Meshack naamini we we ndo mshindi ,kijana mpole ,mwenye heshima, talented Mungu akusaidie katika maisha yako nakukubali mpk najionea wivu .Bss 13,, MESHACK FUKUTA
Mimi sina tatizo na wasaka vipaji mimi nasema majajiz hawajui kujieleza kila mmoja anajionesha kwamaneno matamu zaidi ya mwenzake sio wako hapo kukosoa makosa au kusifia mazuri, nitamnukuu mmoja wao kwa kusema hawezi kuwaakataa wanawake hayo sio maneno ya jajiz bado majajiz mnatakiwa elimu zaidi kwenye kutambua makosa na kuyaona mazuri mnaonekana mnaigana tu. AHSANTE
Mpigie kura mshiriki umpendaye kupitia Star Times on na pia waeza kuangalia Bongo star search live kupitia App ya Star Times on kwenye BSS youtube page kupitia link hii pjq57.app.goo.gl/MYEJ
wat wengi wanavipaj vya kutosha lkn meshack kapitiliza.. kaka anajua kuimba tena kwa hisia kali... si kinyumbn au kwingin yup vizr.. 👍🏼👍🏼ningekuw napig kul yangu ungechukua bil kinyongo.. lkn hat sijui wanapigaj kul.. ongela meshack nakutakia juhud njema🌹🌹🙏🏻🙏🏻🙏🏻
For future performances BSS needs to improve on Backup vocals sauti zao zinapwaya sana. But so far it is an exclusive show Big up Madam Rita, and your team.💥
Kiukwel hawa wote kwangu Washindi ila kwakua anahitajika mmoja hakuna namna... Vipaji vya hali ya juu sana... Hongeren Washiriki na Majaji kwa kupepua Vizur
My top three 1.Meshack 2.Frank 3.Leonard Sunday Patrick uko fresh, piga zoezi tafuta zaidi materials .Fatma Msafiri (feel what you sing, jifunze ku-stick kwenye note unayoimba, sauti jifunze isiwe kali sana) Patricia unaweza sana tu, BSS ikiisha Rudi gosple . Hamis una kitu, ( ila uimbaji wako ni wa aina moja tu, nothing new from you, leo ulikua unalia sijui, am sorry watanzania) Paul Richard wewe mkali sana (jifunze style nyingi za uimbaji, zile country zimekuharibu, utakosa soko bongo Mkongo man, baba unatishaaaaaaaa daaah, convince them unaweza fanya kitu ingine zaidi ya hizo style za kikongo, kwenye haya mashindano haya usirudie hii kitu uliofanya, huku ni kuimba kuimba tu, vocal bablai Kiherehere kimeniandikisha
frm kenya apa ivi...meshack ndio mshindi wa mwaka huu..watch it...ikiwa wakubaliana na mm gonga like..
Meshack, leonard and patrick 😍😍😍😍😍😍😍😍 thz guys on fleek. Master J yuko right nampndaaa sna coz he is truthful..
Mbona Kama meshack ameshashinda.... Naomba nione likes za meshack hapa tafadhali.... Let's spread love.
sasa like zitakusaidia nn😥😥😥😥kapige kura acha kelel
Wampe meshacki ushindi wake wanamchelewesha
Meshack naamini we we ndo mshindi ,kijana mpole ,mwenye heshima, talented Mungu akusaidie katika maisha yako nakukubali mpk najionea wivu .Bss 13,, MESHACK FUKUTA
Angela Khaday kweli sana mtulivu
Daah.! Meshack kiboko bora huyu wimbo awupewe tu maana kautendeya haki sana alafu anasauti yakipeke love from Burundi 🇧🇮
Meshack all the waaaayyy♥️♥️♥️♥️mapenzi yakufikie toka Kenya 💟
Wa pili kukoment dah nilimiss sana hii kituuu daaah wadau kam unapenda bss gonga likeee tusongeee
Nicheki watsap my 0625780941
Waeza tazama sasa episode mpya ya Bongo star search kupitia App ya Star Times on bonyeza link hii kupakua pjq57.app.goo.gl/MYEJ
@@immaculatesotta1617 ok
@@startimestz2503 thanks
Kama unaamin master j ndojaji msema kwel hapendelei gonga lik
Meshack balaa n hatar na ndo mshind wa BSS
Jaji hapo ni mmoja wengine wanajua kusifia tu
Meshack am your big fan from Europe you killed it dude
😂😂😂😂😂 dah yani u ar realy funny afu nd from europe
@@mysteriousazou7979 😂😂i was wondering that too
Rip English
😂😂😂
@@mysteriousazou7979 so what's the big deal here?
