RADDI KWA HUSSEIN SEMBE || Muhammad Bachu || 4 February 2025

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 556

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 6 วันที่ผ่านมา +3

    Maashaa Allaah Shekh Muhammad Bachu Allaah akuweke na akuzidishie maarifa ktk Dini.
    Kwakweli una wazindua wengi, na ki uhakika wewe ndie unae fanya inswaaf na uadilifu ktk Da'wa, na Mashaayikh mfano wako.
    Unacho kipinga kwa ndugu zetu masalafi una hoja nyingi tena nzito za kupingia, na ndiomana uwezo wa kujitetea kielimu kwa vitabu vya maulamaa hawana.
    Na unabainisha nukta maalumu kwenye nukta hizi wanaharibu kweli Da'wa.
    Lakini wao ndugu zetu wanakuangusha moja kwa moja hakuna sehemu watakutaja vizuri, pamoja na mchangu mkubwa ktk Da'wa ulio nao.
    Hapa napata tabu sana kwa hawa ndugu zetu, najiuliza ivi nikweli wanayaitakidi nyoyoni mwao maovu haya au ndio sera ya chama cha ujadida, hatakama wajua kheri nyingi za mtu lkn kwa vile kushaamua asiwe ktk swafu yenu, basi ni kumponda na kumsema vibaya tu, na kumtahadharisha!!!
    Kwakweli Shekh Muhammad uko juu sana Maashaa Allaah, na Allaah hawezi kukuacha mkono, kwa sbb uko kwenye Sunnah na uadilifu mkubwa ulio nao.
    Allaah akuzidishie.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 6 วันที่ผ่านมา +1

      @@OmarAlly-iz8ot
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @saadaAbdalla1371
    @saadaAbdalla1371 6 วันที่ผ่านมา +13

    Eiwah Alhamdulillah naskiliza masheikh wote bila kinyongo km kna la kheri nachukua km kuna sintofaham naulizia kwa sheikh nnae muamin zaid. Allah atuongoe

    • @allywaziry7489
      @allywaziry7489 4 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi nachukua ilmu POPOTE ,baya naacha ..hili suala la kuwapa faida Watu wa pembeni Kwa kugombana sisi wenyew sioni Kama ni sahihi

    • @abuufaki-m7e
      @abuufaki-m7e 3 วันที่ผ่านมา

      Huwezi kubaini haqqi na batwil kama elimu yako ni ndogo hiyo ndio maana mnaambiwa msiwasikilize watu wa batwil ili msije mkapotezwa na shubuha zao

  • @KishkitvAhmad
    @KishkitvAhmad 6 วันที่ผ่านมา +8

    Masha Allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 Allah ukupe umri mrefu wenye baraka na manufa sheikh Muhammad nassor bachu uhibuka fi Allahi

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 6 วันที่ผ่านมา +1

      Ameen JazakaAllaahu'khayran

    • @allywaziry7489
      @allywaziry7489 4 วันที่ผ่านมา +3

      Msikikize mtu Kwa kupata faida lakin sio ushabiki,kwasababu unampenda tu shekh Fulani ,chukua ilmu

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq 6 วันที่ผ่านมา +5

    Allwah akupe maisha marefu tuendelee kujifunza. Na hata wanafunzi wa maswwafika sasa wameanza kujifunza kupitia wewe sheikh Muhammad.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@salehrashid-fx9rq
      JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @HudheifaAthman
    @HudheifaAthman 6 วันที่ผ่านมา +8

    Brother Allah akuhifadhi watetea haqi na waibainisha
    Wafungue mabongo yao

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +2

      @@HudheifaAthman
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 6 วันที่ผ่านมา +4

    DAH ALLAH AKULIPE SHEKHE WANGU KIPENZI, KWAKWELI HATA HATUJUI TWENDEPI SISI WANAFUNZI MANAKE MPAKA TWACHANGANYIKIWA, KILASHEKHE ANAJITUKUZA YEYETU NA WALE WANAOMUUNGAMKONO WENGINE WOTE MAHIZBI DAAH MWATUVURUGASANA KWAKWELI.

