HAYA TWENDENI KWENYE MJADALA WA KIELIMU SASA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 366

  • @QuthamAbdalla
    @QuthamAbdalla 9 วันที่ผ่านมา +4

    والله إني أحبك في الله يا عظيم شيخنا .
    أطال الله بقائك بالخير والبركة .

  • @omarmwabege
    @omarmwabege 10 วันที่ผ่านมา +8

    Ushauri Wangu usifanye mjadala toa Elimu.sheikh said hatukua twamjua Sheikh bachu ndie amemtoa!

  • @IbraFareed
    @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา +8

    Sheikh unajiaibisha sanah
    Ningekua mimi naona aibu
    MAANA ULIFUNDISHWA ELIMU YA HADITH LABDA UJITOE UFAHAMU

    • @ابومعاذاحمدناصر
      @ابومعاذاحمدناصر 9 วันที่ผ่านมา +1

      Madhehebu ya kisufi ni madhehebu batili na ni ya kijinga na upotevu . Sio maneno yangu

    • @MohammedAlahdal-hs9vm
      @MohammedAlahdal-hs9vm 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@ابومعاذاحمدناصر nani kasema

    • @muhammedomaryshembilu8539
      @muhammedomaryshembilu8539 6 วันที่ผ่านมา

      Ww ni tutusa

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 6 วันที่ผ่านมา

      @@muhammedomaryshembilu8539 ukisema tutusa una maanisha nini akhy?

  • @LuluAquai
    @LuluAquai 10 วันที่ผ่านมา +6

    Baaraka llahu fik,nakukubali sana Allah akuongoze sheikh Muhammad Nassoro Bachu,umekuwa mwiba

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 7 วันที่ผ่านมา

      Huu wako ni ushabiki na mwishoe utakuponza

  • @MohammedMohammed-y8c
    @MohammedMohammed-y8c 8 วันที่ผ่านมา +3

    Hebu zungumzeni mambo ya msingi, acheni kupoteza muda, kumbukeni mtaenda kuulizwa kwa Allah. Sisi hatutaki mifarakano wala ugomvi. Mambo hayo yameshapitwa na wakati ndugu zangu. Haya mambo hayana tija yoyote zaidi ya kufarikiana. Km mnaweza kufanya daawa yenye tija fanyeni hamuwezi nyamazeni.

    • @abdallahsaid4997
      @abdallahsaid4997 5 วันที่ผ่านมา

      Yamepitwa na wakati kweli.
      Nyinyi fundisheni seerah ya mtume wao wafundishe maulidi

    • @ramazanzibar8264
      @ramazanzibar8264 4 วันที่ผ่านมา

      Hapana tutaenda kuulizwa siku ya mwisho ikiwa utamuoba mwenzako amepotea na hukumuongoza USIMLAZIMISHE TU bali mkumbushe km njia anayopita si sahihi ​@@abdallahsaid4997

  • @عمرأحمد-ص9ل4ش
    @عمرأحمد-ص9ل4ش 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nimesoma coments tofauti ila nimeona kuna watu ni wachache wa kuelewa, haya si majibizano wala sio kufarikiana hapa ni la sawa liwekwe mahali pake na la makosa liwekwe sehemu yake, munataka mashekhe waende vijijini wakati hapa mijini dini ya sawa watu hawajui, kwani tumekutana na wangapi wamezaliwa na kukuwa kwenye uislamu lakini ukiona namna mtu anavyotawadha sivyo, Sheikh Muhammad nakupenda kwa ajili ya Allah na ushikamane wala usirudi nyuma, hakuwezi kuwa na sawa mbili, ima maulidi inafaa watu waendelee au hayafai watu waache........Sheikh Allah akulipe malipo makubwa,,,,,hata hizi comments zisikubabaishe kuna watu hata wakaletewa haki mbele yao hawaioni na hata wakiiona hawaezi kuacha matamanio yao ya nafsi.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 10 วันที่ผ่านมา +22

    Ndugu yangu Yule hawezi mjadala, hawezi toa dalili kutoka quran wala sunnah na ataleta vurugu kama kawaida.....plzzzzz achana naye. Kama hoja 19 ya uongo ndani ya barzanji haijajibiwa hadi Leo basi kuna haja gani ya mjadala tena akhi?

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 10 วันที่ผ่านมา +1

      Angalia msijikojolee kama kipindi kile.

    • @AliJuma-k2t
      @AliJuma-k2t 10 วันที่ผ่านมา

      Bachu achakujikweza uislamuumekataza bunguzakiburi

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp 10 วันที่ผ่านมา

      Yule si mtu wa mjadala ni mbishi ndio maana alishikilia kiswali kilicho kuwa hakipo

    • @manshersherman3960
      @manshersherman3960 10 วันที่ผ่านมา +1

      kuna ma SHEIKH na ma SHEHE
      sasa nyie MASHEHE hamuwasaidii watu mnawatua ujinga na ushabiki kama waimba tarabu

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 10 วันที่ผ่านมา

      @@manshersherman3960 Wewe humuoni huyo tarumbeta wenu!.

