Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
  • Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 282

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 25 วันที่ผ่านมา +7

    Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 23 วันที่ผ่านมา +4

    Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 25 วันที่ผ่านมา +4

    General magori ubaya ubwela genius

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 24 วันที่ผ่านมา +2

    Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 24 วันที่ผ่านมา +2

    Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme

  • @NteziryayoAime
    @NteziryayoAime 26 วันที่ผ่านมา +2

    Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 26 วันที่ผ่านมา +4

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r 26 วันที่ผ่านมา +8

    Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta 21 วันที่ผ่านมา +2

    Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 26 วันที่ผ่านมา +3

    Am proud Simba fan

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s 26 วันที่ผ่านมา +5

    Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze

  • @JoshuaLeonard-lo3cs
    @JoshuaLeonard-lo3cs 25 วันที่ผ่านมา +3

    Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 25 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y 26 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema

  • @user-bh7cc4dt3b
    @user-bh7cc4dt3b 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej 26 วันที่ผ่านมา

      Wapi onana jamani mtuweke wazi tunaumia mashabiki wake

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 23 วันที่ผ่านมา +3

    Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point

  • @SwaumuShabani-qm4xo
    @SwaumuShabani-qm4xo 26 วันที่ผ่านมา +5

    Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela

  • @salumumabomba9611
    @salumumabomba9611 26 วันที่ผ่านมา +1

    Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa

  • @DicksonPeter-ym5od
    @DicksonPeter-ym5od 26 วันที่ผ่านมา +3

    Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar

  • @yusufmruma2870
    @yusufmruma2870 26 วันที่ผ่านมา +2

    Magori is intelligent, big up

  • @DullhFeyy
    @DullhFeyy 24 วันที่ผ่านมา

    Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.

  • @Dayotz
    @Dayotz 26 วันที่ผ่านมา +3

    Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 26 วันที่ผ่านมา +2

    SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 26 วันที่ผ่านมา +3

    Interview imekamilika sana

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb 26 วันที่ผ่านมา +1

    Asante azam

  • @user-ms8rl1nr9o
    @user-ms8rl1nr9o 26 วันที่ผ่านมา +4

    Hongereni sana viingozi wetu

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n 23 วันที่ผ่านมา +3

    Kongole sana semaji la caf

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 26 วันที่ผ่านมา +2

    Magori yupo vizuri, hana papara, katulia

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert8677 26 วันที่ผ่านมา +2

    Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori

  • @raphaelernest8253
    @raphaelernest8253 24 วันที่ผ่านมา +2

    Nakubali ubaya ubwela

  • @mohamednipala7000
    @mohamednipala7000 26 วันที่ผ่านมา +3

    Simba.....!!!!! Nguvu moja

  • @Hemedyamir
    @Hemedyamir 26 วันที่ผ่านมา +1

    Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"

  • @djchid2417
    @djchid2417 26 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 26 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 26 วันที่ผ่านมา +4

    Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu

  • @HajiKanyumbu-xn6vh
    @HajiKanyumbu-xn6vh 26 วันที่ผ่านมา +1

    Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪

  • @georgesamweli4062
    @georgesamweli4062 25 วันที่ผ่านมา +2

    Semaji 🎉🎉🎉

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 26 วันที่ผ่านมา +2

    Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 26 วันที่ผ่านมา +2

    simbaa nguvu moja 😊😮

  • @IssaKisaka-wo3mq
    @IssaKisaka-wo3mq 26 วันที่ผ่านมา +2

    Simba nguvu moja

  • @Busagotz
    @Busagotz 25 วันที่ผ่านมา +3

    Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi

    • @issahamis581
      @issahamis581 25 วันที่ผ่านมา +1

      hawezi yure bwakubwaku

  • @songarashidy1995
    @songarashidy1995 26 วันที่ผ่านมา +3

    yoooo if you like SIMBA like my comment down

  • @omariwaziri5031
    @omariwaziri5031 26 วันที่ผ่านมา +3

    Kadi za mashabiki tuna zipataje

  • @AbkHashim-o3j
    @AbkHashim-o3j 26 วันที่ผ่านมา +4

    Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?

