Duh , Mimi binafsi ndugu yangu tulimsahau nje ya nyumba yetu wakati wa usiku , basi alikuja kuamshwa na mtu aliye fanana na mimi , na wakati alipofika ndani alinikuta mimi nimelala fofofo.
Mimi nasema kuwa doctor sule ni katika waganga wanao tumia majini na nikatika waganga wa kishirikina hatumzingatii kama ni shekh wala mwalimu katika kufundisha dini watu watahadhari na huyu jamaa nawala watu wasiyanasibishe mambo yake na dini yetu kwakua dini yetu ipo mbali na mambo yake hayo ya kishirikina atakae enda kwa doctor sule basi atambue hatokubaliwa swala zake siku 40 tahadharini na huyo jamaa
Uyu bado ana tetea mapete na majini ana endelea kutoa hoja za kujitetea tetea ,alafu saizi aonekani kama shekh kimwonekano saivi ana kuwa kama wachungaji .
Hawezi kufaulu hoja zake dhaifu cause mtume Muhammad SW aliishi katika nyumba yake miezi mitatu bila ya kufuka Moshi Yani hawapiki kwa maisha yalivyokua magumu kwa nini mtume Muhammad SW hakutumia majini kutafutia fedha? Ina shaitwana lakum aduwun fatakhidhuhu aduwa . Jini huwezi kujua huyu ni mbaya au mwema aweza kwenda kwake akajifanya ni mwema ila kwa vituko vyao ipo siku atamuingiza Jahanam
Katika visa vya manabii tunaona Mara ngapi iblisi alijifanya ni sheikh? Je watu walimtambua kua yeye ni ibilisi? Si mpaka pale mitume wanapopewa ilham na kuwaombia watu kua yeye ni Ibilisi. Mara ngapi ibilisi alimtoa kipofu kwenye shimo analoingia wakati wa kwenda kuswali asubuhi kipofu alishukuru Mara zote na kumuona ibilisi kua ni mzuri lkn alipopewa Siri ya kua kwa nini Ibilisi anafanya hivyo alishangaa
Tukubali kua Qur'an inasema wao wanatuona lakini sisi hatuwaoni, hivyo hatuwezi kumjua yupi ni mwema na yupi ni mbaya na shetani ni maadui zetu tutafute pesa kwa jasho letu kheri kufa masikini kuliko kutegemea majini mwisho wa siku wakudhuru wewe ma familia yako mtu anashtukiwa unafilisika ghafla
@@Moc.khalfan uyu bwana biashara kaweka mbele kwaiyo ana tafuta pesa kwa njia yeyote tu ili mradi ingie kwenye ili jambo mm sijasoma soma elimu ya dini lakini najua alifai, mara ata ngaze wana wake wana mtaka yani aeleweki siku izi sule tulikuwa tunajivunia lkn ana anza kupotea ,sasa ivi makafiri wana anza kutu shambulia tena kuwa waisilamu tuna fuga majini na tuna ushirikiano nao .
@@SalumuMandemla yeah wakiristo watazidi kuona uislam ni dini ya kutumia majini na mapete Dr Sule alikua anyamaze tu sheikh gani Yuko pamoja na yeye Dr Sule basi aombe iopete imshinde ... katika محاظر maa lkaafirin min Kenya
Hivi visa vyenu vya majini tunaomba msitafute vichaka kama ujaelewa Kisa hicho cha shekh Walid nenda kasikilize tena kwa shekhe hakusema kuwa yule bwana alikuwa ni Malaika kwenye kisa yy alikuwa anazungumzia mawalii wa mwenyezi Mungu ndipo akafika kwenye hiko kisa kilichomtokea.
Yule mfanya biashara aliye kuwa akisafirisha mizigo yake akakutana na yule jangili akamionyesha njiya kisha akampora mizigo yake ana akataka kumuuwa mbona kisa kisimuliwa kama alishuka malaika akaja kumuuwa yule jangili
Malaikaa anawezaa kujaa kwa umbile la binadamu au haiwezekani hivyoo ilaa sele nilikuwaa namuelewaa sana ilaa kwasasahivi nimemtokaa kabisaa katikaa mashekh wangu
Yesu katajwa wapi kwenye koran yenu,mnajaribu Kuwaingiza wakristo kwenye upumbavu wenu.Waislam mlio wengi mnashindwa kuacha uislam wenu kwasababu ya mapokeo tu lakini hata ninyi wenyewe mna mashaka makubwa juu ya mtume wenu ndiyo maana waislam wengi wa mashariki ya kati wanauacha uislam kwa kasi baada ya kugundua Muhammad alikuwa tapeli kwa mafundisho yake ya uongo
Kipo kisa Cha swahaba mmoja mkubwa baada ya kufa kwa MTU Mohamed, huyo swahaba aliwai kuandika barua mtoo, yaani kulikuwa na mtoo ambao ulikauka mai huyo swahaba aliandika barua kuuwamrisha mtoo utoe maji safi Kisha barua hiyo ikatupwa kwenye mtoo baada ya siku chache mtoo ulitoa maji safi na watu wataendelea kuutumia.