  • @ر.ج.ب
    @ر.ج.ب 9 วันที่ผ่านมา +2

    Sheikh Muhammad unawaweza hao masufi hoja zako ziko juu na zimejengwa Kwa dalili MAa Shaa Allah

  • @yaqubshee6473
    @yaqubshee6473 9 วันที่ผ่านมา +8

    MWANZO SEMA SIJUI NDO TUENDELEE

    • @MohammedAlahdal-hs9vm
      @MohammedAlahdal-hs9vm 7 วันที่ผ่านมา +1

      Twataka mashekhe zake bachu yeye tumemuona ni sisimizi Tena wakawaida

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 8 วันที่ผ่านมา +3

    Bachu mm nakukubali lakini yule jamaa amekupija ndoige hukufurukuta jipange upya mm sisem maulid kama yanafaa au vp ila siku Ile alikubana

  • @GhalibLindi
    @GhalibLindi 9 วันที่ผ่านมา +4

    Kusema sijui sio tusi, tukae chini tusome, uislamu una mengi ya kutekelezewa

    • @malikiabdelehemani3049
      @malikiabdelehemani3049 5 วันที่ผ่านมา

      Nasikia ulipanda mimbarini na paka kumuuliza kama waliongea je ni kweli ulipanda nae???

  • @malikiabdelehemani3049
    @malikiabdelehemani3049 5 วันที่ผ่านมา +1

    Pia mfumo wa swali, kazi, jibu uzingatieee

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 10 วันที่ผ่านมา +10

    Shekh Muhammad bachu nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @malikiabdelehemani3049
    @malikiabdelehemani3049 5 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh wang punguza mdhaha na njia tofauti kama maneno yasiyo na busara Wakat wa mjadala kama vile kumsema mwenzako kuwa hayuko first eleven..... Maana maneno kama haya tunaweza kuona unatumia njia hiyo kumtoa mwenzako kwenye mada. So nakuomba kuwa nalo makini

  • @abuually-ol2xc
    @abuually-ol2xc 10 วันที่ผ่านมา +4

    Innalillahi wainnaa ilayhi raajiuun 😢 mashehe wa sikuizi wanatafuta elimu ili tu wabishane na wenye elimu ili wapate sifaa Kwa watu ,mtu hasome kwaajili ya Allah Bali anasoma ili apate umaarufu na apate sifaa Kwa watu wambwambie anaelimuu 😢

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 10 วันที่ผ่านมา

      Dalili yako nini?

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi ya wanyama kuongea katika riwaya ya أبـو نـعـيـم الأصـفـهـانـي kwenye دلائل النبوۃ inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
      Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      mimi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea… MAANA BACHU ALIKUA ANAKATAA BARAZANJI SIJAMUITA MUONGO 😂😂🙌🏾
      HII HUKUMU YA KUITA HAYA MANENO UONGO UMETOA WAPI?
      SWALI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith ya wanyama kutamka na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
      akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث tena akasema mmoja wapo ni ابن الصلاح katika علوم الحديث (مقدمة ابن الصلاح) wamesema wamesahihisha hadith DHAIF kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
      na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia na tunatumia hadith DHAIFU. wewe SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akanyamaza kimya
      AKAAMBIWA SI ULISEMA HII HADITH SI DHAIF
      akamwambia hii uloleta ni hadith lazima turudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث
      MAKOSA YA BACHU YALIKUA
      kwenye NAHAU, KUELEWA MISAMIATI YA ELIMU YA HADITH NA TAFSIRI AZOKUA ANAZILETA NI POTOVU NDO MANA AKAWA ANAFUNDISHWA KILA NUKTA ANAYOKOSEA
      mfano alisema hadith غريب ni HADITH NGENI KABISA 😂😂😂🙌🏾
      Watu wakacheka akaambiwa hadith غريب sio hadith ngeni na kama unabisha leta MWANAZUONI ALOSEMA HADITH غريب ni ngeni
      makosa mengine شديد ضعيف na mengine mengi
      NDO MANA AKAAMBIWA BAADA YA HAPA UTAENDA KUSOMA

    • @abdallahsaid4997
      @abdallahsaid4997 5 วันที่ผ่านมา

      Maneno ya wazi kabisa .
      Mwenye akili ishara humtosheleza

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 9 วันที่ผ่านมา +2

    Nyote kuna kitu kinakusumbueni ktk nafsi zenu lkn Alla ndie akijuae sisi tunakuombeeni tawfiq

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 9 วันที่ผ่านมา +2

    UMEHENYESHWA HADI UKAMWAGA KOJO
    HALAFU UNAJIFANYA KUTAKA MJADALA HUKU ELIMU HUNA
    SASA MARA HII UNATAKA KUNYA SASA

  • @abdallamuhammedmuhammed
    @abdallamuhammedmuhammed 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nnyi mashekh hata sijui muko na nni yani badala muende huko vijijini mukatangaze dini ya Allah nyyi munapigiana kelele ushindani mwingi kule vijijini kuna watu hata Hawaijui dili ya allah nendeni kule .musipige makelele majijini Kule watu vijijini wanaangamia

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 10 วันที่ผ่านมา +5

    ❤Bachuuuuu..mbuzi wanaonge kwenye jungu la pilau....mmmmmh..tushaelimika hatuendi maulidini

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 10 วันที่ผ่านมา +2

      Angalia msijikojolee kama kipindi kile..

