Part10_MUNGU AMENIONYA KUHUSU PETE YA NDOA,SIIVAI TENA|KUOLEWA MARA YA PILI|MWANAMKE KUWA MCHUNGAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Wasiliana na Petrida Karch kwa What'sApp no. +491758114293
    Wasiliana nasi promover tv kwa What'sApp no. +255784074462
    Kujiunga na group la Petrida Karch, Bonyeza link hii chat.whatsapp....
    JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

ความคิดเห็น • 382

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kwanza unatakiwa uangalie mahali pete imetoka. Pete imetoka Misri kwa Farao. Mwanzo 41:42. Afu pale kwenye kitabu cha kutoka 32:2......utaona pale Haruni aliwaambia wana wa Israel zivunjeni pete zilizo masikioni mwenu afu mniletee, wakazivunja wakampa Haruni, baadae hizo pete utaona Haruni alipoziyeyusha kwenye moto ikatoka sanamu ya ndama. Mpaka hapa utaona Pete zimekuwa sanamu. Kwahiyo pete ni sanamu tu kama sanamu zingine. Usivae hata kama ni ya ndoa ilimradi inaitwa pete. Amen.

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwaneno la uzima ubarikiwe mtumishi wa MUNGU pete siyo mpango wake YESU KRISTO

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee ปีที่แล้ว +23

    Wengi humu ndani ni wasikilizaji tu hakuna aliyethubutu kumtafuta Mungu kwa lengo la kusikia sauti ya Mungu. Ila kwa kupinga hatujambo. Mungu ni wetu sote kama unamashaka na lolote tuingie magotini wapendwa.

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 ปีที่แล้ว

      Haswaa

    • @philemonhakiza1648
      @philemonhakiza1648 ปีที่แล้ว

      Mungu hawai kujipinga
      1 wakorinto 7:15 wala anae amini ambae kaolewa na anae amini asiachane nae.Huyu atakua ameenda mbingu ya pili

    • @jovinrwiza7413
      @jovinrwiza7413 ปีที่แล้ว +1

      Sasa kama wewe una mashaka naye si umuulize Mungu akuambie kuhusu huyu mtumishi

    • @valentinanduku8718
      @valentinanduku8718 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @andersonchongoma1723
      @andersonchongoma1723 4 หลายเดือนก่อน

      Sauti ya kwanza ya Mungu ipo kwenye biblia ,soma ujue Mungu anasemaje !

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 ปีที่แล้ว +5

    Asante Dada MUNGU akubariki Sana mimi nilionywa kabisa nisivae kabisa Pete iwe ya ndoa au urembo

    • @HappynessRobert-df9re
      @HappynessRobert-df9re ปีที่แล้ว

      Asante kwa ushuhuda mzuri mamaaa,

    • @sarahmdindile4301
      @sarahmdindile4301 5 หลายเดือนก่อน +1

      Na ukishavua Pete ya ndoa inatakiwa kuvunja na vile viapo vinavyotamkwa wakati wa kuvaa Pete, Kuna mtu alivua tu bila kuvunja maagano ya hii Pete kwenye ulimwengu wa roho akakuta bado amevaa

  • @JENNIFERKAJUNI
    @JENNIFERKAJUNI ปีที่แล้ว +2

    Asante Bwana Yesu kwa kumthibitishia huyu dada maana tulikuwa hatumuelewi akitoa shuhuda zako wewe Mungu

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen, utukufu Kwa BWANA YESU KRISTO, jina la BWANA libarikiwe , asante kwa uthibitisho. Na pia umependeza saana mtumishi, na wengine waone kielelezo kwako zaidi.

  • @سبحانالله-ف7م3ذ
    @سبحانالله-ف7م3ذ ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru mtumishi nimengi nilikua sijui naomba mungu anisamehe nmemkosea pasipo kufahamu

  • @hakizimanaphilemon9968
    @hakizimanaphilemon9968 ปีที่แล้ว +4

    Tunashukuru kwa ushuhuda ila nivizuri kila ushuhuda unaambatana na verse au biblical references

  • @PastorPeter00
    @PastorPeter00 ปีที่แล้ว +4

    Zidi kubarikiwa sana Shujaa wa Bwana wetu YESU KRISTO, Hakika Bwana anakupenda Sana.

    • @edmundrobert2740
      @edmundrobert2740 ปีที่แล้ว

      Samahani niulize je nakuvaa saanayo pia nimapambo?

