MFANYE MPENZI ALIYE KUACHA AKOSE UJASIRI KABISA WA KUKUPOTEZA KWA KUMTENDEA HAYA 3 HARAKA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 48

  • @wardashekaoneka1676
    @wardashekaoneka1676 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kwakweri 😂 umpigania mtu asie kutaka nisawa na kujiikaanga mwenyewe kwenye mafuta na mwishowe utaishia kujiunguza tu

  • @Fatuma-h8j
    @Fatuma-h8j 3 หลายเดือนก่อน

    Asante san kwa mafundisho broo mungu akuzidishie umri uje utusaidie namengi ❤

  • @juliajulia6772
    @juliajulia6772 ปีที่แล้ว +4

    Mimi mpezi wangu aliniambia nitoe pesa nijenge kwao ..na hawai nipeleka kwao..aliniambia wacha twachane..kwa kweli nampenda sana but hii kijenga kwao na siwai pelekwa kwao naona heri twachane.

  • @FunnyMars-wv1fu
    @FunnyMars-wv1fu ปีที่แล้ว +3

    Ahsante sana kwa maneno yako mana nilikuw nalia mpnz wang ameniacga asubh tna kwa kuniabisha kwa majirani zake

    • @johanessjohn
      @johanessjohn  ปีที่แล้ว +1

      Pole sana. Kuna vitabu na ushauri +255768275795

    • @FunnyMars-wv1fu
      @FunnyMars-wv1fu ปีที่แล้ว +1

      @@johanessjohn shukrani sana mana apa nilitak niende kwake nkambembeleze tna mana imekuwaga hvyo

  • @SharifaUluti-y7t
    @SharifaUluti-y7t ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana kaka nimekuelewa Sana ,na nimejifunza pia

  • @MarthaNgole-w8q
    @MarthaNgole-w8q ปีที่แล้ว +1

    Asantee sana 👏🙏..

  • @zaitunibendera7988
    @zaitunibendera7988 ปีที่แล้ว

    Thanks alot my bro toka nianze kukufatilia nmejifunza vitu bora kutoka kwako

  • @RamadhaniRashidi-b9y
    @RamadhaniRashidi-b9y ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana Kaka nimejifunza kitu kwako

  • @bintyomari9645
    @bintyomari9645 ปีที่แล้ว +1

    Napenda your advice na sai niiko kwa hii process nikitumai itafaulu

  • @JescerProsper-hg1bf
    @JescerProsper-hg1bf ปีที่แล้ว

    Waoooo ahsante sana aiseee

  • @ChristineNeema-u5j
    @ChristineNeema-u5j 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana❣️❣️

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nakupendaga tu wewe yaan❤❤

  • @BolasieNgongo-rh9wm
    @BolasieNgongo-rh9wm ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂 kweli kanbisa

  • @ZATIUNISaidi
    @ZATIUNISaidi 9 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana

  • @PrimitivaPriscus-hb7yj
    @PrimitivaPriscus-hb7yj ปีที่แล้ว +1

    Thanks a lot

  • @zeyneabubakar3535
    @zeyneabubakar3535 ปีที่แล้ว +1

    good

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 ปีที่แล้ว +1

    Usemakweli Kabisa ❤

  • @ZayyunSaleh
    @ZayyunSaleh ปีที่แล้ว

    Duh😂😂😂are u pendaling😂😂😂

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 ปีที่แล้ว

    ❤""""Asante sana kaka"""""❤

  • @GraceKimenanga
    @GraceKimenanga ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤

  • @GracePendo-nc1el
    @GracePendo-nc1el ปีที่แล้ว +1

    Mimi niko na mwaka nimekuwa na mchumba hadi tushaombewa kanisani halafu sahi tunakosana sijui shida ni nini nifanye nini apo 😭na ninampenda

  • @agnesnzali5724
    @agnesnzali5724 ปีที่แล้ว +1

    Ad nmecheka jmn,,unatuxaidia kwakwel

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 ปีที่แล้ว +1

    Thanx

  • @RisibonyIsack
    @RisibonyIsack 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana nimekuelewa

    • @RisibonyIsack
      @RisibonyIsack 8 หลายเดือนก่อน

      Unaweza ukanipatia nambaako ya sim

  • @EstherKazilo
    @EstherKazilo 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka naomba unisaidie mm namahusiano ya miez miwili na mpenzi wangu hatjawahi kuonana Zaid ya mawasiliano tu lkn hiv juzi kanitamkia hanitaki tena sababu nilimlaumu kutokjibu sms Zang kwa wakati je nifanyaje na ninampenda sana napitia wakat mgumu sana sana

    • @johanessjohn
      @johanessjohn  7 หลายเดือนก่อน +1

      +255768275795

    • @MaterlingMtui-oz8fp
      @MaterlingMtui-oz8fp 7 หลายเดือนก่อน +1

      Pole Mpz, wanawake wengi tunajua kupenda ila tunaumia xana pale tunapo ona mabadiliko, ok huy jamaa achananaye alishakuacha Mda alikuwa anatafta tu xababu ya kukuacha, niamini utashinda

  • @wanjamarwanja673
    @wanjamarwanja673 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว +1

    Ila umri wako bado ndogo lakini unatoa madini hatari ,ongera bwana

  • @elishamarco521
    @elishamarco521 ปีที่แล้ว +2

    Mm nilishaachana naye lakin sijawahi kuacha kumuwaza

  • @wanjamarwanja673
    @wanjamarwanja673 ปีที่แล้ว

    Aki wewe na hii hekima yote wewe hutoka wapi?❤❤

  • @aishadulla7364
    @aishadulla7364 ปีที่แล้ว

    Kwakweli akuna mapenz hasa wanaume mm nala nkilala maisha yanasonga wee 😔😔

    • @johanessjohn
      @johanessjohn  ปีที่แล้ว +1

      Umetisha

    • @aishadulla7364
      @aishadulla7364 ปีที่แล้ว +1

      @@johanessjohn ntakaa nkipenda litoto lamtu nakupe ata alijal jipende mwenyewe utaona kila kiti swa t nasaivi yani mtu akinitogoza naona kama ana nichekesha tu

  • @MaryKarekye
    @MaryKarekye 6 หลายเดือนก่อน

    Kwakweri kumupigania mtu anakuacha ama anakudharau

  • @Joeljosiah-u2q
    @Joeljosiah-u2q ปีที่แล้ว +2

    Je mwanamke anayekuomba tendo huyo mwanamke yukoje bro

    • @johanessjohn
      @johanessjohn  ปีที่แล้ว

      Ni mchumba? Su mwanandoa?

    • @Joeljosiah-u2q
      @Joeljosiah-u2q ปีที่แล้ว

      @@johanessjohn ni mchumba

    • @Joeljosiah-u2q
      @Joeljosiah-u2q ปีที่แล้ว

      @@johanessjohn na tuko tunaelekea kwenye uchumba kwa sasa tu wapenzi

  • @joycemaregesi18
    @joycemaregesi18 ปีที่แล้ว

    Umeongea ukwel kabisa

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 ปีที่แล้ว

    ❤""""❤"""""❤"""""😂😂

  • @AurélieDaAure
    @AurélieDaAure ปีที่แล้ว

    Babangu miye ni mechoka