Rais Samia Atoa Maagizo Mazito| 'Mnashudia Matusi Ninayotukanwa, Sitajibu'| Aonya Kuhusu Uchumi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 มิ.ย. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 23

  • @jabirikilagilile9799
    @jabirikilagilile9799 27 วันที่ผ่านมา +4

    Tupo nyuma yako Rais wetu mpenda maendeleo ya nchi mtu akikusikiliza kwa makini kweli unataka kuivusha Tanzania

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera mama tuko pamoja kazi Yako nzuri sana mama usimsikilize mtu mjinga anaekutukana kazi iendelee

  • @KornelNyenzi
    @KornelNyenzi 28 วันที่ผ่านมา +3

    Nchi yangu Tanzania Leo naandika huku moyo ukiw n hofu lakin kinywa kikieleza kw ushujaaa , Leo Nawaz wapi nitaenda nikitazam vijana wenye nguvu wapo pemben ila wazeee ndo wenye kukaaa mbele , Tanzanzia yangu nakupenda ila wewe hunipend nifanye kipi unipende nchi yangu mbona nimefanya yote yanipasyo kwako ila wewe bado hunitak , Mimi kijana mwenye umri w miaka 26 unatak nifike umri gan. Unipende Mimi daaaaa lakin naiman ipo siku utanipenda nam nitakujengea ngao ngumu ambayo hakuna atakaye iharibu

  • @chemistlaizer6562
    @chemistlaizer6562 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hotuba ya leo nzuri kwa mustakabali wa Taifa letu.

  • @bodyaman
    @bodyaman 25 วันที่ผ่านมา +1

    MAMA HATAKI AKANYAGIWE NGURU WAKE YEYE MSHIHIRI!
    NA WEWE UKITAKA ASIKUKANYAGIE NGURU WAKO BAASI USIMKANYAGIE UCHUMI WAKE.

  • @NeemaJoseph-lq9yg
    @NeemaJoseph-lq9yg 24 วันที่ผ่านมา

    Mama shkamoo,,naomba unisaidie million 10 tu.Naamini utanijibu mama,,Mungu mgude mama anijibu haraka.Nakupenda sana mama.

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 23 วันที่ผ่านมา

      Mgude ndiyo Nini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!!!!!!

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte5415 25 วันที่ผ่านมา

    hongera mama Samia nakupenda sana,achana nao wapuuzi wasiopenda maendeleo yako.

  • @KornelNyenzi
    @KornelNyenzi 28 วันที่ผ่านมา +2

    Watoto wa paka wanakula n kishiba ila watoto w panya wanateseka chakula Chao mpka wakachimbe viazi kw wakulima n kw kuibia lakin watoto w paka wao wanapelekeq mpka nyumban daaaa shamba langu hili Nan ataliokow kama mwenye shamba mwenyewe hatak kulilinda jaman ,

  • @maryhando227
    @maryhando227 27 วันที่ผ่านมา +1

    Tunataka katiba mpya jamani. Mungu anakuona wewe acha uwongo.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mama tunataka tume ya uchaguzi iwe huru jamani tuoneeni huruma

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 26 วันที่ผ่านมา

    Heshima Kwa kuiuza nchi yeutu, Mendes kwenye Zanzibar afadhali ungekufa Ww akabaki Magufuli wetu

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 27 วันที่ผ่านมา

    Kwa mara ya kwanza toka Magufuli atoweke leo ndio namsikia mama ameongelea Tanzania kuingia uchumi wa kati

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 26 วันที่ผ่านมา

    aslmk mum samahaani naomba nifahamishwe jeetathmini tunaijuwaje iko sahihi jee tathmini inavipagilio gapi jee tukipamda daraja tunatawezaje kuzuia tusishuke gevii kweye yzajii wa uteuzi kutumia tui bilaya kutumia vizeio jivipi mum

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 25 วันที่ผ่านมา

    HV mikopo inaleta uchumi wa Kati?huo uchumi wa Kati ni upiiii?mm sielew

  • @anslemngassa8614
    @anslemngassa8614 26 วันที่ผ่านมา

    ninaomba midahalo ya wazi na wachumi wa hii nchi inawezekana nikapata majawabu ya kua mimi ndo sijui uchumi au kuna wachumia tumbo

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 24 วันที่ผ่านมา

    Alfu Lela ulela....

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 25 วันที่ผ่านมา

    Unatukanwa Kwa sababu mali za tanganyika unazitapanya kwa wageni.

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 26 วันที่ผ่านมา

    Ww unabwayabwaya tu toma kiwingu Ww estalou ndio união wajali Kwa sababu mnashibia hiki CCM huku Wananchi mnatuua

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 6 วันที่ผ่านมา

    😂

  • @maryhando227
    @maryhando227 27 วันที่ผ่านมา +2

    Huna la kujibu unauza nchi yetu, achana kudanganya watu.

  • @madreks253
    @madreks253 25 วันที่ผ่านมา

    Mwizi na muongo mkubwa huna aibu mama mtu mzima...shame on you...iko siku utalipa kwa kuwadanganya na kuwaibia Watanzania...

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe mama sisi watanganyika tunaitaka tanganyika yetu