    • @yungharry2204
      @yungharry2204 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@edmundrobert2740saa za gold au silver ni pambo za kawaida hapana

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 ปีที่แล้ว +3

    Amen
    Barikiwa sana kwa ujumbe nzuri mtumishi wa Mungu zidi kuinuliwa Bwana akufunike na damu yake takatifu

  • @JonasSabun-vj7vz
    @JonasSabun-vj7vz 10 หลายเดือนก่อน +2

    Amina sana Mtumishi ubarikiwe sana!!!

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana dada haya ndio mambo yafaa tuzingadia sana...nakufatilia nikiwa uwarabuni

  • @SeverinKisey
    @SeverinKisey 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe dada yangu na mtumishi wa BwanaYesu ujumbe umefika wanyenyekevu tupone

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mm sitaki kuwa mtumwa wa mafunuo ya watu ,Daudi alivaa ,pete yenye muhuri wa kifalme , mfalme sulemani pia ,Pete inakuwa na shida kama ina alama za mingu ,au zina matambiko au dua flani ,au zenye mashariti kuwa siku flani weka marashi hapo inakuwa pete ya ibada na chukizo ,tukumbuke mwenye haki ataishi kwa IMANI ktk Kristo Yesu .

  • @christinaonyango6085
    @christinaonyango6085 ปีที่แล้ว +6

    Mungu mwema Sana kweli nimefurahi Sana, nilikuwa namuomba Mungu sana juu ya kitu hiki Mungu akusemeshe na wewe ,maana ni siku nyingi namwambia Mungu Mimi ymenionyesha toka mwaka Jana, naomba muonyeshe na Mtumishi uliyenikutanisha naye ambaye ni wewe Mtumishi Petrida,Leo amejibu Asante sana Mungu

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 ปีที่แล้ว +4

    Ukweli kabisa kutoka kwa YESU KRISTO…Barikiwa sana kwa kunyenyekea na kueleza Asemavyo ROHO MTAKATI kwa Taifa Lake.Shalom.

    • @magrethlameck6312
      @magrethlameck6312 ปีที่แล้ว +1

      Ume niponya mpendwa mume wangu anataka kuniacha kwasababu sitaki kufunga ndoa kanisa la roma

    • @owenomwanawayesu6961
      @owenomwanawayesu6961 ปีที่แล้ว

      @@magrethlameck6312 Heri tumtii YESU KRISTO kuliko yeyote,hatma yetu I mikononi MWAKE Sio binadamu.

    • @LydiaKawira-e4j
      @LydiaKawira-e4j ปีที่แล้ว

      Jews women wanavaa mavazi kama ya waislam,..na pia uwa. Awatoi kitàmbaa..Kwa vichwa vya.

    • @shabanihassanikabelela2839
      @shabanihassanikabelela2839 ปีที่แล้ว

      @@magrethlameck6312 mpe muda
      Wakati huo piga goti omba kibali mm nlikua na pingwa na wazazi kwajili ya katoliki kufunga ndoa lkn sasa sjafunga ndoa bado lkn wameshanielewa

    • @philemonhakiza1648
      @philemonhakiza1648 ปีที่แล้ว

      Ila kavunja ndoa na mungu hajipingi 1 wakorinto 7:15

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 ปีที่แล้ว +2

    Mi naomba picha za mavazi ambayo Mungu anahitaji tuvae

  • @gregoryshauri
    @gregoryshauri ปีที่แล้ว +1

    Hongera mtumishi wa Mungu unatupa mwanga mkubwa, Mungu azidi kukuinua ili tupate mengi juu ya ufalme wa Mungu

  • @MaryclaraBasilus
    @MaryclaraBasilus ปีที่แล้ว +3

    Amina sanaaa Halelujah Mungu Akulinde na Kufunulia zaidi na zaidi Amina, ufunuo 22:21.

  • @hdgHdhd-eu7vf
    @hdgHdhd-eu7vf 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ameni ubarikiwe sana mutumishi wa mungu,kwa ujumbe huu ..mungu nipe mwisho mwema🙏🙏🙏

    • @hdgHdhd-eu7vf
      @hdgHdhd-eu7vf 9 หลายเดือนก่อน

      Bwana yesu asifiwe mutumishi wa mungu,mm nilikuwa ninaombi kuhusu mambo na kusherekea siku ya christmas nje ni dhambi kusherekea hii siku,alafu pia lengine kutoa fungu la kumi ni dhambi pia... coz niliona mahubiri mengine yana sema ni dhambi kutoa fungu la kumi hebu nisaindie mutumishi wa mungu,na alafu poa kupaka piko kichwani ni dhambi pia juu hata hili nilipata mahubiri mengine kuwa ni Dhambi naomba pia ni jue ili hizi dhambi ndongo ndongo nipate kuziepuka 🙏🙏🙏

  • @mwanuzkamu-yo9ol
    @mwanuzkamu-yo9ol 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe nabii, umenifungua.

  • @levismike16
    @levismike16 ปีที่แล้ว +2

    Bwana asifiwe.Dada yetu tunafurahia kua Mungu amekupa onyo mapema.Sisi kama wafuasi wa channel hii ya promover tulikuonya mwanzoni lakini hukutuelewa.Bwana asifiwe sana.

  • @sulemaan8798
    @sulemaan8798 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante. Sana. Kwa. Ujumbe mzuri

  • @catherinemuoka1322
    @catherinemuoka1322 11 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @madumamaduma8571
    @madumamaduma8571 ปีที่แล้ว +8

    Samahani sana ndugu.
    Nimefuatilia maombi Yake ya mwanzoni au yaufunguzi, kabla ya ujumbe. Nime note something unusual.
    Jamani tusome Biblia ndo mwongozo wetu.
    Haya Mambo yakusema: nimetokewa na Yesu, au Bwana ameniambia, au Roho Mtakatifu amesema nami. watu wa jinsi hii SI wakuzingatiwa Sana.
    Tusome Injili ya Yesu, mdo, nyaraka, ufunuo. Halafu agano la kale. Lakini kwanza tuzame Sana kwenye AGANO JIPYA.

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂nani kakudanganya agano jipya pekee ndilo twazingatia ?Yesu kasema pale Kwa mathayo yeye hajakuja kuondoa angano la kale Bali kutimiza Yale waliosema huko Kwa angano la kale..usijidanganye eti agano jipya pekee
      MATHAYO 5:17
      Msidhani nimekuja kutagua sheria na mafundisho ya manabii,sikukuja kutangua Bali kukamilisha,kweli nawaambieni mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita,hakuna hata nukta Moja au sehemu ndogo kabisa ya sheria itakayoondolewa mpaka yote yametimia basi yeyote atakayevunja hata amri ndogo kuliko zote malizia ...

    • @madumamaduma8571
      @madumamaduma8571 ปีที่แล้ว

      @@carendeborah5687 soma VIZURI ujumbe wangu. Sikusema agano jipya PEKEE.
      Usiubadili ujumbe wangu.
      Ndiyo maana hamuielewi Biblia.
      🖐️. Agano la kale soma, lkn Agano jipya ndo KEY POINT ya mkristo. Vinginevyo utaenda off point. Nimewahi kujiunga group fulani kwa watsap, waliokuwa na mitizamo Kama yenu. Nikagundua wanafanya mengine kinyume cha agano jipya. Lkn baadae walinielewa lkn baada ya zaidi ya mwaka mzima. Hata ninyi mnahitaji muelimishwe taratibu kwa kipindi Cha muda mrefu.

    • @DIGNAJASTIN-dl8yj
      @DIGNAJASTIN-dl8yj ปีที่แล้ว

      Kwa kweli

    • @Angependo9141
      @Angependo9141 ปีที่แล้ว +1

      Nawewe unachekesha kwani uliona Rebeka kavaisha pete Iska??uliona Iska kavaisha pete Rebeka??uliwahi kusoma kwa Bibilia Adam kampea pete Eva??jamani Pete navingine vipambo jakobo kavichimbia shimo kavizika

    • @BeatriceVahaye-e1i
      @BeatriceVahaye-e1i 8 หลายเดือนก่อน

      Kweli biblia ndo mwamuzi wa mwisho

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU,
    MUNGU akutie nguvu katika maish yako yote katika kusem neno lake.

  • @daddysalha5883
    @daddysalha5883 ปีที่แล้ว +2

    Asante Yesu Kristo mimezivuwaga mapema sana

  • @DeusdeditMichael
    @DeusdeditMichael ปีที่แล้ว +10

    NENO LA MUNGU, HALIRUHUSU "KUACHANA' ILA KWA UASHERATI.
    MATHAYO 19:9
    Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
    HIVYO BASI,
    KAMA UASHERATI HAIKUWA SABABU YA WEWE KUACHANA NA MUME WAKO; BASI UPO DHAMBINI.

