Wachezaji wote wa Simba walivyotambulishwa kwenye tamasha la 'Simba Day 2018'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Klabu ya Simba leo imewatambulisha wachezaji wake wote mbele ya mashabiki wa timu hiyo kwenye tamasha kubwa ambalo hufanyika Agost 8 ya kila mwaka.
Tamasha hilo limefanyika kwenye dimba la Taifa Dar es Salaam, katika sherehe ambazo zimeambatana na mchezo wa kirafiki kati dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana.
Aliyesimamia kazi ya kuwatambulisha wachezaji hao, ni Msemaji wa timu hiyo, Haji Manara.
Hivi kuna mtu yupo hapa 2019 nasubilia kesho tarehe 6 Simba oyee 😍😍
daah huu utambulisho sio wa kitoto yan nmecheka jaman
Huyu Jamaa Anajua Sn kuongea na kuwahamasisha wa2 Anafaa kupewa Cheo hichi,Yanga wanatakiwa Wamuajili ht Joti kazi inamfaa Sn baada y Jerry Muro hawana msemaji w mn
Hki Tz nxima Simba ndo yenye Mashabiki wengi kuliko Timu zotee , duhu Tzama umati wa watu hpoo
Nani anaangalia marudiooooo
Turudishieni masud jamani
Team bora Africa Mashariki
😂😂😂😂 Mackin Dida, Kaheza, Ahsante Kwasi, Salamba mbwembwe zoteeee zile wako wapiiii saiv
😂😂😂 kumbe bado watu wan angalie hii Adi leo tusubir ya trh6
Manara nmn unavyoongea unahamaxixha xanaaa ad raha. THIX ix Ximba
manara sikukuelewa hapa kuhusu chama ila sasa nimekuelewa kwa hizi mbwembwe nimeona mkuu
Nwaka
2020 lock down tunacheki now like zetu
Kiukwel manara me nakumic Sana Bora viongoz wafanye namna urud ulifanya kazi nying Sana zakuikuza simba asa burudan na matan yako ata huko uliko umekua unafanya marudio tu
Inshallah ntachezea simba siku karibu
Allah akukubarie amin
Manala bola ulivyopeleka nuksi zako kwawananchi wenzako haooooooooooo
no one like manara in this work
Yani manara wewe ni shidaaa ni zaidi ya burudani ndani ya simbaaaaaaa this is simbaaaaaaaa 😂😂😂😂😂😂
Ka hm the
aisha hamis A
Simba kila anayemla humchukua ili akamle vizurii
Manara ulisheheresha vizur kweli asee
Ndio kwanza tunaanza kudadadadadeeeeki maiming huuuu mtakoomaa hakiamungu hiindoosiiimba bwana a mpak Mw's hiki WA aondoke maradarakan kaaz mnaayooo
Gjfb
iv niyonzima bado yupo ximba?
Bado hujapata jibu
Manara ni bingwa wa hizi shughuli
Baraka Waya amekuwa na ameshika nyadhifa za kisiasa anaweza zimudu hizo shughuli..
Vp
@@mnzavachris5423
Soma
Ivi hajiskiVibayA nsuKULE
Manara burudani sana
Haji manara wewe kweli ni msemaji bora katika nchi hii umejua kusherehesha sana
haji wewe mkali mno
Kagere we mchezaji bwana
jaman ko okwi miaka inarud nyuma okw toka miaka ya 2010 tunaamjua Leo mseemee ,26 huo n uongo kbs
Haitokuja kutokea kumpata msemaji kama haji manala kwanza anavutia sisiju nimpe sifa gani tena ❤
Jamani tuacheni masiara mimi Azam lakini leo nakiri simba ina mashabiki wengi kuriko Tim nyingine hapo TZ huo ndio ukweri,
wewe mpuuzi, kuna timu ya wananchi YOUNG DAR AFRICANS
Watson Heriel acha Ubishi ww
ngoja league ianze ndio utaona moto wa YANGA
Watson Heriel eeh kaka sote twaona NYEUSI peke ako wasema NYEUPE..haya bhana tusubirie hiyo ligi ianze tuone huo umati wenu.!!
Watson Heriel eti na wapuuzi haya kaka..na rekodi mliweka magoli yenu 70 na ndo hamkufika ivo ndo iwe saiv kwa hali ya kusambaza mabakuli.,we adabu yako iko jikoni tukutane oktoba!
Tunaoangalia 24 tujuane hapa
Nani mwengine karudi baada ya kumpoteza manara?
Aisee nipengo
This is simbaaaa brother
mm yanga didah nakupenda hatari uko vizuri bro kuza kipaji
Paamoja
THIS IS SIMBAA..WAVIMBA MACHO ROHO ZINAWAUMAAAAA
Godwin Benedict SIMBA DAY ni siku ya mapumziko kitaifa. NCHI NZIMA.
Godwin Benedict
Gaston Pon
Gaston Ponera
Godwin Benedict
wataixoma number mwaka huuuuuuuuuuuuu
Ndio mechi pekee ya kirafiki Africa,iliyoingiza mashabiki wengi kuliko zote.
kuwa cmba raa xn
Kama umegundua miaka sio ya kweli gonga like hapa
Abdul Ramadhan yanakuhuu?
Abdul Ramadhan haha
Tutakukumbuka shujaa wetu HAJI MANARA
Mm shabiki wa yanga naomba manara nisogeze simba Niko radhi kusema ya watembeza bakuri
Ndio hapo muone kwamba mnapovurunda uwanjani... kuna idadi kubwa ya watu wanaumia.
Picha Bapa yana kuhuuu?
dansi
Manara mwenye Simba yake
NIMEMUONA SALAMA JABILI
I can't imagine the love and support from funs
simba
Sana
Manara huna kizuizi katka ushereheshaji hakuna wa kukufikia ase
xxx
thank cell me baby please
Kweli mambo n moto,Simba mnyama,hongera sana Manara
usaji wa smba
WalimletA Kofi tunAmsHusha kiba kings
Jaman Okwi tulimzoea mrudisheni pliz....katoka mbali na Simba daah
Hski ya mwaka huu ndo imependeza ambayo hatuna Manara nmna tu walivyopokelewa raha sana hikinkindiki wahi
Kwangu mm manara ndiye brand ya simba angekuwa spoken person wa tanzania kwa mtanzamo Wang anafaa
Manara ni nyokoooooo sana yani hadi raha
Silver Ngimi ni hatareeeee
.
MAnala
Simbaaa rahaaa jamani😂😂😂😂😂😂👌🔥🔥🔥🔥ila umri wa wachezaji nao mmmm..na niyonzima jaman
Simba daima
6/8/2019 gonga like twende saw
Simba ni momaa jamani Ila Simba kiboko yao jamani hakuna mashabiki wengi kma Simbaaaaaaa
Hakuna haja ya kutafuta Mc Manara kiboko yao😁😁😁😁
Huu umri utakuwa wa kucheza mpira na sio wa kuzaliwa
haji ni fundi wa uhamasishaji sio Simba tu bali ligi kuu Tanzania
Simba sio Tanzania tu,bali Africka mashariki ndio timu yenye washabiki weñgi,ushahidi ni huu.
Uongo
Hii ndo iliwafanya mpaka mbute waone wivu nawao wakaanzisha sku ya wanachi😂😂😂😂
Kiukweli alikuwa na umaalumu wake namna ya kutambulisha wachezajii dela
Hili chama ni hatareeeee sanaaaaaa
Uyooo mwarabu ulivyomtambulisha jamaniii dah
Chamarawanamsitesekemajirani. hhhhhhhhh&hh
Hata Mimi nitaichezea simba inshaallah.
Dida na salamba jamani mko wapi aisee😭😭
Daaah!!! Nan anasema hana mashabiki wengi mwenye macho ahabiwi tazma na mwenye masikio = ? Mbishi jibu ubalo
Mimi yanga ila nampenda sana manara kwa uhamasishaji wake
asante kwasiii
Simba OYEE PIGA kelele mashabiki kibao
simba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hv kwel masud mmemfukuza mmekosea sana
Anae watch in 2024 tujuane 😂
Kuwa mshabiki wa Simba, ni raha sana Moyoni! Raha ajabu....,,,
Yes.msemaji.ajisande.manara.
C.jambo.fogo.
Wachezaji wana maumbo mazuri, umri bado sasa wanashindwa nini kucheza mpira?! taabu yote hiyo ni kutaka kumfunga Yanga tu! umefika wakati tunyanyue sura zetu tuangalie mbele, mbali zaidi kisoka ..........
khaa wacha yanga waige. simba day so kwa watu hap uwanja umejaa kumbe siku ya ,,,,,,,,,dey yanga hua wanaumiag
Kelele nyingi nafasi hizo za nani
This is simba
manara wewe kweli msomi hadi rahaa
Kwenye miaka ndo tatzo
Vp
Vp
🤝🤝🤝❤❤❤💪💪💪💪
aya bana Manara umetixhaaaaaaaa
Hapana chezea Simba 💪
haji sunday manala
Hii miaka ya wachezaji sahihi kweli?
if you don,t love SIMBA SPORT CLUB,you are the BIG JIPU%@
Ismael Said hili nalo neno
manara mtalamu waizi kaz
savitacmba
THIS IS SIMBA, JAMANI WATU 65000, DAR HATALI
Harmone
Z
Diamond
Tunafukua fukua 2020 bado iko motoo
😁😁😁😁😁😁
Manara umezngua hlo jina la kocha wa viungo
sijui mwaka huu itakuaje
❤❤😂😂😂rud tmeku miss sana
Nakuona Abdul sopu leo kaenda azam da$
Tuache masihalla manara anajua hadi anakera sasa 😊😊😊
Hichii kichwa simba watamkumbuka
Hahahaha hadi raha
Dah! Nimekubali cimba ni chama la wana THIS IS SIMBA