ameongea vizuri kwa sababu alikaa sehemu ambayo kila mmoja anazungumza kiswahili, ambako ni Tanzania (Zanzibar). ukiwa kwenye mazingira ambayo kila mmoja anazungumza lugha fulani, unaweza kujifunza kwa haraka zaidi.
La hasha! Kiswahili hakijapinda kwani twafunzwa Kiswahili sanifu shuleni. Tofauti ya Kiswahili Kenya, nje ya darasa, ni kuwa hatulazimishwi kukizungumza kiswahili sanifu. Twaongea Kiswahili kinachotufaa kulingana na eneo unapoishi. Kando na hayo yote, mkenya atakielewa Kiswahili sanifu bila tatizo.
Andrew N. - Shida ni kwamba asilimia tisini ya wakenya huongea kiswahili cha mtaa na hata ukitaka kuongea kiswahili sanifu unajikuta naongea kama hao watu wengine yaani hicho cha mtaa. Sababu kubwa ni kwamba hutaki uonekane kana kwamba unaringa.
Focus Y Mengi Katika Kenya nzima, kiswahili sanifu sana sana utakipata pwani ninapoishi. Kusema ukweli nilitambua kuwa kiswahili kimekuwa kibovu nilipoenda kusomea Nairobi. Hadi leo nasinywa sana nikiskia watu wakiongea hicho kiswahili lakini mambo ndiyo hayo. Itabidi uvumilie tu bora unaelewa. Lakini tafadhali waKenya wenzangu sio mambo na maringo tumekiaribu lugha sana hata vitu vidogo tumeshindwa kuvitamka. Kama mwenzangu presenter amejaribu lakini hapo amekula maembe kidogo. Kiswahili kitukuzwe🙆🙆🙆🙆🙏🙏🙏
Kumamazao,,, waki peta muzugu moja aki ongeya swahili,, ati ndiyo mambo yaku shanga,,, miya kabila muhindi mwafirika,, na ongeya, and swahili, kingereza, ma lugha karibu 4 za kabila baniani,, sheng na alewa na kuongea bila breaki ,,, peka leo BBC, CNN AU ALJAZERA hawa kuni temblea kuni uliza mawezo zangu,, muzugu mavi tupu,, mungu ya waafrika, Muna mu abdu ka hamuna bindamu mwingine afahamu swahili 😤😤😤
Kenya sio chi ya kipekee inayobeba lugha nyingi. Wakenya wana kiburi na wanapenda kurukia lugha za ughaibuni wakidharau na kukejeli kiswahili. Tanzania sana lugha zaidi ya 100 bi dada! Kenya inafaa tupende mambo ya kwetu.
After studying almost every subject in English and for nearly two decade, you have no respect for someone who took language for leisure, with little to no material available online. Try and learn some Japanese, Dutch or Spanish and your ignorance will be over before you know it chap!
That's amazing. I'm ashamed because I can no longer speak Kiswahili sanifu. In my defence, we speak too many languages and Sheng just makes things easier because it brings them all together.
Swahili brought all the languages together back then. There are still many around the world who speak it. It is one of the most interesting languages mostly to women who don't speak it 😊
Presenter amekula maembe kidogo kwa sasa yualamba vidole kwa mshtuko. Kiswahili cha mwenzake cha tiririka tiriri kama mchuzi wa bata utakosaje kushtuka. Kama tamu lamba. Hongera kaka Mungu akujalie 👏
Ma sha Allah. Kijana umenifurahisha sana. Unaongea Kiswahili kwa njia nzuri lakini kuna baadhi ya marekabisho yanahitajika. Kuwa unasema NITAKWENDA badala ya kusema NITAENDA. Kisha uongeze raha kwa kutamka kiswahili NTAKWENDA. Mimi nawashukuru Wazungu walinifundisha kiingereza.
Kiswahili yako ni safi kabisa! Tafadhali soma Kitabu yangu, naitwa 'Speak Swahili, Dammit!'. Unaweza kupata kwa Amazon. Hii no mambo zangu, ya kukua mtoto ndogo kwa Tanzania na Kenya. :-)
Kinaya ni kuwa Kiswahili cha yule mzungu ni sanifu kuliko cha anayemhoji ambaye ni mwenyeji wa lugha hii. Wakenya jamani,tuienzi lugha yetu adimu ya Kiswahili.Mwacha mila ni mtumwa.Huwa na tamauka sana kuwaona baadhi ya Wakenya wakiwadhihaki WaTz eti hawajui Kiingereza vizuri.Eti wanakazania Kiswahili tu.Hivi unatoa wapi ujasiri wa kumsimanga mtu anayezungumza lugha yake ya asili vizuri kuliko wewe mwenyewe?!Hiki Kiingereza tunachojivunia,Mwingereza anapotusikia tukikizungumza yuacheka tu!Huwezi zungumza lugha ya mwenyewe vizuri kama mwenyeji wa lugha yenyewe!