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn ปีที่แล้ว

      Uasherati hasa ni kuabudu miungu mingine Isipokuwa kwa habari ya uasherati. "( 1 wak.11b- 16)Tafsiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni"

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael ปีที่แล้ว +1

      @@JaneChissawilo-dr7nn
      Ninajua uasherati ni kumuacha BWANA na kwenda kwenye miungu (mfano; Walawi 17:7) lakini kwa habari ya mtumishi huyu hicho kipengele hakifanyi kazi kwasababu;-
      wote yeye na mumewe walikuwa kwenye uasherati huo wa sanamu pamoja; sasa mmoja wapo anapookoka na mwingine akakataa kuokoka bado ndoa haivunjiki; maana ni mwili mmoja; ila inavunjika kama ameungwa mwili na mwili mwingine kwa uasherati. (Hili la huyu mtumishi ni suala la mwili na wa kufanana naye na siyo roho pekee.
      HIVYO ALIPASWA KUMUOMBA MUNGU AMBADILISHE MUMEWE AOKOKE NA SIYO KUMUACHA; MAANA MUNGU HASHINDWI NENO

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 ปีที่แล้ว

      What about 1st Corinthians 7:10_11
      It's says a wife must not separate from her husband ,if she does she must remain unmarried (meaning no other man in her life coz atakuwa anaeneza Adultery)it's better wasameheane na warudiane.She can only get married if the wife is dead or the husband is dead..

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael ปีที่แล้ว

      @@carendeborah5687 HUO NDIYO UKWELI KWAMBA HARUHUSIWI TENA KUWA NA MWANAUME.

    • @horemow9832
      @horemow9832 ปีที่แล้ว

      Hmmm our God is not the author of confusion, hapa lazima kieleweke ukisha Fanya ndoa nakuna kutoka haijalishi ni madhabahu gani yalikuunganisha, hata kama uliolewa na muislam kisha ukaoka bado ni mume wako na kama mtaachana usiolewe kabisa mpaka yule mime au mke atakapo farika kwa hivyo , remember God honor his word more than his name unavyo sema kabisa havyiambatani n na neno LA Mungu Mungu

  • @apostlecharlescharles
    @apostlecharlescharles ปีที่แล้ว +2

    Amen ubarikiwe

  • @felistasabuni4285
    @felistasabuni4285 ปีที่แล้ว +1

    Amina, tukiwaambia watu juu ya hilo wanatuona vichaa

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 ปีที่แล้ว +2

    Amen Amen imekuwa ktk jina la Yesu.

    • @rithersospeterkati3355
      @rithersospeterkati3355 ปีที่แล้ว

      Nimejifunza mengi nakubadilisha mavazi, na maeleni, nikija Tz natanunua magauni mengi tu.

  • @SusanAshle-zj8do
    @SusanAshle-zj8do ปีที่แล้ว +2

    Amen Amen God bless you

  • @zawadiomari7409
    @zawadiomari7409 ปีที่แล้ว +1

    God bless you. Nimbarikiwa sana

  • @janepeter4566
    @janepeter4566 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wa Mbinguni akubariki sasa kwa huu ujumbe

  • @solangemukuna4997
    @solangemukuna4997 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki saaana kwa ujumbe huyu mjakazi wa Mungu.
    Nilikuwa natamani unijulishe iyo website yamanguo umepewa nawale wa dada wa ki Islam, basi Mungu aendeleye kukulinda na familia yako yote, na Mungu pia aendeleye kuku tumia kwaajili ya kazi yake.

    • @devetgoodness285
      @devetgoodness285 ปีที่แล้ว

      Biblia inasema mtu akiwa na mke au mume asieamini na yule mume au mke akikubali kukaa nae asimwache ila ikiwa yule asieamini anataka kuondoka amwache aondoke na huyu aliebaki hafunguki
      Sasa kwanini msingeibariki iyo ndoa kanisani

    • @ElinatEliamin-fq9dq
      @ElinatEliamin-fq9dq 5 หลายเดือนก่อน

      Nina swali ikiwa mume wangu anasali mahali ambapo haku

  • @joachim5650
    @joachim5650 ปีที่แล้ว +3

    Pete sawaa bana... Sijui ila nyinginee huwa zina uvuvio wa mapepo

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs ปีที่แล้ว +3

    Huyu ni mwanamke wa kuheshimika sana kwetu sisi wanaume. Huyu ana utume kutoma kwa Bwana wetu YESU KRISTO. Hii ni Injili ya kweli kabisa. Anafuata BIBLIA kama inavyosema. Ni wanawake wachache kabisa sio tu Tanzania au Kenya bali ulimwenguni. Abarikiwe sana na sisi tumuombee. Wakweli kama huyu dada ni wachache sana. Na abarikiwe sana asije akaanguka.

