Kweli lila jambo ulimtanguliza mwenyezimungu na kumuomba kwa nia safi basi mwenyezimungu yukopamoja nawe kaka...ujana ni nusu ya wendawazimu mwenyezimungu atuepushe na tamaa za ujana tufanye kazi na pia tuache kuzini ukipendana na mtu cha kwanza vipimo vihusishwe kwanza kujua afya zenu. Asante kwa fundisho Zuri.
Yani haichoshi hata kidogo, leo umenifungua akili kaka ungekuwa hujaoa ningekubali kuwa mke wako maana kwa mkasa huu unajua maisha ni nini na hata mwanamke awe mzuri kma jini hakuchanganyi ungekuwa wangu peke yangu.
@@amanimanase8798 aliongea nikweli lkn mke kwasasa ana mana mke waliachana zaman tu tabia ya umalaya ana mungu kampa subra akikupenda bwana uyo ujiandae kufatwa kama siafu shida moja tu anamkono wa kupiga kwa wivu na pombe kupenda kunywa alikua mzuri uyo lkn kafubaa kwa ajili ya pombe hapo
Mtu Afi bila ya Ahadi yake na sababu yakifo chake. Nae ipo sababuyako uloandikiwa na Allah ambayo itakutoa Duniani waliyobaki watasema fulanikafana hiki ........ Ndiyo mwishowetu kilamtu anaenda nazake alicho qadiriwa
Me ndo mana huwa nawashauli sana wanaume wenzangu ukikutana na mwanamke kabla ya kufanya nae tendo mkacheki afya kwanza wanawake wa siku hizi hawafai kabisa hasa wa jiji la darsalaam
Hujaongopa kaka hii ata mm huwa nipo makini sana hasa hawa viumbe wa kike wanaoishi mjini aisee ni wauaji mnoo,ee mungu nisaidie na namshukuru mungu huwa ananifanyia ulinzi mkubwa sana kwa hili
@@julianayesayamwailolo8240 umenena kweli. Hata wanaume wameoza sana. Hata huyu Kaka kupinyoka kwake ni kimiujiza tuu. Alikuwa hata yeye anaenda/ anatamani sana kulamba hiyo asali ambayo ilikuwa na mdudu. Somo.kubwa. Usilambe vote ambazo vyaeleza. Pima Kwanzaa kama ni dhahabu ama ni kinyesi.
Kunawatu wanabahati Yani wenzio wote waliopita Mahali na ww ulipopita wameiufa na ugonjwa ww hauna daah katoe sadaka kaka unaweza kua mziwanda wa mungu😱😱😱
Dhambi ya uzinzi mmmh Ni Bora kutubu dhambi na kuacha na kumufuata YESU TU MAANA tunateseka na hayo magonjwa Bado jehanamu ya Moto milele MAANA WAZINZI na waongo na dhambi zingine Ni jehanamu labuda tutubu dhambi na kuacha na kumufuata YESU NDO pona yetu
Kifo hakina dini, uwe mwislamu, uwe mpagani, uwe mkristo kifo kitakuja tu siku yako ikifika. Huyu kaka hajafa siku yake haijafika, sio kwa kuwa ni muislamu. Inawezekana hao waliokufa wengi wao waislamu.
Sijawahi kuona wagonjwa wakiombewa kwa jina la Allaha wakapona,😂😂😂 nachojua pepo magonjwa yanasalimu amri yakiombewa yatoke kwajina la Yesu na maushahidi yakutosha ila mgonjwa kaombewa kwa jina la Allah, mmmmh sijasikia sanasana mganga ndio anatibu kwa jina la Allah.
Kweli lila jambo ulimtanguliza mwenyezimungu na kumuomba kwa nia safi basi mwenyezimungu yukopamoja nawe kaka...ujana ni nusu ya wendawazimu mwenyezimungu atuepushe na tamaa za ujana tufanye kazi na pia tuache kuzini ukipendana na mtu cha kwanza vipimo vihusishwe kwanza kujua afya zenu. Asante kwa fundisho Zuri.
