MALANGO YA NDOTO YANAVYOTUMIKA NA ADUI (IV) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ค. 2021
  • Ndoto ni muunganiko wa picha na sauti ambazo mtu huona akiwa amelala.Ili ndoto kuja kwa mtu hupita kwenye lango linaloitwa LANGO LA NDOTO.Ni lango ambalo Mungu amelitengeneza maalum kwa ajili ya kupitisha taarifa zake kuja kwa mwanadamu.
    Shetani naye hutumia lango hili kupitisha uharibifu.
    Hata uote ndoto inayotisha kiasi gani,unatakiwa ujue kuwa una mamlaka juu ya hiyo ndoto.Ndoto huwa haiji kwenye uhalisia kama hujaikubali au kuikataa.
    Katika ibada hii tumejifunza kwa upana kuhusu ndoto,kwanini ukiamka unajikuta umesahau ulichoota,kwanini kuna watu wengine hawaoti kabisa na nini cha kufanya ili uweze kukumbuka ndoto unazoota,nini unatakiwa kufanya unapopata ndoto kutoka kwa Mungu au kutoka kwa adui.Lakini pia watu walipata nafasi ya kuuliza maswali juu ya somo hili na Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando aliyajibu yote.
    Karibu usikilize somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando na ufahamu wako kuhusu eneo la ndoto kwa ujumla utaenda kufunguka zaidi.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our TH-cam: th-cam.com/channels/67L.html...
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz

ความคิดเห็น • 119

  • @mariakilasile8792
    @mariakilasile8792 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu mwema kutuinulia mtumishi huyu, Asante sana Yesu. Ubarikiwe Baba.

  • @dorisigalusi4670
    @dorisigalusi4670 ปีที่แล้ว +1

    Asante mungu akubarik pastor

  • @neemaeliezamwampeta4635
    @neemaeliezamwampeta4635 2 ปีที่แล้ว +2

    Ameni 🙏🏼

  • @rebecapandisha
    @rebecapandisha ปีที่แล้ว

    Umesema vema baba

  • @harrietwabosha1669
    @harrietwabosha1669 2 ปีที่แล้ว +6

    Thanks Pastor God bless you nimesoma vyema kuhusu ndoto kutoka kwako..Mungu akuzidishie wisdom and knowledge🙏🇰🇪

  • @zaudamwaisanila9150
    @zaudamwaisanila9150 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki sana mtumishi, hakika someone hili limenifungua, Mungu azidi kukutumia

  • @florahovard3212
    @florahovard3212 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe na Yesu aliyehai

  • @elizabethmwepa3744
    @elizabethmwepa3744 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki sana baba, wengi tunapokea kilakitu bila kuhakiki kama ni cha kimungu kwa kuhisi ndo imani yenyewe na kuhakikisha ni kama kutokua na imani. Umenifunza kwakweli

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 2 ปีที่แล้ว

      Halafu mmewekewa hapo namba za sadaka, kwa wale mnaopenda miujiza bila kufanya kazi , wenzetu wanzungu wanafanya kazi usiku na mchana , ndomana wanafanikiwa, sisi tunasubili miujiza, africa,

  • @elsaomondi2027
    @elsaomondi2027 2 ปีที่แล้ว +2

    Bwana Yesu asifiwe.nisaidie kufafanua ndoto hili. Baba ya mwanangu alioa mke na mara mimi huota huyu mke yuanialika kwa mlo wa nyama mingi na mara tunagombana akilia ati mimi ndiye nimemsababishia machungu maishani. Hii ni nini jamani

  • @rusiwadonatrusi3603
    @rusiwadonatrusi3603 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @pascalmuzuri4
    @pascalmuzuri4 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubatiki sana mtumishi wa Mungu. Akutie nguvu na akuongezee upako

  • @mankatz1
    @mankatz1 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks umenifundisha sana !Mungu akubariki sana

  • @fortunecinogerwa1471
    @fortunecinogerwa1471 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aku bariki mtumishi wa Mungu

  • @bettywandiema6900
    @bettywandiema6900 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana muchungaji nimebarikiwa sana