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi ya wanyama kuongea katika riwaya ya أبـو نـعـيـم الأصـفـهـانـي kwenye دلائل النبوۃ inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
      Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      mimi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea… MAANA BACHU ALIKUA ANAKATAA BARAZANJI SIJAMUITA MUONGO 😂😂🙌🏾
      HII HUKUMU YA KUITA HAYA MANENO UONGO UMETOA WAPI?
      SWALI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith ya wanyama kutamka na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
      akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث tena akasema mmoja wapo ni ابن الصلاح katika علوم الحديث (مقدمة ابن الصلاح) wamesema wamesahihisha hadith DHAIF kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
      na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia na tunatumia hadith DHAIFU. wewe SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akanyamaza kimya
      AKAAMBIWA SI ULISEMA HII HADITH SI DHAIF
      akamwambia hii uloleta ni hadith lazima turudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث
      MAKOSA YA BACHU YALIKUA
      kwenye NAHAU, KUELEWA MISAMIATI YA ELIMU YA HADITH NA TAFSIRI AZOKUA ANAZILETA NI POTOVU NDO MANA AKAWA ANAFUNDISHWA KILA NUKTA ANAYOKOSEA
      mfano alisema hadith غريب ni HADITH NGENI KABISA 😂😂😂🙌🏾
      Watu wakacheka akaambiwa hadith غريب sio hadith ngeni na kama unabisha leta MWANAZUONI ALOSEMA HADITH غريب ni ngeni
      makosa mengine شديد ضعيف na mengine mengi
      NDO MANA AKAAMBIWA BAADA YA HAPA UTAENDA KUSOMA

    • @MohammedAlahdal-hs9vm
      @MohammedAlahdal-hs9vm 7 วันที่ผ่านมา

      Wala mtumi hawataki

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 7 วันที่ผ่านมา

      @@seydouside4081 Angalieni ASADUKU asije akajikojolea tena!.

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 8 วันที่ผ่านมา +2

    Sema sijui😂.ile siku nilicheka sana.

    • @MohammedAlahdal-hs9vm
      @MohammedAlahdal-hs9vm 7 วันที่ผ่านมา

      Huyu kibachu nimwanaume akiwa peke yake

    • @NoufelSalim
      @NoufelSalim 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@MohammedAlahdal-hs9vm hhhh🤣

  • @saidjuma1019
    @saidjuma1019 5 วันที่ผ่านมา

    A.alaikumu shekh mohamad bachu mm nipo na ombi nawaombe mufanye mjadala wa kielimu kwenye dini niko na maana hii muweke mjadala wa kimya watu 2 tu sio kuweka kwenye media mukaiyanika dini na kuivuwa nguo someshaneni watu 2 ukibata fatwa ya kielimu njooni hadharani mutusomeshe na ss kwa sabb tunawapa faida waliokuwa si waislamu wakiona km ivo munavutana
    Zingatieni hili kwa faida ya dini na kupata radhi za Allah mana mukiweka hadhara ni mtihani tu mutakosa fungu kwa Allah

  • @ridaqludba5991
    @ridaqludba5991 7 วันที่ผ่านมา

    Mashaalla, sheikh twakupenda kwa ajili ya alla

  • @KhamisBakar-ge4sp
    @KhamisBakar-ge4sp 10 วันที่ผ่านมา +18

    Kama ni mjadala nahisi bora muendelee na pale mulipofika
    Ukajibu kwanza nukta yake kuhusu wanyama kisha muendelee ili tupate faida isiwe kila siku munafunguw mada mpya kisha hamumalizii😂

    • @salimmohamedakidzmoh6993
      @salimmohamedakidzmoh6993 10 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂safiii🎉🎉🎉

    • @KhamisBakar-ge4sp
      @KhamisBakar-ge4sp 10 วันที่ผ่านมา +1

      Sisi tunataka tupate faida sio hamasa

    • @khalifa_kuchi
      @khalifa_kuchi 10 วันที่ผ่านมา +2

      Naam kw vile mada ya bachu ni maulid huko kote itafika tu coz kuna point kibao hazijajibiwa na wao wataangalia mada wanayoitaka laa wakitaka mada hiyo hiyo bc hapo ndo walipojiroga maana mara lazima hakki ionekane InshaAllah

    • @hasnakid
      @hasnakid 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@khalifa_kuchi kabisa

    • @salimmohamedakidzmoh6993
      @salimmohamedakidzmoh6993 10 วันที่ผ่านมา

      @@khalifa_kuchi huyo bachu hana kokote atakapofika yeye hanaa fahamu yoyote wala misingi yoyte ya kutoa dalili ni kukusanya maqal ya wasemaji tofauti ambao hata akiulizwa tarekhe zao hazijui....kisha akatafsiri kuzifanya ndio dalili......utamsikia akisema tu huyu mwandishi ni sufi wala hamjui kuhusu elimu wala isnad yake....bas kurukaruka tu hapa na pale

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww 8 วันที่ผ่านมา

    Wallahi hawana uwezo wakujibu ila niblaa blaa tu wacha yeye nawote hawana uwezo wakujibu chochote barakallahu bachu

  • @abubakarismail6365
    @abubakarismail6365 4 วันที่ผ่านมา

    Kwani ule wa mwanzo ujajikojolea ulikuwa wa nini? Kama huu ni wa kielimu?😊

  • @ahmadshaame1332
    @ahmadshaame1332 9 วันที่ผ่านมา

    Ule ukimya wa Muhammad Bachu ilikuwa ni bakora tosha kwa wengine lakini na ingekuwa ni funzo kubwa kwa wengine.
    Ila mimi nasema hapa hakuna munaqasha tena na endapo munaqasha utakubalika na hisi kilichobakia ni kila mmoja kuja kujinadi na kujifakharisha kila mmoja uwezo au elimu aliyonayo mimi nahisi inatosha maana mjadala tuliona na Alhamdulillah tulifahamu vyema kabisa.
    Mimi naomba Sheikh wangu haya mambo achana nayo tena achana nayo achana nayo tulikufahamu vizuri tu na washakufahamu vya kutosha. Mwisho itakuja kuwa ni Riyaa basi faida haitapatikana tena Sheikh wangu.