Usimwingize Sheikh letu katika Ushirikina wako. Malaika wapo usitake kusema ni majini hayo. Hata kama ni majini kwani Alhabib Walid aliwatafuta tena hao majini na kuwatumia kumletea tena pesa? Yeye ametokewa kupendwa, kuna majini wanakuja hata kwenye darasa ya Walid kusikiliza mawaidha. Wacha kuwakanganya watu wasio na Imani.
@@hakambashe8421 hicho kisa nilikisikia kwa shekh abalqasim TV alikuwa anatowa mawaidha kuhusu majini katika akakisimulia hicho kisa, na swahaba mwenyewe kama sijakosea kama si abuubakar basi Omar kwasababu kati ya hao ndio walishikilia uwongozi baada ya mtu Mohamed kufariki. Andika TH-cam channel abalqasim TV ukajifunze mengi
Yaani Sule anasema kweli hata kama baadhi ya Waislamu mnampinga!! Uislamu na majini Damdam Walisilimu wakawa Waislamu Surat Jinn 72: 1-15 kwa hiyo hao ni ndugu zenu katika imani hivyo kwani kuna kosa kumtumia ndugu yako kukuletea manufaa kama anavyosema Sule?😊
Hiyo sura umeweka aya ila bila kusoma bila akili. Kwenye sura jini inaeleza wapo waislamu na wengine makafiri ambao wameacha haki. Mlivyokuwa mazezeta nyie majini mnadai walikuwa malaika.
Tumcheni allah Twamuomna allah atuepushe na maradhi lakini Dr ukipatatwa na mitihani utaridi kwenye njia sahihi utamkumbuka allah utawasahau majini sasahivi wewe tumia neema za Allah upendavyo faidika na nyota zako lakini masiku yanabadilika
acheni ushamba b usheikh ni elimu na si muonekano kwan wangap wanavaa kanzu na wana kula nguruwe na wapo wanaovaa kofia na wanakunywa pombe na kushinda baa acheni kuongea maneno mabaya kwa sheikh sule mnamkosea sana na kumkosea allah pia!!
Mnamtukana shehe wenu kwasababu elimu ni ndogo lakini vitabu vyenu vinasema mwanamke wa kiislamu akiwa kwenye swala hatakiwi kuvaa chupi kwasababu kuna majini wanajua kumuingilia na yeye hujisikia raha sana
Huyu ni mshirikina huwezi mwanadamu ukashilikiana na wale viumbe kama hujawa mchawi lazima wanafuata viumbe waovu wenzao wanadamu, majini wema wanaishi kivyao hawana time ya kuingia kwa mtu lakini huyu anatetea ugali wake
Mtume anafundisha yy pekee ndie jini/sheitan hawezi kujimithilisha na mtume saw kwa hiyo ukimuota mtume saw ndotoni ni kweli umemuona mtume saw kupitia ndoto
😂😂😂yani huyu jamaa anavyocctiza kuhusu majini yani mpk anakataa Mungu hawez kutuma malaika ila anawatuma majini aisee Mungu muongoze vzr mmja wako huyu
MashaAllah we love you bcz of Allah
Duh , Mimi binafsi ndugu yangu tulimsahau nje ya nyumba yetu wakati wa usiku , basi alikuja kuamshwa na mtu aliye fanana na mimi , na wakati alipofika ndani alinikuta mimi nimelala fofofo.