  • @aisiamkonyi4977
    @aisiamkonyi4977 ปีที่แล้ว +1

    🙏barikiwa Mtumishi

  • @yudesnestory4781
    @yudesnestory4781 2 ปีที่แล้ว +1

    Nukupenda sana baba mungu azidi kukuinua kwa viwangi vingine

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameen

  • @rafikiyesu3134
    @rafikiyesu3134 2 ปีที่แล้ว +1

    Somo hili limenisaidia sana,ni halisi kabisa, mtumishi wa Bwana 🙏 Yesu aendelee kukuinua kwa kazi yake🤝

  • @petermaingi1402
    @petermaingi1402 ปีที่แล้ว +2

    Amen... Mtumishi wa mungu umenibariki kwa jumbe zako za ufunuo

  • @lilianjoshua477
    @lilianjoshua477 2 ปีที่แล้ว +1

    Namshukuru Mungu kwaajili yako nimepata kitu kuhusu ndoto . Naomba Roho mtakatifu anifunulie

  • @innocentnsengimana1600
    @innocentnsengimana1600 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for the teaching.Mungu akubariki sana

  • @wamweru9286
    @wamweru9286 2 ปีที่แล้ว +1

    God bless you 🙏,mafundisho yenye kuelimisha watu . 🇰🇪 .

  • @rahabnganga2793
    @rahabnganga2793 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwalimu mwema sana wa neno la Mungu.

  • @amandamsangi7882
    @amandamsangi7882 2 ปีที่แล้ว +3

    Baba my name is Amanda siku zote huwa napita tu kwenye chanel yako sikuwai kufikiri nitakusikiliza leo nimeota and hapa I was so struggling kutafuta mtumishi wa Mungu kuongea nae, baba kila ulichokiongea it's me I day dream sana na pia usiku. All I can is asante umenifundisha kitu. Thank u very much

    • @jacklineleonard3554
      @jacklineleonard3554 ปีที่แล้ว

      Baba nimefurahia Sana hiki somo Kuna ndoto nimeota imejirudia mala 3 na siku ya nne nikaruhusu kile kitu kitokee na nikweli kikatokea ktk ulimwingu wa mwili

  • @rosemwakyoma8371
    @rosemwakyoma8371 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mtumishi umenifundisha kitu ubarikiwe sana

  • @joharisadi873
    @joharisadi873 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe Sana,nimejifunza kitu muhimu.🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen🙏🙏🙏😓 from 🇴🇲

  • @agnesmutindi3094
    @agnesmutindi3094 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mtumishi was mungu. I have learned something new from you

  • @Francinegabriella
    @Francinegabriella 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen 🙏 nimejifunza kitu leo kbs God bless you 🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mmenesibety7814
    @mmenesibety7814 2 ปีที่แล้ว +3

    Am betty from kenya pastor ukiota unaombea watu mapepo yanatoka inamaanisha nn

  • @thomaspapy3519
    @thomaspapy3519 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Mungu

  • @donathamallya
    @donathamallya 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen Mtumishi wa MUNGU Barikiwa

  • @irenengina233
    @irenengina233 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen Amen Amen

  • @robertedward7853
    @robertedward7853 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen mtumishi somo zuri asante mwalimu

  • @rosenasimiyu6396
    @rosenasimiyu6396 2 ปีที่แล้ว +3

    Pst Mimi nilikaa Kwa ndoa kwamiaka ine lakini kuna siku moja sister in law akakuja kuniambia aliota tumeachana na mume wangu tulikaa 1yaers tukaajana lakini bwana wangu anatezeka sai pls PST ni saitia, God bless you

  • @joyceyesayaswalle5947
    @joyceyesayaswalle5947 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameni

  • @tinamagombeka9179
    @tinamagombeka9179 ปีที่แล้ว +1

    Man of God be blessed🙏

  • @salomeshila3671
    @salomeshila3671 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimebarikiwa sana nahili somo la ndoto

  • @gemamwakyusa6100
    @gemamwakyusa6100 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mtumishi kwa fundisho zuri

  • @winnyrocha1361
    @winnyrocha1361 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mchungaji Kwa ujumbe mzuri.

