...any tym things gona change....

  • @patricklwegenzya981
    @patricklwegenzya981 ปีที่แล้ว +1

    Salute broo..endelea ku2show v2 tunajifunza kupitia hayo... Marekani hapafai kabis.. let we stay here.. Tanzania we love!

  • @hansmndolwa4331
    @hansmndolwa4331 10 หลายเดือนก่อน

    you did right bro may God bless you

  • @florakabena12flora29
    @florakabena12flora29 ปีที่แล้ว +1

    May God bless you forever 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @clintonkhan4961
    @clintonkhan4961 ปีที่แล้ว +3

    The situation is horrible indeed no wonder I've never dreamt of going to USA

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 ปีที่แล้ว

    Good work

  • @modannygrafx737
    @modannygrafx737 ปีที่แล้ว +2

    Hahahha sasa kama chakula unapata bure maji ya kunywa 😂😂😂 mbona hata mimi hapo naeza tulia

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 ปีที่แล้ว +2

    Yaani ukija USA utulie ufanye kazi kwa muda urudi nyumbani

  • @halimahamisi8855
    @halimahamisi8855 ปีที่แล้ว

    Lohh kheri ss wengine nimaskini lkn hatukosi nyumba za udongo na matope mvua na jua haitupati navitanda vya kamba pia havikosi ndaniyahionyumba ,think you God🙏🙏

  • @rosenjeri768
    @rosenjeri768 ปีที่แล้ว +2

    Na ni kwao nyumbani wankosa makazi.. hivi wageni itakuaje...dah

  • @abdumalik6836
    @abdumalik6836 ปีที่แล้ว +1

    A old grandpa like this
    A 35yrs Old on the streets of America so sad

  • @anthonymanderson7671
    @anthonymanderson7671 ปีที่แล้ว +1

    Sijawahi kuota kwenda marekani!

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 ปีที่แล้ว +2

    Kaka unatufumbua macho

  • @deborahcharles79
    @deborahcharles79 ปีที่แล้ว

    Tuppence nchi zetu ni nzuri pia

  • @sirajindosi5611
    @sirajindosi5611 ปีที่แล้ว

    Dah

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 ปีที่แล้ว +1

    Toba roho yangu"!! Na uchafu woote huo""

  • @user-nc5gf6oh4u
    @user-nc5gf6oh4u 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka habali tena

  • @pracxedismathias5555
    @pracxedismathias5555 ปีที่แล้ว +1

    Mazingira yao machafuu 🤣 hata hapa moshi tunawashinda kwa usafi

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 ปีที่แล้ว +1

    One love

  • @Wordchefs
    @Wordchefs ปีที่แล้ว +2

    Halmashauri ya jiji huko ipo vizuri sana(Pasafi sana),Pia wengi sio wajeuri wako poa sana,Em uliza elimu zao pia ili nikate tamaa😁

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 ปีที่แล้ว

      Eti ukate tamaa😆😆😆😆😆

    • @lovesallu5292
      @lovesallu5292 ปีที่แล้ว

      😂🤣ila wewe unataka ukate Tamaa 😊 komaa Jack atakupokea uwe mshika boom 🤣😂😂

    • @Wordchefs
      @Wordchefs ปีที่แล้ว +1

      Eee akiuliza hapo utaskia mm nina Phd in upuuzi ninaosomea mm mwaka wa 3 na haeleweki popote...Dah itanibidi nivue tai niangalie kilimo na ufugaji...

  • @user-jf7xm2yi3o
    @user-jf7xm2yi3o 11 หลายเดือนก่อน +1

    😮😮😮 0:26

  • @boobohhh3029
    @boobohhh3029 ปีที่แล้ว +1

    👌

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 ปีที่แล้ว

    Nice work but careful

  • @lydiajohn6865
    @lydiajohn6865 ปีที่แล้ว

    Wengi hapo wanaonekana akili haziko sawa, tatizo bangi zishawaharibu, watafanya kazi gani,

  • @Ginnyok
    @Ginnyok ปีที่แล้ว +1

    it would be nice if you could donate to the people who buy the water and make the food make your time useful

  • @petronila5734
    @petronila5734 ปีที่แล้ว

    Better them namwona maskin wa Marekan ana viatu analala kweny tent
    Tanzania we had a long way to go
    Maskini wa Marekani sio sawa na wa Bongo

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 ปีที่แล้ว +1

    Sasa wanavoletaga hela huku siwawape hao kwanza wanafk wamalekani

  • @lovesallu5292
    @lovesallu5292 ปีที่แล้ว +1

    Jack wa USA hongera kwa unachokifanya...ila we uliendaje 😂utupe njia bhanaa

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914 ปีที่แล้ว

    Jack unarikiwe sana

  • @martinmwakila6992
    @martinmwakila6992 ปีที่แล้ว +1

    NIMEANGALIA HII PICHA NIMESHANGAA SANA HAKUNA HATA KICHAA ALIEKUTISHIA KAKA KUMBE ULAYA HADI VICHAA WASTAARABU INGEKUA BONGO ET KICHAA ANAKUTISHIA HATA HAMJUANI NA ANAKUKIMBIZA ULAYA ULAYA TU

  • @SOFTGUYERA2024
    @SOFTGUYERA2024 ปีที่แล้ว +4

    Great job bro! Skiddie is practically a 5th world country, many African immigrants have ended up there, destitute & homeless. Believe it or not, the qualms started in the 1850's, right after CA was stolen from Mexico. Skiddie was the original Union Station, before it was relocated to Alameda. The government can fix it, but they don't care as the situation is more profitable AS IS. What kind of body worn camera are you using, it has high quality filming?