Duh
Mimi nasema kuwa doctor sule ni katika waganga wanao tumia majini na nikatika waganga wa kishirikina hatumzingatii kama ni shekh wala mwalimu katika kufundisha dini watu watahadhari na huyu jamaa nawala watu wasiyanasibishe mambo yake na dini yetu kwakua dini yetu ipo mbali na mambo yake hayo ya kishirikina atakae enda kwa doctor sule basi atambue hatokubaliwa swala zake siku 40 tahadharini na huyo jamaa
kuna video yake anazungumzia uzazi wa mpango ni pumba tupu apo ndio nilijua km huyu jamaa hana udoctor wala usheikh ni msaka tonge
Kabsa huyu jaahil ni mganga anaetetea majini
Leo hii amekuwa muongo wakati mlikuwa mna mkubali
Unataka Kusema hajawahi kupatia hata siku moja! Mtu akipatia anasifiwa akikosea anakosolewa tu, Shida iko wapi?@@FridayMwassa
Uyu bado ana tetea mapete na majini ana endelea kutoa hoja za kujitetea tetea ,alafu saizi aonekani kama shekh kimwonekano saivi ana kuwa kama wachungaji .
Hawezi kufaulu hoja zake dhaifu cause mtume Muhammad SW aliishi katika nyumba yake miezi mitatu bila ya kufuka Moshi Yani hawapiki kwa maisha yalivyokua magumu kwa nini mtume Muhammad SW hakutumia majini kutafutia fedha? Ina shaitwana lakum aduwun fatakhidhuhu aduwa . Jini huwezi kujua huyu ni mbaya au mwema aweza kwenda kwake akajifanya ni mwema ila kwa vituko vyao ipo siku atamuingiza Jahanam
Katika visa vya manabii tunaona Mara ngapi iblisi alijifanya ni sheikh? Je watu walimtambua kua yeye ni ibilisi? Si mpaka pale mitume wanapopewa ilham na kuwaombia watu kua yeye ni Ibilisi. Mara ngapi ibilisi alimtoa kipofu kwenye shimo analoingia wakati wa kwenda kuswali asubuhi kipofu alishukuru Mara zote na kumuona ibilisi kua ni mzuri lkn alipopewa Siri ya kua kwa nini Ibilisi anafanya hivyo alishangaa
Tukubali kua Qur'an inasema wao wanatuona lakini sisi hatuwaoni, hivyo hatuwezi kumjua yupi ni mwema na yupi ni mbaya na shetani ni maadui zetu tutafute pesa kwa jasho letu kheri kufa masikini kuliko kutegemea majini mwisho wa siku wakudhuru wewe ma familia yako mtu anashtukiwa unafilisika ghafla
@@Moc.khalfan uyu bwana biashara kaweka mbele kwaiyo ana tafuta pesa kwa njia yeyote tu ili mradi ingie kwenye ili jambo mm sijasoma soma elimu ya dini lakini najua alifai, mara ata ngaze wana wake wana mtaka yani aeleweki siku izi sule tulikuwa tunajivunia lkn ana anza kupotea ,sasa ivi makafiri wana anza kutu shambulia tena kuwa waisilamu tuna fuga majini na tuna ushirikiano nao .
@@SalumuMandemla yeah wakiristo watazidi kuona uislam ni dini ya kutumia majini na mapete
Dr Sule alikua anyamaze tu sheikh gani Yuko pamoja na yeye
Dr Sule basi aombe iopete imshinde ... katika محاظر maa lkaafirin min Kenya
Kisa cha shekh walid hiko, yule shekh aliechukua barua alikua ni walii wa mungu, tuwe makin na ndim zetu
Nani kakwambia?
Umejuaje ni walii?
Shekh nakuelewa sana
Kwanini dr sule unalazimisha issue ya majini unaleta visa vya majini ili utukufurishe
Hivi visa vyenu vya majini tunaomba msitafute vichaka kama ujaelewa Kisa hicho cha shekh Walid nenda kasikilize tena kwa shekhe hakusema kuwa yule bwana alikuwa ni Malaika kwenye kisa yy alikuwa anazungumzia mawalii wa mwenyezi Mungu ndipo akafika kwenye hiko kisa kilichomtokea.
Yule mfanya biashara aliye kuwa akisafirisha mizigo yake akakutana na yule jangili akamionyesha njiya kisha akampora mizigo yake ana akataka kumuuwa mbona kisa kisimuliwa kama alishuka malaika akaja kumuuwa yule jangili
Hadithi feki hizo mtu wangu
Malaikaa anawezaa kujaa kwa umbile la binadamu au haiwezekani hivyoo ilaa sele nilikuwaa namuelewaa sana ilaa kwasasahivi nimemtokaa kabisaa katikaa mashekh wangu
Kwan lini alikuwa shekhe huyo?