Huyu kaka kawaonyesha vile kiswahili chetu kinapendwa na kutukuzwa. Waafrika wengi huwa wanajikataa na kutoongea lugha yao adimu na azizi ya kiswahili. Tafadhali ninawaomba muachane na fikira za utumwa hizo. Tafakari na kuzingatie kiswahili chetu.
to have learnt all that Swahili in about 3yrs only he has done so well...but of course he is speaking what he has been taught....today i can speak good swahili.but because there is nobody to speak good Swahili with that's why I speak sheng...he said he is going to work as interpreter after his education... or even a diplomat...he is a smart guy....its a funny the way a he explains how a Kenyatta university student commented behind his back that she really wanted him so bad not knowing he could understand every Swahili word...then he left a group of student shocked after he responded by asking the young lady how many cows did her father want and then off he proceeds with his business😂😂😂
lol my friends and I once tasted after a guy, not knowing he spoke our home language. Haha we were so mortified when finally revealed that he understood everything we were saying.
Ukweli kabisa! Kiswahili cha kenya hasa bara Nairobi hakina maama.Hii lugha ya "sheng" ni lugha ya machokora,!! Hata hapa kwetu Mombasa hatuitambui, inazungumzwa ni hao wanaotka bara. Aibu kubwa sana kuacha lugha ya maana na kubuni takataka!! Ulichukua uamuzi wa maana,Fanya hima uje Mombasa,na kisiwa cha Aamu (Lamu Island) nawe tukupe shahada, kwani ukihitimu Kiswahili cha miji hii mitatu,( Zanzibar, Mombasa, Lamu) ni kama umehitimu ulimwengu mzima wa Kiswahili.Utatoa Kajama tukupe jina la kimwambao, Upo!!!
Endelea kujipa imani hiyo hiyo ya Zanzibar, Lamu na Mombasa. Kaka acha shobo Kiswahili kinatumika kwa mapana sana hapa Tanzania iwe Kilwa, Unguja, Tanga, Pemba, Dar es Salaam sasa wewe ona tu Mombasa na Lamu baki hivyo hivyo
Ni aibu kubwa sana kuona baadhi ya wakenya hawawezi kuzungumza kiswahili kwa sababu wanaona aibu watatoa picha ya kuwa hawajaelimika. Wageni wanakuja kujifunza lugha hii yetu lakini sisi twaipuuza. Ni jambo la kuhuzunisha sana! 😔
its a free world. do wat will make you feel the best about yourself. kama ni kuongea swahili ongea ndugu, if its english speak and feel gd about urself.
Lady I never said we have to hold people at gun point and force them to speak Swahili. I was just highlighting the sad state of affairs going on with most Kenyans who undermine their language and treat it as a language of the uneducated while the rest of the world is wowed and amazed by the richness of this language.
Nakubaliana nawe kabisa.Mkenya yeyote asemaye hawezi kukizungumza kiswahili hakika ni kukidhalilisha.Kila Mkenya husoma kiswahili kwa zaidi ya miaka kumi kwa hivyo hakuna sababu yoyote kutokijua.
Jamal Mohamud huwa nashangaa sana na wanyarwanda, wakongo na warundi wanakizungumza Kiswahili bora zaidi kuliko asimilia kubwa ya Wakenya. Aibu iliyoje!
See even Mzungu know Kenyans aren't fluent in Swahili Languages....Kuyu,Luo and English then Coast regional Mombasa and Lamu are good in Swahili.....but Tz we do Swahili everywhere
Ata huyu Mzungu anajua Nairobi watu hawajui kiswahili lakini jambo lakushangaza hao ndo wanongoza kwa mtihani ukiuliza wanasema wanakisoma Kenya jamani
Mimi ni mtanzania lkn kiswahili cha Kenya sikielewi, kuna siku mkenya aliniambia anataka nimpatie Leso, niliangaika kutafuta Leso, kumbe alikuwa anamaanisha Khanga! Leso ni kitambaa cha mafua "handkerchief" Huyu mzungu anaongea kiswahili hasa kuliko wakenya na anaeleweka vizuri.
