Part10_MUNGU AMENIONYA KUHUSU PETE YA NDOA,SIIVAI TENA|KUOLEWA MARA YA PILI|MWANAMKE KUWA MCHUNGAJI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Wasiliana na Petrida Karch kwa What'sApp no. +491758114293
Wasiliana nasi promover tv kwa What'sApp no. +255784074462
Kujiunga na group la Petrida Karch, Bonyeza link hii chat.whatsapp....
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Kwanza unatakiwa uangalie mahali pete imetoka. Pete imetoka Misri kwa Farao. Mwanzo 41:42. Afu pale kwenye kitabu cha kutoka 32:2......utaona pale Haruni aliwaambia wana wa Israel zivunjeni pete zilizo masikioni mwenu afu mniletee, wakazivunja wakampa Haruni, baadae hizo pete utaona Haruni alipoziyeyusha kwenye moto ikatoka sanamu ya ndama. Mpaka hapa utaona Pete zimekuwa sanamu. Kwahiyo pete ni sanamu tu kama sanamu zingine. Usivae hata kama ni ya ndoa ilimradi inaitwa pete. Amen.
Asante kwaneno la uzima ubarikiwe mtumishi wa MUNGU pete siyo mpango wake YESU KRISTO
Wengi humu ndani ni wasikilizaji tu hakuna aliyethubutu kumtafuta Mungu kwa lengo la kusikia sauti ya Mungu. Ila kwa kupinga hatujambo. Mungu ni wetu sote kama unamashaka na lolote tuingie magotini wapendwa.
Haswaa
Mungu hawai kujipinga
1 wakorinto 7:15 wala anae amini ambae kaolewa na anae amini asiachane nae.Huyu atakua ameenda mbingu ya pili
Sasa kama wewe una mashaka naye si umuulize Mungu akuambie kuhusu huyu mtumishi
Kabisa
Sauti ya kwanza ya Mungu ipo kwenye biblia ,soma ujue Mungu anasemaje !
Asante Dada MUNGU akubariki Sana mimi nilionywa kabisa nisivae kabisa Pete iwe ya ndoa au urembo
Asante kwa ushuhuda mzuri mamaaa,
Na ukishavua Pete ya ndoa inatakiwa kuvunja na vile viapo vinavyotamkwa wakati wa kuvaa Pete, Kuna mtu alivua tu bila kuvunja maagano ya hii Pete kwenye ulimwengu wa roho akakuta bado amevaa
Asante Bwana Yesu kwa kumthibitishia huyu dada maana tulikuwa hatumuelewi akitoa shuhuda zako wewe Mungu
Amen Amen, utukufu Kwa BWANA YESU KRISTO, jina la BWANA libarikiwe , asante kwa uthibitisho. Na pia umependeza saana mtumishi, na wengine waone kielelezo kwako zaidi.
Nashukuru mtumishi nimengi nilikua sijui naomba mungu anisamehe nmemkosea pasipo kufahamu
Tunashukuru kwa ushuhuda ila nivizuri kila ushuhuda unaambatana na verse au biblical references
Zidi kubarikiwa sana Shujaa wa Bwana wetu YESU KRISTO, Hakika Bwana anakupenda Sana.
Samahani niulize je nakuvaa saanayo pia nimapambo?
@@edmundrobert2740saa za gold au silver ni pambo za kawaida hapana
Amen
Barikiwa sana kwa ujumbe nzuri mtumishi wa Mungu zidi kuinuliwa Bwana akufunike na damu yake takatifu
Salaams. Unafahamuje kuwa umefunuliwa na Mungu. Mbona hautembei bila nguo??
Amina sana Mtumishi ubarikiwe sana!!!
Asante sana dada haya ndio mambo yafaa tuzingadia sana...nakufatilia nikiwa uwarabuni
Ubarikiwe dada yangu na mtumishi wa BwanaYesu ujumbe umefika wanyenyekevu tupone
Mm sitaki kuwa mtumwa wa mafunuo ya watu ,Daudi alivaa ,pete yenye muhuri wa kifalme , mfalme sulemani pia ,Pete inakuwa na shida kama ina alama za mingu ,au zina matambiko au dua flani ,au zenye mashariti kuwa siku flani weka marashi hapo inakuwa pete ya ibada na chukizo ,tukumbuke mwenye haki ataishi kwa IMANI ktk Kristo Yesu .
