VERONICA GEORGE:"YESU AMENITUMA NIWAKUMBUSHE WANAWAKE WAACHE KUJIPAMBA,HATA KUSUKA MABUTU NI DHAMBI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Amen Mungu nisaidie upande wa kusema ukweli,nisiwe na hasira ,matusi ,kiburi, nisaidie niwe mwaminifu...mapambo sifanyi tena am natural for God
Amen 🙏 🙏 Asante MUNGU akuzidishie na akubariki,BWANA YESU KRISTO atusaidie sana 🙏 🧎♀️🧎♀️
Nimebarikiwa Sana, Mtumishi wa MUNGU MUNGU azidi kukutunza,nikeailisha nilitaka nianze kusuka za mkono tu ,ilimladi ni dhambi nimeacha staki kwenda jehanamu.jactani nakupenda bule YESU Kristo azidi kukutunza
Amin dada angu naamini mungu yuko pamoja nawe sik zote nakuomba mungu wangu hunisamehe zambi zangu zote nilizokukosea najuta makosa yangu nisamehe mi
Bwana Yesu asifiwa mtumishi ,je kuhusu Pete ya ndoa je
Amen Yesu turehemu sisi wanawake tutii Neno lako watumishi wa Mungu mbarikiwe saaana Jactan na wengine wote wa Promover tv🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu akubariki saaana
Kanisani kwetu atujipambi wala kusuka wala kuvaa masuluali Vero umeletwa kwa wakati muhimu.
Amina mtumishi 🙏🙏
Amen ,Mimi langu nimelisikia Mungu nisaidie kutii,maana kutii ni bora kuliko dhabihu ,sii kuskia neno mbali nikuskia neno na kulitenda.
Nimesikia ushuhuda huu wa mtumishi wako,nipe neema ya kuweza kubadilika maana lengo la kuokoka ni ili tuje mbinguni.Niwezeshe niache kiburi,hasira,kinyongo,majivuno na huku kujipamba.
Ameeen Mungu akubariki sana
Thank Lord Jesus Christ, for more revelation,on us women, 😭😭😭,we really need to change as women for sure.
Sasa nimejiamini, naomba niombewe
Dada vero mungu akubariki sana, mm binafsi nimebarikiwa sana sana sana uzur wako umetoa mpaka mistari sasa asoelewa hili basi huyo amekamatwa na nguvu za shetani,ndugu zangu somo hili litufundishe,ahsante sana,ni mm brian dar es salaam tabata ilala.
Amen Aamen eeeh Bwana utusaidie sana kufuata SHERIA zako na kupenda kujua mapenzi yako ndani yetu, Amen Amen Amen , ubarikiwe sana sana mtumishi kwa ujumbe huu nimejifunza kitu Cha dhamani
Asante Dada vero ninashukuru kwa ujumbe mzuri ninamshukuru Mungu kwa ajili yako,asante kwa upendo mkuu namna hii ,nimekuelewa nimebadilika japo nasimangwa wanasema mm ni mzee,lakini kwangu ninaamani nyingi
Usiogope Mbingu ni yakwako Mwenyewe kaza mwendo
Usiogope Mbingu ni yakwako Mwenyewe kaza mwendo
😅ndo zao hao usijali lkn MUNGUBABA anakupenda sana
When I heard this message I repent of i have done,I decide to be with my natural hair.i than God for you sister may the lord bless you.
Mungu nami nisaidie ninyoe nywele ,mapambo niache
NIREHEMU Ee Mungu unayeishi, nimekuwa nikipingana nawe. Asante Veronica kwa ujumbe huu wa kimbingu. Nakumbuka BWANA AKISEMA NAMI KWA HABARI YA KUFUNIKA KICHWA NA KUVAA MAVAZI MAREFU. OO MUNGU WANGU NIREHEMU NA UNIPELEKE NAFASI NYINGINE TENA. ASANTE MUNGU MWEMA AKULINDE 🙏🙏🙏
Amen Amen dada nonataka kujua kidogo ninahacha mapambo lakini kwa ajili ya nwele nikisukiwa nwelezangu nivibaya nakufunika kichwa ninakosea?
