DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ม.ค. 2023
  • Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd David Mulokozi, amefanya mahojiano maalum na kituo cha radio cha FM Manyara kilichopo mjini Babati.
    Katika mahojiano hayo mambo mbalimbali yamezungumzwa na kujadiliwa kwa kina, hasa yale ya kuzifungua fursa mbalimbali, kuwatia moyo na kuwajenga vijana kiuchumi.
    #Mati #FmManyara

ความคิดเห็น • 45

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx 8 วันที่ผ่านมา

    Mb hazijaenda bure aaiissee,Big up sana Mr Mulokozi

  • @irineadisa7289
    @irineadisa7289 5 หลายเดือนก่อน

    Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-iu8oj5gb6y
    @user-iu8oj5gb6y 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu

  • @user-yz2it2qm3p
    @user-yz2it2qm3p 5 หลายเดือนก่อน

    Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,

    • @user-yz2it2qm3p
      @user-yz2it2qm3p 5 หลายเดือนก่อน

      Kinywaji mpaka huku mtwara kilo?

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mulokozi ni genius

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 5 หลายเดือนก่อน

    Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 ปีที่แล้ว +2

    Pigania uko vizuri MTU Wangu

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo .
    Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .

    • @aminakassim831
      @aminakassim831 5 หลายเดือนก่อน

      Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao

  • @user-eb8om4ur6h
    @user-eb8om4ur6h 5 หลายเดือนก่อน

    Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 5 หลายเดือนก่อน

    David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน

      Daah ila ww jamaa umejaa majungu balaa 😂😂😂😂

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 5 หลายเดือนก่อน +2

    Namuelewa sana uyu mwamba

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Ubarikiwe sana

  • @jamesmassamakeri2418
    @jamesmassamakeri2418 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asante boss

  • @stellapaul4844
    @stellapaul4844 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika ni kweli

  • @charlesmarwa6513
    @charlesmarwa6513 5 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa

  • @stellapaul4844
    @stellapaul4844 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara

  • @user-un3np6ie9k
    @user-un3np6ie9k 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน

      Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 ปีที่แล้ว +2

    Kweli Mati ni pana

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 5 หลายเดือนก่อน +2

    Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii

    • @rademm8924
      @rademm8924 5 หลายเดือนก่อน

      Mbali wapi?

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli mkurugenzi

  • @mzidalifazaid4389
    @mzidalifazaid4389 ปีที่แล้ว +2

    Mambo Ni moto

  • @lissavalence169
    @lissavalence169 ปีที่แล้ว +2

    Naam safi

  • @PaulHondi-hl8sz
    @PaulHondi-hl8sz 5 หลายเดือนก่อน

    Nimependa hiyo 🎉

  • @JosephJohanson
    @JosephJohanson 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana brother

  • @doristusepile6792
    @doristusepile6792 5 หลายเดือนก่อน +1

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 5 หลายเดือนก่อน

    Zi is the best

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante

  • @erickshayo1363
    @erickshayo1363 ปีที่แล้ว +3

    💪💪💪

  • @user-ki8st9qt9w
    @user-ki8st9qt9w 5 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza vingi kutoka kwa huyo braza

  • @jumachambega
    @jumachambega 3 หลายเดือนก่อน

    nakubari san

  • @JOHARISIZYA-sh6fp
    @JOHARISIZYA-sh6fp 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 5 หลายเดือนก่อน +2

    Point tupu

  • @edwardlubega5428
    @edwardlubega5428 5 หลายเดือนก่อน +1

    Madini ya kutosha

  • @bintsuletv4095
    @bintsuletv4095 ปีที่แล้ว +2

    Mati ni Pana

  • @shenazissa7490
    @shenazissa7490 5 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏👍👍

  • @MartinRupia
    @MartinRupia 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi Nina mipango lkn cna mtaji nimejiajiri nahitaji msaada wako

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote