Tukio Kubwa La karama Lililo tokea kilwa / siyo kila kitu bidaa / Sheikh Waliyd Al had
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- Tukio Kubwa La karama Lililo tokea kilwa / siyo kila kitu bidaa / Sheikh Waliyd Al had
Sheikh Walid akifundisha Darsa la Tafsiri ya Quraan Ramadhani Mwaka 2020 Linalo fanyika Msikiti wa Kichangani
Usisahau ku subscribe na kutu follow katika page zetu za insta na Facebook shukraan
Video by muba Production Magomeni
Subscribe
Comment
Like
And share
Thanks
Masha allah umenikumbusha mbali sana habari za twayyibal asmai
Mashallah Shekhe Walid mungu akupe umri mrefu
Allah akuzidishie na azid kukupa umri mrefu wenye faida dunian na kesho akhera
Aslm alkm ww.... Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
Mashaallah TabarakaAllah. Sheikh Walid Allah akupe Afya hapa duniani na Ahera. Akupe umri mrefu wenye furaha InShaaAllah
Mashallah shekhe ALLAH azidi kukubariki AKIUNUE DUNIANI NA AKHERA TUENDAKO WEWE PAMOJA NA CC AMYN
Allah akulinde na fitna na yoyote sheikh na sote atulinde Inshaallah
Nakupende kwa ajili ya allah
Allah akuhifadhi Sheikh Walid
مشاءالله مشاءالله مشاءالله تبارك الله
Jazakallah khair badal khair badal khair janatu naghim
ALLAH awapeni umri mref mashekh wetu mzidi kuruelimisha
Na hivyo vitabu ni vzur Sana
Lakn Kuna walimu baadhi Yao wanavipiga vita
*ALLAH akukinge na adhabu ya moto shekh
Wallahi shekh Allah akuhifadhi na akulinde na husda shekh nmekuelewa sana na nmejifunza kitu Allah akubariki
Allah ibarek sheikh walid
Mashallah,, hapo kwenye adhana
Mashaallah, adhana tam sanaaa
Masha Allah
Ni kwel kabsa sheikh, zaman waislamu walikuwa wanaheshimiwa saana. Sahz dah bas tu
Mashaallaa upovizuli kwenye adhana
ALHAMDULILLAH ALLAH AKUBARIK
Alhamdulilahi kwa darsa zur
Kuna watu wanachuki binafsi mpaka vifua vinataka kulipuka. Chuki ya wazi kwa shehe haitasaidia piteni kimya kinya. Shehe wetu allah akuhifadhi kuna waja wataka kufa kwa kukuchukia
Wanamchukia aje ndugu?
Kwani hao ndo watu wa kanzu fupi
Mashallah Adhana kumbe upo vzuri shehe nilitamani umalizie
kama huna haja kumskiz sheikh ina haja gani uangalie video utukane umwite mwongo?
Mashaallah
mashaallah
MaashaAllah
Ww ni koo changu katika mashekhe nnaowapenda naww mmoja wapo
Asalam Alaykum Sawa sawaaa ✓
Maashaawallah
Ubarikiwe
Maashaa Allah
Mashallah Habib kwa Ukumbusho
Kuna mambo mengi kulwa lakini yanfichwa kwa sababu yanausu uislamu kama ingekuwa ya kukafri yange pewa kipao mbele
Subhanallah
Ktk darsa hizi za mwezi mtukufu RAMADHAN,sheikh walidi alituambia ikiwezekana atapanga iwe siku moja ktk wiki atakua anafanya hizi darsa hapo hapo kichangani,je ipoje.
Allah ALLAH Allah
Jazakallah kheir
Mashallah
Allah azidi kukuongoza utupe na sisi Elim ya dini yetu
Aslm alkm ww.... Jazakallah kheir 🙏.
Una dalili ya kumuuita alama..mpotoshaji?
Kisa kizuri cha kisiwa cha kirwa
Siyo kirwa ni kilwa
🙏
Mawahabi ndio hawaamini makarama
Aisee kazi ipo
Assalam aleikum sheikh vipi hali yako naomba namba yako tafadhali
Nikweli kabisa na pamewekwa Alama,
Asalam alaykum
SHEIKH WALID SHUKRAN. HUKU WAMEBADILISHA HIKI KISA WAMESEMA JAHAZI LA WAARABU LIMEGEUZWA JIWE WAKATI WAO WANAJUA UKWELI JAHAZI NI LA WARENO(PORTUGUESE).
Uwongo hauna mipaka kila mmoja na lake visa vya uwongo hivo
@@ahmadifakimjaka1433 punguza makasiliko tuletee ww Visa vyako vya ukwel
@@noorynmohammedy6063 hahaha
By op
Darsa kama hizi viongozi wetu wa serekali huwaoni kuhudhuria sijui kwanini
Serikali haiongozwi na Dini wala Mungu ila Katiba inaonekana we Juha huelewi kitu
Niombeni kwa majina 99,Allah kishasema sasa kwa namna gani utajua wewe hapa ndipo point ilipo ,hapo sheikh Walid kanena point tuache kubeza asee
kazi kupotosha watu tu
Una uhakika maalim faida yake ni nini akishawapotosha hao watu
Abuu suleym shekhe anapotosha watu kivipi hebu nieleze na mimi nielewe
Kabisa atupe muongozo
Dont argue with stupid person. Abuu Suleym is a JAHIL PERSON.
We nenda kaimbe taarabu maana nyie mnadini yenu ya Muhammad abdul wahhabi aka mudi gae
Ushirikini ndio anaousifia.....
