KUPATA VIZA YA MAREKANI: MASWALI NA MAJIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 เม.ย. 2024
  • Tembelea tovuti WWW.EBMSCHOLARS.COM kwa kupata Consultation
    Want to create live streams like this? Check out StreamYard: streamyard.com/pal/d/45300048...

ความคิดเห็น • 24

  • @razoindeed8228
    @razoindeed8228 3 หลายเดือนก่อน

    Bro hii kazi unofanya..Allah akulipe kila la kheir..hii elimu unayotupa for free ungeweza kuitoa kwa hela nuingi san..I do not know how yo thank you in this limited place..All duas to you bro

  • @VicentJohn-tg9yp
    @VicentJohn-tg9yp 3 หลายเดือนก่อน

    Asanteni kwa somo laleo mmenifumbua vitu vingi sana mungu awabaliki

  • @rehemaigongo7722
    @rehemaigongo7722 3 หลายเดือนก่อน +2

    kuna kitu kikubwa nimejifunza ubarikiwe sana

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 3 หลายเดือนก่อน +2

    Thanks brother kwa taaluma by yakoub from Zanzibar

    • @thedon8467
      @thedon8467 3 หลายเดือนก่อน +1

      NAOMBA KUULIZA EBM KWA MFANO NIMEENDA CANADA KWA TOURIST VISA YA WIKI 2 THEN NKIFIKA KWA BAHATI TU NIMEPATA KAZI JEE IO KAMPUNI INAWEZA KUNITOLEA VISA YA KAZI ?

  • @user-oc5ty1vi4m
    @user-oc5ty1vi4m 3 หลายเดือนก่อน

    Nice job kaka mkubwa EBM

  • @ahmedylusonge1882
    @ahmedylusonge1882 3 หลายเดือนก่อน +1

    Broo mm nidreva wamagari makubwa nahitaji kujua na elimuyangu ni darasa la 7 pia nimeenda nchi za Africa Kama congo Burundi Rwanda Zambia Uganda Kenya sudani Zimbabwe malawi

  • @goodlucksenso
    @goodlucksenso 3 หลายเดือนก่อน +2

    Shukrani sana mkuu wa kazi🙏🙏🙏

  • @Gamba177
    @Gamba177 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna cha visa wote wezi kabisa mnaibia watu kwa visa

  • @GabriellaMakatu-jf2lq
    @GabriellaMakatu-jf2lq 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani kama uko tayari kupata Geen card kuachia sisi nahitaji kuliko kuondoka maneno ya kutukwaza sisi wahitaji tunaomba Mungu atupitishe

  • @lijonjo
    @lijonjo 29 วันที่ผ่านมา +1

    Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako.
    Niwe na Documents gani?
    Ada bei rahisi ni kiasi gani?
    Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @zabulonhakizimana4386
    @zabulonhakizimana4386 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bro matokeo ya Dv akitoka naomba upige live masaa 20

  • @Eva39694
    @Eva39694 หลายเดือนก่อน

    Mimi Niko Tanzania nimepata mwaliko kwenda china kufanya kazi Kama Aupair je natakiwa kufanya nini ili kukamailisha visa application 😢

  • @cleophaswekesa6264
    @cleophaswekesa6264 3 หลายเดือนก่อน

    Good
    1:40

  • @user-xz4py3ls4j
    @user-xz4py3ls4j 3 หลายเดือนก่อน

    Nilifanya Aplication ya dv 2024 ila nilishindwa kujua matokea kwasabb Email iliandika iko Invalid ila nitafanya tena mwaka huu

  • @bernardkilonzo7823
    @bernardkilonzo7823 3 หลายเดือนก่อน

    10 hours

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 3 หลายเดือนก่อน +1

    Broo mie sijui lugha siruhuswi kufika uko usa ama nifanyaje ili hata nitembelee huko ama nije na mtafisiri

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 หลายเดือนก่อน

      Jitahidi ujue lugha ili ikurahisishie ktk maisha yko

  • @winniesmart3410
    @winniesmart3410 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka unaweza ukatuma number ako hapa chini consultants nashukulu

  • @Ahmed26171
    @Ahmed26171 2 หลายเดือนก่อน

    Mr EBM mbona App ya
    EBM SCHOLARS APP HAIONEKANI😢😢

  • @zabulonhakizimana4386
    @zabulonhakizimana4386 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bro matokeo ya Dv akitoka naomba upige live masaa 20

  • @ahmedylusonge1882
    @ahmedylusonge1882 3 หลายเดือนก่อน

    Broo mm nidreva wamagari makubwa nahitaji kujua na elimuyangu ni darasa la 7 pia nimeenda nchi za Africa Kama congo Burundi Rwanda Zambia Uganda Kenya sudani Zimbabwe malawi

    • @user-gv8pf6if9m
      @user-gv8pf6if9m 2 หลายเดือนก่อน

      We omba dv lottery huu mwaka... Sifa unazo