  • @florahovard3212
    @florahovard3212 2 ปีที่แล้ว +1

    Great message man of God

  • @user-ol2mv8lq8p
    @user-ol2mv8lq8p ปีที่แล้ว

    Ndiyo baba

  • @gloriapraise3313
    @gloriapraise3313 2 ปีที่แล้ว +1

    Very true

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana kweli umenigusa sana sikujua

  • @tuchannyitike
    @tuchannyitike 2 ปีที่แล้ว +4

    Thank you for the sermon,ntazidi kutafakari it's a lot to learn 🙏

  • @rosemisiko3725
    @rosemisiko3725 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen and amen

  • @faisalalsalhi6555
    @faisalalsalhi6555 2 ปีที่แล้ว +7

    thank you umenifunza kitu God bless you

  • @emilynyaga5947
    @emilynyaga5947 2 ปีที่แล้ว +4

    Amen ...am blessed by the teachings ave learnt alot..God bless you man of God

  • @rusangdewagwan3151
    @rusangdewagwan3151 2 ปีที่แล้ว +1

    Ansante pastor kwa mafunzo hayo. Naomba unieleze maana ya ndoto .. nimekuwa nikiomba mungu anibariki na ndoa baada ya week mbili nikaota nikiambiwa ghafula nijitayarishe kuvaa nguo ya harusi na ya suprise niliota 4am na wakati huo Sina mjumba. Lakini naona nimefanya harusi na mtu nilikuwa nimeanza kuchumbiana baada ya week mbili akapotea. Ikawa mwezi moja umepita hamna mawasiliano lakini ndiye naonyeshwa nafanya harusi naye na alikuwa mzungukutoka americani. Baada ya week moja rafiki yangu kaniambia Kuna nduguye ako ngambo familia yake ingetaka tujuane na tuoane na ako UK. Canada . Ningependa uniambie inamaana gani?
    From Kenya

  • @julianangimba3927
    @julianangimba3927 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Baba Mchungaji kwa mafundisho mazuri. Mwenyezi Mungu Akubariki sana👏👏👏

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen barikiwa mutumishi wa Mungu

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 2 ปีที่แล้ว +1

    Amin ubarikiwe kwa somo zur

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen. Kunakitu nimepata ubariliwe

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mafundisho nimebarikiwa sana 🇰🇪 🇦🇪

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 2 ปีที่แล้ว

    tuned

  • @suzansuzzan5344
    @suzansuzzan5344 2 ปีที่แล้ว +7

    Always blessed 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Thankyou JESUS CHRIST...May GOD bless you Man of GOD 🙏🙏

  • @dawsonbulaga7129
    @dawsonbulaga7129 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @irenemukami5735
    @irenemukami5735 2 ปีที่แล้ว +1

    Thank you for the good topic

  • @vailethmbulule8339
    @vailethmbulule8339 2 ปีที่แล้ว +1

    nabarikiwa sana

  • @fhfbfcvcgfggf6844
    @fhfbfcvcgfggf6844 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi hiyo inatokea Sana kwangu na huwa naumia kutaka Kukumbuku Ndoto nilosahsu

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 2 ปีที่แล้ว +1

    BWANA YESU ASIFIWE watu wa MUNGU, nina mdogo wangu natamani sana awe anasali reality, mpo sehemu gani dare salaam ,mana mm nawafatilia nikiwa arusha

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  2 ปีที่แล้ว +1

      Dar es Salaam tupo Sinza Mori,ni karibu sana na ofisi za TAMWA.
      Karibuni sana.

    • @heavenlight5084
      @heavenlight5084 2 ปีที่แล้ว

      @@realityofchristchurch asante mtu wa MUNGU

  • @elizabethfregrin
    @elizabethfregrin 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Man of God kwa mafundisho mazuri

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 2 ปีที่แล้ว +2

    Be blessed. A man of Jesus christ .

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @marymwangi3729
    @marymwangi3729 2 ปีที่แล้ว +5

    Have learnt alot from this sermon God bless you sir

  • @gilbertbada8385
    @gilbertbada8385 ปีที่แล้ว

    TEACHER!

  • @politicscultureandhealth5080
    @politicscultureandhealth5080 3 ปีที่แล้ว +1

    Great message

  • @aoman5214
    @aoman5214 2 ปีที่แล้ว +1

    Jaman Mimi nikiota kitu lazima kitimie sasa cjui ni ya. Mungu au vipi hmm

  • @Dolvinah254
    @Dolvinah254 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏

  • @winfridahmkoba-rs4rm
    @winfridahmkoba-rs4rm 7 หลายเดือนก่อน

    Mm nilikuw naota sana na ninakumbuka lakin hivi karibun imekuwa tofauti ninaota lakin nikiamka ckumbuki,najitaidi kukumbuk lakin haziji

  • @joycekaijage3917
    @joycekaijage3917 2 ปีที่แล้ว +1

    Pastor, asante kwa mafundisho yako, hii ni mara ya kwanza kusikiliza mafundisho yako. Naomba kujua kanisa lako lipo wapi ili niwe naudhulia mafundisho au semina zako.

