Vijana wa Hizbu Mapinduzi (Chama Cha Mapinduzi) wanaandaliwa kwa UCHA-WIZI (Uchaguzi wa Wizi) na Uvamizi kupata Ushindi wa Kishindo (Cha Mabom) kutoka Tanganyika.
Raisi wa watu wote analipa fadhila kwa kikundi Cha Chama chake. C chama Cha mapinduzi kinaamini binaadam wote ni saw. Vp dhana hiyo na alichokisema rais.
Alhamdullillah, mashaallah jazakallah kheri. Iwe ya kheri. Ukweli umeongea point.
Huu mtihani Kwa iyo ajira hizi Mpaka uwe ccm
Mm nauliza nni maana ya urasimu?
Inashangaza kuwa mpaka leo ajira zatolewa kichama na sio kizalendo.Jee hao vijana wa vyama vingine hawana haki ya ajira?
Vijana wa Hizbu Mapinduzi (Chama Cha Mapinduzi) wanaandaliwa kwa UCHA-WIZI (Uchaguzi wa Wizi) na Uvamizi kupata Ushindi wa Kishindo (Cha Mabom) kutoka Tanganyika.
Raisi wa watu wote analipa fadhila kwa kikundi Cha Chama chake. C chama Cha mapinduzi kinaamini binaadam wote ni saw. Vp dhana hiyo na alichokisema rais.