Tembelea tovuti WWW.EBMSCHOLARS.COM kwa kupata Consultation Want to create live streams like this? Check out StreamYard: streamyard.com/pal/d/45300048...
Bro hii kazi unofanya..Allah akulipe kila la kheir..hii elimu unayotupa for free ungeweza kuitoa kwa hela nuingi san..I do not know how yo thank you in this limited place..All duas to you bro
NAOMBA KUULIZA EBM KWA MFANO NIMEENDA CANADA KWA TOURIST VISA YA WIKI 2 THEN NKIFIKA KWA BAHATI TU NIMEPATA KAZI JEE IO KAMPUNI INAWEZA KUNITOLEA VISA YA KAZI ?
Broo mm nidreva wamagari makubwa nahitaji kujua na elimuyangu ni darasa la 7 pia nimeenda nchi za Africa Kama congo Burundi Rwanda Zambia Uganda Kenya sudani Zimbabwe malawi
Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako. Niwe na Documents gani? Ada bei rahisi ni kiasi gani? Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
Broo mm nidreva wamagari makubwa nahitaji kujua na elimuyangu ni darasa la 7 pia nimeenda nchi za Africa Kama congo Burundi Rwanda Zambia Uganda Kenya sudani Zimbabwe malawi
Bro hii kazi unofanya..Allah akulipe kila la kheir..hii elimu unayotupa for free ungeweza kuitoa kwa hela nuingi san..I do not know how yo thank you in this limited place..All duas to you bro
Asanteni kwa somo laleo mmenifumbua vitu vingi sana mungu awabaliki
kuna kitu kikubwa nimejifunza ubarikiwe sana
Thanks brother kwa taaluma by yakoub from Zanzibar
NAOMBA KUULIZA EBM KWA MFANO NIMEENDA CANADA KWA TOURIST VISA YA WIKI 2 THEN NKIFIKA KWA BAHATI TU NIMEPATA KAZI JEE IO KAMPUNI INAWEZA KUNITOLEA VISA YA KAZI ?
Nice job kaka mkubwa EBM
Broo mm nidreva wamagari makubwa nahitaji kujua na elimuyangu ni darasa la 7 pia nimeenda nchi za Africa Kama congo Burundi Rwanda Zambia Uganda Kenya sudani Zimbabwe malawi
Shukrani sana mkuu wa kazi🙏🙏🙏
Hakuna cha visa wote wezi kabisa mnaibia watu kwa visa
Jamani kama uko tayari kupata Geen card kuachia sisi nahitaji kuliko kuondoka maneno ya kutukwaza sisi wahitaji tunaomba Mungu atupitishe
Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako.
Niwe na Documents gani?
Ada bei rahisi ni kiasi gani?
Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
Kweli kabisa
Bro matokeo ya Dv akitoka naomba upige live masaa 20
Mimi Niko Tanzania nimepata mwaliko kwenda china kufanya kazi Kama Aupair je natakiwa kufanya nini ili kukamailisha visa application 😢
Good
1:40
Nilifanya Aplication ya dv 2024 ila nilishindwa kujua matokea kwasabb Email iliandika iko Invalid ila nitafanya tena mwaka huu
10 hours
Broo mie sijui lugha siruhuswi kufika uko usa ama nifanyaje ili hata nitembelee huko ama nije na mtafisiri
Jitahidi ujue lugha ili ikurahisishie ktk maisha yko
Kaka unaweza ukatuma number ako hapa chini consultants nashukulu
Mr EBM mbona App ya
EBM SCHOLARS APP HAIONEKANI😢😢
Bro matokeo ya Dv akitoka naomba upige live masaa 20
Broo mm nidreva wamagari makubwa nahitaji kujua na elimuyangu ni darasa la 7 pia nimeenda nchi za Africa Kama congo Burundi Rwanda Zambia Uganda Kenya sudani Zimbabwe malawi
We omba dv lottery huu mwaka... Sifa unazo