Mungu mwema Sana kweli nimefurahi Sana, nilikuwa namuomba Mungu sana juu ya kitu hiki Mungu akusemeshe na wewe ,maana ni siku nyingi namwambia Mungu Mimi ymenionyesha toka mwaka Jana, naomba muonyeshe na Mtumishi uliyenikutanisha naye ambaye ni wewe Mtumishi Petrida,Leo amejibu Asante sana Mungu
Ukweli kabisa kutoka kwa YESU KRISTO…Barikiwa sana kwa kunyenyekea na kueleza Asemavyo ROHO MTAKATI kwa Taifa Lake.Shalom.
Ume niponya mpendwa mume wangu anataka kuniacha kwasababu sitaki kufunga ndoa kanisa la roma
@@magrethlameck6312 Heri tumtii YESU KRISTO kuliko yeyote,hatma yetu I mikononi MWAKE Sio binadamu.
Jews women wanavaa mavazi kama ya waislam,..na pia uwa. Awatoi kitàmbaa..Kwa vichwa vya.
@@magrethlameck6312 mpe muda
Wakati huo piga goti omba kibali mm nlikua na pingwa na wazazi kwajili ya katoliki kufunga ndoa lkn sasa sjafunga ndoa bado lkn wameshanielewa
Ila kavunja ndoa na mungu hajipingi 1 wakorinto 7:15
Mi naomba picha za mavazi ambayo Mungu anahitaji tuvae
Hongera mtumishi wa Mungu unatupa mwanga mkubwa, Mungu azidi kukuinua ili tupate mengi juu ya ufalme wa Mungu
Amina sanaaa Halelujah Mungu Akulinde na Kufunulia zaidi na zaidi Amina, ufunuo 22:21.
Ameni ubarikiwe sana mutumishi wa mungu,kwa ujumbe huu ..mungu nipe mwisho mwema🙏🙏🙏
Bwana yesu asifiwe mutumishi wa mungu,mm nilikuwa ninaombi kuhusu mambo na kusherekea siku ya christmas nje ni dhambi kusherekea hii siku,alafu pia lengine kutoa fungu la kumi ni dhambi pia... coz niliona mahubiri mengine yana sema ni dhambi kutoa fungu la kumi hebu nisaindie mutumishi wa mungu,na alafu poa kupaka piko kichwani ni dhambi pia juu hata hili nilipata mahubiri mengine kuwa ni Dhambi naomba pia ni jue ili hizi dhambi ndongo ndongo nipate kuziepuka 🙏🙏🙏
Ubarikiwe nabii, umenifungua.
Bwana asifiwe.Dada yetu tunafurahia kua Mungu amekupa onyo mapema.Sisi kama wafuasi wa channel hii ya promover tulikuonya mwanzoni lakini hukutuelewa.Bwana asifiwe sana.
Ahsante. Sana. Kwa. Ujumbe mzuri
Barikiwa mtumishi wa mungu
Samahani sana ndugu.
Nimefuatilia maombi Yake ya mwanzoni au yaufunguzi, kabla ya ujumbe. Nime note something unusual.
Jamani tusome Biblia ndo mwongozo wetu.
Haya Mambo yakusema: nimetokewa na Yesu, au Bwana ameniambia, au Roho Mtakatifu amesema nami. watu wa jinsi hii SI wakuzingatiwa Sana.
Tusome Injili ya Yesu, mdo, nyaraka, ufunuo. Halafu agano la kale. Lakini kwanza tuzame Sana kwenye AGANO JIPYA.
😂😂😂😂nani kakudanganya agano jipya pekee ndilo twazingatia ?Yesu kasema pale Kwa mathayo yeye hajakuja kuondoa angano la kale Bali kutimiza Yale waliosema huko Kwa angano la kale..usijidanganye eti agano jipya pekee
MATHAYO 5:17
Msidhani nimekuja kutagua sheria na mafundisho ya manabii,sikukuja kutangua Bali kukamilisha,kweli nawaambieni mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita,hakuna hata nukta Moja au sehemu ndogo kabisa ya sheria itakayoondolewa mpaka yote yametimia basi yeyote atakayevunja hata amri ndogo kuliko zote malizia ...
