Mungu ailazerohoyake mahali pema peponi hongera jakayamrisho kikwete kwaku timiza wosia wa babayake manji nawalio mtendeya mabaya tunamwomba mungu awatumbukize jehannam yamoto wamilele eimen
asante sana. kikwete kwa kutuonyesha mambo vyako lakini sis wanyonge ayatusaidii usitueleze mengi uyafanyayo mengi yanatuudhi nakutumiza watanganyika tumekujua yakwamba unapendelea sana waisilamu. kuliko wakirsto tunakuona sana wenu ni Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa haraka kabla ya maji kuzidi unga watanganyika kumekucha amkeni kwasasa msilale Tena
Mm najua mtoto wa nje yani kazaa na mwanamke nje ya ndoa na wa kulea alipokua na mwanamke wanaishi pamoja yule mwanamke anawatoto sasa ww baba wa kambo umewalea wale watoto lakini sio wako
Yani kuna majinga humu ndani eti yameamini Manji ni mtoto wa kikwete hivi nye mnaakili kweli hamkumsikiliza kikwete alivyo kwa akielezea kuhusu baba yake Manji? Mautopolo wengi sana Tanzania hii
SAMAHANI waleta habari hizi kutupiga na KICHWA CHA HABARI Kisicho uhisia wake ### WANA HABARI JARIBUNI KUWEKA VICHWA VYA HABARI MBASHARA...KINACHOENDANA ( mfano kichwa hiki...mmepotosha kama msomaji atasoms bila wewe kumposha )....***ona maelezo ya ndani yalivyo nyoka ***
Nampongeza Rais wa awamu ya nne.kwa jukumu la kumlea Marehemu Manji.ilimpelekea Manii kugusa jamii kubwa kiajira.na wengine wenye nafasi nzuri wafanye kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bils
Mungu.aendelee kukupa..Imani hiyo
Amen
Mungu ailazerohoyake mahali pema peponi hongera jakayamrisho kikwete kwaku timiza wosia wa babayake manji nawalio mtendeya mabaya tunamwomba mungu awatumbukize jehannam yamoto wamilele eimen
Mashallah allah amtie nguvu
asante sana. kikwete kwa kutuonyesha mambo vyako lakini sis wanyonge ayatusaidii usitueleze mengi uyafanyayo mengi yanatuudhi nakutumiza watanganyika tumekujua yakwamba unapendelea sana waisilamu. kuliko wakirsto tunakuona sana wenu ni Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa haraka kabla ya maji kuzidi unga watanganyika kumekucha amkeni kwasasa msilale Tena
Hongera kwa Jakaya pia pole kwa kupotelewa na mwanae wa kufikia
R.I.P YUSUPH MANJI
Great humanity and human relation seldom to get in this present world
Dooh... R.I.P MANJI
Uongo wako siku yakiama limi lako litafangia barabala muongope mungu wewe
Tafauti baina ya mtoto wa nje na mtoto wa kulea...rudini darasani mkasome
Mm najua mtoto wa nje yani kazaa na mwanamke nje ya ndoa na wa kulea alipokua na mwanamke wanaishi pamoja yule mwanamke anawatoto sasa ww baba wa kambo umewalea wale watoto lakini sio wako
pole sana mkuuu
Uongo mwingine hata shetani hapendi...
Acheni kuzusha nyie watu muogopeni mwenyezi mungu yani kazi yenu kuongea uongo tu sura kama watu wa motoni
OVYO
Yani kuna majinga humu ndani eti yameamini Manji ni mtoto wa kikwete hivi nye mnaakili kweli hamkumsikiliza kikwete alivyo kwa akielezea kuhusu baba yake Manji? Mautopolo wengi sana Tanzania hii
Siyo mtoto wa nje ni mtoto wa kulea! Tofauti ni kubwa sana.
SAMAHANI waleta habari hizi kutupiga na KICHWA CHA HABARI Kisicho uhisia wake ### WANA HABARI JARIBUNI KUWEKA VICHWA VYA HABARI MBASHARA...KINACHOENDANA
( mfano kichwa hiki...mmepotosha kama msomaji atasoms bila wewe kumposha )....***ona maelezo ya ndani yalivyo nyoka ***
Nampongeza Rais wa awamu ya nne.kwa jukumu la kumlea Marehemu Manji.ilimpelekea Manii kugusa jamii kubwa kiajira.na wengine wenye nafasi nzuri wafanye kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bils
Kumbe ndio hivyo, basi sio mtoto wa nje,, mhe. Kikwete ni baba mlezi, neno mtoto wa nje Lina maana nyingine kabisa.
Wanatafuta kkkk
Ukiwa tajiri unaficha makosa yako yote yaan uyu manji si ndo aliyokimbia kwa magu kwa pesa zetu jamani leo ni mzuri da pesa ni mwanahalamu
Ndo maana uliuza dawa za kulevya
Chuki Ni Uchafu Wa Moyo
Kwa kweli daah
Ndoo maana alikuwa anauza sure za Jessica huyu kumbeee
Mafala nyinyi kum
Acheni Ujinga basi
Hivi kwa nini wamemzika haraka huko ughaibuni. Huyu jamaa kafa kweli?
Sio ughaibuni ni marekani
Kwani hujui kwa dini ya kiislam kumkirim maiti ni mumzika kwa haraka
Na nchi yoyote anaweza kuzikwa bora kuwe na waislam tu
Wajinga, kuachiwa mtoto umlee ndio MTOTO WA NJE? ACHENI UDHALILISHAJI
Ujinga tyu ushaambiwa wa hiyar
Amen