@@desarolinte502 seems like u all here think watu wote are from tz
Msiwe mnatucheleweshea wa online jmn sio mpaka tuingie vichochoroni huko kuperuziii tunapata taabu🤗🤗
woow i hve been waiting for this upload mm mm am happy now , meshack waa ur my winner
Who else drop tears when Meshack was performing 😭😭 its very emotional to make anyone cry.
You deserve the crown Meshack
i love meshack big up and good luck
Meshack he's something else..... Master j na lady j I like the comments on hamis ukwel uwekwe wazi tu
hamisi hamna kitu muleeee wamrudishe paul tu jamani wamtoe hamisi
mbn naona kama wanarudia miziki au masikio yangu
Kwel kuna wale jamaa wawili walokuw wanatumia gitaa yule Ebenezer na mwenzake n wakal kuliko Hamis asee
Meshack anaimba kwa hisia sana love broo
Thank you sarah
Meshack your so gooooooood in singing meeeeen....keep it up ilov u
Home boy meshack upo vzr sana
Green city
Vote
BSS,13
Mimi sina tatizo na wasaka vipaji mimi nasema majajiz hawajui kujieleza kila mmoja anajionesha kwamaneno matamu zaidi ya mwenzake sio wako hapo kukosoa makosa au kusifia mazuri, nitamnukuu mmoja wao kwa kusema hawezi kuwaakataa wanawake hayo sio maneno ya jajiz bado majajiz mnatakiwa elimu zaidi kwenye kutambua makosa na kuyaona mazuri mnaonekana mnaigana tu. AHSANTE
Tariq Ahmed upo sahihi kabisa
Nipe utaratibu mzuri wa kumpigia kura huyu MESHACK,jamaa anajua sana huyu nataka nipige kura hata mara 1000,000
Cas jal andika BSS 13 tuma kwenda 15670
Mpigie kura mshiriki umpendaye kupitia Star Times on na pia waeza kuangalia Bongo star search live kupitia App ya Star Times on kwenye BSS youtube page kupitia link
hii pjq57.app.goo.gl/MYEJ
Hamisi anavebwa na wananchi tu ila ukweli kuimba hajui wanaosubiria hela ya Meshaki Fukuta ngonga like jemen
Jaman tusiwe warahis tu kucomment kuwa meshack mkal, bas tumpe support kwa kumpigia kura bss13, ol the best bro,u killed the show
MMH...
MESHACK NI TATIZO SHIDA, UWEZO WA MESHACK NI ZAIDI YA KIPAJI,
Soon Nakupigia KURA 5
Me namsikiliza master j
Master j atakachokisema ni sahihi ila majaji wengne mnawapa moyo tu
Fatma forever this performance gave me goosebumps girl um a FAN
Dah, kwa meshaki nimerudia zaidi ya ×10, meshack is talented jaman!!!
Aliye kiludia kipande cha meshack fukuta agonge like yake hapa twende sawa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mara 5
Leonard woyoooooooo ww ndo winner
@@erickjery8884 🔥🔥🔥🔥
Akachecheze anapochezaga😂
Leonard is great🔥
Nilichogundua Master Anam- miss mchinjaji mwenzie( Salama Jabir)
Hata sijainjoy hii bss. Salama Jabir ni no 1
Leonard my second one🙌🏾🙌🏾❤️❤️👍🏾
Aime Lynn who is your first one?
Ibrah Mjela Meshack
Meshack wee nisumu kaza baba weenimkali
مهيجه تنزانيه kweli
Patrick you are the Best from Zambia
Chief Jaji Unajikuta Umesoma Sana Kwani Nani hajasoma Unazigua Sana kila mtu kasoma Kwani Ukiongea kiswahili utabadilika nn Badilika dd Acha Ushamba
We ni mmoja kati ya washamba wakubwa mno, aliekuambia kingereza ni usomi nani?!!!