I give you a straight PASS bro imekizungumza taratibuuuuu....mzungu mswahili wewe na inapendeza zaidi....Hongera kaka...Nawapongeza wazazi wako kukupa hii nafasi humu Africa...Mungu awabariki na azidi kuwapa maarifa..
safi sanaaa! kiswahili anaongea kama mbongo. lakini angalia wakenya Washoe wakasema hata kiswahili ni chao. kwani olduvai wanasema wao Mlima Kilimanjaro wao, hata raisi wetu wanasema wa kwao
any swahili person will tell u..his swahili is amazing....like a native
Unaongea sahihi kenya hakuna Kiswahili lbda Mombasa
Amazing!! brazza anaongea vile vile
@@asafubuheri6900 swahili iko pande zote za kenya
ameongea vizuri kwa sababu alikaa sehemu ambayo kila mmoja anazungumza kiswahili, ambako ni Tanzania (Zanzibar). ukiwa kwenye mazingira ambayo kila mmoja anazungumza lugha fulani, unaweza kujifunza kwa haraka zaidi.
@@mbatatakiazi1678definitely better than using apps innit
damn,your swahili is perfect
He speaks swahili like it was the 1st language he ever heard as a baby !!
nashangaa sana kijana swahili nzuri una iongea
Kwanza the accent is perfect.
That's the most fluent kiswahili i have ever heard from a mzungu
No cap 🧢 me too
Kka kiswahili kimenyooka unawashinda adi ao wakenya😂
anahongea kiswahili kama mswahili, hongera kaka!!!
Dayumn! Challenge accepted. Bet y'all cannot speak Swahili as good as this guy's.
Lol ati Kiswahili kimechafuka Kenya 😂😂
Ukweli tupu.
Jst call me n u see haha
ke
5 yrs later najua unasema Mashakura 😂
Mmmm I like the way anavyoongea Kiswahili ya Bongo
Africa Kiswahili safi zanzibar ukitaka kujua kiswahili njo zanzibar karibu tena zanzibar 🥰 love my country beautiful island zanzibar
Kiswahili chake kizuri kuko changu😩
wow! his grammar, vocabulary and connectives are super. Very impressive!
Wakenya mpo? Kiswahili chenu eti kimepinda, vp?
Focus Y Mengi kweli anaongea Kiswahili kizuri kuliko sisi Wakenya.
La hasha! Kiswahili hakijapinda kwani twafunzwa Kiswahili sanifu shuleni. Tofauti ya Kiswahili Kenya, nje ya darasa, ni kuwa hatulazimishwi kukizungumza kiswahili sanifu. Twaongea Kiswahili kinachotufaa kulingana na eneo unapoishi. Kando na hayo yote, mkenya atakielewa Kiswahili sanifu bila tatizo.
Andrew N. - Shida ni kwamba asilimia tisini ya wakenya huongea kiswahili cha mtaa na hata ukitaka kuongea kiswahili sanifu unajikuta naongea kama hao watu wengine yaani hicho cha mtaa. Sababu kubwa ni kwamba hutaki uonekane kana kwamba unaringa.
Focus Y Mengi Katika Kenya nzima, kiswahili sanifu sana sana utakipata pwani ninapoishi. Kusema ukweli nilitambua kuwa kiswahili kimekuwa kibovu nilipoenda kusomea Nairobi. Hadi leo nasinywa sana nikiskia watu wakiongea hicho kiswahili lakini mambo ndiyo hayo. Itabidi uvumilie tu bora unaelewa. Lakini tafadhali waKenya wenzangu sio mambo na maringo tumekiaribu lugha sana hata vitu vidogo tumeshindwa kuvitamka. Kama mwenzangu presenter amejaribu lakini hapo amekula maembe kidogo. Kiswahili kitukuzwe🙆🙆🙆🙆🙏🙏🙏
Kumamazao,,, waki peta muzugu moja aki ongeya swahili,, ati ndiyo mambo yaku shanga,,, miya kabila muhindi mwafirika,, na ongeya, and swahili, kingereza, ma lugha karibu 4 za kabila baniani,, sheng na alewa na kuongea bila breaki ,,, peka leo BBC, CNN AU ALJAZERA hawa kuni temblea kuni uliza mawezo zangu,, muzugu mavi tupu,, mungu ya waafrika, Muna mu abdu ka hamuna bindamu mwingine afahamu swahili 😤😤😤
hahaha ati kishwahili ya kenya imechafuka.kam tukufunze kikuyu basi.wakenya twaongea lugha mingi bana
Kenya sio chi ya kipekee inayobeba lugha nyingi. Wakenya wana kiburi na wanapenda kurukia lugha za ughaibuni wakidharau na kukejeli kiswahili. Tanzania sana lugha zaidi ya 100 bi dada! Kenya inafaa tupende mambo ya kwetu.