Leo mmepatikana
kweniyupo katka sisi asiekua mshilikina kama asiekua mshilikina basi itakua asilimia 10 tu kwanza munajua sifa zaushilikin namuomba mtu anitajie sifakum zaushilikina ambaya mtuakiwa nayo mojatu nimshilikina . Mimi nitataja chache 2kuamn ilizikua nikinga kwamwanada 2 kuamn yesu nimwana wamungu 3 kuamin tajiliwako. akifa wewe maishatena una aukuamin babayako akifa aukiongoz wako wanch kuamin akifa wewe utaishi kwatabu .4, kuamin biashala yako kama ujaweka dawa uuzi 5 na kuamin nyumba yako bila kufanya dawa utakuja kulogwa 6 kilaukiumwa wewe ufuyako niumeligwa ataka umepima ukaambiwa iyoni Malalia wewe umin unaamin umelogwa izo zote ukiwa nasifa moja kat yaizo wewe nimshilikina
Yesu katajwa wapi kwenye koran yenu,mnajaribu Kuwaingiza wakristo kwenye upumbavu wenu.Waislam mlio wengi mnashindwa kuacha uislam wenu kwasababu ya mapokeo tu lakini hata ninyi wenyewe mna mashaka makubwa juu ya mtume wenu ndiyo maana waislam wengi wa mashariki ya kati wanauacha uislam kwa kasi baada ya kugundua Muhammad alikuwa tapeli kwa mafundisho yake ya uongo
Kipo kisa Cha swahaba mmoja mkubwa baada ya kufa kwa MTU Mohamed, huyo swahaba aliwai kuandika barua mtoo, yaani kulikuwa na mtoo ambao ulikauka mai huyo swahaba aliandika barua kuuwamrisha mtoo utoe maji safi Kisha barua hiyo ikatupwa kwenye mtoo baada ya siku chache mtoo ulitoa maji safi na watu wataendelea kuutumia.
Hyo Swahaba anaitwa nani? Na hii hadithi naipata wapi akhui?!
Usimwingize Sheikh letu katika Ushirikina wako. Malaika wapo usitake kusema ni majini hayo. Hata kama ni majini kwani Alhabib Walid aliwatafuta tena hao majini na kuwatumia kumletea tena pesa? Yeye ametokewa kupendwa, kuna majini wanakuja hata kwenye darasa ya Walid kusikiliza mawaidha. Wacha kuwakanganya watu wasio na Imani.
@@hakambashe8421 hicho kisa nilikisikia kwa shekh abalqasim TV alikuwa anatowa mawaidha kuhusu majini katika akakisimulia hicho kisa, na swahaba mwenyewe kama sijakosea kama si abuubakar basi Omar kwasababu kati ya hao ndio walishikilia uwongozi baada ya mtu Mohamed kufariki. Andika TH-cam channel abalqasim TV ukajifunze mengi
Saidna Omar ibn akhtab na huo mto ni mto nile@@hakambashe8421
Acha kutafuta njia ya kuonekana unachofanya ni sahihi, kubali kukatazwa uovu wa unalolifanya.
kisa cha ukweli kabisa
Miyaka 10 iliopita niliambiwa dr. nitapeli, sikuamini lakini sasa nakubali
Yaani Sule anasema kweli hata kama baadhi ya Waislamu mnampinga!! Uislamu na majini Damdam Walisilimu wakawa Waislamu Surat Jinn 72: 1-15 kwa hiyo hao ni ndugu zenu katika imani hivyo kwani kuna kosa kumtumia ndugu yako kukuletea manufaa kama anavyosema Sule?😊
Hiyo sura umeweka aya ila bila kusoma bila akili. Kwenye sura jini inaeleza wapo waislamu na wengine makafiri ambao wameacha haki. Mlivyokuwa mazezeta nyie majini mnadai walikuwa malaika.
Wazungu ndio wanatumia majini kuliko mtu yeyote ila kwao tunasema sayansi ispokua kwetu ni Uchawi 😅😅
Acha uwendazimu wewe nitakulushia jini sasaivi
@@Onlyforfun1992tube😂😂😂😂😂😂😂 Rusha huyo jini wako tuone!! Kwangu wanafyata mkia kama mbwa koko😂😂😂
siku nipate hata picha na huyu shekh INSHAALAH
We sulle mche Allah, malaika wanakuja sana kwa wanaadamu, sasa kila mwanaadamu ana malaika kulia na kushoto wanaandika kila kitu
Kama una malaika mbona unakabwa na wachawi,je hao malaika wanamsaada gani unaminywa usiku
@@FridayMwassa Are you a muslim? Soma suratul Al-infitar aya ya 10-11
Tumcheni allah
Twamuomna allah atuepushe na maradhi lakini Dr ukipatatwa na mitihani utaridi kwenye njia sahihi utamkumbuka allah utawasahau majini sasahivi wewe tumia neema za Allah upendavyo faidika na nyota zako lakini masiku yanabadilika
SAHIHI
Malaika Mtoa Roho (Malakul Mauwt) anawashukiaga Wakina Nani Kuwatoa Roho? Nakuuliza Dr. Sulle.
