Kwenye Biblia imeandika, mtu mwenye roho mbaya na ya kwanini, isiyopenda mtu aendelee, kamwe hatokaa aendelee. Mtu kabisa anashangilia mtu kubomolewa, hivi wabongo tutatoboa kweli, tunatamani nchi yetu isonge mbele, na hivi viroho mbaya mnafikiri tutabarikiwa. Ukiona mwenzio kapata shida unashangilia kabisaaa. Poleni mliovunjiwa, Mungu akifunga mlango mmoja anafungua mwingine. Ngoja nipambane na hali yangu.
I love Jesus ...umenena vyema yaani wabongo sisi Nishidaa Etiiii Mi naangaliaga tu watu wakiambiwa Patabomolewa wanavyoshangili Wa Tz sijui tuna shida gani hata sielewii
hata mbinguni Viwanja vipo akajenge tu uko ili akawe huru na ibada take..ila mtaarifuni mbinguni hakuna vile vyumba 9 vya chini ya madhabahu.. maana ni Dhambi.Amen!!!!🙏
kweli wanadamu tuna roho mbaya sana utakuta mtu anacomment "bomoa lote" tena na tusi juu....... Hapa ni duniani na aliyeanzisha aliwaza na kutafuta njia ya kupambana na maisha kama wewe unavyoangaika kwenye makampuni ya watu na vibarua....Tuache ushabiki wa kijinga na kupambana na maisha ili sote tujikwamue na kutoka kwenye wimbi hili la umasikini
MUNGU atabaki kua MUNGU. Serikali inapochukua Chao, kula wale wanafurahia wakithani ni mwisho wa kumwabudu MUNGU mahali pale. Hapana. Kama Mchungaji Gwajima alivyo sema kwenye ibada jumapili kua, wasione kua tutaaibika na kukosa mahali pa pa kuketi. Bali wametubariki manake tutaongeza eneo lingine kubwa hata kuliko lililobomolewa. Halleluyah.
waandishi jifunzeni maswali ya kuhoji nakushoot video tukio vyema mi nazan ungeuliza mamlaka walipewa nanan yakujenga kwa namna hiyo ili tupate kujua mwenye makosa ninan kati ya wao ama serikali pili tujue je kuna malipo yoyote wanayopewa wahusika kingine kwann hamjakionyesha kipande ambacho kinahita kupunguzwa pia ni kwann mme shoot usiku
Yaliyoandikwa yanatimia angalieni tu kila siku tunazaliwa wafupi enzi za adam nani alikua mfupi hakuna mungu ameenda mbali nasi mpaka umtafute sana rohoni saa imefika huu ni utawala wa mnyama alietabiriwa unadiriki kuharibu hekalu? Anway nisiseme sana yametimia yote na bado yanaendelea si haya tu waumini wote wa gwajima poleni aminini mungu yupo
wote mnaosema bomoa lote kuanzia leo natamka kwa jina la yesu kristo maisha yenu afya zenu kazi zenu biashara zenu mipango yenu uchumi wenu vyote vibomoke kwa jina na damu ya YESU KRISTO.
Kabila ya pole yangu Askofu natakakushakuru sana kwa mahubiri yako Nikiwa Dubai Mimi nimkenya walimuwa Yesu wakithani Neno halitaendelea Leo linaendelea kuna wale walisema asulupiwe ndio hao wanasema pomoa lote SHEM ON THEM SHEMUU UFUFUO WAKANISA LA ASKOFU GWAJIMA Pele kuna baraka yaajabu
Pinana Home wewe pambana na hari yako hapo kuna nini mbaya kufuata sheria ama Yesu kasema sheria tusizifuate the owner hajasema katendewa vibaya nyinyi munaleta useless feelings acha askofu askiize serekali have a good time Dubai hope hawatakuja kukufanya slave
Emmanuel Njau Nawe ni mpumbavu zaidi Nyooo iyo sheria ngoja ikufikie wewe ndipo utaamka kabla ya ujenzi kwanza kataza hata kwa kubomoa msingi mtu kesha jenga na keshaishi miaka kibao uje ubomolewe uzeeni wewe unaona eti sheria barabara za juu zinawezekana
Jasmin Asha ili nchi iendelee lazma bahadhi ya watu waumie na pia hata kwenye kujenga kuna mipaka huruhusiwi kujenga inakuwa kwaajili ya barabara sasa ukijifanya ww unajua sana ukajenga ikifika kipind cha selikari wanataka eneo lao usilalamike hata ss pia tupo barabaran na eneo la barabara tumepanda uzio wa mauwa tu naukitaka kujenga wazazi wanasema hili eneo la sio letu ni la barabara
Serikali ya tanzania inaendekeza sana pesa na kubomoa nyumba ambayo wanasalia watu siku sio nyingi Lazima tanzania vita vitapigwa tu kwasababu wapenda sana pesa na kushika sheria mkononi
Kwenye Biblia imeandika, mtu mwenye roho mbaya na ya kwanini, isiyopenda mtu aendelee, kamwe hatokaa aendelee. Mtu kabisa anashangilia mtu kubomolewa, hivi wabongo tutatoboa kweli, tunatamani nchi yetu isonge mbele, na hivi viroho mbaya mnafikiri tutabarikiwa. Ukiona mwenzio kapata shida unashangilia kabisaaa. Poleni mliovunjiwa, Mungu akifunga mlango mmoja anafungua mwingine. Ngoja nipambane na hali yangu.
I love Jesus ...umenena vyema yaani wabongo sisi Nishidaa Etiiii Mi naangaliaga tu watu wakiambiwa Patabomolewa wanavyoshangili Wa Tz sijui tuna shida gani hata sielewii
ww chiz ww acha usiasa hayo ni maendeleo
Juma Suleiman kama ni maendeleo wakabomoe nyumba ya lwakatale
Juma Suleiman ..Mtu ukusema ukweli ni Siasa..ndio wakabomoe sasa
hata mbinguni Viwanja vipo akajenge tu uko ili akawe huru na ibada take..ila mtaarifuni mbinguni hakuna vile vyumba 9 vya chini ya madhabahu.. maana ni Dhambi.Amen!!!!🙏
Mungu amitie nguvu
Mtumishi wa Bwana pastor Gwajima hakika wewe nimwelewa sana
Nice voice
Safi umeongea vizur Baba
Mnaosema libomolewe mtakuwa wachawi mshindwe kwa jina la yesu
kwa akili hiz za vunja jengo lote,ni dhahir kuwa tunatabu sana hv unaanzaje kuandika hvy?au bange?tuwe conscious tunapokuwa tunaandika chochote kile
kweli wanadamu tuna roho mbaya sana utakuta mtu anacomment "bomoa lote" tena na tusi juu....... Hapa ni duniani na aliyeanzisha aliwaza na kutafuta njia ya kupambana na maisha kama wewe unavyoangaika kwenye makampuni ya watu na vibarua....Tuache ushabiki wa kijinga na kupambana na maisha ili sote tujikwamue na kutoka kwenye wimbi hili la umasikini
watu kama hao ndio mizizi ya laana za taifa hili, inatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, umefanya vizuri
kwel kbs
Charles Mushi kabisa charles watu wana ushabiki usio na maana
MUNGU atabaki kua MUNGU. Serikali inapochukua Chao, kula wale wanafurahia wakithani ni mwisho wa kumwabudu MUNGU mahali pale. Hapana. Kama Mchungaji Gwajima alivyo sema kwenye ibada jumapili kua, wasione kua tutaaibika na kukosa mahali pa pa kuketi. Bali wametubariki manake tutaongeza eneo lingine kubwa hata kuliko lililobomolewa. Halleluyah.
Bwana ata fanya njia
Nawapa pongezi kwa kubomoa na kuacha hifadhi ya barabara huo ni. Usikivu
Mtajenga pengine pazuri na pa kubwa
nyimbo mpy ya diamond
Mahubiri ya Jumapili nitakuwa mstari wa mbele kumsiliza Dr.Ask.Baba .mch. Gwajima.
umeongea kwa hekima pastor MUNGU AJUA YOOTE,
bwana atafanya njia pasipo kuwa na njia.
Our God is able
Safi sana kwa kuwasikiliza wanyanyasaji
waandishi jifunzeni maswali ya kuhoji nakushoot video tukio vyema mi nazan ungeuliza mamlaka walipewa nanan yakujenga kwa namna hiyo ili tupate kujua mwenye makosa ninan kati ya wao ama serikali pili tujue je kuna malipo yoyote wanayopewa wahusika kingine kwann hamjakionyesha kipande ambacho kinahita kupunguzwa pia ni kwann mme shoot usiku
Yaliyoandikwa yanatimia angalieni tu kila siku tunazaliwa wafupi enzi za adam nani alikua mfupi hakuna mungu ameenda mbali nasi mpaka umtafute sana rohoni saa imefika huu ni utawala wa mnyama alietabiriwa unadiriki kuharibu hekalu? Anway nisiseme sana yametimia yote na bado yanaendelea si haya tu waumini wote wa gwajima poleni aminini mungu yupo
fedha na dhahabu ni Mali ya bwana
Aisee hii kiboko
Sheria acha ifanye kazi wamebomolewa watu named makanisa mengine kimara
ndo mkome tatizo Manisa hilo baba mchungaji wenu mpenda siasa
Ngwajima hayaaa
Bomoaaaaa loteeee
ndo kufcha tungul au kubomoa usku kunan
Mimi sijui lakini kweli akuna hila ya paul aka daudi aka zero brain
wote mnaosema bomoa lote kuanzia leo natamka kwa jina la yesu kristo maisha yenu afya zenu kazi zenu biashara zenu mipango yenu uchumi wenu vyote vibomoke kwa jina na damu ya YESU KRISTO.
Amani Josiah Mungu sio wa kisasi cha hivyo ndugu
Barikini wala msilaani. Msipe kisasi maana kisasi si juu yenu, Bali ni juu yake Yeye aliyefanya mbingu na nchi.