Kuna tofauti ya kabila na lugha..
Anaonge kiswahili bora zid mkenya
Sio lugha mingi ila ni lugha nyingi😂😂😂
Kila kabila tz Lina lugha yake na makabila yako 120
This guy speaks Swahili more than I.
Ok, so what? I speak fluent English and I'm yet to be featured and praised on a UK news program...
😂😂😂Swahili is special
you are so pathetic, very racist comment.......there are thousands of Africans featured in programs UK and some of them in UK govt.
Swahili is special not English coz everybody can ...
After studying almost every subject in English and for nearly two decade, you have no respect for someone who took language for leisure, with little to no material available online. Try and learn some Japanese, Dutch or Spanish and your ignorance will be over before you know it chap!
You are hateful to him because he knows Swahili? Wacha za ovyo bana! You're a racist and you don't even know it.
Whoa! Speaks better Swa than I do, actually better than whoever's doing the interview.... impressed much :)
You speak perfect swahili than myself,woooow
That's amazing. I'm ashamed because I can no longer speak Kiswahili sanifu. In my defence, we speak too many languages and Sheng just makes things easier because it brings them all together.
yes indeed.
Hapo umeweza brathee. Mamorio tutaambia watu nini!?😂😂😂
Swahili brought all the languages together back then. There are still many around the world who speak it. It is one of the most interesting languages mostly to women who don't speak it 😊
Umeowa
Walahi hyu mzungu ananishinda😂😂😂😂😂🤣🤣woiii aibu iliyoje
He speaks swahili so well, yuko vizuri
He speaks better than kenya indians.
He speaks better than me
Presenter amekula maembe kidogo kwa sasa yualamba vidole kwa mshtuko. Kiswahili cha mwenzake cha tiririka tiriri kama mchuzi wa bata utakosaje kushtuka. Kama tamu lamba. Hongera kaka Mungu akujalie 👏
Ma sha Allah. Kijana umenifurahisha sana. Unaongea Kiswahili kwa njia nzuri lakini kuna baadhi ya marekabisho yanahitajika. Kuwa unasema NITAKWENDA badala ya kusema NITAENDA. Kisha uongeze raha kwa kutamka kiswahili NTAKWENDA.
Mimi nawashukuru Wazungu walinifundisha kiingereza.
Out of all videos and this doesn’t have subtitles.....
C.I.A....he he he......
Kiswahili yako ni safi kabisa! Tafadhali soma Kitabu yangu, naitwa 'Speak Swahili, Dammit!'. Unaweza kupata kwa Amazon. Hii no mambo zangu, ya kukua mtoto ndogo kwa Tanzania na Kenya. :-)
Kinaya ni kuwa Kiswahili cha yule mzungu ni sanifu kuliko cha anayemhoji ambaye ni mwenyeji wa lugha hii.
Wakenya jamani,tuienzi lugha yetu adimu ya Kiswahili.Mwacha mila ni mtumwa.Huwa na tamauka sana kuwaona baadhi ya Wakenya wakiwadhihaki WaTz eti hawajui Kiingereza vizuri.Eti wanakazania Kiswahili tu.Hivi unatoa wapi ujasiri wa kumsimanga mtu anayezungumza lugha yake ya asili vizuri kuliko wewe mwenyewe?!Hiki Kiingereza tunachojivunia,Mwingereza anapotusikia tukikizungumza yuacheka tu!Huwezi zungumza lugha ya mwenyewe vizuri kama mwenyeji wa lugha yenyewe!
