DUA WALIZOTUMIA WAZEE WA KILWA KUIGEUZA MELI YA WAGIRIKI KUWA JIWE MPAKA LEO ..FUATANA NA IMAM WALID

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 95

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 3 ปีที่แล้ว +15

    Kam umekubali somo gonga like

  • @omarjumanne6744
    @omarjumanne6744 4 ปีที่แล้ว +10

    Asalamu alkum shehe weye ndo lmamu hasa maimamu wengine hawatoi dawa misikitini kwao allah.akupe afya na elimu mimi nakusikiza sana

  • @jamalrashid7459
    @jamalrashid7459 4 ปีที่แล้ว +8

    Shukrana hseikha walid umezungumz maneno mazito napia umetuelimisha M/aukujaalie kheri na akuondeshee kila balaa na aukipe khatma njema ww pamoja na cc

  • @aishahajji9461
    @aishahajji9461 4 ปีที่แล้ว +5

    Nikweli shekhe wangu nimelishuhudia Hilo jiwe babu.alinipeleka .kuna makaburi.ya mashekhe 40

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 2 ปีที่แล้ว

      Na misikiti tisini na tisa bado ipo kwenye hicho kisiwa au imeongezeka au kupungua

  • @vanbraiysee2858
    @vanbraiysee2858 4 ปีที่แล้ว +6

    Hilo jiwe lipo kweli ktk sehem ya bahari

  • @hemedysaidy7020
    @hemedysaidy7020 2 ปีที่แล้ว +1

    Subuhaana llaah huu ni mtihani kweli watu wasio kua na Elimu cku zote ndio wabishi kusoma hawataki na hata wakisoma elimu yao haina faida kwasababu hawana fadhila na mashekhe zao elimu zao zimejaa kiburi

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 3 ปีที่แล้ว +2

    Maa sha Allah shukran sheikh wangu yani mie kuanzia leo nitakaa nisome haswa vitabu vyote hivyo nnavyo dunia imetushuhulisha wallah msiba mzito

  • @kasimumatengo1318
    @kasimumatengo1318 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwanza tusome ndio tuanze kupinga kwa dalili lkn kama elimu atuna tukae kimyaaa acheni kuwadharau mashekh dua ya kuingia chooni aujui leo unapinga mashekh mtihani mkubwa shekh tupo faida

  • @ummytz7145
    @ummytz7145 4 ปีที่แล้ว +7

    Nimekupenda kwa ajil ya allah mung akupe kaul thabit hap dunian mpak akhera

    • @rajabutwalha6651
      @rajabutwalha6651 3 ปีที่แล้ว +1

      Assalaamu Alaykum warahmatu ALLAH wabarakaatuh samahani sana kwamba yeyote anayeifahamu namba Za sheikh WALID anirushie mm zangu Kuna Jambo amesahau nataka nimkumbushe au naomba mfikishieni nambari zangu hizo 0683240922 niongee naye

    • @ummytz7145
      @ummytz7145 3 ปีที่แล้ว

      @@rajabutwalha6651 saw nitampatia mwanafunzi wake ili ampatie mwalim wake

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 4 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah. Hiyo hisotri ya meli kugeuzwa jiwe ndio naisikia kwanza. SubuhanAllah jamani histori ziko nyingi hatuzijui na hii yote kukimbizana na dunia hatuendi madrsa. Allah atufanyie wepesi

    • @ashamgombelwa5129
      @ashamgombelwa5129 2 ปีที่แล้ว

      Hilo jiwe lipo kilwa

    • @azizihfarijala5307
      @azizihfarijala5307 ปีที่แล้ว

      mimi nimefika nimeliona hata makaburi ya masharifu waliouana kwa sababu ya mwanamke

  • @swalehemusakiluwa9405
    @swalehemusakiluwa9405 2 ปีที่แล้ว +2

    Misikiti tisini na tisa
    Sasa kijiji kidogo misikiti tisini na tisa walikuwa wanaswali watatu watatu au
    Na kuna haja gani misikiti kurundikana sehemu moja na je sasa hivi imeshakuwa mingapi hiyo misikiti
    Wanaojua je bado ipo yote au imeongezeka katika hicho kisiwa au kijiji maana kasema kutoka msikitini kwake mpaka kigogo ukubwa wa kisiwa lakini misikiti tisini na tisa duh

    • @maidaamiri7490
      @maidaamiri7490 2 ปีที่แล้ว

      Unachoshangaa kitu gani sasa wewe ukiangalia kutoka kichangani hadi kigogo Kuna nyumba ngapi na ukiambiwa kisiwa maana yake ni eneo sio barabara usipende kukurupuka kabla hujafikiri eneo lolote Lina urefu na mapana yake tumia akili wakati wa kujenga hoja usitumie mihemko

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 2 ปีที่แล้ว

      Inawezekana kabisaaaaa,hata Zanzibar,mitaa miwili tu inaweza kuwa na misikiti hata50,pia mombasa, misikiti kila baada nyumba 5, usibishe.nenda kilwa ukajionee.

  • @minabaka1910
    @minabaka1910 4 ปีที่แล้ว +8

    Nimekuwa wakwanza tena nakaa kilwa

  • @abdallahismael3993
    @abdallahismael3993 4 ปีที่แล้ว +3

    Nko kenya . Nakufwata sana walid kuliko mashekhe wangu hapa.

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 ปีที่แล้ว

      Madhali ndii mapenz yako mfuate kama na sie tunavyowapenda wa Mombasa

  • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
    @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali sheikhe

  • @shabanihamisi1146
    @shabanihamisi1146 4 ปีที่แล้ว +1

    Upon vizuri;waislam Lazima tusomee ila watu wanapupia fatwaaa wanazosikia Sikia tu ila ni lazima tuamkee an tuachee mambo ya SHEKH kasema......LAZIMAAAAAAA TUSOMEEEE DINIIIIIIII

  • @abigaelnasir1698
    @abigaelnasir1698 3 ปีที่แล้ว +1

    Swaddakta Shekh Walid Alhad Ukimpata mke mwenye Dini mume siyee,Mume Mshirikina tena Muongo, Fitna, Allah atuepushe na waume wenye swifa hizo

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 ปีที่แล้ว +1

    Usemayo_ni_kweli_karama_zimeondoka_kabisa_kwa_kujidai_kujua_sana_na_Kuwatukana_Mashekh_Baraka_zimeondoka_UNAFIQ_ume_kuwa_Mwingi_vongozi_hawaeshimiw

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 4 ปีที่แล้ว +3

    Allah ameubariki sana dini yetu

    • @omarjumanne6744
      @omarjumanne6744 4 ปีที่แล้ว

      Uislam raha najipenda mimi kuwa mwislam thamani ya uisikam ni kubwa kwa wenye akili

  • @kababayeemc6714
    @kababayeemc6714 4 ปีที่แล้ว +2

    Swadakta maalimu exactly maalim

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 4 ปีที่แล้ว +2

    الحمد لله

  • @gfrhajji5233
    @gfrhajji5233 4 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah

  • @muhammadramadhab4996
    @muhammadramadhab4996 3 ปีที่แล้ว +1

    jazakallah kher

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah barik ustadh wangu walid.

  • @hamisilukanda1008
    @hamisilukanda1008 2 ปีที่แล้ว +1

    Allahaa

  • @abdulrazaktayeb
    @abdulrazaktayeb 7 หลายเดือนก่อน

    Mashallah
    Jazakallah
    Zilete...hawakuweziiii

  • @yusufharoub4669
    @yusufharoub4669 4 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 4 ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa Allah

  • @hudheifaathman315
    @hudheifaathman315 2 ปีที่แล้ว +3

    Wacheni shiriki kwakusingizia ati mwasoma majina y Allah

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 ปีที่แล้ว

      Ukimuamini ALLAH kila kitu kina wezekana

    • @abubakarbwika8397
      @abubakarbwika8397 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa hutaki atajwe Allah wataka kutajwa wewe ?? Pumbavu!

  • @josuzajsk398
    @josuzajsk398 2 ปีที่แล้ว

    Mashaa Allah tabaraka arrahmaan Sheikh Walid ....

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Kawambwa wewe endelea tu na dhikiri hao walopoteza dhikiri itawadai
    Watatafuta pa kwenda wamepungukiwa baada ya kuita dhikiri ni bidaa sasa wanatafuta pakupatia umaarufu kwa kumuudhi Allah kwa kuwafurahisha watu Allah atawasalitisha nao si mbali sana mmoja baada ya mwingine ukiniomba mfano nitakupa live.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 3 ปีที่แล้ว

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH.