Amani Josiah kwani wewe ni Allah?
Bomoa tu haina.maana yyte hilo bashete njooni.mulimalize lote hilo
Safi Sana.
Naizo barabara mtanjenga ama usenge tu mnaboa wantania
Kabila ya pole yangu Askofu natakakushakuru sana kwa mahubiri yako Nikiwa Dubai Mimi nimkenya walimuwa Yesu wakithani Neno halitaendelea Leo linaendelea kuna wale walisema asulupiwe ndio hao wanasema pomoa lote SHEM ON THEM SHEMUU UFUFUO WAKANISA LA ASKOFU GWAJIMA Pele kuna baraka yaajabu
kwa hichi kiswahili chako naomba nicheke kidogo😂😂😂🏃🏃🏃🏃
Pinana Home wewe pambana na hari yako hapo kuna nini mbaya kufuata sheria ama Yesu kasema sheria tusizifuate the owner hajasema katendewa vibaya nyinyi munaleta useless feelings acha askofu askiize serekali have a good time Dubai hope hawatakuja kukufanya slave
Bado....gwajima?
Bashite
mackia kulia
Kwendraaaaaaa
bomoa lote gwajima chupi tu
Kazi kula sadaka za watu tu
Fresh tu👊
Yaani unyanyasaji tu❌
Jasmin Asha unyanyasaji upi si sheria unakuwa mpumbavu
Emmanuel Njau Nawe ni mpumbavu zaidi Nyooo iyo sheria ngoja ikufikie wewe ndipo utaamka kabla ya ujenzi kwanza kataza hata kwa kubomoa msingi mtu kesha jenga na keshaishi miaka kibao uje ubomolewe uzeeni wewe unaona eti sheria barabara za juu zinawezekana
faidha myovela we unahisi kuongea hivo kapenda co
Jasmin Asha ili nchi iendelee lazma bahadhi ya watu waumie na pia hata kwenye kujenga kuna mipaka huruhusiwi kujenga inakuwa kwaajili ya barabara sasa ukijifanya ww unajua sana ukajenga ikifika kipind cha selikari wanataka eneo lao usilalamike hata ss pia tupo barabaran na eneo la barabara tumepanda uzio wa mauwa tu naukitaka kujenga wazazi wanasema hili eneo la sio letu ni la barabara
Dooo
Vita ihamie rohoni
#huusiUtanzania
wajinga mnaosema libomolewe lote.kwa nyie hamumuogopi mungu.mnamwabudu nani ktk dunia hii.
Aaah..kakosea mvunjaji alikuwa alibomoe lote ubaki mchanga 2 unatoshaa
Hamis Hamis , naji Msikiti ukiwa kwa Barabara?
ee mbona cjaelewa wamaanisha nn
+Mary Mayeye, kwenye bomoa bomoa ya msikiti wakristo walipiga vigelegele vya hajabu mpaka nikasema udini utamaliza watu, jikaze najua unaumia
Ok hamnaga shida
Hamis Hamis n
Serikali ya tanzania inaendekeza sana pesa na kubomoa nyumba ambayo wanasalia watu siku sio nyingi Lazima tanzania vita vitapigwa tu kwasababu wapenda sana pesa na kushika sheria mkononi
Wanaanza kubomoa mpaka makanisa ,miskiti🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🔫🗾🗾🗾
Nasikia vibwengo walionekana wakikimbia ovyo,Eti kweli???🤔
katarina william ndonini vibwengo
hahaa ha haaa....sio vibwengo tu mixer na mapaka, na bundi
Hata mie nimesikia hivyo
Dorice Gody me mbona cjaisikia iyo?
watoe kaz umbea na siasa kanisani cjaon cha maana
Duubhhh noumahhhhcnaaaaaa
Bomoa lote hakuna kubaki hapo
Masoudy Said sio dawa mbona ana pesa ya kununua pengine
Vunja lote hamna kanisa hapo wizi tu
frank galus kumbe gwajima ni mwizi eeeeh
frank galus Ugumu wa maisha na stress upo pale pale ata wakibomoa lote 😀😀😀
Kidogo naamini gwajima anahiyo sifa. Hasa pale aliposema atamfufua amina chifupa. Ahahaha
we frank unapigwa manual....ukapimwe akili
+Abuu Badru 😂😂😂😂😂😂 jaman Abuu uwii umenivunja mbavu mie
Vunja lote mamae
Emmanuel Havile utafaidika na nini ???kuangaika na stress zitabaki pale pale vyuma vitakaza sanaaaaa 😀😀😀😀
Huna akili ww
Emmanuel Havile Hakuna kanisa ila hilo hapo ni Mkundu wako sio., tumia Akili makalio wewe. Arafu jina lako hata haliendani na ufala wako
mamae zako umbwa wewe
+Frank Felician wewe acha kutukana Utapigwa na Mungu shauli zako
Dah afadhali watu wanazidi kupotezwa kwenye Giza nene
saf
Mganga Khamson 😂😂😂