  • @mariamyinga2141
    @mariamyinga2141 ปีที่แล้ว +1

    Amina MUNGU azidi kukutumia zaidi

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much may our lord bless you 🙏🙏

  • @makaumathew9392
    @makaumathew9392 ปีที่แล้ว +2

    Ni uKweli mtumishi wa mungu barikiwa sana 🙏

  • @emmanuelsamson7992
    @emmanuelsamson7992 ปีที่แล้ว +1

    Jamanii wakristo tusiishii kwa shuhudaa, Balii tuishii kwa neno,tusome biblia sana mana na tushike neno sana mana Mungu hajipingi ,mengine ni ya wanadamu (mazabao zao)

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana mtumishi wa Mungu, kwa mafundisho mazuri sana, ilaah naomba kujua,hili kuhusu kupanda mathabahuni, iwapo unaeza kuitwa kua utasoma andiko,je pia hilo halifai? ushauri wako utanisaidia 🇰🇪.

  • @LydiaKawira-e4j
    @LydiaKawira-e4j ปีที่แล้ว +3

    Ata kama mungu ajanena NAMI kuhusu Pete ya ndoa,..I believe this is true,...

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 ปีที่แล้ว

      Haswaa

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f 4 หลายเดือนก่อน

      Sio kwasababu, Pete inatoka Misri kwa Farao, kwahiyo hiyo ni miungu ya farao. Usijaribu kuivaa kwasababu ni miungu utakuwanayo ndani ya mwili wako. Mwanzo 41:42. Afu Matendo 17:30.

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 ปีที่แล้ว +5

    MUNGU humfunulia Kila mtu kwa wakati wake ubarikiwe mtumishi

  • @PatrickMkwabi
    @PatrickMkwabi 3 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi huduma yako iko wapi?iko mkoa Gani?naomba no yako Nabii wa Bwana!Barikiwa sana.

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani ปีที่แล้ว +1

    Watu wa Mungu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa ya NENO si maombi bali ufunuo wa Neno la ufalme wa mbinguni.

  • @carolinemasaka1400
    @carolinemasaka1400 ปีที่แล้ว +2

    Amen Mtumishi wa Mungu

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว +1

    Aminaa ubarikiwe

  • @michaeljacobo269
    @michaeljacobo269 ปีที่แล้ว +3

    Ni kweli mtumishi kwa hilo ulilo funuliwa ndivyo lilivyo..!!

  • @nelsonkazaura5713
    @nelsonkazaura5713 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mafundisho kama haya ylijificha wapi jamani? Mbona Mwanadamu amepotea kwa kuyakosa haya? Naomba Mungu azidi kukutumia sawa na kusudi lake.

  • @Angependo9141
    @Angependo9141 ปีที่แล้ว +1

    Ndiomana nasema tuacheni kuhukumia binadam muhukumu ni Mungu

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi Petrida Mungu Akubariki sana na Akusimamie. Umeelezwa mambo mengi niliyoelezwa. Watu hawakukubali Mungu kaniambia. Mungu Anaendelea kuthibitisha Neno Lake. Kuhusu Pete, nilivamiwa na mapepo yakakataa kutoka kwa kuwa Pete ya ndoa na engagement yalisema ni vitu vyao. Kuhusu mwanamke kutokuwa Mch. Mapambo, mavazi, nywele nk. Mungu Akuatamie. Nimefurahia unyenyekevu uliopewa kurudi mbele za Bwana kuuliza.

  • @evelynekomba7216
    @evelynekomba7216 ปีที่แล้ว +2

    Asante Mungu, vyote ninaviona kama mavi, kama paulo alivyosema.ya nn nipate dunia yote niikose mbingu!??