  • @KanizioBugota
    @KanizioBugota 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AbednegoMurosi
    @AbednegoMurosi 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenda hatumuonii kambini

  • @Miche7_
    @Miche7_ 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 26 วันที่ผ่านมา +4

    Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja

    • @DeborahSaitoti-oy7fm
      @DeborahSaitoti-oy7fm 26 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂

  • @epefrapetro1398
    @epefrapetro1398 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia

    • @AlexMgeta
      @AlexMgeta 26 วันที่ผ่านมา

      Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ashrafameir4064
    @ashrafameir4064 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench

  • @samahakihange6421
    @samahakihange6421 26 วันที่ผ่านมา

    Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 26 วันที่ผ่านมา +2

    Naomba namba ya msemaji Ahamedy

  • @peterwilliam5411
    @peterwilliam5411 26 วันที่ผ่านมา +1

    Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 26 วันที่ผ่านมา +2

    Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 26 วันที่ผ่านมา +3

    Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 25 วันที่ผ่านมา +1

    Trending 1 simba nguvu moja

  • @mwasunga
    @mwasunga 26 วันที่ผ่านมา +2

    Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 26 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??

  • @shekhebakari1998
    @shekhebakari1998 26 วันที่ผ่านมา +2

    Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali

  • @Ezramali595
    @Ezramali595 25 วันที่ผ่านมา +2

    UBAYA UBWELA MPOAPOOOO

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo safi Simba bando

  • @user-mq2wy4tp5q
    @user-mq2wy4tp5q 26 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 ubaya ubwelaa asee ni noma san

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 26 วันที่ผ่านมา +2

    Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani

  • @MartineRichard-me2ip
    @MartineRichard-me2ip 26 วันที่ผ่านมา +1

    Simba Nguvu moja

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 25 วันที่ผ่านมา +2

    Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.

  • @afaijuma8474
    @afaijuma8474 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?

  • @FreemasonPesaZaMajini
    @FreemasonPesaZaMajini 26 วันที่ผ่านมา +2

    Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 26 วันที่ผ่านมา +3

    UBAYA UBWELA

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 26 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa magor karudi nafraha sasa🎉

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n 26 วันที่ผ่านมา +1

    Nguvu mojaa❤❤❤❤

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 20 วันที่ผ่านมา

    Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 26 วันที่ผ่านมา

    Semaji la cuf umetisha

  • @RashidiKilumbi
    @RashidiKilumbi 24 วันที่ผ่านมา +1

    Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.

  • @AdinaniKitabu
    @AdinaniKitabu 26 วันที่ผ่านมา

    Upo vzr mwamba

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 26 วันที่ผ่านมา +1

    Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 26 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja💪

  • @malickomary5687
    @malickomary5687 26 วันที่ผ่านมา

    Sema huyu mzee magoli safi sana yani...

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 26 วันที่ผ่านมา +2

    Ubaya ubwela

  • @MuftyHussein-kf7tm
    @MuftyHussein-kf7tm 26 วันที่ผ่านมา

    Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉

  • @neemamatey
    @neemamatey 26 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤

  • @GervasKasagula-m7m
    @GervasKasagula-m7m 26 วันที่ผ่านมา +2

    Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu

  • @ROJAOMARY-ys7xb
    @ROJAOMARY-ys7xb 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii

  • @khalidsharji2462
    @khalidsharji2462 26 วันที่ผ่านมา +1

    Simba nguvu Moja tuchangiye

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 26 วันที่ผ่านมา +1

    Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu

  • @user-bb8de4bl5n
    @user-bb8de4bl5n 26 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg 26 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 26 วันที่ผ่านมา +1

    Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷

  • @brycesonkaaya9764
    @brycesonkaaya9764 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?

  • @MtoroIdd
    @MtoroIdd 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke

  • @ELIASJACOB-by4qs
    @ELIASJACOB-by4qs 24 วันที่ผ่านมา +1

    Nguvu moja 💪💪

  • @jumanneelias-mc7sw
    @jumanneelias-mc7sw 24 วันที่ผ่านมา +1

    iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 26 วันที่ผ่านมา +2

    Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate 26 วันที่ผ่านมา +1

    Ila Bongo Kuna wasemaji sana

  • @user-cg8vh4fn7z
    @user-cg8vh4fn7z 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m 26 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 26 วันที่ผ่านมา +1

    Semaji la cuf😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mwambie magor tunamuomba elia mpanzu

  • @CyprianHatari-qy9yv
    @CyprianHatari-qy9yv 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi