Ommy Dimpoz: Alikiba ukaribu umepungua, unamuongeza kwenye list ya Maadui - PART 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Ommy Dimpoz katika interview hii ameongelea ishu za kutokuwa karibu tena na Alikiba, Maisha anayoishi, Stori za kuacha Muziki na mambo kibao
Subscribe channel hii LilOmmyTV kuangalia full interview, Like, Comment na Share video hii kwenye WhatsApp Groups na Mitandao yako ya kijamii.
#LilOmmy #OmmyDimpoz #Podcast
Safi sana Ommy! Maisha yako Ni maisha yako si lazima yawe Ni matangazo! Hiyo email wangekuwa wasanii Fulani hapa ingetembea kwenye kila chombo Cha habari! Huo Ni ukuaji uliotukuka!
King of interview hii ni ya moto sana
Woow mr ommy lil ommy na ommy dimpoz nami pia moulla ommy🇧🇮 wanangu wa tz nipe like zangu me number one kuona interview ku like ku comment
Naona una msupport mazina yako bro👏👏👏
Mahedesss
Nawakubali xana endeleni na urafiki wenu huohuo mungu awape pumzi😍😍😍😍
Huwa napenda ommy anavyoongea upo polite sn Kaka 🙏🙏
Perfect interview , both ommy's seem really down to earth, much love from malawi 🇲🇼
Enjoy
It's only artist in Tanzanian I like him because he's very honesty man and he's never lie for everythings he saying . 🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
Surely
Ommy keshapotea cha ukweli,mimi ni number one fan wake na ofcourse pia mimi ni fan wa lilly Ommy.Much love from Kenya.
Kapotea Nini Tena wakati ametafuta tobo lingine la kupata hela mzik wa tz haulip inabidi uangalie the way utapata hela
Humble sana Ommy 🔥🙌
Nampenda Omi anaumuwek mungu sna mbele...
This is the 1 of the celebs in tanzania wakiongea hawana kutwenge(kujishauwa) katika kuongea anaongea simple. Kina nyinyi lil ommy muonangea kiswahili lakini mapozi kibao kama dem
Bro nimekubali this interview
Love from Burundi 👊👊👊
Enjoy
#LilOmmyTV
The MVP
Half man Half Amazing 👏 🙌
King ,,, much respect much
Wow
Daaah maisha ya bongo magumu eti lily Ommy anunue cheni ya milioni 50 ukooo utampa laana eti mtoto kachanganyikiwa 😂😂😂😂Ommy dimpoz mcheshi sana
We realy miss you ommy💪
Mvp tambwe fanya utuletee diamond 💎 🙌
Ommy 🔥🔥🔥
Nampenda ommy kwaajili ya Allah mstaarab sana ,majibu na maswali👍👌 ❤🇨🇭🇹🇿
Ommy hana nouma yuko good
Namuelewa sana pkp📌
Nice interview
The MVP
Lets go
your same like me ❤ exactly 💯
Fact 🔥🔥🔥
Interview Kali sana
Dollar Moja za kitanzania ....I like it
On the wall also... Logo of GSM.... I saw it
🔥 🔥 🔥
👍👍noma sana
bonge la interview ommy dimpoz
🔥🔥🔥
nimekuelew huyo ndio wew huko sahih u always u
Nomaaaaaa MVP
Hongera
MVP ...Much respect from 🇶🇦🇶🇦
Enjoy,
Ha! Sasa ommy itakuwaje ukiowa mke ama ukiwa nawatoto? utapata shida ndugu yangu kwagisi unapenda kitu kiwe kama unakitaka Hmmmm hapa kazi ipo
tatizo Dimpoz anaOngea sanA !!!!!
I like
👊👊👊👍
Wooow
Hiyo track suit nimeielewa broo
I wish Ali Ange understand hivyo ommni anavyosema about his funs Alikiba angukuwa ameniunderstand vile....
Nimekua wakwanza
Huna watoto wew,,Ukizaa utaelewa TU huo ugonjwa wako WA usafi kuwa hauna ila unajifanyisha
🤣🤣🤣🤣
dimpoz 🇹🇿🇹🇿
Duuuuh usd dollar 10,000 per night masaa 8 kulala milioni 23 naenda mbinguni
Mambo VIP bro please mtafute spark alieimba na tunda tunahitaji kujua mengi juu yake Ana kitu yule mtafute bro
M nakukubar
❤️❤️❤️❤️
Tambweeeee💣
Duu kaka Angu ommy
Uta owakeli kwausafi uo
Lakini nyota zenu ndoziko
Ivyo mpo kama sisi tuma
Ana mimi mwenyewe ugo
Viwangu mkubwa kuusu
Uchafu yaani mpaka wana
Niona kama naringa lakini
Wanaonijua wa najua toka
Mdogo niko ivyo washani
Zoea Shida kawasonijua
Yaani akiigia mtutu akitoka
Lazima niweke tenasawa
Mambo
Ommy dimpozz anaimba sana lakini ananiboa sana kuongea sana unaulizwa kitu ww unaongea sana watu wengine kama sisi hatutaki meme mingi
🤣🤣🙌
Sasa unataka binadamu wote wawe Kama wewe?
Nadhn hyo ya usaf inaweza kuwa nd sabb ykuchlewa kuoa
😘😘😘
Ukatili mwingi
Unyama
🤲🇰🇪🔥🙌
Mjanja huyu😀😀hahaa kafikilia,,Harmo,,Mondi,,Kiba,,Marioo,,no😷😓😀😀hahaa amuweka mfano Roma mkatoliki on out of plan😀😀✌🏿😅
Aiseee usaf ulioptiliza
We mke huwezi wewwe
Duuu
Wendini gani kaka
Muislaam
Wakufuata awe platnumz basi tumuone apa
Usafi ni muhimu lakin
He definitely got OCD 🤣🤣🤣
Huwezi kuwa na mwana mke wewe mshenzi
Yani huo usafi tumboni hnatembea na mvi
Bibi ya Ommy Dimpoz ana shida
Track kali sana Ommy