Huu ndio ugonjwa unaomsumbua Malaika na aliojitolea kuupazia sauti kusaidia wengine wanaosumbuliwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Baada ya ukimya wa takriban miaka mitatu, Malaika amerejea tena na wimbo mpya uitwao Baila. Amechill na Sky kuzungumzia ukimya wake na shughuli za kijamii alizokuwa akizifanya kipindi hicho