  • @nestorygilbert6170
    @nestorygilbert6170 ปีที่แล้ว +1

    Amen TUNASUBIRI AKUONYE KUHUSU USHUHUDA ULIO UTOA KUHUSU TOBA YA KITAIFA ULIVYO SEMA ULIOMBEA TUKASAMEHEWA TUNASUBIRI AKUONYE UKANUSHE na useme KUWA WATU WASIPO FANYA TOBA NA KILIO KULINGANA WATAANGAMIA

  • @catherinemuoka1322
    @catherinemuoka1322 11 หลายเดือนก่อน +2

    Amen

  • @ErnestinaNkana
    @ErnestinaNkana 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu yupo nasi🎉

  • @JohnFisha
    @JohnFisha ปีที่แล้ว +2

    Be blessed so much.Amen.

    • @manassekyalondawa2477
      @manassekyalondawa2477 ปีที่แล้ว

      swali, hili andiko la Marko 10:11-12 na warumi 7:2-3, linahusu watu gani?
      sisi tunamsimo kwa neno la MUNGU, yaani biblia.

    • @manassekyalondawa2477
      @manassekyalondawa2477 ปีที่แล้ว

      swali, hili andiko la Marko 10:11-12 na warumi 7:2-3, linahusu watu gani?
      sisi tunamsimo kwa neno la MUNGU, yaani biblia.

  • @benithafredrick2465
    @benithafredrick2465 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amina Asante

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei9007 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana Petrida Mungu asidi kukufunulia mengi, utufundishe, utukufu kwa mungu

    • @daudikasabuku3235
      @daudikasabuku3235 ปีที่แล้ว +1

      Pete ni pambo, haina connection na utakatifu. Dada nakubaliana na wewe. Sina mafunuo ila maandiko yako wazi kwamba kuoana ni kwa tamaa za miili yetu wenyewe. Ingekuwa Pete inamsaada kusingekuwa na michepuko

  • @OlipaBless
    @OlipaBless ปีที่แล้ว

    Sawa sawa, je Kama minagauni lenye shanga nitoe shanga au niache kuvaa?

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 ปีที่แล้ว +5

    Kaka yangu Jactan msafiri na uongozi wa Promover tv tunaomba mtuletee ushuhuda wa mchungaji Yohana Ramadhani wa Uvinza, Utafungua wengi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

      Mmmh yule kama bado ana nguvu za giza tu

  • @Angependo9141
    @Angependo9141 ปีที่แล้ว +1

    Hata Bibilia inasema mwanamke asiseme ndani ya Kanisa lakini mimi naelea skuhizi ni business wanatafuta maisha

  • @tulibumimsomba-ri5kb
    @tulibumimsomba-ri5kb 7 หลายเดือนก่อน +1

    ubarikiwe sana

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs ปีที่แล้ว +5

    Mavazi yako ni nadhifu na ya kuheshimika kabisa. I wish all women could wear just like you.

  • @gbi380
    @gbi380 ปีที่แล้ว +2

    Mafunuo n mazuri lakini Neno n muhimu sana kabla ya mafunuo

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna points nyingi tu nimepata hapo

  • @asnamchema7810
    @asnamchema7810 ปีที่แล้ว +1

    Naomba unitumie hiyo website unayonunua hayo mavazi yanayompendeza Mungu, ubarikiwe sana

    • @victorianchimbi8640
      @victorianchimbi8640 7 หลายเดือนก่อน

      Nisaidieni mimi kuna wakati, naenda kwenye mazizi ya ng'ombe kutokana na kazi yangu na lazima nivae gumboots nafanyaje hapo

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba ปีที่แล้ว +3

    Nitarudi tena magotini nimwulize Kuhusu kufunika kichwa maana mimi Mungu alipoanza kunifunulia alinionesha tu nimefunga kitamba kawaida kama wabibi wanavuopenda kufunga tena maratatu je najiuliza huyu Mungu ni wa namna gani anatoa mafunuo tofauti tofauti
    Mungu nisaidie mimi sitaki kuikosa Mbingu

    • @tabithajeremiah4589
      @tabithajeremiah4589 ปีที่แล้ว +1

      Kutumika kichwa kuko Kwa aina nyingi mtumishi hata kufunga kitambaa ni kutumika kichwa sio lazina ufanye kama alivyo yeye Mimi ndonilivyoelewa

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 ปีที่แล้ว

      Nywele ndefu hufunika kichwa Bora ushikilie still it covers the head

  • @blessinggal9310
    @blessinggal9310 ปีที่แล้ว +1

    Nimeelewa madhara ya pete isiyoombewa na mtumishi mwenye nguvu za Mungu

  • @blessinggal9310
    @blessinggal9310 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe watumishi wakiwa wa kweli pete inakubalika wawoooh ....