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 4 ปีที่แล้ว +1

    مشاءلله

  • @user-tg9gm5rr8f
    @user-tg9gm5rr8f ปีที่แล้ว

    Tatizo sisi saiv mashehk wetu wanatamaaa

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว +4

    Kweli mimi kwetu kilwa

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 ปีที่แล้ว

      natamani nije kuliona ilo jiwe

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 ปีที่แล้ว

      Kivinje au masoko?
      Mimi kwetu miteja na njia 4

    • @abdulhamidhaji5056
      @abdulhamidhaji5056 4 ปีที่แล้ว

      Amesema kilwa kisswani

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 ปีที่แล้ว +1

      @@abdulhamidhaji5056 naam Kilwa kisiwani ndipo palipokuwa mji mkuu wa dola la Kilwa na Kilwa nzima ndiyo iliyokuwa sehemu zote za nchi hizi zinazounda Afika mashariki pamoja na nchi za Somalia, Kongo mashariki, Monomutapa (Zimbabwe) na Msumbiji kaskazini kabla ya kudondoshwa na wazungu na baadae wakaigawanya na kuikalia kimabavu chini ya kivuli cha ukoloni.

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 4 ปีที่แล้ว +1

    Wanaompinga Nabahany mm nawaita school boys.

  • @azadmtunzi6225
    @azadmtunzi6225 3 ปีที่แล้ว

    JISHEHE POTOSHAJI..... JITU LA BID'AA, ALLAH ALIONGOZE.

  • @abdallahismael3993
    @abdallahismael3993 4 ปีที่แล้ว +1

    Nko kenya

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndio maana mashakil chungu nzima kwa kuambiwa kila kitu bidaa basi balaaa moja kwa moja

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 ปีที่แล้ว

    Jala jalalu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 ปีที่แล้ว +2

    Hebu tufahamieni waislam jamani nawaomba kwamtazamo wangu lakini simlazimishi mtu kunielewa navyoolewa mie sidhani kama kunamtu anaweza chukua fundi bomba akampa kazi ya umeme kwenye nyumba yake ndio leo uislam wetu ulivyo wale wasomi waliomaliza elimu za dini hatuwataki kabisa matokeo yake ndio hawa mashehe wetu sasa hiyo story mpaka unaogopa sijui katoa wapi do!!!

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 ปีที่แล้ว

      ndugu kasome tarihi ya uislam Afrika mashariki hayo yote yapo acha kubisha, waislam wa zamani walikuwa na taqwa sio sasa.

    • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
      @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 ปีที่แล้ว

      Akili si nywele mana watu awachoki kubisha njoo nipo kilwa nikupeleke katika hilo jiwe musituchezee watu wa kilwa na duwa zetu

    • @othmanally1230
      @othmanally1230 4 ปีที่แล้ว

      Aslm alkm shekh hio historian nikwwli usibishe

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 2 ปีที่แล้ว

      Kilwa sio marekani,nenda kilwa,kisiwa cha jahazi utajua kama sheikh walid hiyo story kaitoa wapi!kingine punguza dharau unapowakosoa wanazuoni bakisha maneno,kuna kesho.

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 2 ปีที่แล้ว

      Eti wasomi waliomaliza elimu ya dini hatuwataki,kuna msomi aliemaliza elim ya dini??? mmmh nakuwa na wasiwasi nawewe, utakuwa huntha mushkel wew!

  • @fatumahamis9206
    @fatumahamis9206 4 ปีที่แล้ว +3

    swadakta ni kweli hi bidaa imechangia sana kudhofisha uislam ya rabbi tusimamie Kwa huruma zakp tuwe kwenye kundi uloridhia

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 4 ปีที่แล้ว

      Its possible my dear sister, kama ukisoma kisa cha nabii Suleiman na yule mfalme mwanamke, yule aliyeleta kiti kwa kwa inawezekena kama tukimwamini Allah kiukweli

    • @jumashebby1666
      @jumashebby1666 4 ปีที่แล้ว

      Hapa sijaelewa nyie mlosema bidaa, mnamaanisha hiyo historia ni uzushi au vipi?