  • @OmarJuma-bk9wl
    @OmarJuma-bk9wl 6 วันที่ผ่านมา +9

    Tunakupenda sana sheikh wetu kwaajl ya Allah

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@OmarJuma-bk9wl
      JazakaAllaahu'khayran Sheikh

  • @SaudaMarumu
    @SaudaMarumu 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mm nimgeni katika chaneli Yako lakini kusema kweli nimetokea kupenda vipindi vyako sheikh Allah akurehemu na aturehemu na sisi

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu7706 6 วันที่ผ่านมา +4

    قال الشيخ ربيع المدخلي حفظه الله تعالى " فأهل الحق هؤلاء الذين نعرف منهم الصدق والإخلاص ونعرف أنهم راجعون إلى الحق هؤلاء ولو أخطأ الواحد منهم فله عندنا منزلة ولا يضره ذلك"

    • @Kzm-c9u
      @Kzm-c9u 6 วันที่ผ่านมา

      منْ هو ربيع المدخلي

    • @muhammadnassibu7706
      @muhammadnassibu7706 6 วันที่ผ่านมา +1

      @Kzm-c9 هو حامل لواء الجرح والتعديل بنسبة كلام الشيخ ألباني رحمه الله تعالى

    • @Kzm-c9u
      @Kzm-c9u 6 วันที่ผ่านมา +1

      @@muhammadnassibu7706
      ههههه الحمد لله الذي عفا المسلمين مما ابتلاكم به

    • @muhammadnassibu7706
      @muhammadnassibu7706 6 วันที่ผ่านมา +2

      @@Kzm-c9u ونحن نحمد الله الذي عافانا منكم ونسأله أن يثبتنا على هذا المنهج المبارك!!

    • @Kzm-c9u
      @Kzm-c9u 6 วันที่ผ่านมา

      @@muhammadnassibu7706
      أناْ لسْتُ في شكٍّ على ديْني وأعْرف أيْن أضع قدمي وأعرف أقدار العلماء ولكِن لا يحملني ذلك إلى رفْعِهم فوف منزلتهم

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 6 วันที่ผ่านมา +15

    Kiboko ya Salafia Jadida ni Sh Muhammad Nassor Bachu.
    Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah

    • @Yassn-q9g
      @Yassn-q9g 6 วันที่ผ่านมา

      Uyo n kiboko wa bibi ake ukoooo

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 6 วันที่ผ่านมา +3

      HasbunaAllaahu'Wanaymal
      Allaah Amhifadhi Sheikh Muhammad Nassor Bachu.
      JazakaAllaahu'khayran.
      Simba wa Afrika Mashariki na kati.

  • @saadaAbdalla1371
    @saadaAbdalla1371 6 วันที่ผ่านมา +12

    Hao wanafunzi Allah awaongoe wazid kuiona haqi mana Sheih Muhammad anaeleza mambo kwa ushahid mpaka nafsi inatulia ☺

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 6 วันที่ผ่านมา

      Akimaliza mwambie akawaradd al hajar tv wazee wa anasheed

    • @muhamadkhalid4976
      @muhamadkhalid4976 6 วันที่ผ่านมา +3

      Swadakta kabsa

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 6 วันที่ผ่านมา

      hasubutu ta sku moja

    • @xxy.1
      @xxy.1 6 วันที่ผ่านมา +1

      akiwaraddi ndio atakua salafi? au ndio mtamkubali na kutubia na kutarajaa makosa yenu?
      mcheni Allah
      mambo haya ndio walifanya waovu zama za manabii waliwaomba miujiza na swali likawa moja tu je ikiletwa io miujiza mtaamini?
      sasa na nyinyi na mashekh wenu mwambien bachu waraddi alhajar ukiwaraddi tutaacha ujadida

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 6 วันที่ผ่านมา +2

      ​Uko sawa

  • @jamaldineali3228
    @jamaldineali3228 6 วันที่ผ่านมา +5

    Wallahi sheikh wangu nakupenda kwaajili ya Allah

  • @OmarRashid-f9l
    @OmarRashid-f9l 6 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu akuhifadh muhammad bachu ww na wazazi wako Aminii

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @OmarRashid-f9l
      Ameen

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 7 วันที่ผ่านมา +38

    *Nimekuwa nikifatilia video mbali mbali mtandaoni, hapa kwa Sheikh Muhammad Nassoro Bachu nimegundua watu wengi wanamshauri Muhammad Nassoro Bachu asiwakosoe ( Raddi ) Masheikh wakati wanafatilia kwa wingi sana na wanajifunza kwa uharaka zaidi. Lakini hao hao wanaomkataza kwa wingi wa comment hauwakuti kwenye video za Darasa za Kiarabu wakisifia darasa za Sheikh au kuuliza maswali kwaajili ya kujifunza. Au kutuma swadaqa ili Sheikh aendelee kuwapa faida watu mtandaoni. BINAADAMU BWANA*

    • @MohdJuma-w6l
      @MohdJuma-w6l 7 วันที่ผ่านมา +3

      Duh umejuaje😢😢 wengi wao watafuta udaku2

    • @DonMooFILMES_Express
      @DonMooFILMES_Express 6 วันที่ผ่านมา +6

      @@MohdJuma-w6l kinachonishangaza zaidi wanapinga sana darasa hizi za Raddi wakati ndizo wanazielewa kwa haraka na wanazifatilia kwautulivu mwanzo mpaka mwisho. Zile darasa zisizona mifano halisi ya matukio hata kuzibonyeza waangalie hawabonyezi

    • @MkweliMediaTV
      @MkweliMediaTV 6 วันที่ผ่านมา +5

      Allah Amuhifadhi Shekh wetu

    • @DonMooFILMES_Express
      @DonMooFILMES_Express 6 วันที่ผ่านมา +6

      @@MkweliMediaTV Allahumma Aammiyn

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 6 วันที่ผ่านมา +2

      Misingi ya misimamo hii sio kusoma ni fujo tu

  • @Seifullah-n2u
    @Seifullah-n2u 6 วันที่ผ่านมา +2

    Uyo Hussein sembe hana adabu kabisaa
    Sheikh Muhammad bacho ni kiboko wa majadidah

    • @OmarAlly-iz8ot
      @OmarAlly-iz8ot 6 วันที่ผ่านมา +1

      Shekh Hussen Sembe Adabu yuko nazo, ujadida tu ndio tatizo,

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 5 วันที่ผ่านมา +2

    *MASHAALLAH ALLAH akuzidishie kheri na afya uzidi kutoa elimu*

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@saidimkwinzu9106
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 4 วันที่ผ่านมา +1

      @jamalsaid7475
      الهم امين وإياك

  • @allywaziry7489
    @allywaziry7489 4 วันที่ผ่านมา +1

    Binafsi niseme tu BACHU Ni tole modal wangu na natamani nikachujue ilmu kwake kwasababu ,ni mtu anayetoa ilmu kuelimu na sio kueneza itikadi ,hata wema waliopita hawakuwa hiv ,japo zikitokea ihtilaf

  • @lionmido440
    @lionmido440 6 วันที่ผ่านมา +1

    Maasha Allah akhy Allah akuhifadh na fitna akujaalie ktk sunnah iliyo sahihi ya amesem Allah na mtume wke pmj alhlul elmu aamin

  • @ismailmakame7183
    @ismailmakame7183 4 วันที่ผ่านมา +1

    Jazaakallahu Khairan duniani naakhera tumekufahamu vizuri

  • @الحمدللهعلىنعمةالإسلاموالإ-ق2ح
    @الحمدللهعلىنعمةالإسلاموالإ-ق2ح 6 วันที่ผ่านมา +6

    Mashllah muhammad bachu ni kiboko yao mpaka ust malemba amekimbia😂😂

    • @Abdul-latifAdam
      @Abdul-latifAdam 6 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@الحمدللهعلىنعمةالإسلاموالإ-ق2ح
      Swadaqta.
      Alhamdulillah JazakaAllaahu'khayran.

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 6 วันที่ผ่านมา +6

    Sembe analalamika wanafunzi hawana vifua watawakimbia😂😂😂

  • @AbuuNaufal
    @AbuuNaufal 6 วันที่ผ่านมา +4

    Allah amuhifadhi shekh Mohammed bin bachu ameshika nafasi ya shekh abuu Muawiyah kutubaanishiaa ukweli

  • @kazunguhilali
    @kazunguhilali 6 วันที่ผ่านมา +4

    Allah akuhifadhi Sheikhe wangu

    • @HamisiKhuria-u4j
      @HamisiKhuria-u4j 6 วันที่ผ่านมา

      Allah atuhifadh, na kwa mifumo ya kutupiana mbali having basi huweza kuleta Shari na kupoteza watu wengi kuachana na manhaji hii sahihi asalafiyy