I love misic
Uyu meshack ananikumbusha wababa! Watz wanakusifia tu lkn hawakupigii kura mwisho wa siku unakosa ushindiii pigen kura
Pigen kura
2012 niliumia sana
😁😁
1-Meshack
2-Sunday
3-Patrick
4-Patricia
Wa mwisho Ni Hamis hii ngoma ni ngumu haiwez
😂😂thank you so much. Thou u forgot Frank 🥲
Umeua meshack🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ngoja nkuletee peps ya baridi
Majaji KAZI mnayo tena sana
Walio chungulia chungulia comment zinazomuhusu Meshaki gonga like hapo
2
Huku Nina viiiiimba mtaaani....a see hapo nimepapenda alivyo paimba
Frank,,,meshack hawa jamaa hawafai ni shida wanajua sana
We unajua
Waeza wapigia kura kupitia App ya StarTimes on na Pia kutaza live show ya Bss kwenye youtube page ya Bss kupitia link ifuatayo pjq57.app.goo.gl/MYEJ
Very nice meshack
Wangapi tumemkubali Meshak ??
Niko apa
Huyu jamaaa anaimba kwa hixia yaaan anajuaaaaaa xanaaa nimeangalia mara 3 narudia xichoki tu ladha inazidi
Ïbråh Çätãryäñ yupo vzr kamzid ad mwenye wimbo wake 😂😂
Meshak anajua sana dah💥🙌
watching from Kenya.... competition iko kali sana at this stage loving every contestant
Dah! BSS is among the best entertainers in the world. Thank you
We meshak mungu anakuona shaur yako maana unaua mpaka so poa
Leonard Sunday Aminia naona kazi yako njema huna masihara na unachokifanya big up.
Leonard Sunday I salute you...
Nlitamani kupepea meshack nakupenda hadi basi 👏👏👏👌❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Meshack😍😍😍😍
Meshack you did it keep it up
Meshack si apewe tu hela zake jama 👏🏽👏🏽👏🏽
😂😂
Meshack
Yaaan but tupige n kura jmn
Wanamchelewesha tu
Mesheck 13 naona ndo mshindi wang Bss
Meshack, Meshack, meshack😍😍😍
meshack is something else, pure talent😍😍
Ila wa TH-cam mnatusahau sana
Kama unakubaliana n mm gong like
App ninayo lakini mngeturuhusu kudownload ili tuwe tunaenjoy mapema make TH-cam wanachelewa kutuma n ombi langu naomba lifanyiwe kazi
This meshac dude, I just love the way he performed 😄😄
Who still watching 2.2.2020
Fatma your on another level gal keep it up
MAster J,I appreciate you brother!......kwa mara ya kwanza sasa nmekuelewa.
Team meshack mko wapi??🙃 Kura yako muhimu.
Tuko pamoja ebu tumpigie kura kijana anajua sana daah
Tuko pamoja
Yes tupoo
Tuupoooooo
Meshack oyee!!
Nomaaa xanaa
Naamini hata washiriki wengine n mashabiki wa Meshack...
Kweliii brooo😂😂😂😂😂🏃🏃
😂😂😂😂
Paul Richard....unapendezea kuimba American songs...you have a great voice...I think you suit to be in AGT awards...😍
meshack oyoooooh💃💃💃💪❤
meshack u kill it bro am ur fanc from Dubai
Jaman wanaosema GOLDEN BUZZER kwa Meshack tujuane,,, hakika ningekuepo bro dahhhh
He is good anaimba kwa hisia I like the song
Hatar
Sana
Kiboko sema BSS na akili zao mtashangaa wanasema HAMISI🤔🤔🤔🤔🤔
Me .. Namuelewa sana .. Vip kura anaipataje ayse
Yani this guy Frank I played his part 100 time ni kama chai kila siku yani Meshack yupo vizuri but this guy is another level salute from Italy
Mesheck is very talented Jamaa ni noma Sana
Meshark jamani
wat wengi wanavipaj vya kutosha lkn meshack kapitiliza.. kaka anajua kuimba tena kwa hisia kali... si kinyumbn au kwingin yup vizr.. 👍🏼👍🏼ningekuw napig kul yangu ungechukua bil kinyongo.. lkn hat sijui wanapigaj kul.. ongela meshack nakutakia juhud njema🌹🌹🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Meshack from mbeya fukuta nipo nawewe mwanzo mwisho nasubiri ubebe uo ushind
From uyole piga kula nyingi kwa meshack
Meshaki God knows how do be tolerant boy u will win
Mesha
sijui msaniii wangu hamis kaimbaa kituuu ganiiii....nilikuwa naona salakas tuuu khaaaa....yaaan sielew
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😀
🤣🤣🤣
😄😄
😂😂😂😂 kwakweli leo hapana
frank am ur fan lots of love
Yani meshark ameimba mpaka madam na j.dee wamecheers..keep up meshark
Hamisi hakna kitu ulifanya vizur mwanzo tu, labda wakurudishie gitaa
Kama unaamin jaji ni mmoja tu master j nipe like za kutoshaaaaaaa
Meshack jomoniii😍😍😍dis guy sings with all emotions ooh. He’s got characteristic device 😁😁😁
Characteristic device hahahaaa
Creativity is employment......my appreciation to you all!🥰🥰
Meshack wanguuu oyeee mpka nafeel 😭😭😭😭😭😭😭
Naomba tujuane
@@musaalex2579 hi
Meshark ur the best since the first day.... Nakukubalii sanaaa from south Africa
Majaji kazi mnayo ila meshack na frank nifireeeeee ndo the best
Ufirwe??