Kunawatu wanapitia Mikasa mizito nyie hii dunia 🙌🙌
Duhh kumbe bado kunavitu nilikuwa sijavijua kwenye hii dunia dahh hata sitaki mashoga mimi maana ni balaa jamani.
Miemwenzako hizo habari zsmashoga sitaki hata kuzisikia
Leo nmejifunza kitu kupitia hii Video Ahsante Tiki Tv💓💓💓💞💞
Kk fanya ibada na pia uombe msamaha kwa uliyofanya
Uombe toba
Alafu Dumu na ushukuru sn allah kwa hilo
Ulimuharibia ujana wake ilitakiwa muoane kabla. Changamoto za ujana mwenyezimungu atunusuru
Sasa kumuoa kungesaidia nini kwa mwanamke malaya
Hapo kwenye kusubili majibu sasa kama nilikuwa nakuona vile😂😂
🤣🤣🤣🤣 yani ukienda kupima hata uwe huna huo ugonjwa lakini mapigo yamoyo mbio
Pole kaka
Huyo mwanamke alikua bwawatena umalaya gani huwo kamamyama Allah atampa hakiyake
Kumbe kweli uchawi upo dahh
Pole sana kaka.Wanawake na wanaume wameoza kabisa siku hizi. Lazima ukae macho na uwacheki afya Yao kimakini kabla wajatumbukiza 🇰🇪
Nmejifunza kitu kikubwa sana leo hii dahh pole sana kaka Mungu azidi kukulinda Ameen
Hata mimi kwakweli
Tik tv kiakili zaidi asante
Pole sana kaka, kweli inausunisha
Thanks bro Kelvin
Yani haichoshi hata kidogo, leo umenifungua akili kaka ungekuwa hujaoa ningekubali kuwa mke wako maana kwa mkasa huu unajua maisha ni nini na hata mwanamke awe mzuri kma jini hakuchanganyi ungekuwa wangu peke yangu.
Wachache tupo ivi karibu kwangu tu
Unamjua vizuri uyo unaetaka akuoe 🤣🤣 umenichekesha ndugu story tu umevutiwa na kijana
@@latifaonesmo7629 ee amevutiwa na mtoa story kwa sababu ndo ameuelezea uhalisia wake alivyo na ndomana ndg yetu kavutiwa nae
@@amanimanase8798 aliongea nikweli lkn mke kwasasa ana mana mke waliachana zaman tu tabia ya umalaya ana mungu kampa subra akikupenda bwana uyo ujiandae kufatwa kama siafu shida moja tu anamkono wa kupiga kwa wivu na pombe kupenda kunywa alikua mzuri uyo lkn kafubaa kwa ajili ya pombe hapo
😂😂
Mtu Afi bila ya Ahadi yake na sababu yakifo chake. Nae ipo sababuyako uloandikiwa na Allah ambayo itakutoa Duniani waliyobaki watasema fulanikafana hiki ........ Ndiyo mwishowetu kilamtu anaenda nazake alicho qadiriwa
Shukuru mungu sana kaka maana bado anakupenda Mahali ulipokua umeingia sio kabisa Yani huyo dada mbona hana huruma hivyo jaman 🙌
Tena mungu anampenda sana uwiiiiiih🤔
Me ndo mana huwa nawashauli sana wanaume wenzangu ukikutana na mwanamke kabla ya kufanya nae tendo mkacheki afya kwanza wanawake wa siku hizi hawafai kabisa hasa wa jiji la darsalaam
Umakini unatakiwa Sana kaka
Hujaongopa kaka hii ata mm huwa nipo makini sana hasa hawa viumbe wa kike wanaoishi mjini aisee ni wauaji mnoo,ee mungu nisaidie na namshukuru mungu huwa ananifanyia ulinzi mkubwa sana kwa hili
Hata wanaume wameoza kabisa. Lazima uwacheki afya Yao hospitali kabla wajatumbukiza 🇰🇪
Pande zote mbili wapendwa si wanawake tu hataa hao wanaume pia .
@@julianayesayamwailolo8240 umenena kweli. Hata wanaume wameoza sana. Hata huyu Kaka kupinyoka kwake ni kimiujiza tuu. Alikuwa hata yeye anaenda/ anatamani sana kulamba hiyo asali ambayo ilikuwa na mdudu. Somo.kubwa. Usilambe vote ambazo vyaeleza. Pima Kwanzaa kama ni dhahabu ama ni kinyesi.
Kevn achana na iyo miguno😅😅😅
Kunawatu wanabahati Yani wenzio wote waliopita Mahali na ww ulipopita wameiufa na ugonjwa ww hauna daah katoe sadaka kaka unaweza kua mziwanda wa mungu😱😱😱
Subuhanallah ji kauli uako siyo nxuri . Anawaza awe,....... Inalillahi wainailahirajuun
Dhambi ya uzinzi mmmh Ni Bora kutubu dhambi na kuacha na kumufuata YESU TU MAANA tunateseka na hayo magonjwa Bado jehanamu ya Moto milele MAANA WAZINZI na waongo na dhambi zingine Ni jehanamu labuda tutubu dhambi na kuacha na kumufuata YESU NDO pona yetu
Subhaanaallah 🤔🤔🤔🤔🤔
Big testimony May God be with you.
Allah is great brother...ALLAH BARIK
Unapendwa na MUNGU
Duuuhh🤔
pole Sana kaka angu,Mungu bado Anampango nawewe
Ngoja nipate uhondo moe
Mtihani
Dahh kadiri unavyozidi kueleza ndiyo inazidi kunoga
Kumbe siyo kila unayemuona kama binadamu siyo binadamu kweli hizi zama za mwisho
Story nzur sana pole sana kaka ndyo maisha :
Big up Tiki Tv kwa habari hii ni funzo kubwa
Shukuru sana mungu kaka na ww ungejua tayari kaburini
Kabisa
Wa kwanza leo naombeni like zangu jamani
Kifo hakina dini, uwe mwislamu, uwe mpagani, uwe mkristo kifo kitakuja tu siku yako ikifika. Huyu kaka hajafa siku yake haijafika, sio kwa kuwa ni muislamu. Inawezekana hao waliokufa wengi wao waislamu.
Tiki Tv mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Sasa mlijuwaje kama kile kitu kina mmeza mwanzie
Inna lillah wainna ilaih rajiuun
Ndio ufanye uoe uache ukorofi tafuta mke mkapime afya nauishi na mke vizuri
Ukimwi hiyo
Hivi kwanini majini wengi ni Waislamu?
Swali langu pia
Mimi pia hilo ni swali langu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Fanya haraka U-slimu maana ni Allah pekee ndiyo alikuokoa ndugu
Sana umeona nduguyangu watu wanajisaulisha kumshukuru Allah
Hadi nywele zimesisimka walahi
😳😳😳
Apo kweny kusubiri majibu, nimecheka kama mazuri 🤣🤣
Huyo siyo binadamu ni shetani tena Lusifa kabisa
Alahamdhilillah kwa kila unalojaaliwa
Tiki Tv nawakubali sana
Njoo katika dini haki ya uislamu hakika hautakufa.
Toka zako Yesu anatosha
Sijawahi kuona wagonjwa wakiombewa kwa jina la Allaha wakapona,😂😂😂 nachojua pepo magonjwa yanasalimu amri yakiombewa yatoke kwajina la Yesu na maushahidi yakutosha ila mgonjwa kaombewa kwa jina la Allah, mmmmh sijasikia sanasana mganga ndio anatibu kwa jina la Allah.
Kwani mkiristo huyu kwajina hilo analootwa jamani
@@ukhtyrayyan7884 Kapagawa huyo na mapepo
Somo!!
😭😭😭😭😭😭😭😭