Kuna wanasanii Kenya wanajiita mbogi ngenje...haha..hapo ndio Swahili ya Kenya imefika
Huyu kaka kawaonyesha vile kiswahili chetu kinapendwa na kutukuzwa. Waafrika wengi huwa wanajikataa na kutoongea lugha yao adimu na azizi ya kiswahili. Tafadhali ninawaomba muachane na fikira za utumwa hizo. Tafakari na kuzingatie kiswahili chetu.
well done muzung nice swahili
I'm coming from Tanzania,, ...kwakweli uko vizuri assse
Hongera unazungumza kiswahili kizuri nimekupenda
kiswahili chako ni cha kiTanzania,uko vizuri sana
Ukijifunza kiswahili tz lazima utaongea vizuri
to have learnt all that Swahili in about 3yrs only he has done so well...but of course he is speaking what he has been taught....today i can speak good swahili.but because there is nobody to speak good Swahili with that's why I speak sheng...he said he is going to work as interpreter after his education... or even a diplomat...he is a smart guy....its a funny the way a he explains how a Kenyatta university student commented behind his back that she really wanted him so bad not knowing he could understand every Swahili word...then he left a group of student shocked after he responded by asking the young lady how many cows did her father want and then off he proceeds with his business😂😂😂
Bernice Tera ni
Bernice Tera imagine that situation 😂😂😂 ati how many cows does your dad want😂😂😂😂 i die
lol my friends and I once tasted after a guy, not knowing he spoke our home language. Haha we were so mortified when finally revealed that he understood everything we were saying.
Ukweli kabisa! Kiswahili cha kenya hasa bara Nairobi hakina maama.Hii lugha ya "sheng" ni lugha ya machokora,!! Hata hapa kwetu Mombasa hatuitambui, inazungumzwa ni hao wanaotka bara. Aibu kubwa sana kuacha lugha ya maana na kubuni takataka!! Ulichukua uamuzi wa maana,Fanya hima uje Mombasa,na kisiwa cha Aamu (Lamu Island) nawe tukupe shahada, kwani ukihitimu Kiswahili cha miji hii mitatu,( Zanzibar, Mombasa, Lamu) ni kama umehitimu ulimwengu mzima wa Kiswahili.Utatoa Kajama tukupe jina la kimwambao, Upo!!!
Endelea kujipa imani hiyo hiyo ya Zanzibar, Lamu na Mombasa. Kaka acha shobo Kiswahili kinatumika kwa mapana sana hapa Tanzania iwe Kilwa, Unguja, Tanga, Pemba, Dar es Salaam sasa wewe ona tu Mombasa na Lamu baki hivyo hivyo
his swahili is better than the interviewer
Wakenya wengi hawawezi ongea kiswahili kuliko huyu mzungu
Unakipata vuzuri kiswhili brother,
I was listening on radio...I would say he if Kenyan...Not even Tanzanian
Ni aibu kubwa sana kuona baadhi ya wakenya hawawezi kuzungumza kiswahili kwa sababu wanaona aibu watatoa picha ya kuwa hawajaelimika. Wageni wanakuja kujifunza lugha hii yetu lakini sisi twaipuuza. Ni jambo la kuhuzunisha sana! 😔
its a free world. do wat will make you feel the best about yourself. kama ni kuongea swahili ongea ndugu, if its english speak and feel gd about urself.
Lady I never said we have to hold people at gun point and force them to speak Swahili. I was just highlighting the sad state of affairs going on with most Kenyans who undermine their language and treat it as a language of the uneducated while the rest of the world is wowed and amazed by the richness of this language.
Nakubaliana nawe kabisa.Mkenya yeyote asemaye hawezi kukizungumza kiswahili hakika ni kukidhalilisha.Kila Mkenya husoma kiswahili kwa zaidi ya miaka kumi kwa hivyo hakuna sababu yoyote kutokijua.
Jamal Mohamud huwa nashangaa sana na wanyarwanda, wakongo na warundi wanakizungumza Kiswahili bora zaidi kuliko asimilia kubwa ya Wakenya. Aibu iliyoje!
Jamal Mohamud chakushangaza sana ni kuskia baadhi ya vijana wakisema hawajui kuzungumza kiswahili ijapokuwa wamezaliwa na wakalelewa humu.
His accent is amazing. Puts me to shame, even when I live in Dar Es Salaam 😅😅😅😅
Best kiswahili than wakenya jmoni hapa ndo pakujifunzia
And Jeff Koinange eti can't talk Swahili
Damn ,Applause to him, i ashamed am staying Kenya more than 2 years na sijui kusema love u kkkkkkk
Hi all of you you should really listen to William Branham's sermons they are so important, urgent they can help you
Kwanini watu Wana jibu na kizungu Tu hapa. Tuna ungea Kiswahili aki
Wow amakwel kiswahili sio kigum
Jamani huyu kaongea kiswahili sanifu!!
