#livestream

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 87

  • @GrinaSanga
    @GrinaSanga 23 วันที่ผ่านมา +5

    Mimi ni likua mlutheri siambiliki lakini mahubiri yako pasta mmbaga yamechakingia kiasi kikubwa mpaka nmekua muadventista na nimebatizwa tayari barikiwa sana

    • @judithkimbute2691
      @judithkimbute2691 16 วันที่ผ่านมา +1

      Ninapenda kwanza kukupongeza kwa kazi ya Mungu Pili niandike hapa shida yangu au nikuite kwa simu nipe no yako please

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 ปีที่แล้ว +7

    Huyu pastor ni wabaraka sio kwangu tu ila kwa wengi Mungu akutunze na familia yako nimejifunza mengi kutoka kwako na maisha yangu ya wokovu yamebadilika sana God bless you abundantly

  • @frankmchomvu9447
    @frankmchomvu9447 ปีที่แล้ว +17

    Mungu akutunze sana Pr. David. Hujui tu ni kwa kiwango gani unatubariki. Najifunza mambo mengi sana kutoka kwako. Natamani siku moja upate nafasi uje kuongea na vijana wetu wa TUCASA Chuo Kikuu Mzumbe. I know upo very busy ila naamini Mungu ataruhusu hilo siku moja. Ordinarily, I don't comment on these platforms ila leo imenibidi. May our Almighty God richly bless you.

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn1958 ปีที่แล้ว +2

    Pr wewe ni peponi Moja Kwa moja Mungu akutunze mtumish wa Mungu

    • @suzanmohere5311
      @suzanmohere5311 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu ndo ajaye aendaye peponi na wala si mwanadamu ndugu yangu Mungu njia zake hazichunguziki

    • @davidkilajaga8842
      @davidkilajaga8842 2 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣 Najua ni upendo tu, na ku onyesha msisitizo

  • @etoabwe3451
    @etoabwe3451 หลายเดือนก่อน

    PR.DAVID Mungu wetu azidi kukubariki mafundisho yako unayotufunza yananibariki sana tena yananiongezea imani maana yanaamsha kilicho kuwa Kinalala ndani ya maisha yangu.

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr ปีที่แล้ว +1

    Nataka uniombee nibate madam musuri Amen

  • @eunicemund4454
    @eunicemund4454 ปีที่แล้ว +2

    Pastor umenitoa mbali sana, umenijenga kiimani na kutokuogopa

  • @nadinekatungu6987
    @nadinekatungu6987 ปีที่แล้ว +1

    Asante pasta île unasema ni kweli ukifuturu unachiba sana inaweza ukaharishe tena damu matumbo yalikua hayatumike sasa unaitumikisha tena vilivyo vigumu ni shida.asante barikiwa

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki zaidi pastor Aseee hili somo nimelitafuta sana siku nilikutana na video fupi ya somo Aseee nikaipost yaani ilibariki wengii sana hata ambao ni wa imani ya....) walihitaji Mwendelezo sasa nitawapatoa wote❤❤❤

  • @felisterminja
    @felisterminja ปีที่แล้ว +1

    Nimebarikiwa Sana leo Mch Mbaga umenifurahisha Namwomba Mungu atujalie Mch nasi tuwe na nyumba za maombi Kama Korea, hapa wenzetu Wana nyumba za maombi Mungu Tupe neema

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว

      Wow!

    • @lydiamo2503
      @lydiamo2503 11 หลายเดือนก่อน

      Nyumba za maombi zipo ila ni za madhehebu mengine

    • @paulinacharles8969
      @paulinacharles8969 หลายเดือนก่อน

      ​@@lydiamo2503Nyumba za ibaada ndizo nyumba za maombi. Lakini jua hili Lydia; mahali popote utakapotaka kukutana na Mungu kwa faragha, panafanyika mahali pa maombi maana hua Anashuka kukusikiliza. Hivyo tufanyapo ibaada jua Mungu yuko hapo. Fanya kwa unyenyekevu ukijua Mfalme wa mbingu na nchi uko naye. Ongea naye kwa ujasiri. Mungu awe nawe my dear.

