Shukrana hseikha walid umezungumz maneno mazito napia umetuelimisha M/aukujaalie kheri na akuondeshee kila balaa na aukipe khatma njema ww pamoja na cc
Subuhaana llaah huu ni mtihani kweli watu wasio kua na Elimu cku zote ndio wabishi kusoma hawataki na hata wakisoma elimu yao haina faida kwasababu hawana fadhila na mashekhe zao elimu zao zimejaa kiburi
MashaAllah. Hiyo hisotri ya meli kugeuzwa jiwe ndio naisikia kwanza. SubuhanAllah jamani histori ziko nyingi hatuzijui na hii yote kukimbizana na dunia hatuendi madrsa. Allah atufanyie wepesi
Assalaamu Alaykum warahmatu ALLAH wabarakaatuh samahani sana kwamba yeyote anayeifahamu namba Za sheikh WALID anirushie mm zangu Kuna Jambo amesahau nataka nimkumbushe au naomba mfikishieni nambari zangu hizo 0683240922 niongee naye
Upon vizuri;waislam Lazima tusomee ila watu wanapupia fatwaaa wanazosikia Sikia tu ila ni lazima tuamkee an tuachee mambo ya SHEKH kasema......LAZIMAAAAAAA TUSOMEEEE DINIIIIIIII
Kwanza tusome ndio tuanze kupinga kwa dalili lkn kama elimu atuna tukae kimyaaa acheni kuwadharau mashekh dua ya kuingia chooni aujui leo unapinga mashekh mtihani mkubwa shekh tupo faida
Sheikh Kawambwa wewe endelea tu na dhikiri hao walopoteza dhikiri itawadai Watatafuta pa kwenda wamepungukiwa baada ya kuita dhikiri ni bidaa sasa wanatafuta pakupatia umaarufu kwa kumuudhi Allah kwa kuwafurahisha watu Allah atawasalitisha nao si mbali sana mmoja baada ya mwingine ukiniomba mfano nitakupa live.
Misikiti tisini na tisa Sasa kijiji kidogo misikiti tisini na tisa walikuwa wanaswali watatu watatu au Na kuna haja gani misikiti kurundikana sehemu moja na je sasa hivi imeshakuwa mingapi hiyo misikiti Wanaojua je bado ipo yote au imeongezeka katika hicho kisiwa au kijiji maana kasema kutoka msikitini kwake mpaka kigogo ukubwa wa kisiwa lakini misikiti tisini na tisa duh
Unachoshangaa kitu gani sasa wewe ukiangalia kutoka kichangani hadi kigogo Kuna nyumba ngapi na ukiambiwa kisiwa maana yake ni eneo sio barabara usipende kukurupuka kabla hujafikiri eneo lolote Lina urefu na mapana yake tumia akili wakati wa kujenga hoja usitumie mihemko
Inawezekana kabisaaaaa,hata Zanzibar,mitaa miwili tu inaweza kuwa na misikiti hata50,pia mombasa, misikiti kila baada nyumba 5, usibishe.nenda kilwa ukajionee.
Pemba Haupiti nyumba 5 Kuna msikiti kama unabisha hayo Nenda ukaone tatizo lenu dharau na kujifanya mnajua na mnajificha kwenye kivuli cha kusema eti mnakataza shirk wakati shirk yenyewe hamuijui maana yake
@@abdulhamidhaji5056 naam Kilwa kisiwani ndipo palipokuwa mji mkuu wa dola la Kilwa na Kilwa nzima ndiyo iliyokuwa sehemu zote za nchi hizi zinazounda Afika mashariki pamoja na nchi za Somalia, Kongo mashariki, Monomutapa (Zimbabwe) na Msumbiji kaskazini kabla ya kudondoshwa na wazungu na baadae wakaigawanya na kuikalia kimabavu chini ya kivuli cha ukoloni.
Its possible my dear sister, kama ukisoma kisa cha nabii Suleiman na yule mfalme mwanamke, yule aliyeleta kiti kwa kwa inawezekena kama tukimwamini Allah kiukweli
Ukitaka kufanya kitu anaglia hii ni kinyume na uislam. Sio kila kitu bidaa. Hao wanaosema bidaakuna city ambavyo ni vizuri lakini sio Sunna wana vitenda kama kutumia mobile mtume hakutumia na mambo Tele wa Tele hayakuwepo kipindi cha mitume wala maswahaba.