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 ปีที่แล้ว +1

    Bora kujikalia kimya kuliko kutunga hadithi za kumshirikisha Mungu na uyuda Eskarioti

  • @LinnahHery
    @LinnahHery ปีที่แล้ว +1

    Naamini ktk Jina la Yesu

  • @diananaswa4842
    @diananaswa4842 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabsa pete n mapambo .....hata klecheti cha ndoa n makaratasi..... MUNGU hakupeana pete na vyeti vya ndoa

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama7505 ปีที่แล้ว +1

    Nimekukubali mama.

  • @godfreymollec8206
    @godfreymollec8206 ปีที่แล้ว +1

    Ni sawa swali hili sasa tutafanyaje ili kuthibisha ndoa? Maana wachungaji husemaga hii ni ishara ndoa itawekwaje sawa siku ya kufunga? Ubarikiwe mtumishi

    • @jairusannalo
      @jairusannalo ปีที่แล้ว

      Ishara ya ndoa kusimama yaregemea msingi wake, kama msingi wa ndoa yako ni katika Bwana Yesu basi kilicho Baki ni kufuata yote ambayo neno lafunza kuhusu ndoa .....ishara ya uimara wa ndoa ni uaminifu kwa mwenzi wako, na utiifu kwa Bwana

  • @leahrotich8955
    @leahrotich8955 11 หลายเดือนก่อน

    13:51 Bibilia inasema siku za mwisho kutatokea manabii wauwongo.

  • @Akinyisafi
    @Akinyisafi ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen ahsante dada kwa hili ubarikiwe

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 ปีที่แล้ว

    Je inakuwaje pale kanisani tunapokuwa kwenye maombi baada ya sifa watu hukaa kimya kwa mda kusikiliza kama Roho Mtakatifu atanena na Kanisa. Je ni sawa au siyo sawa mbelevza Mungu?

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 หลายเดือนก่อน

    Alikuambiaje kuhusunhiyo pete mwenzetu?.

  • @tabithajeremiah4589
    @tabithajeremiah4589 ปีที่แล้ว +3

    Asante mtumishi Kwa ujumbe,Mimi nimfuatiliaji wa shuhuda zako,ninakumbuka wakati ukishuhudia juu ya vita vilivyoinuka baada ya kuokoka ni pamoja na mmeo,ndugu zake,marafiki zake kukutaka urudi Roman Catholic inamaani Sha mlikuwa mnasali wote huko na tayari ulishatengana na mmeo wa kwanza,unaposema Mungu aliitenga ndoa Yako ya awali Kwa sababu hakuitambua je,huyu mmeo uliyenaye sasa mulioana baada ya kuokoka?

    • @tabithaibrahim8493
      @tabithaibrahim8493 ปีที่แล้ว

      sikiliza tena ujumbe wake unaeleweka.

    • @AnethSam
      @AnethSam 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@tabithaibrahim8493haja sema chochote hapo maana nimemsikiliza vizuri

  • @sulemaan8798
    @sulemaan8798 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa. Mm. MTUMISHI wangu. ni. Mwanamke je. Unapo. toa sadaka na. Fungu. la. Kumi ni. Sawa

  • @gilbetybatulwa7258
    @gilbetybatulwa7258 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atenganishi alichokiunganisha je mungu asingezuia usiolewa na huyo mme wa mwanzo huo ni uzizi kuolewa mara ya pili heri ukae mwenyewe

    • @mwaminimwangaza
      @mwaminimwangaza ปีที่แล้ว +1

      Sio kila ndowa imeunganishwa na Mungu, shetani pia anakutanisha watu

    • @Adonai534
      @Adonai534 ปีที่แล้ว +1

      Watu wamechanganyikiwa ndowa siyo ile ya Kanisani tu.kwa nini Asifunge ndowa Mala ya pili na ule ule wa kwanza?
      Ndowa ya pili ni Uzinzi.

    • @geofreypaul163
      @geofreypaul163 ปีที่แล้ว

      Una uhakika gani kuwa ndoa ya kwanza ni Mungu alimuunganisha na huyo mwanaume??

    • @ASTONVILLA_254
      @ASTONVILLA_254 ปีที่แล้ว

      @@geofreypaul163 bibilia yasema vipi kuhusu ndoa?

