Nilisaidia Watu Wenye Uhitaji | Homeless Wanaoishi Skid Row, Los Angeles, California | HUKU YUES 🇺🇸

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Nilitembelea mitaa ya Skid Row, Los Angeles, California huku USA, Nikatoa misaada ya chakula kwa watu wasio na makazi (homeless). Skid Row ni mtaa unaojulikana kua na homeless wengi huku Los Angeles. Niliamua kugawana kidogo nilichonacho na kuwabariki wengine. Tembea na mimi ujionee yaliyojiri.
    Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
    My previous video;
    • Union Station Tour | K...
    🔸FOLLOW ME ON;
    INSTAGRAM: / jacchalz
    #hukuyues #losangeles #mtaani

ความคิดเห็น • 114

  • @jackwausa
    @jackwausa  ปีที่แล้ว +3

    Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️
    youtube.com/@Jackchalz

    • @lilianmacha4887
      @lilianmacha4887 ปีที่แล้ว +1

      Hi

    • @mohswlh5087
      @mohswlh5087 ปีที่แล้ว

      I like it bro Allah akuongoze

    • @KULKID
      @KULKID ปีที่แล้ว

      Hello I like to vlog how you handle your camera?

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +7

    Leo umepata mchumba kabisa na namba umechukua mzee

  • @charleskisala7428
    @charleskisala7428 ปีที่แล้ว +7

    I am.new in this channel but I love what you are doing bro...keep up the good work. Much love and support from Kenya

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Thanks and welcome to my channel!!

  • @ZingKingTheeOG
    @ZingKingTheeOG ปีที่แล้ว +2

    He jst smoked weed 😋🍁🍁...that be the best thing

  • @JamesLaizerMoko-l8t
    @JamesLaizerMoko-l8t 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe xana mr jack kwa moyo wa kujitoa kwa watu wasio jiweza God bless you brother

  • @rashidikatunzi3851
    @rashidikatunzi3851 ปีที่แล้ว +1

    Jack unaktana na visanga eti mama anakwambia um energy wepons na bad ustuki kuwa anaeza akakukata😂😂

  • @lampuandanner9390
    @lampuandanner9390 ปีที่แล้ว +8

    Thanks for helping them 🙏👍

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 ปีที่แล้ว +1

    Kuna mwamba kapiga u-turn kama joti aisee maisha haya

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 ปีที่แล้ว +2

    jamani tuusiione marekani tuu kumbe na omba omba huko wapo tu kama kwetu daresalaam mnazi mmoja, hongera kaka unatuonyesha uhalisia wa maisha, maana watu wanafikiri marekani ni kula bata tu, kumbe hali sio hivyo kabisa aise

    • @heritier5119
      @heritier5119 ปีที่แล้ว

      Hata watu wote wapewe pesa bure still masikini watakuwepo zipo fact mbalimbali mfano uteja, matatizo ya akili nk

  • @magbenny1416
    @magbenny1416 ปีที่แล้ว +1

    Hi Jack, may God reward you abundantly........New subscriber from kenya

  • @vinescompiled
    @vinescompiled ปีที่แล้ว +1

    Jack Mungu Akibariki zaidi

  • @nkinzingabosamuel4854
    @nkinzingabosamuel4854 ปีที่แล้ว +1

    Ooooh brother I'm crying for all theses Brothers they are staggering to much, I'll pray God for them🧎🧎🧎🙏🙏🙏🙏🙏🙏 God pls make a way for u'r children's

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 ปีที่แล้ว +2

    Huyo muhuni wa mwisho kaniacha hoi na hiko kisketi cha jeans hana habari wala nini…😂😂😂

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 ปีที่แล้ว +3

    😀😀😀kapiga moshi mpk kasiz hajui anaulizwa nn

  • @rashidikatunzi3851
    @rashidikatunzi3851 ปีที่แล้ว +1

    Apo sawa

  • @allysekela-tq4jk
    @allysekela-tq4jk ปีที่แล้ว +1

    umeticha kaka

  • @ribentsp
    @ribentsp ปีที่แล้ว

    Unatupenda wapi,wakati tukiwaomba msaada wakuja uko mnatuchunia,haya ni maisha tu.#tukiwa Kama people tutaonana tu😡😡😡😡😓😓😓🚶🚶🚶

  • @abdilehussen2123
    @abdilehussen2123 ปีที่แล้ว +2

    Hawa ni watu wenye matatizo ya akili na drug adicted

  • @rimahusseinali-mr9il
    @rimahusseinali-mr9il ปีที่แล้ว

    Sanyengine usizungumze English ukasha maliza kuzungumza na mtu

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 ปีที่แล้ว +1

    people have lost their consciousness Jack if I would have had had told to suggest a city for me to move to....... would you say this ooohhhh common 🙃😢😥😢😥😢😥

  • @harunakaishozi
    @harunakaishozi ปีที่แล้ว

    I appreciate brother you've done a good job God bless you

  • @lyricssongtz6764
    @lyricssongtz6764 ปีที่แล้ว +1

    rexpect ma broth 🇹🇿

  • @roi2554
    @roi2554 ปีที่แล้ว +4

    Bro nakukubali sana I wish one day to see ya

  • @alfredd1902
    @alfredd1902 ปีที่แล้ว +1

    The classic cars you see moving and stopping around are for drug peddlers selling to them drugs ,kuna moja ya white ilisimama ika drop kitu ikaenda .