  • @zamdinkilala8790
    @zamdinkilala8790 4 ปีที่แล้ว

    Naam

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 4 ปีที่แล้ว +3

    Hee mbona hiyo historia hatujaisikiapo hio ya kilwa

    • @shabanihamisi1146
      @shabanihamisi1146 4 ปีที่แล้ว +1

      Kakwambia mwenywe panda gari nenda usibishee tuuu ukisikis habari zichunguze kwanza

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 4 ปีที่แล้ว +1

      Panda gari nenda kilwa au mtafute mtu unaemuamini mpeleke kilwa au kama yupo kilwa muulizie hiyo hadithi sio kila kitu mpaka kiandikwe historia nyingine zikiwekwa wazi inakuwa kama ni kupandisha chati imani fulani na wao hawapo radhi mpaka tufate mila zao....hivyo historia kama hizi zenye athari kiimani mpaka uwe mtu wa kutoka.

    • @naswidiaabdulkarim5005
      @naswidiaabdulkarim5005 3 ปีที่แล้ว

      Mm shahdi nmefka mpaka ktk jiwe na nmelishka ni mwka 2019 tuu walasio zamani

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 4 ปีที่แล้ว +3

    Maneno matupu yasiyokuwa na ushahidi wa Quraan wala Hadithi!
    Bidaa na Uzushi ndio sumu ya Uisilamu

    • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
      @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 ปีที่แล้ว

      Masalafy munamatatizo Sana

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 4 ปีที่แล้ว

      Tatizo lako ni uzushi ndani ya dini tu
      @@ukhtyanasabintimalikimalik7188

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 4 ปีที่แล้ว

      Kwaiyo hata histori yakilwa unataka Aya nahadithi kweli punguwani kweli kweli

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 4 ปีที่แล้ว

      @@hatibuahmadi7237 Punguani ni wewe unaeamini historia ya Kiisilamu ambayo haimo vitabuni.
      Kwani wewe unafikiri Uisilamu ni paukwa pakawa!?

    • @jamillahaidha8184
      @jamillahaidha8184 2 ปีที่แล้ว

      @@abubakarmuhammadsaid3244 shekh inamaana Allah ameacha kufanya miujiza toka maswahaba waishe mbona Allah hashindwi Nani aandike kwenye kitabu..

  • @mtadehahahhhhhhjunior8525
    @mtadehahahhhhhhjunior8525 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnapewa ushahidi mpk w kisiwa kilipo bado mnabisha,nenda kisiwani ukakione upewe historia n ukumbuk historia huwa haipotei maan utunzwa kw kurithishwa,sio kukomaa n bidaa bidaa tu

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 4 ปีที่แล้ว +1

    Naam tulikuwa tukisoma ndio tukaambiwa bidaa na khasa zile fatha zake.

    • @rabiayusuf8940
      @rabiayusuf8940 4 ปีที่แล้ว

      Ukitaka kufanya kitu anaglia hii ni kinyume na uislam. Sio kila kitu bidaa. Hao wanaosema bidaakuna city ambavyo ni vizuri lakini sio Sunna wana vitenda kama kutumia mobile mtume hakutumia na mambo Tele wa Tele hayakuwepo kipindi cha mitume wala maswahaba.

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 ปีที่แล้ว

    Yani uyu ni sheih ata maongez yake ni mwalimu kabisa

  • @guyogalge2243
    @guyogalge2243 3 ปีที่แล้ว

    He

  • @rashidalbalushi8355
    @rashidalbalushi8355 2 ปีที่แล้ว

    Kwa nini kugeuza jina la WARENO na kuweka WAGIRIKI sbb sheikh kasema ni jahazi la wareno

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 4 ปีที่แล้ว +1

    Ipo kitabu gani hiyo historia tukaisome?

    • @omarjumanne6744
      @omarjumanne6744 4 ปีที่แล้ว +1

      Tembeenii katika aridhi muone tulivyofanya sio kila kitu kiandikwe matukio yapo hujamwerewa shehe

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 ปีที่แล้ว +1

      Kaka tembelea Kilwa akaangalie na ujifunze athari zilizoachwa na Uislam.

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 4 ปีที่แล้ว +2

      Sio kila cha kujifunza ukikute ktk kitabu.
      Vingine utaona vingine utahisi na vingine utasikia.nenda kilwa ushahidi ushatolewa kathibitishe tu.

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa hiyo sheikh hapo darsa la Leo n bid'aa tu !
    Mh ! Nimejifunza baadhi y vitu shukran, ila bid'aa itabaki bid'aa.

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 4 ปีที่แล้ว

    Welcome to our channel "busted Islam"

  • @khamismaulidi4562
    @khamismaulidi4562 3 ปีที่แล้ว

    Ma sha Allah

  • @sajdaahmed9895
    @sajdaahmed9895 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah