Jirani Aeleza sababu za KIFO cha SAM WA UKWELI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
- Msanii wa Bongo Fleva ambaye wimbo wake wa sina raha ndio ulimpa umaarufu mkubwa Sam wa Ukweli amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Katika hospitali ya Palestina iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam.
For more Entertainment News and Updates Watch Refresh on Wasafi Tv Every Monday to Friday, follow us on Social Media:-
Instagram: @WasafiTv
Twitter: @WasafiTv
Facebook: @WasafiTv
or
Intagram: / wasafitv
Facebook : / wasafitv
Twitter : / wasafitv
Rest in peace Sam. I loved your songs soon much here in Nairobi Kenya.
Inna lillah wainna ilayh rajiun nakumbuka kile kipande cha wimbo wake wa sina raha "wachawi na wapenda ngono sio kwenu tu hata kwetu wapo 😢😢😢😢 pumzika kwa aman Sam😢😢😢😢
wabongo ndo tabia zao wanashindwa kumsaidia mtu akiwa hai akifa ndo wanajua thamani yake inauma sana hakutakiwa kupelekwa dispensery. daah mungu hailaze roho ya marehemu mahali pema ameen
Daaaaaah Mungu amlaze mahali Pema pepon Amina.
Jamani samu waukweli punzika kwa amani inauma Sana da
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe amina
Innalillah wainaillahi rajiun.Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema.
Rest in peace Sam, I still play his old song HATA KWETU WAPO. RIP.
mungu ailaze roho ya mrahem Sam peponi Amin
Hivi kwel meneger unaweza kukuwepa kulaumiwa kwa hili badala ushugulikie afya ya mtu we unapambana kuanda show Duu Mungu na akulaze mahali Pema pepon
Innalillah wainnaillaih rajuun.poleni sana wafiwa wote
Innah lillah wainah ilehy rajiun .....Mungu akueke pema peponi
Inalilahi alifanikiwa kufunga Ramadhan Hata siku chake
Hivi hawa mamanager mbona wako bussy na hela kiasi hicho. Simulaumu manager lakn aliua Sam anaumwa lakn badala ya kuhakikisha mteja wake apone lakn yeye alikazania kutoa ngoma tu. Sio vzuri hata kidogo
poleni sana majirani na mashabiki kwa ujumla na pia nikushukuru sana kaka kwa namna ambavyo umekuwa na busara katika kuelezea jambo hili
apa ndipo ninapoona uchungu mwenzetu msanii mkubwa kabisa lkn kutokana na ukatili wanaoufanya wausika wa mziki kweli inauma mtu kama sam asingeweza kufa kifo cha nmna hii kama uyu jamaa anavyosema kwamba alikuwa anataka asaini mkataba wa shoo apate hera ili aende hospital kweli inatia uchungu sana unajiuliza ni sam kweli jamani basi watu mnaousika na mziki msifanye hivo sam ametoa eat song nyingi kwanini mpaka sasa anaingika na hera ya kwenda hospital kufanyiwa cheekup kiukweli inauma sana
Gaudinamos Nchobe chaajabu mpaka Mkewe anakosa hela ya nauri Kwenda kumuona hapo mabibo from ilala kweli???
r,i,p rafiki mwenza tulikupenda bali mpango ya jalali ikatimizwa, so let God be with u my friend,,
Daah dunia mapito tu mungu ailaze roho yake pema peponi
Mungu Amrehemu
mungu amuweke Pahali pema peponi
Shine on your way legend
Pumzika kwa amani samu mungu akulaze mahali pema peponi nashindwa nisamaje
M!!! Nimepata pigo kumbwa sana kuondokewa na samu nakuombea mungu akupumzishe kwa amani uko uliko ilove samu m!!!!!!!!
Nimeumia. Sana nikiwa kama shabiki yake apumzike kwa amani
R I p sam wa ukweli
Pumnzika kwa hamani Sam sisi turikupenda hila Mungu nakupenda zaidi
polen sana family ya sama
Daaaaaa inaumaa sana jaman pumzika kwa aman Sam wa ukwee
alikonda namna iyo daah kifo kifo kifo hakina huruma😢😢😢😢😢😭😭😭😭
Innalilah wainnailah rajiun mola aileze mahali pema peponi
Eeh Mungu ipokee roho ya mja wako 🙏🙏
duuuh!!! kwa her Sam kapumzike salama umetuachia majonz mashaabik zako kwa herii Sam Sam Sam kazi ya mung haina makosa tangulia kwa amani nasi tuko nyuma yako hatuko nawe tena kimwil sam
R.I P Sam, pia good coverage style ya Wasafi Media iko vizuri, Jirani ameeleza vizuri huku maswali ya Interviewer yakiwa hiding...imekuwa good flow. The best interview keep it up. Poleni wasnii kwa kumpoteza Team Member.
mtu anaumwa hamumpi hela za hospitali mpaka asaini mkataba ndio mumpe aende hospitali? wanamuziki jifunzeni kwa hili inamana hata studio kaenda kulekodiwa bilakupenda dah haya hatuwalaumu sana tusije mkufuru mungu
Lala salama Sam wa ukweli tulikupenda ila ni kazi ya mwenyezi mungu haikosolewi Kwa kweri rest in peace
Inauma sana kumpoteza mwanamziki Sam wa ukweli
R.I.P Sam wa Ukweli😭😭
Mungu amulaze Mahal pema pepon Amen
r.i.p sam
Imetosha kusema R.I.P
Nasema iyo ROHO ya mauti ishindwe Kwa Jina la yesu Kristo
hahahaha kila nafs itaonj umaut sasa iyo roho ishindwaj muhim ni kuswal na kumrejea Allah s. w R. I. P sam
Maut hayato kwama mpka umma uixhe...kila nafc ita pita mlango wa maut kwa style yake!!
R I P
Kila nafsi itaonja mauti hakuna atakae salia.
INNALILLAH WAINNAILEIHI RAJIUN
Hili ni pigo kubwa sana kwa mashabiki kama mimi jamani😭😭😭😭
Aisha Elias nimeumia mno
sasa meneja anashughulikia mipango ya show wakati akijua mhusika anaumwa ivi kweli ni ubinadamu huo
HAPA MSILAUMU MAANA KIFO UPANGA MUNGU NA HAKIEPUKIKI..KIKUBWA NI KUANGALIA MKEWE NA MWANAE WANAISHI VIPI..
Pepa gig
Kazi ya mungu haina makosa pumzika kwa amani Samu wa ukweli
Daa! Life is too short jamani, RIP Sam
rest in everlasting peace sam
Samu nakumbuka tulikua wote msoga kwenye shuhuli ya watoto wa kikwete ulitupa brudani nzuri ama kweri chema hakidumu tutakutana samu
Ongea na sauti kakaa...
yan wabongo bwana,manager unashughulikia shoo badala ya afya kwanza kwa hyo ulitegemea aende jukwaan vipi,au mpk eti mpate pesa ya shoo ndo aende hospital kwan palikuw hakna pesa kabisa acheni hizo.r i p sam nakumbuka sana 2010/2011 ulivowika na sina raha,nyuma yako mbele yetu
R.I.P Sam wa ukweli 😢😢
R.l.P Sam waukweli mbele yetu nyuma yako 😭😭😭😭😭
Daaa nimeumia sana mm kama shabiki yake hamani RIP
Aliimba kwa uchungu sana huo wimbo...
Rip😫🙏
Welcome Jahannam
Mtu anaumwa alafu manager kumpa hela kwa ajir ya kucheki afya ni hadi afanye mziki,staki kuamin sababu hyo ila mmmmmh...!!!
Ma-manager jaman...duh!!