Anamshukia kila moja alie fikia kifo chake na si baadhi ya watu
Hapana musifadhaike,sule Yuko sawa tu ,mm namuaminia alafu huyo ana elimu ya juu! Wapi hamumuelewi? Dr sule uko sawa endelea kutupa elmu
Shehe Warid ni mnyenyekevu ndo maana amepata shehe wa mkoa wa DSM
acheni ushamba b usheikh ni elimu na si muonekano kwan wangap wanavaa kanzu na wana kula nguruwe na wapo wanaovaa kofia na wanakunywa pombe na kushinda baa acheni kuongea maneno mabaya kwa sheikh sule mnamkosea sana na kumkosea allah pia!!
Kwako nguruwe ndiyo harama ila uchawi na zinaa wala huoni kwamba ni shida
Shekh unahatar sana unataka pesa tu
Mnamtukana shehe wenu kwasababu elimu ni ndogo lakini vitabu vyenu vinasema mwanamke wa kiislamu akiwa kwenye swala hatakiwi kuvaa chupi kwasababu kuna majini wanajua kumuingilia na yeye hujisikia raha sana
Hauna akili ww
Sule acha kutema ujinga wako na kuwahadaa waislamu acha utapeli wako kupitia dini✓
Uislam wenyewe uliletwa kwa upanga
Shekhe unamifano ya kijailia.unapoteza nuru yako.sule waslamu wana yajua vizur majini mtu yoyote.tatizo kushilikiana ww unafanya nakazi.
Hakuna darsa alotoa huyo mshirikina, wallah allah ameahid kuwafedhehesha wanafiq, mmja wapo ni ww
Ivi hio story nani hapo sasa kamtumia jini
Kwakwel shekh huchoshi yaan unatufunza vingi mno
Huyu ni mshirikina huwezi mwanadamu ukashilikiana na wale viumbe kama hujawa mchawi lazima wanafuata viumbe waovu wenzao wanadamu, majini wema wanaishi kivyao hawana time ya kuingia kwa mtu lakini huyu anatetea ugali wake
Mtume anafundisha yy pekee ndie jini/sheitan hawezi kujimithilisha na mtume saw kwa hiyo ukimuota mtume saw ndotoni ni kweli umemuona mtume saw kupitia ndoto
Dada yangu Yesu anakupenda achana na mafundisho potofu hayo
Nimbishe kama harmonize
Endelea kutetea ujinga wako ila ww ni mshirikina, una point za hovyo
Hawo ni mawalii jamani sio majini
Kwaiyo doctor Unatuambiaje Kuusu Hao jamaa Walio Kuja na Gari Walikuwa Wakina Nani ?
Mawalii wa allah
Huyu jamaa dah!
Lakini uyo niukafiri anajitetea ni mganga wakienyeji anataka hela uyo
Yani huyu angekuwa msa angelikuwa ashanyanganywa liseni asitangaze tena.huyu mganga wa Jadi.
wote waongo
Sema wachaw mnatisha 😂😂😂
hili jamaa ni mganga wa kienyeji na mapete yake ya kishirikina.
Sule umevulugwa kaachini utafakari utakufa mshirikina na unajua hukmu ya mshirikina. Wacha kutumia story kuegemezea ushirikina wako
Fanya toba tafadhali
Bongo dareslam, wizi mtupu malemba na kujitia kusali
Shehe ubwabwa pesa mbele
sheikhe una bleach au?
Bleach sio haramu ila super black ndio haramu. Nenda kasome.
@@mfaumeally4476 sikusema ni haramu ila haipendenzi
Anataka kutuambia sheikh walid anaamin majin..tulia tumtafte sheikh yule alizungumzia mada ya karama za allaah sio majini mgumbaru wewe
Uyu jamaa na majini😂wake bhana
Shubha za huyu ni dhaifu
Hakuna😂skh hapa
😂😂😂yani huyu jamaa anavyocctiza kuhusu majini yani mpk anakataa Mungu hawez kutuma malaika ila anawatuma majini aisee Mungu muongoze vzr mmja wako huyu
Ana elimu kubwa acheni atufungue masikio