  • @isabellanyamboga6325
    @isabellanyamboga6325 ปีที่แล้ว +1

    Always blessed with your teaching

  • @everlynemoraa6214
    @everlynemoraa6214 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri mchungaji, naomba kujua tofauti ya moyo na roho????

  • @stevenkaunda1124
    @stevenkaunda1124 ปีที่แล้ว +16

    Kiukweli Mtumini nabarikiwa sana na mahubiri yako Mimi ni Anglikana lakini Mungu unaemuhubiri ndo huyu huyu anaehubiriwa Anglikana kwetu. MUNGU AKUBALIKI NA AKUPE AFYA

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว +1

      Ubarikiwe sana. Ninyi ni ndugu zetu

    • @stevenkaunda1124
      @stevenkaunda1124 ปีที่แล้ว

      @@MahubiriPrMmbaga Amina

    • @violetauma1001
      @violetauma1001 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana kwa mafudisho yako

    • @nellymueni6343
      @nellymueni6343 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana nabii

    • @annamariakambi9858
      @annamariakambi9858 7 วันที่ผ่านมา

      Asante sana Paster Mbaga ubarikiwe uzidi kutupatia neno

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe poster mungu ni nimwaminifu amen

  • @WilliamOkoth-yv1kl
    @WilliamOkoth-yv1kl ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana Mungu anisaidie nataman kumcha Mungu kweli kwel

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir ปีที่แล้ว

    Asante pastor kwa fundisho sahii mungu akubariki

  • @suzanmohere5311
    @suzanmohere5311 3 หลายเดือนก่อน

    Soma zuri sana la urahibu asantee nimebarikiwa sanaa.Mungu akutunzeee

  • @neemamwanjala
    @neemamwanjala ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi wa Mungu Mbaga,Mimi sitaongea Mengi, ila Maadui wako wote wa angushwe chini warudi Nyuma,watanyike,wakimbie kwanjia zaidi ya saba,Nitafurahi nikibahatika ukasoma ujumbe wangu, Nitumie vitabu vyako vyote ulivyo andika, nijulishe gharama zake nitume Hera, Naitwa Andrew Paulo Mwakitwange ,Niko mbeya,Dr. Wa Tiba asiri wa (Afya kwanza) TUKUYU.

  • @veronicajimisha61
    @veronicajimisha61 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana Pastor, all the way from Moshi Central

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 7 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @ttuphenarutto653
    @ttuphenarutto653 ปีที่แล้ว

    Asante mchungaji nimebarikiwa mno nasikia nimepata nafuu wa Imani

  • @Rhoda_Mbagathei
    @Rhoda_Mbagathei ปีที่แล้ว +2

    I pray to God one day I can visit Tz just to see you. God bless you all the from 🇰🇪 Kenya.

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 ปีที่แล้ว

    Amina ubarikiwe pastor

  • @gloriamasaka7635
    @gloriamasaka7635 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana tuombee hapa nyumbani na uraibu kwa kweli MUNGU atushindie

  • @stevenbamba7489
    @stevenbamba7489 ปีที่แล้ว +1

    Hallelujah, Bwana apewe sifa

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 2 หลายเดือนก่อน

    Ki ukweli kabisa, Una ni bariki sana wajina Wangu, Mungu akutie nguvu

  • @sallahmwakalombwe454
    @sallahmwakalombwe454 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi tunabarikiwa sana sana kila siku tunapiga hatua

  • @DorikasiMulemwa-r3y
    @DorikasiMulemwa-r3y หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @felisterminja
    @felisterminja ปีที่แล้ว +1

    Naomba Uniombee plaster laana ya magonjwa na uharibifu wowote kwangu na uzao wangu nakataa Kaka yangu amekuwa rahibu wa pombe na uzinzi ,naomba ugonjwa wa presha kwa jina la Yesu

  • @mabenaluca6824
    @mabenaluca6824 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana na somo la leo MAOMBI YA VITA

  • @danielkituku6275
    @danielkituku6275 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi mahubiri Yako ni mazuri Naya hekima sana barikia sana

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 ปีที่แล้ว

    Nashukuru mchungaji kwa kunibadilisha vitu vingi kwenye chakula na mahubili mazuri Sana Asante Sana

  • @danielmacharia1349
    @danielmacharia1349 ปีที่แล้ว +1

    Pastor sahihisho kidogo tu,Ni 2 Corinthians 5:17 wala sio 1 Corinthians 5:17,

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 ปีที่แล้ว

    ameni mtumishi wa mungu nabarikiwa sana

  • @mussacharles5311
    @mussacharles5311 5 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji kwakweli mimi kubet kunanigalimu sana.