Return If Possible R.I.P
R.i.p our lovely brodah😭😭😭😭😭😭😭😭
mnanufaika nyinyi tu wanaotoa jasho lao wanaangaika ila duniani tunapita
Dah R.I.P wa ukae
Innalilah waina illah rajiun quru nafsi dhaikatuli mauti kikubwa kujiandaa😢😢😢
Inililah wainalilah rajun😢😢
yani wasani wa bongo wanafariki kiuzembeee awasaidiwi vizuri
R.I.P SAM WA UKWELI
😢😢😢😢😢siamin jaman r i p salum
Duuuuh Poleni sana
Tumbo tuu latoa uhai ama lipo lingine kando yake jamani??? Daah! Pumzika kwa aman Sam#hatakwetuwapo
Mnaudhi sana watu mnao jifanya mna majonzi kwa kuongea sauti haisikiki, kama kweli una majonzi usinge weza ongea na media yoyote na nyie wenye hii channel muwe mna hakikisha mna tumia head phones kusililiza audio kama iko sawa.
R. I. P. inaumasana
Sad R.i.p
duuuh poleni saaana
R.I.P Sam wa Ukweli mdogo wangu
Kazi ya Mora haina makosa upumuzke mahali pema peponi amina
TANGAZO
Wale wenye MAGONJWA ya kulogezewa na roho za MAUTI yupo DR. BINGWA ashindwi yupo EAGT CITY CENTER Kwa pastor Fj Katunzi. Utapona Nenda pale
Andrew John wafate muhimbili
innallahi wainalliahi rajuna
daa tangulia kaka sam sote2po njiani njianimoja2
R.I.P SAM 😢😢😢😢😢
Jensen Nashon
mmmmmmh RIP sam
Bora sam aliongea alichokua anaumwa kuriko wengine pumu zinawaondoa
😭😭😭Sam
Hawa mameneja wanyonyaji kweli MTU mpaka anaumwa hoi hata kumsaidia duuh najisikia vibaya kweli apumzike kwa amani sina LA zaidi,,
hyasinta Kundy ndo kama yale ya Michael Jackson! Mungu anawaona mameneja
Rip bro
R.I.P 😢😢😢😢😢
Rest in peace bro
Rip in paradise 😚 😚😚😚😚
Inauma jmn inauma uwiii Rip sam
KIFO CHA SAM WA UKWELI CHA SIKITISHA WENGI ANGALIA 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
th-cam.com/video/-3712p0kVh8/w-d-xo.html
Rest in peace sam 😢😢
r.I.p
pumzika kwa amani Sam wa ukweli
R. I. P Sam wa Ukweli
Rip Sam wa Ukweli
Nadhani sisi kama mashaniki tulitaka kujua msanii wetu alikua anasumbuliwa na nini hayo mambo kwamba alimaliza nyimbo au alitakiwa akafanye show sidhani kama ni muhimu kutuambia mashabiki zake sababu mtu yoyote alifa kunakuaga na mambo ambayo alikua anafanya au angefanya
Mufas Carysa ukimwi wa kulogewa nenda millad ayo, stor ipo full
Mufas Carysa nais plesha ya kushuka au muimu mkewe ndy atujuze
Clara Emmanuel mmmh ukimwi wa kulogewa hiyo kali sasa jamani kama ni ukimwi basi iwe hivyo jamani sio kila kitu uchawi halafu wagonjwa wa ukimwi siku hizi hawafi kwa ukimwi labda matatizo mengine au alikua hazingatii dozi?
Mufas Carysa mh! Ukistaajabu ya musa utayaona ya Sam wa ukweli...na kifo chake
Ww yanakuhusu nn ?
R. I. P bro wamekuroga wa bongo
Inna lilah wainna ilah rajiun
mmnashindwa hata kujali afya yamtu bizenashoo sasa kawaachia shoo lenu
r.I.p mbere yako nyuma yetu
Ina lilah wa ina ilaihi rajiun
R.i.p my condolences from 254
Uyu kijana alikuwa mzuri wasingemaca
R I P SAM
R.I.P home boy
R. I. P SAM WA UKWEL
RIP Sam wa ukweli#
Rest in peace
Innalilah wainnailah rajiun, Rest in peace sam
Saumu Hassan tatizo ampendani Kwanza mapua yenu marufu
Saumu Hassan wivu wenu utawaponza
Rest in internal place SAM WA UKWELI