Amen amen Dada si kitu lahisi kuchukuwa Maamuzi yakuokoka Kweli Kweli mpaka unakuwa Picha kwawenzako kwasababu wenye wangali gizani wanakucheka ukiva kitamba umezeheka unahalibika Mambo mengi tu tunakutana nayo ukiva nguwo ndefu Bala Yooo hupndezi mubaya Ww Mambo nimengi shahindi ni mimi apa nimeokoka Akini ninavita ya family nayawalafiki Eti nikawa mubaya watu wanasahawu kama duniani niwasafili mbinguni kwa baba tutapendza zaidi Akini vazi LA mwili LA dunia mwisho wak ni apa apa lakini Roho ndani yanyu ataishi milele yy hakufi hazeheki hagonjwi navinginevyo sasa tutafute kwanza ufalme wambingu vingine tutaongezewa Hallelujah Maman PASTOR AGABO
Mungu akubariki dada, no pic nimeelekezwa Karisa Fulani hapa Kenya hila nikiwa pale kushiriki fita no mingi.
Amen kwakweli Mungu atusaidie kanisa
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunaomba tusaidie ujumbe ufike makanisa yote maana kama kanisani kwetu karibbia wote tunajiremba na tumeokoka
Eeeeee YESU Kristo tusaidie wanawake, promover TV MUNGU azidi kukutunza na akupe maisha malefu kazi yenu ni njema Sana
Amina San mama Mungu Anatenda🙏🙏 51:45
Amina tumesikia tunazidi kuamini
Asante sana mtumishi wa mungu kwa ujumbe huu mungu akubariki sana
Andika Mungu kwa herufi kubwa, wa herufi ndogo ni shetani 🙏
JAKTAN, I ALSO HUMBLY REQUEST YOU PRAYERFULLY CONSIDER CHANGING YOUR CHANNEL'S TUNE. IT REMINDS ME OF TUNES FROM HORROR MOVIES...GIVING ONE A SENSE OF DOOM & GLOOM 🙂.
Barikiwa sana
Eeeh!! Bwana YESU nisaidie Mimi kubadili mwenendo wangu nataka kwenda mbinguni
AMEN 🙏🙏 barikiwa sana dada na team yote ya promover ki ukweli nimejifunza mengi hapa
Amina!
Wanawake wakristo wamekuwa wakaidi Sana kwani mkifunika vichwa na kuvaa mavazi ya stara hampendezi? Tunashindwa na wanawake wa islamic? Nanyi mmeokoka na mnamkiri YESU?
Asante dada
Amina kubwa mtumishi wa Mungu
Amen 🙏 ni uzuni sana kwakweli sisi wakina mama shetani ametufunga fahamu kabisa maana kama ni ku onywa tuna onywa sana lakini tunajitetea kila siku. Mwanamke kuwa pambo ina maanisha utu wa ndani maana ndani ukiwa safi yatashuhudiwa inje pia,na kikubwa ni kuwa msafi wa mwili maana wengi wanajificha kwenye mapambo na huku ni wachafu sana wa miili yao👏
Amen nabarikiwa sana
Amen, Bwana YESU KRISTO, Asante Kwa ujumbe wako. Wanawake tujifunze kutii.
Asante Sanaa mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huu...
Ninakupenda sana Madam Vero Mtumishi wa Bwana
Amina mtumishi Mungu alie hai,Mungu nipe ujasiri nibadilike
Asante sana Mtumishi wa Mungu. Bwana atusaidie wanawake tutafute utakatifu wa ndani na nje.
Petro kwa kusema kumenyesha mwanafuzi wayesu kutembeya namavazi vimeonyesha Uyu nimufasi wa YESU KRISTO sasa je sisi tugeukeni Mbona tumeonywa sana alakini kujiteteya kwasababu tusichekw inj Bali tunasahawu MUNGU NIMWENYEWIVU kunasiku tutaliya kwakukata kuri I am telling you wanawak tunaona kama hatujipambi doa zitahalibika wame wetu watacepuka alakini tunasahawu kama ni MUNGU kakupa na kakuonya ukakubali basi atakulindiya kwasababu ya kuti Akini usipo ti utakosa kamba na mbuzi
Ubarikiwe
Asante Bwana Yesu kwa kutuandaa kutujiaaa Halleluya to the Son Of the Living God
Mungu tu rehemu sisiwanawake wote apa dunia
Ubarikiwe sana mtumishi wabwana
Mungu akubariki
Mungu utusaidie tuweze kubadilike
Amen nmejifunza ....mungu akubarki mpendwa.....naomba unipe number ya group lako pls
Amen and Amen Asante sana mutumishi wa Mungu kwa ushuhuda
Asante Mtumishi kwa ujumbe mzito kama huu.Jacktan asante kwa kutuletea Watumishi wa Mungu kutuletea Jumbe Mbalimbali za kutujenga Kiroho.Naomba no.ya huyu Mtumishi Veronica.