@@carendeborah5687 soma VIZURI ujumbe wangu. Sikusema agano jipya PEKEE.
Usiubadili ujumbe wangu.
Ndiyo maana hamuielewi Biblia.
🖐️. Agano la kale soma, lkn Agano jipya ndo KEY POINT ya mkristo. Vinginevyo utaenda off point. Nimewahi kujiunga group fulani kwa watsap, waliokuwa na mitizamo Kama yenu. Nikagundua wanafanya mengine kinyume cha agano jipya. Lkn baadae walinielewa lkn baada ya zaidi ya mwaka mzima. Hata ninyi mnahitaji muelimishwe taratibu kwa kipindi Cha muda mrefu.
Kwa kweli
Nawewe unachekesha kwani uliona Rebeka kavaisha pete Iska??uliona Iska kavaisha pete Rebeka??uliwahi kusoma kwa Bibilia Adam kampea pete Eva??jamani Pete navingine vipambo jakobo kavichimbia shimo kavizika
Kweli biblia ndo mwamuzi wa mwisho
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU,
MUNGU akutie nguvu katika maish yako yote katika kusem neno lake.
Asante Yesu Kristo mimezivuwaga mapema sana
NENO LA MUNGU, HALIRUHUSU "KUACHANA' ILA KWA UASHERATI.
MATHAYO 19:9
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
HIVYO BASI,
KAMA UASHERATI HAIKUWA SABABU YA WEWE KUACHANA NA MUME WAKO; BASI UPO DHAMBINI.
Uasherati hasa ni kuabudu miungu mingine Isipokuwa kwa habari ya uasherati. "( 1 wak.11b- 16)Tafsiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni"
@@JaneChissawilo-dr7nn
Ninajua uasherati ni kumuacha BWANA na kwenda kwenye miungu (mfano; Walawi 17:7) lakini kwa habari ya mtumishi huyu hicho kipengele hakifanyi kazi kwasababu;-
wote yeye na mumewe walikuwa kwenye uasherati huo wa sanamu pamoja; sasa mmoja wapo anapookoka na mwingine akakataa kuokoka bado ndoa haivunjiki; maana ni mwili mmoja; ila inavunjika kama ameungwa mwili na mwili mwingine kwa uasherati. (Hili la huyu mtumishi ni suala la mwili na wa kufanana naye na siyo roho pekee.
HIVYO ALIPASWA KUMUOMBA MUNGU AMBADILISHE MUMEWE AOKOKE NA SIYO KUMUACHA; MAANA MUNGU HASHINDWI NENO
What about 1st Corinthians 7:10_11
It's says a wife must not separate from her husband ,if she does she must remain unmarried (meaning no other man in her life coz atakuwa anaeneza Adultery)it's better wasameheane na warudiane.She can only get married if the wife is dead or the husband is dead..
@@carendeborah5687 HUO NDIYO UKWELI KWAMBA HARUHUSIWI TENA KUWA NA MWANAUME.
Hmmm our God is not the author of confusion, hapa lazima kieleweke ukisha Fanya ndoa nakuna kutoka haijalishi ni madhabahu gani yalikuunganisha, hata kama uliolewa na muislam kisha ukaoka bado ni mume wako na kama mtaachana usiolewe kabisa mpaka yule mime au mke atakapo farika kwa hivyo , remember God honor his word more than his name unavyo sema kabisa havyiambatani n na neno LA Mungu Mungu
Amen ubarikiwe
Amina, tukiwaambia watu juu ya hilo wanatuona vichaa
Amen Amen imekuwa ktk jina la Yesu.
Nimejifunza mengi nakubadilisha mavazi, na maeleni, nikija Tz natanunua magauni mengi tu.
Amen Amen God bless you
God bless you. Nimbarikiwa sana
Mungu wa Mbinguni akubariki sasa kwa huu ujumbe
Mungu akubariki saaana kwa ujumbe huyu mjakazi wa Mungu.
Nilikuwa natamani unijulishe iyo website yamanguo umepewa nawale wa dada wa ki Islam, basi Mungu aendeleye kukulinda na familia yako yote, na Mungu pia aendeleye kuku tumia kwaajili ya kazi yake.