  • @josephatjofrey7247
    @josephatjofrey7247 ปีที่แล้ว

    Naomba number ya huyu binti alietoka jera

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nikifanikiwa kukanyaga tuu ardhi ya marekani,hakika sitabaki kama nilivyo maana kwanza huwa sina ubishoo na sichagui kazi

  • @heathjacob6841
    @heathjacob6841 ปีที่แล้ว +5

    So sad especially in the city of angels n you're a special angel tu for sharing

    • @michaelmariomario6052
      @michaelmariomario6052 ปีที่แล้ว

      Jack Mungu akubariki kwa roho ya utu.... NAMI ningependa kukujoin tusaidie wote.... Kindly inbox me your details

  • @roseonline7
    @roseonline7 ปีที่แล้ว +4

    Watching, subscribing and liking from Kenya. Good job Jack.

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Awesome! Thank you!

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 ปีที่แล้ว

    Naitaji masliano na wewe ndugu.

  • @abdilehussen2123
    @abdilehussen2123 ปีที่แล้ว +2

    Hawa ni watu wenye tatizo la akili na drug adicted

  • @mikbete
    @mikbete ปีที่แล้ว +4

    Endeleea kujenga uhusiano na Mungu ili uzidi kufanyaika msaada zaidi kwa watu unao kutana nao na pia unao jaribu kuwafikia. Wewe ni mtu mwema, Mungu akubariki sana. TZ

  • @ramadhanitokwete8069
    @ramadhanitokwete8069 ปีที่แล้ว

    Mwamba kala sketi na haelewi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 ปีที่แล้ว +1

    Ipo siku LISU ATAAIMUKIA HAYA

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 ปีที่แล้ว +1

    Mateja wa marekani

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 ปีที่แล้ว +2

    Jack nimekuelewa sana bro hongera sana kaka

  • @babianliza
    @babianliza ปีที่แล้ว +3

    You are doing great job may the Lord of heaven touch other heart to be like so that u can lend hand homeless pple.praying for good health to so ua love to those u are suffering.nitafutie njia ile ulitumia kuingia nami nije kuwasaidia nawaonea huruma sana

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Amen and Thanks. Ubarikiwe!

  • @Paul_Ochola
    @Paul_Ochola ปีที่แล้ว +1

    what is a young kid doing in jail

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 ปีที่แล้ว +2

    Very nice but take care homie

  • @elishapaul1706
    @elishapaul1706 ปีที่แล้ว +1

    Ndiotutafute green card ila tujue hkn life rahc

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว +3

    Halafu kuna wengine waaminishwa ukiolewa na mzungu umetoboa tupige kazi jama wadada

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +3

      😂😂😂 huo ni uongo waliodanganywa waafrika wengi. Muhimu ni kupiga kazi tu na kuacha kua tegemezi kwa mtu mwingine!

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا ปีที่แล้ว +3

      @@jackwausa kwanza unatufungua akili sanaa nahizi video wengi tunajua marekani hakuna maskini

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว +1

      @@زيتونتنزانيا MASIKINI WAPO DUNIA NZIMA.

  • @HalifaSalim
    @HalifaSalim หลายเดือนก่อน

    From znz

  • @michaelnyandindi8461
    @michaelnyandindi8461 ปีที่แล้ว +1

    Appreciate bro..tupe na video ya maisha mtaani i mean kwene makazi ya watuu wengii

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 ปีที่แล้ว

    Mtu anawezaje kupaki gari eneo kama hilo? Aisee au ndio masela nao wa mitaa hiyo

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Street parking zipo kwa mtu yeyote anaetaka kupark gari lake

  • @Paul_Ochola
    @Paul_Ochola ปีที่แล้ว +1

    now I understand what they mean by "came from the streets"

  • @martherraymond6752
    @martherraymond6752 ปีที่แล้ว +1

    Hongrea bro jack Nimependa coz unamjua Mungu huwa nasikia furaha nikiona kijana yupo anampenda Mungu,,,, be blessed bro

  • @alainndindimaamuri8459
    @alainndindimaamuri8459 ปีที่แล้ว +2

    Jack unafaza mambo mazuri Sana mungu atakubariki wasikukatishe Tama don't give up #Congo 🇨🇩🇨🇩

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Asante sana kwa support. Ubarikiwe!🙏🏾

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว +3

    Bwana akubariki nakuzidi kaka

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Amina, ubarikiwe pia!🙏🏾

  • @berthatz
    @berthatz ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutunze kaka yangu..Be safe too outhere…😨🤝

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Asante na Amina. Ubarikiwe!

