Arusha jmn hakuna kuremba, yani mwez huu kila tukio arusha, na nyie vijana fanyen kaz mtaisha, mara kupora cm, boda boda, Matukio ya kutisha arusha ,kufukua makabur eeh mungu tusaidie mwisho mwema
KUIBA KUKU SI DHAMBI? Amri kumi,imeandikwa.USIIBE kwani mshahara wa dhambi ni mauti.Neno la MUNGU ni upanga linakata kweli usipotii,na halirudi bure lazima litimize mapenzi ya MUNGU aliyelituma,ubarikiwe mtumishi.
Mungu awasaidie kina mama wote kwani wanapamban nawatotowao ila shetan anapambana nao
Kbs 😢😢😢mama wa watoto lazm waumie
Arusha jmn hakuna kuremba, yani mwez huu kila tukio arusha, na nyie vijana fanyen kaz mtaisha, mara kupora cm, boda boda, Matukio ya kutisha arusha ,kufukua makabur eeh mungu tusaidie mwisho mwema
Vijana hawataki kufanya Kaz wanapenda mterezo bangi kwa wingi wataisha safi sana
Arusha mnatishaa hii mumezidi matukio ya wizi na kuuliwaa ni delyyy
Wanakela sana
Safi sana
Unafurahia kuua
Soko la kuku LIKO england
Vijana au watu waliopo mjini na hawana kaz maalumu serikali ifanye operation warudi kijijin walikotoka.
Ndomaana hatufanikiwi damu ya mtu haiendi bule nawewe mwnyeki hoplesi
Dini haijawahi kulekebisha watu. Vatican pasingekua na mabaya. Makka pasingekua na mabaya
Du Arusha yetu jaman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duu tz hawana dogo unaiba majogoo yawatu ili iweje sasa watz hawakuachi razima waishi nawewe🤕👉 🐓🐓🐓
Wakirudi walikotoka uwizi utapungua
Tanzania ni shida tupu, munaua watu kwaajili ya kuku. pole sana nchi ya TANZANIA 🇹🇿 umaskini unawatesa sana
Kwan huko kwenu akuna shidaaa
Hujaibiwa wewe
@@Jesusbelongtomehajitambui
Tanzania sio masikini vijana wanaoiba ni wameyachagua maisha hayo wenyewe usiiseme Tanzania kipuuzi
KUIBA KUKU SI DHAMBI?
Amri kumi,imeandikwa.USIIBE
kwani mshahara wa dhambi ni mauti.Neno la MUNGU ni upanga linakata kweli usipotii,na halirudi bure lazima litimize mapenzi ya MUNGU aliyelituma,ubarikiwe mtumishi.