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  2 ปีที่แล้ว +1

      Kanisa lipo Dar es Salaam,Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Pia tuna Huduma DODOMA kila Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama,Area C njia panda ya kuelekea Arusha.Karibu sana.

    • @joycekaijage3917
      @joycekaijage3917 2 ปีที่แล้ว +1

      @@realityofchristchurch kwa upande wa Dar, semina inafanyika siku gani na sangapi na uwa ni mara ngapi kwa wiki huduma inakuwepo

  • @jaqueeen1
    @jaqueeen1 2 ปีที่แล้ว +1

    Be blessed man of God

  • @maureenauma7397
    @maureenauma7397 2 ปีที่แล้ว +2

    Kila siku nina ndota za pesa,nahesabu pesa,naficha pesa,yakuficha pesa nimeota mara mbili nikificha notes kwa drawers,nikificha coins mingi kwa mifuko na chumbani.

  • @milkahmuringo4765
    @milkahmuringo4765 2 ปีที่แล้ว +1

    Great revelation prophet of God,I never understood

  • @magdalenarusimbi1438
    @magdalenarusimbi1438 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante mtumishi, umenibariki sana. Mimi huwa naota niko na watu wengi kisha kuna minyama mingi ninakula. Ndoto hii inakuja mara nyingi, baada ya siku nasikia msiba mahali. Nifanyeje?

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 2 ปีที่แล้ว +1

    Bishop,,,kuna dugu yangu alikufa na kabla hajafa nilikuwa naletewa doto nikimwekelea mkono lakini nilikuwa bado mdogo miaka na pia kiroho,,,kipindi baada ya kumlaza,,,alikuwa ananijia kwa doto na kunishika mkono kwa umati mkubwa wa injili huku amevaa descent suit) maanake nn

  • @piusmchalo280
    @piusmchalo280 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa pastor

  • @farajamkuchu8458
    @farajamkuchu8458 3 ปีที่แล้ว +1

    Nikwer pastor hatamimi mdahuo hua naota na hua zinatokea kwer

  • @agnestweve7218
    @agnestweve7218 ปีที่แล้ว +1

    Naombeni namba ya simu

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 3 ปีที่แล้ว +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @joharijohn7005
    @joharijohn7005 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi nimebarikiwa sana yani mimi kila siku naonyeswa matukio tofauti tofauti kunamda hadi nakuwa sijui niombee lipi niache lipi Natamani kupata namba yako ya WhatsApp tafadhari nahitaji unipongeze japo kidogo tu nitaelewa

  • @ernestijalis04
    @ernestijalis04 2 ปีที่แล้ว +2

    Nitumie watsap mtumishi

  • @lacandylove
    @lacandylove 2 ปีที่แล้ว +1

    Je nikawaida kuota mchana zaidi ya ndoto moja?

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 2 ปีที่แล้ว +2

    Naji funza mana of God

    • @margretmumbi43
      @margretmumbi43 2 ปีที่แล้ว

      God bless you sana Margaret Wambui from Nairobi

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 2 ปีที่แล้ว +1

    Nasahau karibu kila ndoto ninayoota au nakumbuka vipande vipande vidogo sana.
    Na kuna ndoto naiota mara nyingi sana, nifanyeje?

  • @constancesidi3386
    @constancesidi3386 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for this lessons.
    Am born again and I mostly dream of bad things and if I don't pray they will happen.
    Is it alright to have bad dreams?
    I would wish to wake up smiling after sweet dreams but it's never so.

