KIKEKE AFICHUA SIRI ZA BBC/ TUNARIPOTI MABAYA YA AFRIKA?/ NILIJUA MAPEMA/ ZUHURA YUNUS ALIANDALIWA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2022
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Leo ndiyo mmeona kuwa mnatumiwa vibaya. Wakati mnamtukana Rais wetu kipenzi chetu ,Baba Magufuri mlimtukana saana huyu baba leo hii tukae tukusikilize sahau.
Karibu sana bro.
Wewe ndio mzalendo na umefanya vizuri sana kurudi kujenga nnchi yako
Ni uwazi na ukweli BBC ilinikera sana mara nyingi mf. Kuwaongelea viongozi wetu wa Afrika vibaya, mf. Gadaf,Magufuri, n.k nashangaa mbona hawawazungumzii viongozi wa Marekani kwa maovu yao vita na oparesheni mbalimbali tena chafu mno Afrika na duniani kote
Baada ya miaka yote kupokea mshahara mnono leo ndio Kikeke unapayuka hayo.......Unafiq wa hali ya juu kabisa !
Mimi nauliza suala holi kwanini wandishi wa habari wa African hawapewi nafasi za kuwahoji viongozi wa ulaya au American au waondo watakatifu kama vyombo vyao vinavyo viongozi wa African? Naomba jibu ilinijuwa
Ivi uandishi wa habari una mipaka bwana kikeke? Tujuze tafadhali
Asante
kaongea ukweli hata mangine hatakiwi kuongea
Yaani mnalipwa pesa Ili ukashfu nchi Yako dah!!! Yaani watu wa namna hii mnastaili risasi! Usaliti mkubwa!
Hao kina Kikeke ni watuma tuu hapo BBC hawatoi habari za ukweli chombo cha habari za ukweli ni Aljazeera tuuu
Ukimjua mmiliki wa BBC na al jazeera pia ukamjua mmiliki wake utajua nikweli alijazeera wapo sahihi au laaa 😅😅😅
Bbc walishindwa kuonesha ufunguzi wa wold cup 2022 kwa ubaguzi
mbona mtangazaji akiuliza maswali haonekani
Na wewe tena no comment makubwa
So nice so smart!