Meshack njoo niimbie kwangu sauti kila kitu it's good
For future performances BSS needs to improve on Backup vocals sauti zao zinapwaya sana. But so far it is an exclusive show Big up Madam Rita, and your team.💥
she is the best
Nami kilichonileta hapa ni kiherehere 😂😂😂😂 naomba like kwa uoga
Frank noma sanaaa
Umewashwa???
Naomi una nn lkn??😂😂
😂😂
hahahaha
You are the best bro Frank Chalres ....
Meshack ni 🔥
Yes
Meshack my favorite boy nakupenda jmn mpak nimelia
Meshack your something else 🥰😘🙏🏼
Wanao muelewa patrick&frank jaman gonga like
Namkubali sana meshack👏🏽👏🏽👏🏽👍💯
I really love meshack....he is great
Meshack nampenda sana nakuombea ushindi gonga like kamazote jaman
13,'meshack you got the power ,i love u
Yani nimesearch kwanzia jana naiona leo, wale walisearch kwanzia Jana hadi wakapotea njia bss za mwaka juzi na Jana....!! Emu nipeni like tujuane
#Team aslay👍 Dada Fatma wimbo wa likizo umeutendea haki
Kweli kakaza anaweza sana huyo dada
Nimerudilia sehemu ya Da' Fatma mara zote
Jamn kaimba mpk kanitia huzuni anajua
Kidogo nilie
Anawezaa sanaaa dada ang mie
Kiukwel hawa wote kwangu Washindi ila kwakua anahitajika mmoja hakuna namna... Vipaji vya hali ya juu sana... Hongeren Washiriki na Majaji kwa kupepua Vizur
Meshack pale WCB we ndo replacement ya MBOSO na ukija bongo fleva we ndo replacement ya BARNABA.. Kwisha maneno.. Upo vizuri
My top three
1.Meshack
2.Frank
3.Leonard Sunday
Patrick uko fresh, piga zoezi tafuta zaidi materials
.Fatma Msafiri (feel what you sing, jifunze ku-stick kwenye note unayoimba, sauti jifunze isiwe kali sana)
Patricia unaweza sana tu, BSS ikiisha Rudi gosple
. Hamis una kitu, ( ila uimbaji wako ni wa aina moja tu, nothing new from you, leo ulikua unalia sijui, am sorry watanzania)
Paul Richard wewe mkali sana (jifunze style nyingi za uimbaji, zile country zimekuharibu, utakosa soko bongo
Mkongo man, baba unatishaaaaaaaa daaah, convince them unaweza fanya kitu ingine zaidi ya hizo style za kikongo, kwenye haya mashindano haya usirudie hii kitu uliofanya, huku ni kuimba kuimba tu, vocal bablai
Kiherehere kimeniandikisha
Kweli una kiherehere 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli unakipele 😂😂😂😂😂😂
@@irenemorice4729 😂😂 afu kinawasha, tusaidiane kukuna😂😂
@@PeterMloha toka uko I wish ww ndo uwe salama jabir tusingepata mshind 😂😂😂😂😂
Meshack unajua kaka
Nakuombea dua leonard utafk mbali my broo never give up love u
Team meshack tutambuane, gonga like tufahamiane, sina mashaka na yajayo, lazima yafurahishe.
Japo nampenda Hamis hila #Meshack we nyoko kudadeki
Yani uyu mwaka 2019 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wote wana jua jmn 😍😍😍😍
Meshack is my number one on BSS 2019