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 ปีที่แล้ว +2

    Amena dada

  • @bonnyxaverino112
    @bonnyxaverino112 5 หลายเดือนก่อน

    Je kanisa na mume vinaendana je?
    Watu wanashindwa kuwawahimu wa umezao mwisho wasiku wanaanza visingizio hoo huyu sijapewa na bwana
    Aukuna ndowa mbili kama mmoja kati yenu aja kufa au kumfumania

  • @emilylyimo2803
    @emilylyimo2803 ปีที่แล้ว +2

    Asante ni kweli kabisa haya mapete ni mashetani kabisa

    • @andersonchongoma1723
      @andersonchongoma1723 4 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli inategemea hiyo pete umeipata au unavaa kwa mashariti au taratibu gani

  • @ShukuruHangi-re3gs
    @ShukuruHangi-re3gs ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @MagdalenaJosephat-qt3td
    @MagdalenaJosephat-qt3td 11 หลายเดือนก่อน

    Jamani dada petrida uko wapo,mbona kimya,tumemiss mafundisho yako

  • @loisruhembe1687
    @loisruhembe1687 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi nimekuelewa sasa naomba niulize swali je mimi ni mwanamke lakini ndani ya kanisa kuna wachungaji
    wanaomsaidia mchungaji mkuu zaidi sana kuombea wagonjwa miongpni mwao wamo wanawake nahuduma nyingine kama kufundisha wakristo wachanga je hii nayo inakuwaje?

  • @elizabethmjema1730
    @elizabethmjema1730 ปีที่แล้ว +1

    Yesu atusaidie

  • @RosemaryManyaza-oc7te
    @RosemaryManyaza-oc7te ปีที่แล้ว +1

    Ee mungu wewe ndo unaye jua zaburi 24:1

  • @focuslucas4443
    @focuslucas4443 ปีที่แล้ว

    Je kama mchungaji unampa ruhusa mwanamke kufundisha au kuhubiri kanisani napo ni kosa?

  • @reginaruta3249
    @reginaruta3249 ปีที่แล้ว +1

    Je mwanamke anaruhusiwa kuwa shemasi?

  • @حسن-ح7م1ق
    @حسن-ح7م1ق ปีที่แล้ว

    Amesema Mungu sio mungu wa waroma ko Waroma wanamwamudu nani

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nikweri kabisa Pete ni nuksi kabisa .Wazazi wetu walikuwa hawana Pete na waliishi miaka mingi mpaka wanazikana wakiwa pamoja.

  • @rhodamahembe3206
    @rhodamahembe3206 ปีที่แล้ว +6

    Sidhani kama Kuna ukweli kwenye ndoa ..kwahiyo kila wanaofunga ndoa kwenye Manisa ambayo siyo yakipentecoste wakiwa bado hawajaokoka hizo ndoa zivunjike ? Baada ya mmojawapo kuokoka basi ndoa ivunjike hapa hakuna ukweli watu wa Mungu tuwe macho tusome Neno tusisubiri kuletewa mafunuo yauongo ..Mungu anachukia kuachana ndo hicho tunatakiwa kujua..

    • @CastoryKapinga-nb7ht
      @CastoryKapinga-nb7ht ปีที่แล้ว +1

      Hahhaaa HAPO KIPENGELE CHA NDOA HICHONAONA KAMA KUNA CHANGAMOTO NATIWA MASHAKA NA UTETEZI WA HOJA YAKE YA NDOA (na tena paulo anasema kama mmoja ameokoka mwingine mpagani ndoa IPO pale pale

    • @CastoryKapinga-nb7ht
      @CastoryKapinga-nb7ht ปีที่แล้ว

      Hahhaaa HAPO KIPENGELE CHA NDOA HICHONAONA KAMA KUNA CHANGAMOTO NATIWA MASHAKA NA UTETEZI WA HOJA YAKE YA NDOA (na tena paulo anasema kama mmoja ameokoka mwingine mpagani ndoa IPO pale pale

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn ปีที่แล้ว

      Rudi magatini (simple things)mbona ameweka wazi wewe si una Mungu omba usinbishane mtandaoni.

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende9740 ปีที่แล้ว

    Asante YESU .

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda3484 ปีที่แล้ว +2

    AMEN

  • @neemayusuph476
    @neemayusuph476 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama7505 ปีที่แล้ว

    Tutajuaje madhabahu aliyopo yeye Mungu kwani madhabahu mengi naona ni ya shetani tunayaonabpia matendo yao

  • @salamadzinyau5162
    @salamadzinyau5162 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aturehemu