Hana zaidi ya upuuzi na upotoshaji
Yeye anaamini ule ni uwezo wa Allah wewe ndo unaamini ile ni uchawi nani mshirikina
Ibrahim abdillah,mwana wewe ndo mshirikina
Tatizo waislamu hawana kheshma na masheikh zetu. Kila mtu nimjuaji
Weye wakucunguze vizuri weye ni kapyongo
Ikiwa Mtume Muhammad (s.a.w)alipingwa tena watu wake wa karibu kabisa.Itakuwa ww bn....Allah akuhifadhi Sheikh Waliid,akulinde dhidi ya mahasidi
Aliesema bidaa ni Mtume(saw) na si sheikh yeyote.
Yani ' mtu kabisa unakuja unakoment unasema shekhe muongo duuuh kama shekhe muongo bas hata kumuamini mola wako pia utawezaa lahaulaa mungu amuifadhi huyu shekhe kama mtume alikataliwa bas nasisi atutaitikiwa nakila mtu
Huyo anae muita shekh walidi muongo"" huyo mm ningekuwa karbu ww mtu wwe kichwa chako kingekuwa halali yangu""walidi anamakosa walidy gajikwezi kma mashekh zenu wengine""huyu walid anahekma kma mtume Muhammad s.a.s""anae mtukana walidy yyte yule hta kma angekuwa bba lazma hta yye ningetoka kwake tusijuane tna""Lakin mtu mwingine mwingne wamtuksna walidy kaa mbali sana na huyu"" mtu"" upanga wangu wakijeshi unakuhu wwe"" Allah atulindie walid kwa mapnzi na huruma zko"" Na kma kuna makosa madgo madgo bas tunakuomba umsamehe" wwe mwenyew wajuwa hatujakamilika..
Mm naomba nambari niwe nikitoa mchango wangu
Namba ni hii +255765100906
Wengi wameomba number hamukutoa huyu ameomba ili atoe mchango ndio mumechangamka😂
Na sio kila kiTu ni sunnah na sio kila kitu ni waajibu na sio kila kitu ni binadam na sio kila kitu ni gari...maneno ya jumla jamala...SEMA NI SIO BIDAA
Acha hadi mungu kuna mashehe wangapi mpaka shehe mkoa dar salaam ulitaka upewe wewe
Hivi huwaga hawajamaa wanasomaga wap jaman yaan niwazushi wakubwa nahawataki kubadilika.
Ww umesoma wap
Hii elimu ni dini, angalieni ni KUTOKA kwa Nani mnaichukua dini yenu,watu Kama hawa wanaojuzisha uzushi epuka sana kuwasikiliza
Wewe umefuata nini huku kama sio kumsiliza??
Kwa taarifa yako ww ni miongoni mwa wanaoupiga vita uislamu kama ww ndio unajiona bora kusikilizwa elimu yako iko wapi ulio itoa ili tukusikilizeee?!
muongo huyu misikiti yote imeadhini pamoja
Foolish comment. Smh!!
Sio kwa ajili ya pembe la shaitwani ni kwa ajili ya waislamu
We ulienda huko kilwa kwenye hiko kisiwa au unapiga kelele
Cha ajabu nini hapo?
Kama ujui sema ujuzwe mjinga wewe nitumie namba zako nikutumie video yake na uone ukweli..mpumbavu wewe
huyu sheikh muongoo
Sawa tuache atudanganye
Uongo wake nini? Haya tueleze ukweli unao ujua wewe yaani Kuna watu mmeka kama mikondo vile yaani mnamezeshwa itkadi zako puuzi mnakubali bila hata kutumia akili zenu eti Muongo kaongopa nini Sasa kwaiyo mungu ajasema tu muombe kwa majina yake? au hiyo history alio itoa yakilwa? Yaani inaonekana wewe auna imani kabisa na mungu kama aliweza kumgeuza mke wanabii lutwi kua jiwe atadhindwa kuigeuza iyo meli yamakafiri kua jiwe? Pole sana aisee
Uongo wake ni nini?????
hizo adhkar anazotaja hazijathibiti
kisha tokea lini misikiti yote ikaadhini kwa pamoja huu urongo wa dahir
mpuuz anaetumia akili kwenye dini au anaetumia akili
هجران مثل هذا الرجُل الجاهل المتعالم من السنة، اتق الله يا هذا، ألآ تذكر قول الله تعالى(ليحملوا أوزارهم كاملة يوم القيامة ومن أوزار الذين يضلونهم) سورة النحل،
أيها المسلمون لا تغتروا بمثل هذا الكذاب المُلبّس.
Are crazy?????
Ww mkweli ukweli wako uko wp elimu yako haina viwango pia hata fadhila za walimu wako huna maana elimu zenu zimejaa kibri pmj na walimu wenu nakupa mfano angalia mashekhe wa zamani walivyo kua na elimu zao na Makarama yao leo huu wako wp nyie mnao jiona kama mmekamilika na elimu zenu kubwa mko wap hata dua zenu mkiomba hazijibiwi useme unaimani ww
Wewe acha uwongo tuambie uongo wake nini acha kupotosha ummah... wewe adamu
Mpotoshaji huyo hana dalili anazungumza kwa matamanio ya nafsi yake
Sawa tupe wewe dalili maalim
Mujibu rajabu acha upumbavu
Tangu lini nzi akamsifia nyuki we kazi yako kuchezea mavi
Jana nlikua namsikiliza shekhe flan anazungumzia uchawi, akasema waliohatarini zaidi ya kuingia kwenye uchawi na ambao washaingia basi ni hawa maghurafi, na huyu naona ndo kaonesha mfano halisi. Kakiri mwenyewe vitab alivotaja vinatumika na waganga na wachawi af yy anahimiza watu wavisome, duh
@@khalidbahorera8106 wewe ni chizi hata Quran watu wanatumia kuloga
mashaallah
Mashaallah