Panda gari nenda kilwa au mtafute mtu unaemuamini mpeleke kilwa au kama yupo kilwa muulizie hiyo hadithi sio kila kitu mpaka kiandikwe historia nyingine zikiwekwa wazi inakuwa kama ni kupandisha chati imani fulani na wao hawapo radhi mpaka tufate mila zao....hivyo historia kama hizi zenye athari kiimani mpaka uwe mtu wa kutoka.
Hebu tufahamieni waislam jamani nawaomba kwamtazamo wangu lakini simlazimishi mtu kunielewa navyoolewa mie sidhani kama kunamtu anaweza chukua fundi bomba akampa kazi ya umeme kwenye nyumba yake ndio leo uislam wetu ulivyo wale wasomi waliomaliza elimu za dini hatuwataki kabisa matokeo yake ndio hawa mashehe wetu sasa hiyo story mpaka unaogopa sijui katoa wapi do!!!
Mnapewa ushahidi mpk w kisiwa kilipo bado mnabisha,nenda kisiwani ukakione upewe historia n ukumbuk historia huwa haipotei maan utunzwa kw kurithishwa,sio kukomaa n bidaa bidaa tu
Kam umekubali somo gonga like
Asalamu alkum shehe weye ndo lmamu hasa maimamu wengine hawatoi dawa misikitini kwao allah.akupe afya na elimu mimi nakusikiza sana
Shukrana hseikha walid umezungumz maneno mazito napia umetuelimisha M/aukujaalie kheri na akuondeshee kila balaa na aukipe khatma njema ww pamoja na cc
Maa sha Allah shukran sheikh wangu yani mie kuanzia leo nitakaa nisome haswa vitabu vyote hivyo nnavyo dunia imetushuhulisha wallah msiba mzito
Subuhaana llaah huu ni mtihani kweli watu wasio kua na Elimu cku zote ndio wabishi kusoma hawataki na hata wakisoma elimu yao haina faida kwasababu hawana fadhila na mashekhe zao elimu zao zimejaa kiburi
Allah ameubariki sana dini yetu
Uislam raha najipenda mimi kuwa mwislam thamani ya uisikam ni kubwa kwa wenye akili
Mashallah
Jazakallah
Zilete...hawakuweziiii
Allah barik ustadh wangu walid.
Nakukubali sheikhe
Hilo jiwe lipo kweli ktk sehem ya bahari
Mashaa Allah tabaraka arrahmaan Sheikh Walid ....
MashaAllah. Hiyo hisotri ya meli kugeuzwa jiwe ndio naisikia kwanza. SubuhanAllah jamani histori ziko nyingi hatuzijui na hii yote kukimbizana na dunia hatuendi madrsa. Allah atufanyie wepesi
Hilo jiwe lipo kilwa
mimi nimefika nimeliona hata makaburi ya masharifu waliouana kwa sababu ya mwanamke
Nikweli shekhe wangu nimelishuhudia Hilo jiwe babu.alinipeleka .kuna makaburi.ya mashekhe 40
Na misikiti tisini na tisa bado ipo kwenye hicho kisiwa au imeongezeka au kupungua
Swadakta maalimu exactly maalim
Mashaallah
Usemayo_ni_kweli_karama_zimeondoka_kabisa_kwa_kujidai_kujua_sana_na_Kuwatukana_Mashekh_Baraka_zimeondoka_UNAFIQ_ume_kuwa_Mwingi_vongozi_hawaeshimiw
Nimekupenda kwa ajil ya allah mung akupe kaul thabit hap dunian mpak akhera
Assalaamu Alaykum warahmatu ALLAH wabarakaatuh samahani sana kwamba yeyote anayeifahamu namba Za sheikh WALID anirushie mm zangu Kuna Jambo amesahau nataka nimkumbushe au naomba mfikishieni nambari zangu hizo 0683240922 niongee naye
@@rajabutwalha6651 saw nitampatia mwanafunzi wake ili ampatie mwalim wake
Nko kenya . Nakufwata sana walid kuliko mashekhe wangu hapa.
Madhali ndii mapenz yako mfuate kama na sie tunavyowapenda wa Mombasa
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH.