  • @mudrickbachan2442
    @mudrickbachan2442 10 วันที่ผ่านมา +4

    Bachu kasome maana utaulizwa hadithi na aqsam zake ukiwa hujajiandaa usije toka mavi tuu kwenye kiti

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 9 วันที่ผ่านมา +2

    Dj said anakuogopa kama Yusuf Diwan anvyokuogopa hawana hoja Hawa masufi

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 7 วันที่ผ่านมา

      Wenye hoja ni nyinyi na kitabu chenu Cha tauhid Cha sheikh wenu Muhammad bin abdulwahab mungu amrahamu ambacho ni Cha aqida ndani ya kitabu hicho Kuna hadithi maudhui alizosingiziwa uwongo mtume s.a.w. vile vile Kuna Hadith dhaifu sana ndani ya kitabu hicho haya hamuyasemi mumeyanyamazia kimnya iweni na inswaf mcheni mola

  • @jaaffarabuu6750
    @jaaffarabuu6750 8 วันที่ผ่านมา +1

    Allah akujaalie afya na siha njema

  • @AliAliyan-ib3sr
    @AliAliyan-ib3sr 6 วันที่ผ่านมา

    Mambrui ndio madrasa ulokimbia mtoro ukasome mkosefu haya ilmu na mtia fitna kwenye uislamu

  • @JuchonlineTV
    @JuchonlineTV 10 วันที่ผ่านมา +4

    Bachu angalia mara hii usije ukafa....🤣🤣🤣🤣BACHU TUNAKUSIHI UTAKUFA KWENYE KITI🤣🤣🤣

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 7 วันที่ผ่านมา

    Watafuta Izara bachu tatizo ukusoma kuilimisha ulisomea Mizozo afadhali uwedele kunyama upate kustirika

  • @sumaisabu9816
    @sumaisabu9816 8 วันที่ผ่านมา

    Nlichokifahamu mm katik mjadala wa maulid nikwamba shhekh said anaamini kuwa maulid ni uzushi ila yeye hataki barzanji tu aitwe muongo 😢

  • @masoudmohammed4258
    @masoudmohammed4258 10 วันที่ผ่านมา

    Mashallah sheikh Muhammad. Hapo ndo unanifurahisha

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff 6 วันที่ผ่านมา

    Kuwa na kauli nzuri jitofautishe mtu w dini n wasela

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 9 วันที่ผ่านมา

    Shekh tusomenii amna mkamilifu tuache kujigamba mbn ulikuwa ayo matamshi ayaendii sawaa unamakosa makosa

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 10 วันที่ผ่านมา +1

    MAASHAA ALLAH sheikh ,,,,, zishamfikia salam

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi ya wanyama kuongea katika riwaya ya أبـو نـعـيـم الأصـفـهـانـي kwenye دلائل النبوۃ inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
      Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      mimi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea… MAANA BACHU ALIKUA ANAKATAA BARAZANJI SIJAMUITA MUONGO 😂😂🙌🏾
      HII HUKUMU YA KUITA HAYA MANENO UONGO UMETOA WAPI?
      SWALI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith ya wanyama kutamka na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
      akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث tena akasema mmoja wapo ni ابن الصلاح katika علوم الحديث (مقدمة ابن الصلاح) wamesema wamesahihisha hadith DHAIF kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
      na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia na tunatumia hadith DHAIFU. wewe SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akanyamaza kimya
      AKAAMBIWA SI ULISEMA HII HADITH SI DHAIF
      akamwambia hii uloleta ni hadith lazima turudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث
      MAKOSA YA BACHU YALIKUA
      kwenye NAHAU, KUELEWA MISAMIATI YA ELIMU YA HADITH NA TAFSIRI AZOKUA ANAZILETA NI POTOVU NDO MANA AKAWA ANAFUNDISHWA KILA NUKTA ANAYOKOSEA
      mfano alisema hadith غريب ni HADITH NGENI KABISA 😂😂😂🙌🏾
      Watu wakacheka akaambiwa hadith غريب sio hadith ngeni na kama unabisha leta MWANAZUONI ALOSEMA HADITH غريب ni ngeni
      makosa mengine شديد ضعيف na mengine mengi
      NDO MANA AKAAMBIWA BAADA YA HAPA UTAENDA KUSOMA

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 10 วันที่ผ่านมา +2

    Sheikh Bachu acha kujishusha hadhi 😢yule sio hadhi yako akatafute wapiga vinanda wenzake ndio afanye nao mjadala

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 10 วันที่ผ่านมา

      Mbona alikimbia?

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi ya wanyama kuongea katika riwaya ya أبـو نـعـيـم الأصـفـهـانـي kwenye دلائل النبوۃ inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
      Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      mimi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea… MAANA BACHU ALIKUA ANAKATAA BARAZANJI SIJAMUITA MUONGO 😂😂🙌🏾
      HII HUKUMU YA KUITA HAYA MANENO UONGO UMETOA WAPI?
      SWALI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith ya wanyama kutamka na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
      akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث tena akasema mmoja wapo ni ابن الصلاح katika علوم الحديث (مقدمة ابن الصلاح) wamesema wamesahihisha hadith DHAIF kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
      na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia na tunatumia hadith DHAIFU. wewe SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akanyamaza kimya
      AKAAMBIWA SI ULISEMA HII HADITH SI DHAIF
      akamwambia hii uloleta ni hadith lazima turudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث
      MAKOSA YA BACHU YALIKUA
      kwenye NAHAU, KUELEWA MISAMIATI YA ELIMU YA HADITH NA TAFSIRI AZOKUA ANAZILETA NI POTOVU NDO MANA AKAWA ANAFUNDISHWA KILA NUKTA ANAYOKOSEA
      mfano alisema hadith غريب ni HADITH NGENI KABISA 😂😂😂🙌🏾
      Watu wakacheka akaambiwa hadith غريب sio hadith ngeni na kama unabisha leta MWANAZUONI ALOSEMA HADITH غريب ni ngeni
      makosa mengine شديد ضعيف na mengine mengi
      NDO MANA AKAAMBIWA BAADA YA HAPA UTAENDA KUSOMA

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 4 วันที่ผ่านมา

      @@shabansaid2323 kumbe wapiga vinanda hazimo!

  • @saggafsiyu9961
    @saggafsiyu9961 7 วันที่ผ่านมา +1

    Watafuta sababu ya kufanya mchango ww
    Si ni ww ulokimbia kwa kiti pia ukajikojolea

  • @DirectorOne.t
    @DirectorOne.t 9 วันที่ผ่านมา

    MADA YAKO NZIMA ipo afadhali ila neno ukome ndipo ulipoharibu sh.........

  • @AliAliyan-ib3sr
    @AliAliyan-ib3sr 6 วันที่ผ่านมา

    Wacha mozozo huna elmu ila fitna aaaah zuzu

  • @elimuforum9135
    @elimuforum9135 10 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe ulimkimbia 😂😂😂 leo tena?

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 10 วันที่ผ่านมา

      Amekua. Lakini nukta kwa nukta

  • @sungitatv9887
    @sungitatv9887 6 วันที่ผ่านมา

    MZEE WA JAULA NAONA UMEISHIWA PESA😂😂😂

    • @abdallahsaid4997
      @abdallahsaid4997 5 วันที่ผ่านมา

      Mpaka atowe kanda nyingine ndo alipwe mashahara wake.safari hii hakuna chochote

  • @ZahorSaid-o8s
    @ZahorSaid-o8s 5 วันที่ผ่านมา

    mm wat wamaulid Nata muniambie ikiwa kuna imamu mmoja t kat ya wanne walyo yakubali maulin bas mm kuazia leo na mm ntakuwa Mt wa ngoma zenu za maulid na shrk zenu sw

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 10 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wataka kukomboa sio. Sije ukanya round hii

  • @MohammedMohammed-gp9xq
    @MohammedMohammed-gp9xq 10 วันที่ผ่านมา

    somo mohammad hawa ndugu zetu wafanya biashara maulidi wana kifuru na yule ustadh jaffar asema leylatul qadr simuhimu kama usiku wa maulid ASTAGHAAFIIRULLAH quraan yasema leylatul qadr ni bora kuliko miezi elfu moja sasa na sisi twataka atoe andiko kwa quraan ALLAH asema maulidi ni bora kuliko laylatulqadr. Hawa ndugu zetu wanakufuru wameshafedheheka so ustadh mohd hawa jamaa wasikutie maradhi wala jazba na ALLAH abaadan hawezi kua na wao shukran ALLAH BARIIK kwenye haki usichoke kakangu hawa watu wa maslaah

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff 6 วันที่ผ่านมา

    Mukamalizie pale mulipoanza kwenye Barazanji

  • @nurdinayoub2894
    @nurdinayoub2894 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ukimaliza huko jishekh ropokaji uje kule kwenye العهد الذهن tumalizane

  • @HamzaMohamed-x6l
    @HamzaMohamed-x6l 9 วันที่ผ่านมา

    Usimtaje Albeidh wewe...... Fanya heshima na wanazuoni na masharifu.

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 9 วันที่ผ่านมา

    Mawahabi wanatabu sana. Yani kitendo cha bachu kusisitiza kufungua vitabu ujue ni mchache wa elimu na hajui mjadala unakuaje. Vitabu siyo ishu ,ishu ni kwamba unavielewaje hivyo vitabu.

  • @rashadmurshid
    @rashadmurshid 9 วันที่ผ่านมา

    Huyo dj aende zake akashindane na masufi wenzie kukata viuno na kupapasa vinanda, hana hadhi ya kujadiliana na weye sheikh wala asikusumbue.

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 8 วันที่ผ่านมา

    Kikojozi huna hoja, mbona ulijikojolea?

  • @YahyaKombo-j3g
    @YahyaKombo-j3g 9 วันที่ผ่านมา +1

    Achana nae mana yatakua ni Yale Yale

  • @akbarosman3892
    @akbarosman3892 8 วันที่ผ่านมา

    Mie nishajua dharura yake, kile kimanga cha msa kitakua katika siku zake ndio maana hawezi mjadala 😅😅😅😅

  • @husseinsalehe6506
    @husseinsalehe6506 10 วันที่ผ่านมา +1

    Anasimulia Abuu Yaziid kuwa, tulisuhubiana na Imam Ahmad bin Hanmbali miaka hamsini,hatukuwahi kumuona akijifakhiri mbele yetu kwa chochote, kutoka na aliyokuwa nayo katika uchamungu na kheri zote alizokuwa nazo (ikiwemo elimu) Mmenielewa!!!
    Hawa vijana wa siku hizi wanajifunza elimu wapi???? na ilhali bado hawajawa hata na hiyo elimu ya kujifakhiri.

  • @abuuzahra-fc2jg
    @abuuzahra-fc2jg 9 วันที่ผ่านมา +3

    Nenda ww hadiht ghariib hadith ngeni aibu ambayo mtoto wa itbtidai

  • @AbdulkarimShosi
    @AbdulkarimShosi 7 วันที่ผ่านมา

    Ndugu yangu bachu masalafi wenzako wamekuchomoa sasa umekimbia huku tena hii ni nasaha nakupakama muislamu mwenzako Wacha kuparamia masheikh nakutaka mjadala nao nenda ukasome kwanza

  • @MwanarusiShee-z3p
    @MwanarusiShee-z3p 10 วันที่ผ่านมา +3

    Ushasoma sasa nakuona mijitabu teleee...apo kwa tawhid mawahabi mumefeli kwa kukithiri kufru

  • @Ismailishatri
    @Ismailishatri 10 วันที่ผ่านมา +1

    allah akbar sheikh muhammed bachou huyo jamaa hakuwezi achana naye

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi ya wanyama kuongea katika riwaya ya أبـو نـعـيـم الأصـفـهـانـي kwenye دلائل النبوۃ inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
      Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      mimi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea… MAANA BACHU ALIKUA ANAKATAA BARAZANJI SIJAMUITA MUONGO 😂😂🙌🏾
      HII HUKUMU YA KUITA HAYA MANENO UONGO UMETOA WAPI?
      SWALI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith ya wanyama kutamka na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
      akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث tena akasema mmoja wapo ni ابن الصلاح katika علوم الحديث (مقدمة ابن الصلاح) wamesema wamesahihisha hadith DHAIF kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
      na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia na tunatumia hadith DHAIFU. wewe SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akanyamaza kimya
      AKAAMBIWA SI ULISEMA HII HADITH SI DHAIF
      akamwambia hii uloleta ni hadith lazima turudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث
      MAKOSA YA BACHU YALIKUA
      kwenye NAHAU, KUELEWA MISAMIATI YA ELIMU YA HADITH NA TAFSIRI AZOKUA ANAZILETA NI POTOVU NDO MANA AKAWA ANAFUNDISHWA KILA NUKTA ANAYOKOSEA
      mfano alisema hadith غريب ni HADITH NGENI KABISA 😂😂😂🙌🏾
      Watu wakacheka akaambiwa hadith غريب sio hadith ngeni na kama unabisha leta MWANAZUONI ALOSEMA HADITH غريب ni ngeni
      makosa mengine شديد ضعيف na mengine mengi
      NDO MANA AKAAMBIWA BAADA YA HAPA UTAENDA KUSOMA

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm 10 วันที่ผ่านมา +2

    Ikiwa mtafanya mjadala wa kindugu wa kirafiki wa kisomi basi sisi tunapata faida na hivyo hivyo kinyume chake

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 10 วันที่ผ่านมา

    Haji ng'oooooooooo, atakwambia wende mambrui wakafanye ushirikina wao. Kisha wapige magoma

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 4 วันที่ผ่านมา

      Kumbe Mungu wa mawahabi anaogopa washirikina😂

  • @khitamcaptainveca5045
    @khitamcaptainveca5045 9 วันที่ผ่านมา

    😂 Mambrui ndio sio sehemu yaku fanya dawa 😂 so unaogopa sehemu ya ma sharif walizikwa .
    Kumbe wawogopa baraka za makaburi ya ma sheikh ya Mabrui

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 9 วันที่ผ่านมา

    Wasema dj humuwezi ki ilimu ukweli ndio huo

  • @abdullrahman-sn5tf
    @abdullrahman-sn5tf 10 วันที่ผ่านมา

    Achana nae Muhammad huyo hawezi wasanii tu hao,wao mambo Yao hawawezi kuyaacha mambo Yao,Elimisha watu kama sh Nassor Bachu,tulipata faida kubwa, Allaah Amreheme

  • @aninanichasi422
    @aninanichasi422 10 วันที่ผ่านมา +1

    bacho huwezi huwezi kupambana namwenye elimu yakisharifu

  • @rashadmurshid
    @rashadmurshid 9 วันที่ผ่านมา

    Sheikh , huyo dogo ni mdwanzi tu mbabaikaji, Ana sifa za kishabiki tu kupoteza muda kutafuta sifa.
    Hana elimu huyo ni mshari tu. Hana nukta za maana zaidi kukupotezea wakati tu!

  • @SaidAwadh-k1e
    @SaidAwadh-k1e 8 วันที่ผ่านมา

    Sema sijui kwanza

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 7 วันที่ผ่านมา

    Mwanzo Kubali mjadala wa kwanza umeshidwa kwa kushidwa kusema sijuwi kusema sijuwi si ujinga ujinga ni kujifanya wajuwa na ujuwi

  • @SaidMustafa-pk9ie
    @SaidMustafa-pk9ie 10 วันที่ผ่านมา +3

    Mara hii utaharaaaa,na maulidi yataendeleeee ila ikhiri saaa

  • @LASSUH4947
    @LASSUH4947 9 วันที่ผ่านมา

    Usiruke bro mwnzo mpk ile ya barzanji iishe usiikimbie na kma unataka mjadala kwn mara ile ulifanya vp mpk ikawa kwaio fanya vile vile mpk ikamilike mwsho mutakutana unye mara hi😅😅😅

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 10 วันที่ผ่านมา +1

    Yule saidi hawezi kufanya mujadala ndomana anakwepa na ilimuyake ndogo kukariri ayamojatu ndoo anajua

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi ya wanyama kuongea katika riwaya ya أبـو نـعـيـم الأصـفـهـانـي kwenye دلائل النبوۃ inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
      Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      mimi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea… MAANA BACHU ALIKUA ANAKATAA BARAZANJI SIJAMUITA MUONGO 😂😂🙌🏾
      HII HUKUMU YA KUITA HAYA MANENO UONGO UMETOA WAPI?
      SWALI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith ya wanyama kutamka na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
      akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث tena akasema mmoja wapo ni ابن الصلاح katika علوم الحديث (مقدمة ابن الصلاح) wamesema wamesahihisha hadith DHAIF kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
      na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia na tunatumia hadith DHAIFU. wewe SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akanyamaza kimya
      AKAAMBIWA SI ULISEMA HII HADITH SI DHAIF
      akamwambia hii uloleta ni hadith lazima turudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث
      MAKOSA YA BACHU YALIKUA
      kwenye NAHAU, KUELEWA MISAMIATI YA ELIMU YA HADITH NA TAFSIRI AZOKUA ANAZILETA NI POTOVU NDO MANA AKAWA ANAFUNDISHWA KILA NUKTA ANAYOKOSEA
      mfano alisema hadith غريب ni HADITH NGENI KABISA 😂😂😂🙌🏾
      Watu wakacheka akaambiwa hadith غريب sio hadith ngeni na kama unabisha leta MWANAZUONI ALOSEMA HADITH غريب ni ngeni
      makosa mengine شديد ضعيف na mengine mengi
      NDO MANA AKAAMBIWA BAADA YA HAPA UTAENDA KUSOMA

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 5 วันที่ผ่านมา

    Shekh acha kibri ilimu inahitaji hekma na busara.ukiendelea hivi utajishusha hadhi

  • @feizalmas
    @feizalmas 9 วันที่ผ่านมา

    Muhammad bachu achana na upinzani wa kitoto mjadala wa kwanza ulipofanyika Kila mwenye akili timamu alielewa wapi sahihi na wapi si sahihi. Kuna sehemu nyingi ndani ya nchi hii dini haijafika nendeni katangazeni dini. Msiwe mashekhe wauza bando Kila kunapokucha mipasho ilimradi mnatafuta ustaa.

  • @MahmoodAhmed-yt9me
    @MahmoodAhmed-yt9me 10 วันที่ผ่านมา

    Sheikh umejadilana sana inatosha fundisha vijana zaidi mihadala na kukashifiana haisaidii kama ukikaa kimya bila kujadiliana utapungukiwa nini?

    • @AthumaniAmiri-fv5zp
      @AthumaniAmiri-fv5zp 10 วันที่ผ่านมา +2

      Bachu hana shida ya kuelimisha bachu anachotaka ni mihemko na ndio mana akiona watu wamekaa kimya anatafuta pakutokea juxi tu alikua na mijadala na masalfi wenzie leo kahamia huku huyu mtu wa kielim huyu ni balegh tu zamtesa

  • @ibraa1157
    @ibraa1157 10 วันที่ผ่านมา +2

    Acha utoto move on ulipigwa za kichwa
    Ukichengwa tulia 😂😂😂😂

  • @NajmaNajmakimweri
    @NajmaNajmakimweri 9 วันที่ผ่านมา

    Hiv wapendwa bado mnabishana kuhusu ukwasi wa elimu. Kaeni mjitafakari naamini mtu mwenye hekma huwahajikwasi na chochote

  • @Kusag-i9z
    @Kusag-i9z 7 วันที่ผ่านมา

    We sasa unajisifu au unamaanisha nini au unasema kwa ajili ya Allah au unabwabwaja tu

  • @jamalkisuse7508
    @jamalkisuse7508 10 วันที่ผ่านมา

    Huyu Saidi leo nimemwona pale Ibn Hazim mtoro anakujaga mara kwa mara

  • @HamisOman-s8h
    @HamisOman-s8h 8 วันที่ผ่านมา

    Weye muhamedi kichwa hukomi tu kuagaragazwa mbona kma nakuhisi weye unatumiliwa na myahudi ivii

  • @DhaharanMussa
    @DhaharanMussa 9 วันที่ผ่านมา

    Mawahabi wenzako wanakuona mpumbavu,kaa kimya,utajuaje elimu yake

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 8 วันที่ผ่านมา

    Wewe Bachu Kila mtu unamrad umekuwa shekhe rad

  • @Mimein-vn7or
    @Mimein-vn7or 6 วันที่ผ่านมา

    Je nyinyi wawili muliumbwa Kwa ajili ya mabishano?au kumuabudu Allah?mumesahau ya kuwa mutaingia kaburi pekeyenu na amali zenu,

  • @HamzaMaalim-i6h
    @HamzaMaalim-i6h 9 วันที่ผ่านมา

    Mpaka bachu akasome ndo tukubali afanye mjadala bila hivyo tutakua twapotezeana mda ama takimbia Kama siku Ile ama ajikojolee

  • @zakariasuleiman4113
    @zakariasuleiman4113 9 วันที่ผ่านมา

    Unataka kukojoa tena ama wataka kujinyea ndipo aya ni maneno tu tupe ushaudi wa yule mwanamke wa huko kwenu anamaswali yake huku Kenya utakunya ndipo

  • @bigemagomabigemagoma6312
    @bigemagomabigemagoma6312 9 วันที่ผ่านมา

    Shekh Bachu yele Sufi Saeed hakuwezi hata akija na masufi wenzie wote chenga tu, Masufi wapenda ubwabwa tu

  • @abdallahsaid4997
    @abdallahsaid4997 5 วันที่ผ่านมา

    Wanted dead or alive .
    Haya ni maneno ya kipumbavu ya kihuni ya mtaani .mashekhe wenye hadhi zao hawaandiki maneno haya .
    Hata unaibisha uislamu.

  • @AhmedSalum-s9m
    @AhmedSalum-s9m 6 วันที่ผ่านมา

    Wee misifa ulifaa uwe mwanasiasa

  • @AliJabal-fx8pd
    @AliJabal-fx8pd 10 วันที่ผ่านมา +1

    Bachu huyu dj anakukimbia hakuwezi.

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 9 วันที่ผ่านมา

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi ya wanyama kuongea katika riwaya ya أبـو نـعـيـم الأصـفـهـانـي kwenye دلائل النبوۃ inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
      Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      mimi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea… MAANA BACHU ALIKUA ANAKATAA BARAZANJI SIJAMUITA MUONGO 😂😂🙌🏾
      HII HUKUMU YA KUITA HAYA MANENO UONGO UMETOA WAPI?
      SWALI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith ya wanyama kutamka na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
      akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث tena akasema mmoja wapo ni ابن الصلاح katika علوم الحديث (مقدمة ابن الصلاح) wamesema wamesahihisha hadith DHAIF kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
      na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia na tunatumia hadith DHAIFU. wewe SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akanyamaza kimya
      AKAAMBIWA SI ULISEMA HII HADITH SI DHAIF
      akamwambia hii uloleta ni hadith lazima turudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث
      MAKOSA YA BACHU YALIKUA
      kwenye NAHAU, KUELEWA MISAMIATI YA ELIMU YA HADITH NA TAFSIRI AZOKUA ANAZILETA NI POTOVU NDO MANA AKAWA ANAFUNDISHWA KILA NUKTA ANAYOKOSEA
      mfano alisema hadith غريب ni HADITH NGENI KABISA 😂😂😂🙌🏾
      Watu wakacheka akaambiwa hadith غريب sio hadith ngeni na kama unabisha leta MWANAZUONI ALOSEMA HADITH غريب ni ngeni
      makosa mengine شديد ضعيف na mengine mengi
      NDO MANA AKAAMBIWA BAADA YA HAPA UTAENDA KUSOMA

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 9 วันที่ผ่านมา

    Acha uwongo mbona ulitoka ukashindwa mjadala ulikimbia

  • @RamadhaniIbrahiim
    @RamadhaniIbrahiim 8 วันที่ผ่านมา

    Hivi mambo ya muhimu ktk dini huyaoni mpaka ubakie kujiinua tu wew ulisoma ili uwe mkubwa kuliko watu wote au, hivi mafundisho ya mtume ndo haya, ni swahaba nani alikua anajinadi na kujitangaza kwamba yeye anaelimu hakuna wa kumzidi, eti huyu ndo mtu wa Sunna, subiri ufe na hiyo elimu Yako kesho akhera utajikuta huna kitu na elimu Yako haijakusaidia lolote, wenzako wanashindana kufanya ibada na kupanda darja ktk uchamungu mbele ya Allah, wewe unajinyanyua kwa watu uonekane umesoma, utabaki na hayo mpaka unakutwa na umauti

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww 8 วันที่ผ่านมา

    Maulid tumefaidika kuwa hawana hoja zakielimu ila fujo tu ktk hilo tu na mlo

  • @adnanestropa7092
    @adnanestropa7092 10 วันที่ผ่านมา +1

    Achana nae sheikh,funza Shamailu Nabii,watu wa hawaa awa kana asemavo Ustadh Ali Abubakar ata ukawasomea msahafu mzima,hawaongozeki

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 10 วันที่ผ่านมา

      Hawawezi ongozeka kwasababu Sheik ibnu Taimia anasema Mungua nikijana mwenye vinywele Vilivyokunjamana!!!SUBHANALLAH

  • @MariamMwangu-d6f
    @MariamMwangu-d6f 9 วันที่ผ่านมา

    Mnasumbua vichwa vya baadh ya waislaam mnaitana majina ya kijinga mmesoma nini Sasa Kwa Hali hiyo mzayuni atowezekana Kwa waislaam sisi

  • @ibnsuleyman4140
    @ibnsuleyman4140 8 วันที่ผ่านมา

    Sadukuuuu 😂😂😂

  • @SuolFat
    @SuolFat 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mpuuzi ww si ulikimbia ktk mijadala ulishindwa kujibu suali moja tu

  • @hassanhussein2422
    @hassanhussein2422 8 วันที่ผ่านมา

    Kkkkkkkkk ule Ni Simba kapisa total WWE wembe niulle ulle Chunga sanaaa

  • @AsiaAa-s1d
    @AsiaAa-s1d 6 วันที่ผ่านมา

    Mvuta bangi aliesoma mambrui nisawa na kielimu na mwamadi bachu yule saidi ana elimu kubwa alafu ni mfaswaha hana jazba katika uongeaji kama hutomuelewa huelewi tu.

  • @allyben6943
    @allyben6943 9 วันที่ผ่านมา

    Kumbe mwajua kama mnatufanyia fujo

  • @abdalahhasani6855
    @abdalahhasani6855 9 วันที่ผ่านมา

    usimtaje albeidh wewe mamantilie hii shoo ni ya wewe na saidi albeidh hakuhusu kwanza hakujui mshenzi kama ww

  • @ridaqludba5991
    @ridaqludba5991 7 วันที่ผ่านมา

    Sheikh usiwaache masufi