    • @HamisiKhuria-u4j
      @HamisiKhuria-u4j 6 วันที่ผ่านมา

      Mitandao ya kijamii iwe chanzo cha kujenga manhaj imara na sahih

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@kazunguhilali
      Ameen

  • @ismailmakame7183
    @ismailmakame7183 4 วันที่ผ่านมา +1

    Allah asamehe pale ulipoteleza amin

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 6 วันที่ผ่านมา +2

    Kundi lao majadida limeanguka ghafla sana😂 Piga kazi sheikh Bachu watu wanaamka alhamdulillah. Allah akuhifadhi na akutie nguvu zaidi na akufungulie maarifa zaidi.

  • @MR_GROUZER
    @MR_GROUZER 6 วันที่ผ่านมา +10

    SHK Muhammad unarusha kwa nguvu bana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @IssaNassor-g3o
    @IssaNassor-g3o 6 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana sheikh wangu nilijuwa TU hii siku itafika

  • @OthumanSaid-l6e
    @OthumanSaid-l6e 7 วันที่ผ่านมา +7

    sheikhe tuko pamoja nawew

  • @shekhekalulushekhekalulu833
    @shekhekalulushekhekalulu833 5 วันที่ผ่านมา +3

    allah akuifadhi

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@shekhekalulushekhekalulu833
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @udu-abdissamy
    @udu-abdissamy 6 วันที่ผ่านมา +4

    Mashaallah alakhy bachu

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 6 วันที่ผ่านมา +1

      JazakaAllaahu'khayran Sheikh Muhammad Nassor Bachu Allaah Akuhifadhi kutokana na Hasadi na Jicho Baya na Chuki za watu

  • @seifsaid9905
    @seifsaid9905 6 วันที่ผ่านมา +1

    ABUUU ISMAIL aliwah kusema kuwa wanafunzi wa kasimu mafuta SIKU wakijua kusoma vitabu vya maulamaa watawaludii tuu na kwer Leo nimeanza kuona Kwa hyu kijna mtoto wa shkh bachu

  • @HamisiKhuria-u4j
    @HamisiKhuria-u4j 6 วันที่ผ่านมา

    Allah atulinde waislamu, apa ambao elim zet zipo chini lazm tuchanganyikiwe ikhwaa jambo la umuhimu woote kaeni chini na vitabu tena bila ya kurusha na kuanza kufanya marekebisho ya pamoja ya itikad sahihi

  • @saidlibumba
    @saidlibumba 7 วันที่ผ่านมา +5

    اللهم اهدنا الصراط المستقيم

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 6 วันที่ผ่านมา +5

    Jazaakallahu khaira

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@KhalfanMassoud
      Ameen

  • @Nassor1234
    @Nassor1234 7 วันที่ผ่านมา +6

    Tupo pamoja Shekh letu Bachu

  • @AbdulRama-u7d
    @AbdulRama-u7d 6 วันที่ผ่านมา +1

    Abuu kilaba bachu bana 😂
    Anyway ALLAAH akujaze kheri nakukubali sana kamanda wa radd za kielimu .

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 6 วันที่ผ่านมา +2

    Shukran ❤❤

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 6 วันที่ผ่านมา +1

    Na kuna kitu utumwa wa kiakili, ukiangalia utakuta huu utumwa wameanza kuukubali hao mashekhe zao kwanza, wamekubali kua watumwa wa fikra za shekh rabii na mfano wake, nawao ndiomana wanataka kuwafanya watumwa wanafunzi wao na kuwamiliki kimawazo kama walivyo milikiwa wao.
    Na ndiomana kuna kheri nyingi wamezikosa ma baraka za Allaah

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 7 วันที่ผ่านมา +9

    BACHU UPO SAHIHI 100%, ILA NA WAENDELEE KUKUCHUKIA IVO IVO

  • @KASSIMFUNDSIMU
    @KASSIMFUNDSIMU 4 วันที่ผ่านมา +1

    *Eti jaman ukinywa energ si salafi?*

  • @mbwanahussen2950
    @mbwanahussen2950 6 วันที่ผ่านมา +3

    Shekhe Allaha akuzidishiye elimu utusomeshe inshallah

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@mbwanahussen2950
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @SaudaNyange-u3e
    @SaudaNyange-u3e 6 วันที่ผ่านมา +4