MashaAllah
Swaddakta Shekh Walid Alhad Ukimpata mke mwenye Dini mume siyee,Mume Mshirikina tena Muongo, Fitna, Allah atuepushe na waume wenye swifa hizo
Upon vizuri;waislam Lazima tusomee ila watu wanapupia fatwaaa wanazosikia Sikia tu ila ni lazima tuamkee an tuachee mambo ya SHEKH kasema......LAZIMAAAAAAA TUSOMEEEE DINIIIIIIII
jazakallah kher
Maa shaa Allah
الحمد لله
Tatizo sisi saiv mashehk wetu wanatamaaa
Nimekuwa wakwanza tena nakaa kilwa
Masha Allah
Kwanza tusome ndio tuanze kupinga kwa dalili lkn kama elimu atuna tukae kimyaaa acheni kuwadharau mashekh dua ya kuingia chooni aujui leo unapinga mashekh mtihani mkubwa shekh tupo faida
Allahaa
Sheikh Kawambwa wewe endelea tu na dhikiri hao walopoteza dhikiri itawadai
Watatafuta pa kwenda wamepungukiwa baada ya kuita dhikiri ni bidaa sasa wanatafuta pakupatia umaarufu kwa kumuudhi Allah kwa kuwafurahisha watu Allah atawasalitisha nao si mbali sana mmoja baada ya mwingine ukiniomba mfano nitakupa live.
مشاءلله
Jala jalalu
🙏🙏🙏
Wanaompinga Nabahany mm nawaita school boys.
Mawahabi ni wapoga kelele
Wacheni shiriki kwakusingizia ati mwasoma majina y Allah
Ukimuamini ALLAH kila kitu kina wezekana
Sasa hutaki atajwe Allah wataka kutajwa wewe ?? Pumbavu!
Misikiti tisini na tisa
Sasa kijiji kidogo misikiti tisini na tisa walikuwa wanaswali watatu watatu au
Na kuna haja gani misikiti kurundikana sehemu moja na je sasa hivi imeshakuwa mingapi hiyo misikiti
Wanaojua je bado ipo yote au imeongezeka katika hicho kisiwa au kijiji maana kasema kutoka msikitini kwake mpaka kigogo ukubwa wa kisiwa lakini misikiti tisini na tisa duh
Unachoshangaa kitu gani sasa wewe ukiangalia kutoka kichangani hadi kigogo Kuna nyumba ngapi na ukiambiwa kisiwa maana yake ni eneo sio barabara usipende kukurupuka kabla hujafikiri eneo lolote Lina urefu na mapana yake tumia akili wakati wa kujenga hoja usitumie mihemko
Inawezekana kabisaaaaa,hata Zanzibar,mitaa miwili tu inaweza kuwa na misikiti hata50,pia mombasa, misikiti kila baada nyumba 5, usibishe.nenda kilwa ukajionee.
Pemba Haupiti nyumba 5 Kuna msikiti kama unabisha hayo Nenda ukaone tatizo lenu dharau na kujifanya mnajua na mnajificha kwenye kivuli cha kusema eti mnakataza shirk wakati shirk yenyewe hamuijui maana yake
Mwehu kweli
Ndio maana mashakil chungu nzima kwa kuambiwa kila kitu bidaa basi balaaa moja kwa moja
Kweli mimi kwetu kilwa
natamani nije kuliona ilo jiwe
Kivinje au masoko?
Mimi kwetu miteja na njia 4
Amesema kilwa kisswani
@@abdulhamidhaji5056 naam Kilwa kisiwani ndipo palipokuwa mji mkuu wa dola la Kilwa na Kilwa nzima ndiyo iliyokuwa sehemu zote za nchi hizi zinazounda Afika mashariki pamoja na nchi za Somalia, Kongo mashariki, Monomutapa (Zimbabwe) na Msumbiji kaskazini kabla ya kudondoshwa na wazungu na baadae wakaigawanya na kuikalia kimabavu chini ya kivuli cha ukoloni.
Nko kenya
JISHEHE POTOSHAJI..... JITU LA BID'AA, ALLAH ALIONGOZE.
Naam
Kwa nini kugeuza jina la WARENO na kuweka WAGIRIKI sbb sheikh kasema ni jahazi la wareno
He
swadakta ni kweli hi bidaa imechangia sana kudhofisha uislam ya rabbi tusimamie Kwa huruma zakp tuwe kwenye kundi uloridhia
Its possible my dear sister, kama ukisoma kisa cha nabii Suleiman na yule mfalme mwanamke, yule aliyeleta kiti kwa kwa inawezekena kama tukimwamini Allah kiukweli
Hapa sijaelewa nyie mlosema bidaa, mnamaanisha hiyo historia ni uzushi au vipi?
Naam tulikuwa tukisoma ndio tukaambiwa bidaa na khasa zile fatha zake.
