Sehemu ya Pili: Afisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Gani Na Anafanya Nini

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ย. 2020
  • Hii ni sehemu ya pili ya mapitio ya kitabu changu cha "Afisa Usalama wa Taifa Ni Mtu Gani Na Anafanya Nini" aka "Shushushu" ambapo katika episode ya kwanza niliongelea utangulizi, na sehemu hii ni sura ya kwanza inayoongelea maana hasa ya Uafisa Usalama wa Taifa.
    Inagusia tofauti kati ya nchi na nchi, ambapo kwa mfano wakati Uingereza na Marekani zina idara kadhaa za Idara za Usalama wa Taifa, Tanzania ina moja tu yenye kurugenzi/vitengo mbalimbali.
    Kadhalika aina mbalimbali za ukusanyaji wa taarifa za kiusalama, pamoja na matendo manne ya adui - ugaidi, uzandiki, hujuma na ugaidi, ni vitu vinavyoongelewa.
    Kama huja-subscribe chaneli hii, fanya hivyo hapa bit.ly/JiungeTH-cam
  • บันเทิง

ความคิดเห็น •