Namba yake ameitaja mwisho sikiliza utaipata
Shalom shalom, Naona maneno mengi mu comments zenu mukijalibu kumutusi huyu, arakini yote anayo yasema ni ukweli ame andikwa hata kwenye kitabo kitakatifu BIBILIA ila kila siku ukweli unauma hasa kwenye mambo ya Mungu akizungumzia kuu mwiri ni shida kubwa hata kwenye makanisa injili ya ukweli imetoweka WATUMISHI wa sasa wanaubili vyenye kutoka hakilini mwao, sana niwaulize umuhimu gani wa kuupa mwiri raha zote na ukapoteze uzima wa milele?? Na hapa duniani niwakumbushe ya kwamba tunapaishi muda mfupi saana, ila tukisha toka kwenye mwiri huyu tunaenda kuishi maisha anaitwa ya milele, sasa niwewe kuchagua kuishi ukiteseka milele au kuishi ukifurahi milele, Mungu awapiganie wa mama wote kwa maana Jambo hili la mavazi linatikisa na linaharibu wengi saaana
Naomba uniunge kwenye group lako la mafundisho ya neno la MUNGU
MUNGU atusaidie sana binafsi nimefunuliwa sana kuhusu mavazi na mapambo
Amina mtumishi wa BWANA
Ameen,mungu tusaidie
Bwana Yesu asifiwe, naomba namba ya Mtumishi Veronicah natamani aje kanisani kwangu kwa ajili ya ujumbe huu, Mimi ndio msimamo wangu Kama ujumbe huo
Ametaja namba yake tazama mpaka mwisho utaiona
Mungu akubariki sana dada
Haya sasa ni kutuchanganya, inamaana Mungu alitupa nywele na kucha, na pia ukumbuke hakuna vazi lolote lililotengenezwa na Mungu, sasa hebu tupe mavazi na mapambo yaliosahihi basi, ili tujue vizuri. Mimi Mungu naomba anisamehe tu, kwa sababu hii dunia tumechanganywa hatari. lakini unahakika gani ni Yesu huyo, kwa sababu hata shetani huja kwa aina yeyote.
Inamaana wamalekani na nchi za ulaya hawataenda mbinguni,maana wanavaa masuluali?? Siri ya mbingu nikubwa Sana kikubwa ni moyo kuulinda kwani hats hichokilemba amevaa no pambo,na kitenge ni pambo,
Kuuliza sio makosa. TENA MUNGU ATUSAMEHE. Shida iliyopo ni kwamba watu wengi hawajisomei Biblia wenyewe. Wanategemea shuhuda za watu wengine na mafundisho yasio ambatana na Neno la Bwana. Soma Ezekiel 16:10-13 Bwana anazungumzia Jerusalem kama mfano wa mwanamke anaye pendeza. Mwenyezi Mungu alimpenda Jerusalem, akamrembesha kwa mapambo naye Jerusalem akawa wa kupendeza.
Swahili: 10 Nikakuvika vazi lililotariziwa na kukuvalisha viatu vya kamba vya ngozi. Nikakuvika nguo za kitani safi na kukufunika kwa mavazi ya thamani kubwa.11Nikakupamba kwa vito: nikakuvika bangili mikononi mwako na mkufu shingoni mwako, 12 nikaweka hazama puani mwako, vipuli masikioni mwako na taji nzuri sana kichwani mwako. 13 Kwa hiyo ulipambwa kwa dhahabu na fedha, nguo zako zilikuwa za kitani safi, hariri na nguo iliyokuwa imetariziwa.
English: 10. I clothed you also with embroidered cloth and shod you with fine leather. I wrapped you in fine linen and covered you with silk. 11And I adorned you with ornaments and put bracelets on your wrists and a chain on your neck. 12 And I put a ring on your nose and earrings in your ears and a beautiful crown on your head. 13 Thus you were adorned with gold and silver, and your clothing was of fine linen and silk and embroidered cloth.
Kama Mwenyezi Mungu ana fananisha uzuri wa Jerusalem kama uzuri wa mwanamke aliye pambwa kwa mavazi ya thamani na vipuli maskioni, na bangili na taji kichwani, hawa wanao kemea kujipamba wanatoa wapi mafundisho yao?
Swali lingine: mbona Bwana Yesu hakumkemea yule mwanamke aliye panguza miguu ya Bwana Yesu kwa nywele zake akiwa na perfume ya thamani?
Swali lingine: Mbona Mwenyezi Mungu aliwakomboa wana wa Israel kupitia Esther mwananke mrembo aliye tumia mapambo ya hali ya juu?
Mpendwa Mungu akusaidie kujua haya, soma hiyo sura yote ya Ezekiel 16 yote uimalize utaona vile Mungu Anacostia mapambo. Usidanganyike Mungu hadhihakiwi
Hapo unamkosoa Mungu
Soma yeremia 4:1.
Amina Kwa somo zuri
Mpaka
Kufa usikose kusema neno au. Sauti ya mungu Kuna makubwa mbele mwanadamu asikutishe
Amen
Jina la Yesu Kristo aliye hai lizidi kuhimidiwa
Amen mtumishi WA mungu Mimi Niko naswali je kujipost ni Zambi Ahu kuwa na fesibuke ni Zambi Tena nahuliza je Kukula supageti Ni zambi
Mpendwa tumia mitandao ya kijamii kwa utukufu wa Mungu . Facebook, Instagram, you tube na mingine. Unajiposti ili utangaze mini? Post mahubiri au mafundisho ya neno la Mungu umtangaze Yesu.
Mimi nimeokoka nampenda YESU kanisani kwetu hakuna vya mapambo ya mwanamke YESU alizuia tuko waumini wachache, lakini baba yetu wakiroho anasema tuwe wachache watakao enda mbinguni kuliko kutenda zambi, kanisani tunahuduma tano mchungaji mwinjilisti nabii mwalimu na mitume , wanawake wanapenda mapambo hawakubali kuhacha, wewe endelea kufundisha atakaye kubali sawa asiye sikia mwache, Bwana YESU asifi
MUNGU awasaidie coz mnatakiwa mfuen roho za watu sababu ww n baruwa so lazma uende mbinguni na watu uliowauburia waokolewe.....
Amen
Naomba namba yake mwenye nayo please, kwa kweli Mungu atusaidie Sana ila naomba namba yakeee
Mabutu ni nywele imesukwa yenywe kwa namna ya miviringo kwa kutumia uzi au zunyewe. Huwa zina simamishwa au kulazwa kwa kunganishwa
Mwezi wa pili mwaka wa 2022 ndo Mungu amenitokea kabisa akanikataza mambo ya mapambo, mawingi, heleni, kama mwanamke anaendelea kufanya hivyo vitu, mbingu hataingia kabisa
Dada Vero ubarikiwe sana na je Pete ya ndoa inaruhusiwa?
Utaniunganisha kwenye group
Mungu aturehemu wanawake mapambo ni mengi kuliko ibada
Veronica 😊unakuanga serious wee
Mungu anihulumie nipo tayali. Kubafilika
Barikiwa mtumishi naomba unipe namba zako kuna vitu Vingine tunahitaji ushauri mamii
Ametaja namba zake, sikiliza mpaka mwisho
Naomba kuconnect na mtu mkuu wa Mungu Vero. Nambari ya simu please
Ametaja namba zake, sikiliza mpaka mwisho
Asante sana Dada Veronica kwa ujumbe. Jamani nambali zako za simu? Ama how can you be reached? Thank you.
Kwangu mimi Yesu amenipa jibu tena, kwani hata twende kilioni hairuhusiwi. Asante Yesu Christo
Siyo twende kilioni tu hata mabutu
@@perufamily6941 mi naomba kueleweshwa
Biblia inasema nywele ni utukufu wa mwanamke na linapokuja suala la nywele za Kiafrika hata kusuka mabutu ya kulalia nako ni dhambi? Maana wejye Naona wenye nywele za kizungu, kihindi, Kiarabu, kisomali hawahitaji mabutu kutunza nywele. Imekaa kama mtu akiumwa asiende hospitalini abakie kuombewa tu pekee. Au mwenye maarifa ya kutunza nywele za asili ndefu za Kiafrika atoe uzoefu wake Please
Ahsante
Amen barikiwa dada
Namba za Vero
Ametaja namba zake, sikiliza mpaka mwisho
Ameeeeeeeeeeeeeeeen
Amen God have mercy on us all
Amen amen
Wanawake tubadilike YESU anatupenda sana ndio maana haachi kutuonya
Naomba namba za Vero.. aliyenazo
... Ninaomba jaman
Ametaja namba yake, sikiliza mpaka mwisho
Barikiwa dada
Mimi niko na swali kusuka ni dhambi na kunyoa ni dhambi tufanyaje? mmmmmh 🤔 jee??huyu Mungu alikosea kuwapa wanadamu vipawa na karama??me Yesu ananitokea Sana Sana ni KILA mtu ana Neema yake nisikatae lakini Mungu hakukosea kumuumba mwanadamu na kumpa vipawa🔥
Soma neno uliieleewe vipawa ni vya Mungu anauwezo wa kumpa yeyote ampendae so visikupe kiburi shuka Mungu akubariki sana
Hii ni wazi kuwa huyu dada anazungumzia MUNGU wa kweli yaani YESU KRISTO. Amemwagiza asome Biblia wala sio kitabu kinginecho. Katika Biblia takatifu, Mitume wa MUNGU wamewaagiza wanawake kutotawala wanaume. Ndiposa alimpa mwanaume yaani baba wa kiroho. Pia nasi tumuombee huyu dada asije akaanguka kwa maana mwovu shetani hataacha kumwandama kabisa kabisa.
Naomba link au namba zako nataka kujua vingi mtumishi 🙏
Hivi mpaka saa ni pambo? Naomba msaada mm
Week 2zimepita Bwana amenipee neema ya kuwaombee watakatifu ambao wengi wamekatalia kwa urembo coz naomboleza kwa ajili yao wengine wamemtumikia Mungu kuanzia ujanani na sahii ni wazee lakini wamekatalia kwa urembo
Amen and amen sister 🙏🙏🙏❤️❤️🥰
Naomba no zako mtumishi nahitaji kuingia kwenye group lako
Mtumishi wa MUNGU naomba niunge kwenye Group lako natamani kujua vitu vingi yawezekana Kuna vitu namkosea MUNGU bila kujua
Naomba namba ya simu na kuungwa kwenye group
Ametaja namba zake, sikiliza mpaka mwisho
SubhannaAllah Astaghafirullah 😭😭😭
Mtumishi Vero nisaidie kUmuulza Mungu kama nikiamua kunyoa nywele Zang ninyoe stahili gan ya kumpendeza maana nywele Zang zkikaa bla dawa znakuwa ngumu kuzichana.
Nywele zetu za Kiafrika zinahitaji products sahihi ili kuzilainisha , kua na moisture na ukuaji na uimara. Jaribu kuchek youtube kuna maarifa mengi sana ya jinsi ya kutunza nywele za asili za Kiafrika hauna haja ya kunyoa kama wazipenda. Kwa hiyo hapa ni suala la maarifa
Mimi nimeokoka lakini hapa naona tunachanganyana jamani.Mimi ufunuo niupatao katika 3Petro 3:3,na 1Timoteo 2:9 iko hivi wapendwa"Kwanza kabisa mstari wa 3 ni mwendelezo wa maagizo ambayo yalianza kutolewa kuanzia mstari wa 1 ukiagiza kuwa kadhalika ninyi wake watiini waume zenu.....2wakiutazama mwenendo wenu Safi na wa hofu3 kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa nje yaani kusuka.......Nataka nizungumze kwa ujasiri mkubwa kuwa ,wanawake waliagizwa hivi kwa kuwa walifika mahali wakajisahau na kukosa utii kwa waume zao wakidhani ya kuwa watawavuta waume zao kwa mapambo ya nje tu Kumbe tabia nayo ndiyo ilikuwa kitu kikubwa yaani mwenendo wao mwema.Hii ina maana kwamba walitakiwa kuonesha utii kwa waume zao na sio kutegemea mvuto wa mapambo tu lkn kujipamba si dhambi,Ila walikumbushwa kutii kwa kuwa wanawake tuna upendo lakini hatuna utii wanaume Wana utii lakini hawana upendo tena kuna andiko linawakumbusha kuwa wapendeni wake zenu.Tunaposoma biblia tumsikilize roho mtakatifu anatuambia nini na siyo amefunua nn kwa mtumishi nani.Tatizo watu wengi tunataka shuhuda na miujiza Neno hatutaki kulisoma.Mimi nimesoma mwanzo to ufunuo Ila kwa hili mmmh?naona ni tango mwitu.Wanawake wenzangu mimi nitajipamba rohoni na mwilini ili mradi nisitende dhambi"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"Someni Neno Mungu aseme nanyi wenyewe km aweza sema na Vero anashindwaje kusema na wewe na mimi.Mungu siyo wa watu ni wa Kila mmoja amtafutaye na kumwita kwa bidii atamwona na kuzungumza naye.So mm sisubiri ujumbe wa care off nataka aniambie mwenyewe.Wakati mwingine Mungu aweza kukuzuia usisuke kwa kuwa ameona kuwa kupitia kusuka laweza kuwa jaribu kwako na kuvuruga uhusiano wako na Mungu Sasa usizuie wengine kwa ufunuo alokupa Mungu kwa ajili yako.Maandiko yanasema msiziamini Kila roho Bali zipimeni hizo roho,tutazipimaje basi?Si ndiyo swali jibu ni jepesi "imeandikwa"je kinachosemwa kimeandikwa na je maandiko kabla na baada ya andiko hilo Yana ujumbe gani?Tusimezeshwe tu nasi tukaridhika tutafune na kumeng'enya wenyewe tusiwe Kama watoto siku zote tukue kiroho jmn.Tena nataka niwasaidie wanawake wenzangu ukijiachilia ukawa rafu huyo mumeo unamfungulia mlango wa kuwatamani hao wajipambao huko nje.Hata wanawake wa Kale ktk biblia walijiipamba wapendwa akina Mariam Magdalena akina Matha mbona Yesu hakuwafukuza?Kazi kubwa tuliyoipewa ili kutenda mapenzi ya Mungu ni moja tu"mwaminini yeye aliyetumwa na yeye".Soma Neno tenda neno yatosha.
Pole dada rudi magotini na Roho mtakatifu akusaidie😢😢
Naomba namba za group la Veronica aniunge plzzzz
Wamama watiifu wataingia mbinguni kwa wingi sana
Leo nimesikiliza wàtumishi 2 kuhusu mapambo nimefumua vigi na je ķupaka Black colour kwenye nywele ni kosa .
Asante Kwa swali lako,nikos ambele za Mungu kwani unakosoa uumbaji wake nywele alizokuumbanazo aliona zinapendeza paka mafuta chana na utapendeza tu
Ñikweli lakini kwà nguvu zetu hatuwezi bila roho mtakatifu
Kumupata ROHO ni rahisi mutafute usiku namuchana atakuonesha makumbwa Yale huwezi you anayaweza
Mimi naomba mnisaidie. Kukata tunaruhusiwa ?
Na kuusu kufundisha Bibilia inaruhusu mwanamke kufungisha wanawake wenzake ndio maana hapa hajakosea ila mwanamke haruhusiwi kuongoza Kabisa wala kuhubilia wanaume ila anaruhusiwa kuhubilia wanawake au wasichane
Yesu Christo tusaidiye
Huu ndo uamsho tunao sikia tuamke usingizini
Mimi nilitoka huko tokea ushuhuda wa Aston nilijikubali vile nilivyo nakusema ukweli tokea nitupe hayo marembo Bwana hunipea vitu bila kungangana kabisa
Ulifanya vizuri pia Mimi nazitupa zangu kabisa..najikubali vyenye nilivyo