Jamaa Ametoka Jela Huku Yues | I Prayed For Him | Homeless In Skid Row, Los Angeles 2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Inasikitisha sana kwasababu kuna watu wanapitia mengi sana ambayo wengine wanaweza hata wasiyafahamu kwa kuwatazama kwa nje. Nilitembelea mitaa ya Skid Row, Los Angeles, California USA. Nilipokutana na Cimarron, Alisema kua ametoka jela siku hiyo. Pia alikua akilitaja jina la YESU na kunisihi nimfanyie maombi. Alizungumza mambo mengi sana. Tazama video hii ili ujionee yaliyojiri.
Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
My previous video;
• Nilisaidia Watu Wenye ...
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
#hukuyues #losangeles #mtaani
Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️
youtube.com/@Jackchalz
Sawa
Tayali
Unafanya Kaz nzuri sana MTANZANIA mwenzangu
...salute
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Pamoja sana!
Na utawarahisishia wale ambao wanandugu zao huku wanamiaka pabila ya mafanikio kisalam hawajui vipi watawapata ili wajue Mendeleev yao lkn sasa wewe ndo umekuwa mkombozi naamini wengi watawafaham ndugu zao na msada utapatikana was kuwarudisha makwao hungers sana ndugu
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU! Umefanya jambo jema mno! Amen!
Amina!
Onger bro! Unafanya kilicho Bora machoni pabwana MUNGU akapate kuku kumbuka katika kila atua ya maisha yako bro!
Asante sana na Amina. Mungu akubariki pia!
Ndugu imenibidi nikupende kutokana na kazi Yako nikisema nikupende usinimaanishe vibaya yaani napenda hivi unavoshanya kwani tunaona vingi kupitia Kwa hivi unavo tuletea
Asante, Nakupenda pia. Mungu akubariki!
@@jackwausa ammyn yarabb
Jack nakuona kama mhuni kumbe unajielewa sana hata YESU unamjua asante sana Jack
Best Encourage and Message ever to met, from Tanzanian-based In USA Love U bro 💪🏾
Thanks. God bless you!
@@jackwausa salute sana🙏 mzee💯
@@jackwausakaka naomba namba yako ya whattsapp nashida na ww omar wa kahama shinyanga
So sad man God help he amen
Nimependa kazi yako sana hadi najikuta na comment before kuwatch video😂😂😂😂 Najua tu nitaipenda. Haya, wacha ni watch will leave another comment after😂😂 Keep up the great job bro! Your number 1 fan🎯💯
Thank you very much and I'm glad that you like the videos. I really appreciate that🙏🏾. More content coming soon!!
Kazi nzuri sana.....I wish vijana wengi wanaopoteza bundle zako kwa udaku hii channel iwafikie waone life gumu...na muda unakwenda Kasi sana
I hope itawafikia na wataona uhalisia wa maisha ya huku!
Kaka nip namba yako
My first time watching your Videos and I have subscribe already, thanx for the prayers you made for that desperate man. But at least you would have offer him a lunch,
bro hiki ulichofanya n jambo kubwa sana sio kila mtu ananguvu za kufanya hik ulichofanya ww huu ndo ubinadamuuu unaotakiwa aijalishi ww nn umetoka wap unaishi mazingira gan god bless youu kaka
😲👍👍👍👍👍👍👍😢😢😢😥😥😥💞💞💞💞💞👍👍👍👍👍😘😘😘🌹🇳🇱🇳🇱
Ubarikiwe sana
Ameen Brother, appreciate what u doing... Mwanza, Tanzania
Big up!!✌🏾
Umepiga bonge moja la kazi Yan umeua mbaya umefunika MUNGU akutangulie
Amina!🙏🏾
When a simple vlog turns into a whole full sermon! 👋🏾❤️
Nadhani hii ndio vlog Bora Kwangu kwamwaka huu. God bless you Sana king
Asante na Amina. Ubarikiwe pia!