Biblia inasema mtu akiwa na mke au mume asieamini na yule mume au mke akikubali kukaa nae asimwache ila ikiwa yule asieamini anataka kuondoka amwache aondoke na huyu aliebaki hafunguki
Sasa kwanini msingeibariki iyo ndoa kanisani
Nina swali ikiwa mume wangu anasali mahali ambapo haku
Pete sawaa bana... Sijui ila nyinginee huwa zina uvuvio wa mapepo
Huyu ni mwanamke wa kuheshimika sana kwetu sisi wanaume. Huyu ana utume kutoma kwa Bwana wetu YESU KRISTO. Hii ni Injili ya kweli kabisa. Anafuata BIBLIA kama inavyosema. Ni wanawake wachache kabisa sio tu Tanzania au Kenya bali ulimwenguni. Abarikiwe sana na sisi tumuombee. Wakweli kama huyu dada ni wachache sana. Na abarikiwe sana asije akaanguka.
Amen
Amina MUNGU azidi kukutumia zaidi
Thank you so much may our lord bless you 🙏🙏
Unanena ukweli ubarikiwe sana
Ni uKweli mtumishi wa mungu barikiwa sana 🙏
Jamanii wakristo tusiishii kwa shuhudaa, Balii tuishii kwa neno,tusome biblia sana mana na tushike neno sana mana Mungu hajipingi ,mengine ni ya wanadamu (mazabao zao)
Asante sana mtumishi wa Mungu, kwa mafundisho mazuri sana, ilaah naomba kujua,hili kuhusu kupanda mathabahuni, iwapo unaeza kuitwa kua utasoma andiko,je pia hilo halifai? ushauri wako utanisaidia 🇰🇪.
Ata kama mungu ajanena NAMI kuhusu Pete ya ndoa,..I believe this is true,...
Haswaa
Sio kwasababu, Pete inatoka Misri kwa Farao, kwahiyo hiyo ni miungu ya farao. Usijaribu kuivaa kwasababu ni miungu utakuwanayo ndani ya mwili wako. Mwanzo 41:42. Afu Matendo 17:30.
MUNGU humfunulia Kila mtu kwa wakati wake ubarikiwe mtumishi
Mtumishi huduma yako iko wapi?iko mkoa Gani?naomba no yako Nabii wa Bwana!Barikiwa sana.
Watu wa Mungu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa ya NENO si maombi bali ufunuo wa Neno la ufalme wa mbinguni.
Amen Mtumishi wa Mungu
Aminaa ubarikiwe
Ni kweli mtumishi kwa hilo ulilo funuliwa ndivyo lilivyo..!!
Mafundisho kama haya ylijificha wapi jamani? Mbona Mwanadamu amepotea kwa kuyakosa haya? Naomba Mungu azidi kukutumia sawa na kusudi lake.
Ndiomana nasema tuacheni kuhukumia binadam muhukumu ni Mungu
Mtumishi Petrida Mungu Akubariki sana na Akusimamie. Umeelezwa mambo mengi niliyoelezwa. Watu hawakukubali Mungu kaniambia. Mungu Anaendelea kuthibitisha Neno Lake. Kuhusu Pete, nilivamiwa na mapepo yakakataa kutoka kwa kuwa Pete ya ndoa na engagement yalisema ni vitu vyao. Kuhusu mwanamke kutokuwa Mch. Mapambo, mavazi, nywele nk. Mungu Akuatamie. Nimefurahia unyenyekevu uliopewa kurudi mbele za Bwana kuuliza.
Asante Mungu, vyote ninaviona kama mavi, kama paulo alivyosema.ya nn nipate dunia yote niikose mbingu!??
Amen TUNASUBIRI AKUONYE KUHUSU USHUHUDA ULIO UTOA KUHUSU TOBA YA KITAIFA ULIVYO SEMA ULIOMBEA TUKASAMEHEWA TUNASUBIRI AKUONYE UKANUSHE na useme KUWA WATU WASIPO FANYA TOBA NA KILIO KULINGANA WATAANGAMIA
Na bandali
Amen
Mungu yupo nasi🎉
Be blessed so much.Amen.
swali, hili andiko la Marko 10:11-12 na warumi 7:2-3, linahusu watu gani?
sisi tunamsimo kwa neno la MUNGU, yaani biblia.
swali, hili andiko la Marko 10:11-12 na warumi 7:2-3, linahusu watu gani?
sisi tunamsimo kwa neno la MUNGU, yaani biblia.
Amina Asante
Ubarikiwe sana Petrida Mungu asidi kukufunulia mengi, utufundishe, utukufu kwa mungu
Pete ni pambo, haina connection na utakatifu. Dada nakubaliana na wewe. Sina mafunuo ila maandiko yako wazi kwamba kuoana ni kwa tamaa za miili yetu wenyewe. Ingekuwa Pete inamsaada kusingekuwa na michepuko
Sawa sawa, je Kama minagauni lenye shanga nitoe shanga au niache kuvaa?
Kaka yangu Jactan msafiri na uongozi wa Promover tv tunaomba mtuletee ushuhuda wa mchungaji Yohana Ramadhani wa Uvinza, Utafungua wengi
Mmmh yule kama bado ana nguvu za giza tu
Hata Bibilia inasema mwanamke asiseme ndani ya Kanisa lakini mimi naelea skuhizi ni business wanatafuta maisha
ubarikiwe sana
Mavazi yako ni nadhifu na ya kuheshimika kabisa. I wish all women could wear just like you.
Hakikaaa nandivyo anavyo vaa ukuambao wanamuonaa
Mavazi ya Heshima
Mafunuo n mazuri lakini Neno n muhimu sana kabla ya mafunuo
Kuna points nyingi tu nimepata hapo
Naomba unitumie hiyo website unayonunua hayo mavazi yanayompendeza Mungu, ubarikiwe sana
Nisaidieni mimi kuna wakati, naenda kwenye mazizi ya ng'ombe kutokana na kazi yangu na lazima nivae gumboots nafanyaje hapo
Nitarudi tena magotini nimwulize Kuhusu kufunika kichwa maana mimi Mungu alipoanza kunifunulia alinionesha tu nimefunga kitamba kawaida kama wabibi wanavuopenda kufunga tena maratatu je najiuliza huyu Mungu ni wa namna gani anatoa mafunuo tofauti tofauti
Mungu nisaidie mimi sitaki kuikosa Mbingu
Kutumika kichwa kuko Kwa aina nyingi mtumishi hata kufunga kitambaa ni kutumika kichwa sio lazina ufanye kama alivyo yeye Mimi ndonilivyoelewa
Nywele ndefu hufunika kichwa Bora ushikilie still it covers the head
Nimeelewa madhara ya pete isiyoombewa na mtumishi mwenye nguvu za Mungu
Kumbe watumishi wakiwa wa kweli pete inakubalika wawoooh ....
Bora kujikalia kimya kuliko kutunga hadithi za kumshirikisha Mungu na uyuda Eskarioti
Naamini ktk Jina la Yesu
Kweli kabsa pete n mapambo .....hata klecheti cha ndoa n makaratasi..... MUNGU hakupeana pete na vyeti vya ndoa
Nimekukubali mama.
Ni sawa swali hili sasa tutafanyaje ili kuthibisha ndoa? Maana wachungaji husemaga hii ni ishara ndoa itawekwaje sawa siku ya kufunga? Ubarikiwe mtumishi
Ishara ya ndoa kusimama yaregemea msingi wake, kama msingi wa ndoa yako ni katika Bwana Yesu basi kilicho Baki ni kufuata yote ambayo neno lafunza kuhusu ndoa .....ishara ya uimara wa ndoa ni uaminifu kwa mwenzi wako, na utiifu kwa Bwana
13:51 Bibilia inasema siku za mwisho kutatokea manabii wauwongo.
Amen Amen ahsante dada kwa hili ubarikiwe
Je inakuwaje pale kanisani tunapokuwa kwenye maombi baada ya sifa watu hukaa kimya kwa mda kusikiliza kama Roho Mtakatifu atanena na Kanisa. Je ni sawa au siyo sawa mbelevza Mungu?
Alikuambiaje kuhusunhiyo pete mwenzetu?.
Asante mtumishi Kwa ujumbe,Mimi nimfuatiliaji wa shuhuda zako,ninakumbuka wakati ukishuhudia juu ya vita vilivyoinuka baada ya kuokoka ni pamoja na mmeo,ndugu zake,marafiki zake kukutaka urudi Roman Catholic inamaani Sha mlikuwa mnasali wote huko na tayari ulishatengana na mmeo wa kwanza,unaposema Mungu aliitenga ndoa Yako ya awali Kwa sababu hakuitambua je,huyu mmeo uliyenaye sasa mulioana baada ya kuokoka?
sikiliza tena ujumbe wake unaeleweka.
@@tabithaibrahim8493haja sema chochote hapo maana nimemsikiliza vizuri
Sasa. Mm. MTUMISHI wangu. ni. Mwanamke je. Unapo. toa sadaka na. Fungu. la. Kumi ni. Sawa
Mungu atenganishi alichokiunganisha je mungu asingezuia usiolewa na huyo mme wa mwanzo huo ni uzizi kuolewa mara ya pili heri ukae mwenyewe
Sio kila ndowa imeunganishwa na Mungu, shetani pia anakutanisha watu
Watu wamechanganyikiwa ndowa siyo ile ya Kanisani tu.kwa nini Asifunge ndowa Mala ya pili na ule ule wa kwanza?
Ndowa ya pili ni Uzinzi.
Una uhakika gani kuwa ndoa ya kwanza ni Mungu alimuunganisha na huyo mwanaume??
@@geofreypaul163 bibilia yasema vipi kuhusu ndoa?
Amena dada
Je kanisa na mume vinaendana je?
Watu wanashindwa kuwawahimu wa umezao mwisho wasiku wanaanza visingizio hoo huyu sijapewa na bwana
Aukuna ndowa mbili kama mmoja kati yenu aja kufa au kumfumania
Asante ni kweli kabisa haya mapete ni mashetani kabisa
Sio kweli inategemea hiyo pete umeipata au unavaa kwa mashariti au taratibu gani
Amen 🙏
Jamani dada petrida uko wapo,mbona kimya,tumemiss mafundisho yako
Mtumishi nimekuelewa sasa naomba niulize swali je mimi ni mwanamke lakini ndani ya kanisa kuna wachungaji
wanaomsaidia mchungaji mkuu zaidi sana kuombea wagonjwa miongpni mwao wamo wanawake nahuduma nyingine kama kufundisha wakristo wachanga je hii nayo inakuwaje?
Yesu atusaidie
Ee mungu wewe ndo unaye jua zaburi 24:1
Je kama mchungaji unampa ruhusa mwanamke kufundisha au kuhubiri kanisani napo ni kosa?
Je mwanamke anaruhusiwa kuwa shemasi?
Amesema Mungu sio mungu wa waroma ko Waroma wanamwamudu nani
Miungu mingine
Nikweri kabisa Pete ni nuksi kabisa .Wazazi wetu walikuwa hawana Pete na waliishi miaka mingi mpaka wanazikana wakiwa pamoja.
Sidhani kama Kuna ukweli kwenye ndoa ..kwahiyo kila wanaofunga ndoa kwenye Manisa ambayo siyo yakipentecoste wakiwa bado hawajaokoka hizo ndoa zivunjike ? Baada ya mmojawapo kuokoka basi ndoa ivunjike hapa hakuna ukweli watu wa Mungu tuwe macho tusome Neno tusisubiri kuletewa mafunuo yauongo ..Mungu anachukia kuachana ndo hicho tunatakiwa kujua..
Hahhaaa HAPO KIPENGELE CHA NDOA HICHONAONA KAMA KUNA CHANGAMOTO NATIWA MASHAKA NA UTETEZI WA HOJA YAKE YA NDOA (na tena paulo anasema kama mmoja ameokoka mwingine mpagani ndoa IPO pale pale
Hahhaaa HAPO KIPENGELE CHA NDOA HICHONAONA KAMA KUNA CHANGAMOTO NATIWA MASHAKA NA UTETEZI WA HOJA YAKE YA NDOA (na tena paulo anasema kama mmoja ameokoka mwingine mpagani ndoa IPO pale pale
Rudi magatini (simple things)mbona ameweka wazi wewe si una Mungu omba usinbishane mtandaoni.
Asante YESU .
AMEN
Hongera sana
Tutajuaje madhabahu aliyopo yeye Mungu kwani madhabahu mengi naona ni ya shetani tunayaonabpia matendo yao
Mungu aturehemu