JPM: Nilipotaka kumteua Dkt. Bashiru niliambiwa ni CUF na wana CCM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- Najua nimewakera nilipotaja majina ya Maprofesa. Hata nilipotaka kumteua Dkt. Bashiru niliambiwa ni CUF na wana CCM. Kulikuwa na ka-Syndicate flani ambako ilikuwa kazi kukasambaratisha
Brightest President ever!
Bashiru Mungu akusimamie hata ktk changamoto unazo kutana nazo za ktk kusema kweli. Ila KWELI ITADUMU MILELE. Wapo ambao watakuja kuitafuta kweli yako na kila kitu kitakua sawa
Dr Ally Bashiru nakutakia heri. Nyota yako iangae kabisa
KUMBE CCM HAWAKUWA WAKIMPENDA DKT BASHIRI TANGU MUDA MWINGI !
Inahuzunisha kwakwel Bashir yuko vizur
R.I.P
Jpm ulikua mkweri kabisa
R I P
Kwani mwanachama wa Cuf sio mtanzania