Kupasuka lami kumbe hadi USA
Mpe pole inaokana katika miguu yake aliteswa saana
Barikiwa Bro
Mjomba nimelia machozi kwa Upendo wa YESU, Jamaa ubarikiwe Sana Sana,nimeamua kuokoka coz of u
Nimefurahi kusikia hivyo. Pia, Hongera sana kwa kumchagua Yesu kua Bwana na Mwokozi wako. Namuomba Mungu aendelee kukupa ujasiri na kukuongoza katika maisha yako ya wokovu. Ubarikiwe sana!
@@jackwausaJack naitwa Florian kutoka Tanzania asee huwa spend ku comment ila umekuw wakwanza nakftilia sana br... Nmefanya hiv kukwambia kuna mahali...unakwenda Umebarkiwa sanaaaa 💪💪
Kazi nzuri.. Nmeipenda hiii 👍
Da..Hii imenifanya ni subscribe faster..da…maskini ameona aite jina la Yesu tu..😢
Asante kwa kusubscribe!!🙏🏾
Umeona
Daaah ktk hii injili ya kushitukiza nimekuelewa
Hongera sana kijana umetenda Jambo kubwa kuongoza oho hiyo kwenda uzimani
The first guy looks like he's undergoing serious withdrawals from lack of drugs, probably fentanyl or meth or heroin. Very sad . This is what we don't see about first world countries
Yea, It's really sad 😢
Wamerekani bwana mna vituko, ee my is jesus Christ
Nilikua napitia uvifanyavyo ila ichi itakufanya uwe tofauti juu ya wengi bro! MUNGU uanalia unafanya kwajili ya Nani? Akijua nikwajili yake ukubariki na ukupa jina .IBRAIMU alipo mtoa isaka alifanya kwajili ya MUNGU lika mgusa na MUNGU aka mbariki napia ivyo ivyo slemani alifanya kwajili ya MUNGU MUNGU akambariki utajiri mkubwa San uwe kwajili yake bro! Naye atakua kwajili yako sikuzote za maisha yako bro!
🙏🏾🙏🏾
I PRAY FOR HIM
Amen!
blessings bro
poleni saana
Nakupendasana Mukrustu muzima, Jesus Christ bless u
Amen!🙏🏾
Amen
Amen
Be blessed Jack i like the way you do God bless you Brother
Amen!🙏🏾
JACK YESU KRISTO AKUTUNZE katika kila jambo Uso wa MUNGU Uende nawewe ..
AMEN MUNGU amuongoze huyo kaka
Asante na Amina!
Brother ungeeenda kwa yule demu pembeni ukamjuliee hali yakee na yeye..
anajikuna kwapa tu mweee😢😢
Yule alikua anajikuna kwapa tuu
Ameeeen
Doing such things will make this channel grow immensely.
Mungu sikia kilio chake na umsaidie mtu wako huyu anaeita jina lako baba amina
Amina!🙏🏾
Keep the good work going,I like your job bro,,soon we will meet am from kenya
Stay blessed jack...u r very humble
Kaka umefanya jambo ambalo akuna mtanzania aliewahi kulifanya America.umenifunza jambo hapo.
🙏🙏🙏
👊
Unafanya kazi nzuri Sana bro zidi kubalikiwa
Ubarikiwe Jack umefanya kazi njema sana huwa natazama Sana video zako. Kwa video hii leo nimebarikiwa sana kumbe wewe ni ndugu katika Kristo. Siku nikipata neema ya kuja USA lazima nikutafute. By Pastor Green. Tanzania Mbeya.
Asante na Amina. Ubarikiwe pia!
@@jackwausa mzee kwaiyo USA Tanzania awaijui au mana naona mwamba anaishia tu Ethiopia sema naipenda kazi yako mi Niko Houston Texas
That's good 🙏
🙏🏾
Huyo jamaa hapo pembeni mbona anakuna kwapa sana nini tena
Huyo ni homeless (Mtu asiye na makazi), Usikute ana matatizo yake binafsi hapo alipo!
MSICHANA HUYO.
Sindano
Ammen kazi nzuri jina la bwana libarikiwe Tz
Amina. Jina la Bwana liinuliwe!
Kaka naomba ugusie maisha ya mabondia wahuko wale wadogo sababu mabondia wabongo maisha yetu nimagumu na tunaamini mabondia wa huko maisha yao nimazuri kuliko ya bongo naomba Kaka ili tushee uzuefu wao na changamoto pia
Nitalifanyia kazi hilo!
jambo zuri sana brother.
Kazi nzuri ya kuhubiri NENO LA BWANA
mungu akupatie nguvu ili usaidie wengi from Kenya
Nimefurahi kuona hii ✝🙏♥
😊🙏🏾
Umepiga bonge moja la kazi Yan umeua mbaya umefunika MUNGU akutangulie
Nimeona uchungu sana huyu mkaka jinsi anavopata maumivu
Kazi nzuri Sana mkuu Kwa izi video nilizo ziona Mimi ni tajiri mkubwa. Siku moja utembelee mahali wanapo patikana wamachinga.
@@mophatsamwel6587 machinga
Mungu aachilie uponyaji juu yake kwa jina la Yesu kama anavyo amini
Amina!🙏🏾
Irakaka sizani😢kama huyu kaka amepona inawonekana amekuwa najaaa nyingi😢masikini
Mungu akubariki unaonekana ni mtu wa kiroho kupitia hiki Mungu atakukumbuka
"what's your name ?"
My name is "Jesus christ"
Well done brother your doing good work ilike that from Tanzania isalute you
Ila USA wenye shida ya afya ya akili wengi sana
struggle za Maisha mzeee acha tu
Huku wengi ni blacks na maforegner s
Broo umenikosha kiukweli japo sielewi kingereza
Tena imekuwa ni vema tunaweza kuwaona wengi ambao wapo huko kwaaji yay maisha lkn hayakuwa km vile walivo dhania
Jitahidi kutumia kiswahili mzee
Tunajivunia wewe kuwa mtanzania.
Ds matter which position where u r
Be blessed my friend that man he have suffering
Ooooh Brother love u from Rwanda Kigal, East frican, God bless u🙏
Amen!🙏🏾
jamaa kwambali naona anapiga gitaa alosto
UNA IG ACCOUNT MZEE?
Jacchalz
Ubarikiwe kwa kazi yako ya kuwaongoza sala ya TOBA, kazi yako si bure utalipwa kwa wakati
Amina na Asante. Ubarikiwe pia!
@@jackwausa mungu akuongoze katika hustle zako kaka hakika tunapitia mengi kama wanadamu lkn yupo mungu anayeweza yote amina
kazi safi.tupeleke uswaz tuwacheki nduguzetu
Good jobs God bless you my friend
Asante saaaana bro for what you did to this brother
Jack umekuwa mchungaji
😭😭😭😭😭 I have no words to say.
We jamaa ni mtu poa sana
Big respect my brother
Kwa kweli unafanya kazi nzuri sana ..
GOD bless you bro🙏 uwe na moyo huo huo milele
May the lord of heaven touch u forever ad ever there ure lending hopeless homelss food prayers.
Amen and Thanks 🙏🏾
Unatoka kahama sehem gan
Wow...this is so good for you my brother saving his soul for Christ...may you be blessed in Jesus Mighty name
Amen!🙏🏾
Good work sir . May Almighty God bless you Jack
Amen and Thanks!
Unahatari sana jack
Bro akili kubwa keep it up
Amen Jack be bless more and more I love you
I love you too. God bless you!
@@jackwausa wacha wee baba mchungaji nimekupenda hio🤭
Jack brother be blessed
Wengi ni mateja
Well done bro 👏
Thanks ✌️
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki sana kamanda naona unajitahidi sana kuwahubiri injili Yesu Kristo
Amina na Asante!!
💪✌️❤️
GOOD JOB BRO MUNGU AKUBALIKI KWA KAZ HIYO
Amina na Asante. Ubarikiwe pia!
God will bless him
Ameen Ameen Ameen 🤲🤲🤲