    • @mwanrique
      @mwanrique ปีที่แล้ว

      Shalom🙏🏿 it is the holy spirit telling you of future things, so that you pray and stop them. God bless you Sister in Christ!😃

  • @ruthie8466
    @ruthie8466 2 ปีที่แล้ว +2

    Dream manipulation ✅

  • @hildanekesasichangi2563
    @hildanekesasichangi2563 2 ปีที่แล้ว +2

    Bwana asifiwe mtumwishi wamungu
    Mm niliota kuwa Niko kwenye stage yamagari bt kila gari lilikuwa linakuja limejaa baadaye Kuna gari lapik up LA yellow likaja na ndereva alikuwa mwanamke wang'ambo yaani muzungu na mume wake na watoto wawili vijana Sasa huyu kijana mmoja alisema tuingie kwa gari lao baadae tulipo ingia harufu ya pombe na sigara ilianza kunukia bt ule kijana mmoja alisema tunyamase kimya tuSiongee Kitu
    Then tukaanza safari bt gafla gari likakosa control then likamake accident bt huyu mtu atoki damu mahali namtu mwenyewe ni kiwete

    • @magrethsimtenda926
      @magrethsimtenda926 2 ปีที่แล้ว +1

      Hilda nekesa sichangi hapo MUNGU anazungumza nawewe huenda wapo watu wanaokuzunguka hawamjui MUNGU ndomaake kiwete mlemavu n.k.nakusubiri gar pengne una huduma ya MUNGU unapaswa ufahamu usipitwe nasauti ya MUNGU maana ndoto namaono ishara utabir nisaut ya MUNGU asemapo nawatu wake sasa muombe MUNGU akupe kujua

    • @goodluckwayesu2190
      @goodluckwayesu2190 2 ปีที่แล้ว

      Iko vzuriiii

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 ปีที่แล้ว +1

    Mm kuna ndoto ime nitatizsa sana mpaka sasa yani nime ota na zini na mwanangu fast born hii ina maana gani mtumishi

    • @sheilamaziku5980
      @sheilamaziku5980 2 ปีที่แล้ว

      Na mimi niliota naingiliana na baba angu yanii😭😭😭😭

    • @christianmwasakogo5579
      @christianmwasakogo5579 2 ปีที่แล้ว

      Hapo ujue ni jini mahaba linakuwa limejibadilisha tu umbo au sura ndio linakujia, hivyo hiyo ni ujanja tu wa jini mahaba kujibadilisha kuwa kama mwanao au mzazi wako au laweza likavaa umbo au sura ya chochote!! 2korintho 2:11 ni mbinu tu za jini mahaba,anakuja kukuchochea uzini

    • @christianmwasakogo5579
      @christianmwasakogo5579 2 ปีที่แล้ว

      Unahitaji usaidiwe maombi ya kujitenganisha na hiyo roho

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 2 ปีที่แล้ว +1

    Samahani mbona namba tatu sijaona naona namba nne

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  2 ปีที่แล้ว +2

      Sehemu ya tatu ipo, imeandikwa MALANGO YA NDOTO YANAVYOTUMIKA NA ADUI (MAOMBEZI).
      Katika sehemu ya tatu tulikuwa na maombezi.

    • @geendaki7678
      @geendaki7678 2 ปีที่แล้ว

      Ahsante Mtumishi

    • @jacklineerenest3211
      @jacklineerenest3211 2 ปีที่แล้ว

      @@realityofchristchurch mtumishi naomba namba yako mimi nnahitaji maombezi yangu na familia yetu mimi nipo Masasi mtwara na Familia yetu ipo bukoba mtumishi Nina shida sana

    • @margaretogega8836
      @margaretogega8836 2 ปีที่แล้ว

      @@realityofchristchurch Mchungaji ninayo shida ya kumwona mime wangu kwa ndoto na sa zingine analala namimi za zingine anatabazamu.
      Kwa mwil uhisiano wetu ni mbaya sana
      2. Kuna kipindi fulani nasikia ni kama kitu kinanitembea kwa mwili kama nyoka na za zingine nikifunga macho naona mapicha za manyoka,
      Niko mbali nifanyeje, nisaidie, hela sioni nikiona ni kwa ugumu,.

  • @pstbahavusylvain689
    @pstbahavusylvain689 ปีที่แล้ว +1

    Sasa inakua aje wakati Mutu anatolewa unabii wake in public ijapokua ni mambo ya Siri ? Je ! Kama hapo kuna mutu mubaya hapo, hawezi iharibu ?

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki3953 2 ปีที่แล้ว +1

    Anaombeni watsap number ya mtumishi

  • @rebecapandisha
    @rebecapandisha ปีที่แล้ว

    Umesema vema baba