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Thanks. And I'm using a GoPro Hero10 camera!!

    • @bwwm7914
      @bwwm7914 ปีที่แล้ว

      No it's Origin Americans from whatever color

  • @careerconnect_tz
    @careerconnect_tz ปีที่แล้ว +1

    Jack hio camera uliiweka wapi?

  • @MasterTwoJay
    @MasterTwoJay ปีที่แล้ว

    What did u use to record?

  • @mildredokinyo1916
    @mildredokinyo1916 ปีที่แล้ว +1

    So sad..

  • @bravomaghanga534
    @bravomaghanga534 ปีที่แล้ว

    Eeeeh it's my first time to see this,

  • @victorjoseph3128
    @victorjoseph3128 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe kuzuri kwa watu tunapenda kujichanganya maana nilikua nawaza pakufikia kumbe kama kwetu tu huo ndio mtaa pakuanzia ndoto za maisha safi sana

    • @furahadaudy829
      @furahadaudy829 ปีที่แล้ว

      Kuna kijana mmoja alionda mpwapwa miaka mingi Sana Kama 89 hajawai ludi aliondekea kanisani alikuwaga anacheza sarakasi alichukuliwa na wazungu anaitwa maiko wazazi wake walishafariki mama ake alikuwa anaitwa moniika

  • @emmaemma6114
    @emmaemma6114 ปีที่แล้ว +2

    Bola kubaki uswahilini

  • @marcelmangapi9514
    @marcelmangapi9514 ปีที่แล้ว

    Hao unaowaona wanahangaika sio raia wa Marekani. Marekani inajali raia wake. Sio tu serikali inatoa posho kwa raia wenye kipato cha chini bali pia Kuna mfumo wa wahitaji kupewa chakula bure. Hao unaowaona ni wazamiaji.

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b ปีที่แล้ว

    Huo mtaa Watu wanatembea km horrors wameshakula vitu vyao awaelewi

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 ปีที่แล้ว

    Hao wote ni wala ngada(wala unga) sidhani kama mtu na afya yake anaweza ombaomba huko

  • @halarihamadi4926
    @halarihamadi4926 ปีที่แล้ว +4

    The cost of living in cali is crazy

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +2

      It's really expensive!

    • @fatumamrema1033
      @fatumamrema1033 ปีที่แล้ว +1

      Safi sana kaka marekan miyeyusho wengi wamedata duu

  • @thadeusmambo7576
    @thadeusmambo7576 หลายเดือนก่อน

    Nilikuwa natamani kuja Amerika lakini kama situation ndio hii nimeghairi

  • @christiedeevaren254
    @christiedeevaren254 ปีที่แล้ว

    Soo sad indeed.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +1

    Wamarekani hawatakumind bro,maana hizi ni siri zao ujue

  • @dominicjulius3108
    @dominicjulius3108 ปีที่แล้ว

    camera umeweka wapi mbona huonekani kushika

  • @jumanne5012
    @jumanne5012 ปีที่แล้ว

    Umaliziajia sio mzuri

  • @kelvinmzuri654
    @kelvinmzuri654 ปีที่แล้ว +1

    Daah inasikitisha sana nigga me nilishawai kuishi south africa pia waopo wbpo kama ao

    • @Hancymtembo
      @Hancymtembo ปีที่แล้ว

      Kwa hivyo unampango wa kurudi?

  • @Asasanizikiri
    @Asasanizikiri ปีที่แล้ว

    Hao watu wanaishi hapo hapo au huwa wana kuja siku maalumu

  • @DianaLugola-ew1rc
    @DianaLugola-ew1rc ปีที่แล้ว

    Usitudanganye bwana.. Mbona ww haurudi Tanzania umekomaa huko huko. Na ss tutakuja kupambana na hali zetu yakitushinda tutarudi Tanzania bwana.

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 ปีที่แล้ว

    jack hebu just give us the reality of USA nirahisi kupata kazi au kazi ni msala mkubwa kama huku kwetu

  • @omaheone
    @omaheone ปีที่แล้ว +1

    Ila sasa wafirika pia ni wengi sana hapo wambie warudi kwao kuna matunda na maziwa

  • @norahazan796
    @norahazan796 ปีที่แล้ว

    Wengine machizi
    Hahaaa

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 ปีที่แล้ว

    Yaonyesha marekani hakuna vibaka kama Tanzania hivyo bado maisha yanaweza kuwa mazuri marekani

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 ปีที่แล้ว +1

    USAD KWA MSAADA WATU WAMAREKANI, MBONAHAWATOI MSAADA KWA HAO WATU?

  • @thinkerjonamthasi6481
    @thinkerjonamthasi6481 ปีที่แล้ว +1

    Na wengi hapo ni zuzu sio wazima ila Asante. Dunia ni moja hata Afrika ni mahali