Ndgu elias naomba uje utengeneze video ya sisi tulio ishia darasa la 7 na pesa nauli tunazo na tunawezaje kuja huko kupiga kazi hata za viwandani #mungu wako ndo wetu pia #asante kwa hizi video
Application huwa haina muda maalumu wa kuanza, lakini kwa kuwa training zinaanza mwezi wa nane au wa tisa inabidi kuanza kutafuta nafasi mapema ili kujipa muda wa kukamilisha utaratibu na maombi ya visa
Ndgu elias naomba uje utengeneze video ya sisi tulio ishia darasa la 7 na pesa nauli tunazo na tunawezaje kuja huko kupiga kazi hata za viwandani #mungu wako ndo wetu pia #asante kwa hizi video
asanteee sana kk kwa kutuleteya habari njema mimi ni mdau mpya kwako nimekupata kwa witness
Bro Ndonajiandaa kwenda kusoma lugha iyo ila utanisaidia Ku apply
Kwahyo hii ausibulding haina masharti ya miaka ?
Bro nilikua nauliza Nauli ya kwenda Ujeru Wanakulipoa pia au Najitegemea
Nauli unajitegemea mkuu
kama lugha haipand ndio bhas tena?
Kwa hii opportunity lugha ni mkombozi
Kwel muhimu kujifunza
Kaka naomba unisaidie link ya ku apply hizo flusa na je ? Application inaanza lini maana mimi ninavigezo
Application huwa haina muda maalumu wa kuanza, lakini kwa kuwa training zinaanza mwezi wa nane au wa tisa inabidi kuanza kutafuta nafasi mapema ili kujipa muda wa kukamilisha utaratibu na maombi ya visa