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 ปีที่แล้ว

      @@jackwausa sor broh jack naomba unipatie namba yako ya what's up please I have things to talk to you

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 ปีที่แล้ว +1

    Dah! Upo real sana mwanangu

  • @evodialuchenja793
    @evodialuchenja793 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana unacho kifanya kwa akili yangu nilikuwa najua hakuna watu masikini au wa hali ya chini huko marekani mungu akubariki nimejifunza kitu

  • @rachelmacharia2727
    @rachelmacharia2727 ปีที่แล้ว +3

    God bless you bro

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Amen and Thanks!

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 ปีที่แล้ว +1

    Allah akubaliki

  • @sergotabian6830
    @sergotabian6830 ปีที่แล้ว +1

    😲😢😥💞💞💞💞👍👍👍👍👍🌹🌹🌹🌹😘😘😘😘🥰🥰👌👌👌👌🇳🇱🇳🇱

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 ปีที่แล้ว

    Nimekuona Jana but nimependa unacho fanya,nilipends kipande kimoja wakati umeenda kule kwenye bango la Hollywood 😄😄😄panafanana na huku kwetu nilicheka sana😄😄

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 ปีที่แล้ว

    Jack huyu mwamba mbona kavaa skirt duuu ukistaaajabu ya Musa......dk ya 9 why

  • @youngchezo2744
    @youngchezo2744 ปีที่แล้ว +1

    Duuuu!!!

  • @johnmogaka9822
    @johnmogaka9822 ปีที่แล้ว +1

    GOD bless you for showing concern to the needy

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweli nimejifunza kiti

  • @Brendaa5438
    @Brendaa5438 ปีที่แล้ว +1

    Is this guy normal wearing a skirt

  • @harunakaishozi
    @harunakaishozi ปีที่แล้ว

    Hi jack I need contact for the little girl

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 ปีที่แล้ว +1

    Kazi mzuri sana

  • @lytwilliam7050
    @lytwilliam7050 ปีที่แล้ว +2

    barikiwa sana.

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Amina. Ubarikiwe pia!

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akuzidishie
    Ni ajabu kuona MUAFRIKA anasaidia MZUNGU
    Thats love

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +1

      Amina na Asante. Ubarikiwe pia!

    • @tellebacarsound57
      @tellebacarsound57 ปีที่แล้ว +2

      Mungu akuzidishie bro

    • @roi2554
      @roi2554 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe hiyo k2 inaezekana tu

  • @thevoiceofdeliverance6061
    @thevoiceofdeliverance6061 ปีที่แล้ว +1

    Hakika Jack unafanya Jambo la Ki Mungu Sana Mungu aendelee kukuinuwa zaidi

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Amina na Asante. Ubarikiwe pia!

  • @joshuanambute7276
    @joshuanambute7276 ปีที่แล้ว +1

    You got a new subscriber from Kenya bro👏👏

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว

      Welcome aboard!

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan ปีที่แล้ว +1

    Thanks bro could you tell me why some Pple from Africa tells us a lot about opportunities in like part time jobs that do not even require skills or education. Why Americans can't take such good opportunities...

    • @jackwausa
      @jackwausa  ปีที่แล้ว +2

      It's true, There are so many opportunities that do not require much skills like working at fast food restaurants and so on. And about Americans not taking those opportunities- It's because of different reasons like the pay is too low for them, or they'd prefer working on something else etc

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 ปีที่แล้ว +1

      Duh mzee mbona naona kama haina uhalisia sana yaan wao bora wawe mateja kuliko kufanya kaz yenye kuingiza kipato kidogo?? Au ni kwamba wengi wao wanamatatizo kiasi kwamba hawakubaliki na kuaminika popote....maake haiingii akilini kabisa eti kama firsa zipo kwann waombe mtaani vyakula vya elfu kumi kumi na tano

  • @akimjuma2026
    @akimjuma2026 ปีที่แล้ว +1

    Nime come tena ku watching 👀👀 thanks bro

  • @javaboyyrn2891
    @javaboyyrn2891 ปีที่แล้ว

    Akunaga watoto barabar ukoo?

  • @aminaabubakar727
    @aminaabubakar727 ปีที่แล้ว

    Maskin wanaskitisha

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว

    Sasa wanaoga wapi kufua wapi

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 ปีที่แล้ว

    Watu wenyewe wana nguvu

  • @MAJALIWAIDAMA
    @MAJALIWAIDAMA ปีที่แล้ว

    MBONA HUONGEI KISWAHILI BRO KUNA SEHEMU UNAKAA KIMYA WHY UWE UNATUELEZEA MAZINGIRA SUBSCRIBER WAKO

  • @hassanikaawizy2597
    @hassanikaawizy2597 ปีที่แล้ว +1

    Iv kaz wakiend kuomba hawapewi jarb kuwa unawauliza

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว +1

      HUWEZI KUWAULIZA MASUALI KAMA HAYO.

    • @heritier5119
      @heritier5119 ปีที่แล้ว

      Hao Wana matatizo ya akili watafanya Kazi gani sasa

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว

    Dada mzuri,sasa simu wanachaji wapi

  • @mashauriobedi6290
    @mashauriobedi6290 ปีที่แล้ว

    Mostly wanaonekana like mateja. Mtu Smart huwezi mkuta mazingira hayo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว +2

      SIO WOTE MATEJA WENGINE SHIDA 2.