  • @lyliosenuwayo
    @lyliosenuwayo ปีที่แล้ว

    Mungu abariki Neno lake na abariki nawewe mchungaji🙏🙏

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw 9 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji na betting pia imekuwa mzigo,mwombee mume wangu,

  • @tracychesoli2900
    @tracychesoli2900 หลายเดือนก่อน

    Be blessed

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr ปีที่แล้ว

    Pastor niombee sababu chana niliambiwa napossy nakubeleka kasi tena akanirudisha naomber niombee

  • @rebeccalume3660
    @rebeccalume3660 ปีที่แล้ว

    Ameen Mungu akubalik mtumishi

  • @adarashidi8178
    @adarashidi8178 ปีที่แล้ว

    Amen Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana

  • @bernadettemuzaliwa8373
    @bernadettemuzaliwa8373 ปีที่แล้ว

    Jambo mtumishi wa bwana.kweli nabarikiwa sana kwa somo la maombi ya vita. Mungu azidi kutiya nguvu. Neema ya bwana hikukumbatiye.

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw 9 หลายเดือนก่อน

    Pastor je Nikifuturu na matunda je?

  • @amjudith
    @amjudith ปีที่แล้ว +1

    God bless everyone

  • @faithmtokambali9437
    @faithmtokambali9437 ปีที่แล้ว

    Ameen,,nabarikiwa sana

  • @sebastianharun800
    @sebastianharun800 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa Sana

  • @Kivukutv
    @Kivukutv 7 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @priscakihengu1045
    @priscakihengu1045 ปีที่แล้ว

    BWANA akulinde na kukufadhili

  • @claudinebatamuriza4936
    @claudinebatamuriza4936 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🏿

  • @jemimakengia7308
    @jemimakengia7308 ปีที่แล้ว +1

    Siku yakikukuta

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 ปีที่แล้ว

    Leo nimepata madini ya kutosha kutoka kwako Hadi nashangaa

  • @theopisterkalegea9899
    @theopisterkalegea9899 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @jemimakengia7308
    @jemimakengia7308 ปีที่แล้ว

    Saaa yaja

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll ปีที่แล้ว

    Ndiyo kamari urahibu

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll ปีที่แล้ว

    Mchungaji na wali

  • @maryachuti4997
    @maryachuti4997 ปีที่แล้ว

    It's James.who said.about anointing the patient not mark.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว +2

      Yakobo 5:14 Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
      Marko 6:13 Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza.

    • @samsonelijah3897
      @samsonelijah3897 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki

    • @rebecadaniel
      @rebecadaniel ปีที่แล้ว

      Pasta tunabarikiwa mnoooo

  • @hadijamlokakuzenza2146
    @hadijamlokakuzenza2146 ปีที่แล้ว

    Uhakika tumekuwa wahanga kwa hizi simu

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @zawadiamuli4186
    @zawadiamuli4186 ปีที่แล้ว

    Mutumishi wa Mungu huishi milele

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 ปีที่แล้ว

    Amen

    • @danielmbari4647
      @danielmbari4647 ปีที่แล้ว +1

      Very true indeed I'm Daniel from Nyahururu Kenya 🇰🇪..kindly find time n come here to take more souls to christ through gospel

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @Ungwamissi
    @Ungwamissi ปีที่แล้ว

    Amen

    • @odettemaman
      @odettemaman ปีที่แล้ว

      Mimi ni mukongomani naitaji oponyezi waaroho namwili.

    • @bernadethanyarufunjo9518
      @bernadethanyarufunjo9518 หลายเดือนก่อน

      Mchungaji Mungu akubariki sana,umenisaidia sana mtu wa Mungu.Mungu aitunze familia yako