Ukitaka kufanya kitu anaglia hii ni kinyume na uislam. Sio kila kitu bidaa. Hao wanaosema bidaakuna city ambavyo ni vizuri lakini sio Sunna wana vitenda kama kutumia mobile mtume hakutumia na mambo Tele wa Tele hayakuwepo kipindi cha mitume wala maswahaba.
Hee mbona hiyo historia hatujaisikiapo hio ya kilwa
Kakwambia mwenywe panda gari nenda usibishee tuuu ukisikis habari zichunguze kwanza
Panda gari nenda kilwa au mtafute mtu unaemuamini mpeleke kilwa au kama yupo kilwa muulizie hiyo hadithi sio kila kitu mpaka kiandikwe historia nyingine zikiwekwa wazi inakuwa kama ni kupandisha chati imani fulani na wao hawapo radhi mpaka tufate mila zao....hivyo historia kama hizi zenye athari kiimani mpaka uwe mtu wa kutoka.
Mm shahdi nmefka mpaka ktk jiwe na nmelishka ni mwka 2019 tuu walasio zamani
Hebu tufahamieni waislam jamani nawaomba kwamtazamo wangu lakini simlazimishi mtu kunielewa navyoolewa mie sidhani kama kunamtu anaweza chukua fundi bomba akampa kazi ya umeme kwenye nyumba yake ndio leo uislam wetu ulivyo wale wasomi waliomaliza elimu za dini hatuwataki kabisa matokeo yake ndio hawa mashehe wetu sasa hiyo story mpaka unaogopa sijui katoa wapi do!!!
ndugu kasome tarihi ya uislam Afrika mashariki hayo yote yapo acha kubisha, waislam wa zamani walikuwa na taqwa sio sasa.
Akili si nywele mana watu awachoki kubisha njoo nipo kilwa nikupeleke katika hilo jiwe musituchezee watu wa kilwa na duwa zetu
Aslm alkm shekh hio historian nikwwli usibishe
Kilwa sio marekani,nenda kilwa,kisiwa cha jahazi utajua kama sheikh walid hiyo story kaitoa wapi!kingine punguza dharau unapowakosoa wanazuoni bakisha maneno,kuna kesho.
Eti wasomi waliomaliza elimu ya dini hatuwataki,kuna msomi aliemaliza elim ya dini??? mmmh nakuwa na wasiwasi nawewe, utakuwa huntha mushkel wew!
Maneno matupu yasiyokuwa na ushahidi wa Quraan wala Hadithi!
Bidaa na Uzushi ndio sumu ya Uisilamu
Masalafy munamatatizo Sana
Tatizo lako ni uzushi ndani ya dini tu
@@ukhtyanasabintimalikimalik7188
Kwaiyo hata histori yakilwa unataka Aya nahadithi kweli punguwani kweli kweli
@@hatibuahmadi7237 Punguani ni wewe unaeamini historia ya Kiisilamu ambayo haimo vitabuni.
Kwani wewe unafikiri Uisilamu ni paukwa pakawa!?
@@abubakarmuhammadsaid3244 shekh inamaana Allah ameacha kufanya miujiza toka maswahaba waishe mbona Allah hashindwi Nani aandike kwenye kitabu..
Yani uyu ni sheih ata maongez yake ni mwalimu kabisa
Mnapewa ushahidi mpk w kisiwa kilipo bado mnabisha,nenda kisiwani ukakione upewe historia n ukumbuk historia huwa haipotei maan utunzwa kw kurithishwa,sio kukomaa n bidaa bidaa tu
Ipo kitabu gani hiyo historia tukaisome?
Tembeenii katika aridhi muone tulivyofanya sio kila kitu kiandikwe matukio yapo hujamwerewa shehe
Kaka tembelea Kilwa akaangalie na ujifunze athari zilizoachwa na Uislam.
Sio kila cha kujifunza ukikute ktk kitabu.
Vingine utaona vingine utahisi na vingine utasikia.nenda kilwa ushahidi ushatolewa kathibitishe tu.
Welcome to our channel "busted Islam"
www.answering-christianity.com/ac.htm
Welcome to my website😂😂🤣🤣🤣Truth Facts about Christianity🤣🤣🤣🤣🤣
Exposing everything about christianity🤣🤣🤣
Kwa hiyo sheikh hapo darsa la Leo n bid'aa tu !
Mh ! Nimejifunza baadhi y vitu shukran, ila bid'aa itabaki bid'aa.
Ma sha Allah
Mashaallah