More better than me
See even Mzungu know Kenyans aren't fluent in Swahili Languages....Kuyu,Luo and English then Coast regional Mombasa and Lamu are good in Swahili.....but Tz we do Swahili everywhere
wow mpaka nimempenda raha akiongeya kiswahili
Eh no funny mzungu accent at all zeeero
Apanaa chezeyaa tanzaniya Kwa kiswahilii safii
Dude!!! Yo!! His Swa is better than mine! Woi!
And this is News worthy?
Well yes.
Thumbs up... Mimi naongea kingwana
He's excellent swahili
Best kiswahili
wow he's so fluent
Ata huyu Mzungu anajua Nairobi watu hawajui kiswahili lakini jambo lakushangaza hao ndo wanongoza kwa mtihani ukiuliza wanasema wanakisoma Kenya jamani
Mtihani wa Kiswahili tu ?!
Nakupenda sanaa
muzuri sisi na watu ya kenya 😂
acha wewe
kiswahili fasaha kimezaliwa Tanzania
Jeez Louise !!!! Your Swahili is on point !!!damn !
What's his name
Onger sana
Eeeh wakenya mkuje muone...this guy is dope he speaks like a friend of mine called Demetry he's also from UK
Mkuje ndo nini? Sema Njooni! Ipo siku Wakenya mtaenda Uingereza kujifunza Kiswahili. Mmetuharibia sana lugha yetu adhimu ya kiswahili.
Uko vzur
Anyone spell some C.I.A. in this?
i said the same thing...lol
Siaji Elisha right??
Niaori nilifika Januari na 'ninaondoka kesho'! Hapo!
Cheiii!
What the hell! He even has the Swahili nuances!
Hee inapendeza sana! kiswahili kinakua
Oooh you nailed it !! ¡¡
waoo unaonge vizuri sana karibu tena zanzibar
🇰🇪🇹🇿smart young
Wow..hii jamaa ana ongea kiswahili safi sana....
huyu Jamaa a naongea kiswahili kizuri
Haha karibu Tanzania
your Kiswahili is on fleek
Wow very nice
Waaaa.... Ame weza Sana
He speaks like a native. Nicee
Mimi ni mtanzania lkn kiswahili cha Kenya sikielewi, kuna siku mkenya aliniambia anataka nimpatie Leso, niliangaika kutafuta Leso, kumbe alikuwa anamaanisha Khanga! Leso ni kitambaa cha mafua "handkerchief"
Huyu mzungu anaongea kiswahili hasa kuliko wakenya na anaeleweka vizuri.
So colloquial... so ordinary...
Never had such fluent ordinary mzungu
Wow, this guys doesn't have an accent, kudos bro, SWAHILI to the world.
woi...nadhani anaongea kiswahili kuniliko aki...
hes realy good
Wow mpaka raha daah inapendeza
vizuri sana
I give you a straight PASS bro imekizungumza taratibuuuuu....mzungu mswahili wewe na inapendeza zaidi....Hongera kaka...Nawapongeza wazazi wako kukupa hii nafasi humu Africa...Mungu awabariki na azidi kuwapa maarifa..
ooooh he is very very good
He has good quality of swahili i like his talking
Damn!!!!! This is sick! Like you lying you learned it!! My guy! You are a native! Ng'ombe usiseme ngobe brathe unachoma.
Wow
Very good Swahili my friend...From Dar es Salaam, Tanzania🇹🇿🇹🇿
Bila shaka yoyote ile Kiswahili fasaha kinazungumzwa na kufundishwa vizuri kabisa katika visiwa vya Zanzibar.
safi sanaaa! kiswahili anaongea kama mbongo. lakini angalia wakenya Washoe wakasema hata kiswahili ni chao. kwani olduvai wanasema wao Mlima Kilimanjaro wao, hata raisi wetu wanasema wa kwao
*French student*
Love the way he has a better swahili than the interrogator
❤
❤❤
Nimekupenda kwakwer
Hongera kaka !! Ufanisi wako wa lugha ya kiswahili ni ya hali ya juu
yani wewe unaongea kiswahili cha TZ
Hongera kaka unaongea kiswahili kizur sana