    Allah akuhifadhi

  • @muhamadkhalid4976
    @muhamadkhalid4976 7 วันที่ผ่านมา +9

    Sheikh Muhammad tuko pamoja wagaragaze ao masalafia jadida

    • @HijjahMwasinah
      @HijjahMwasinah 6 วันที่ผ่านมา

      Kabisa

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 6 วันที่ผ่านมา

      Unajua kama Bachu mwenyewe saivi kashajua kuwa hakuna salafiya jadida?? Alikua na huo ujinga lakini saivi kaanza kuelewa.

    • @muhamadkhalid4976
      @muhamadkhalid4976 6 วันที่ผ่านมา +2

      @@AlmasAbdallah-r3g salafia jadida wapo ndo ao wanopetuka mipaka et katka kulingania ,wanamuita mtu kuwa ni mtu wa batil ilhali hawan ushahid unaotosheleza kumuita mt hivo

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@muhamadkhalid4976sas kijanaa usojielewa wala usotaka kusoma unaetafta ushabik usojua mwanzo wala mwisho wa jambo lilivo ikiwa hio ni salafia jadida hio salafia kadima ni ipi mana hao mashkh zko hawana majib ktk hili bali wengine wanamajina mengine saiv kma wanatarajaa silence sas we uloshika kamba ya ukaid mana nna hakika huna ata moja ujuao yaezekana ni mshabik wa maskan tu tuwambie salafia kadima ni ipi km una majibu au tafta mwalim wko km unae akufanyie talbis uje ujibu

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 6 วันที่ผ่านมา

      @muhamadkhalid4976 Lakini mwalimu wako Bachu anapinga hilo hakuna salafiya jadida saivi kahamia kuita swaafiqah muulizeni kwanini kaacha kuita jadida??😁😁😁

  • @AbdurahhimIssa
    @AbdurahhimIssa 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mashaallah wachape hivo hivo

  • @sharifumussa6846
    @sharifumussa6846 5 วันที่ผ่านมา +1

    Ulimwengu huu salafi hujui kutumia internet kunufaisha ummah, ni uzwazwa huu.

  • @user-yassir695
    @user-yassir695 7 วันที่ผ่านมา +4

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @daymalhomebae9488
    @daymalhomebae9488 6 วันที่ผ่านมา +1

    Allahumma ghfirli ummati Muhammad swalla Allahu aleihy wasallam ☪️

  • @HabibMohd-l3h
    @HabibMohd-l3h 7 วันที่ผ่านมา +3

    Shukran sheikh

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 6 วันที่ผ่านมา

    Hawa majadida wengine bora tu tuwatazame tu, kumbe vijana wa kisalafi wengi ni mbumbumbu na wafuata mikia tu.
    Hebu ajitokeze mmoja aje na hoja Shekh Muhammad Bachu anataka kuiangusha Da'watuusalafiyya kwa moja mbili tatu

  • @SadickMussa-g6h
    @SadickMussa-g6h 7 วันที่ผ่านมา +5

    Sisi tunakuelewa endelea mbele hoja wameshaishiwa ndo maana wanazuiana kusikiliza

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 7 วันที่ผ่านมา +4

    أسأل الله أن يرفع درجتك❤❤

  • @yasirsaid8464
    @yasirsaid8464 7 วันที่ผ่านมา +5

    ALLAH Akubaarik

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +2

      @@yasirsaid8464
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @hamisisaidi9525
    @hamisisaidi9525 6 วันที่ผ่านมา +2

    UTUMWA WA KUKUMILIKI KIFIKRA,, naam upo sahihi sana juu ya hilo.

    • @AbuuNusaiba
      @AbuuNusaiba 6 วันที่ผ่านมา +2

      Wallah juzi darsan kauliza shekh Kuna kitabu kimeandikwa na shekh ambae hawampendi sasa anaulizwa je naweza kukitumia au kukisoma shekh anamwambia tumia vitab vingine mbona vipo vingi lkn ukimuuliza nipe kosa ktka hiki kitabu anamwambia mwandish amepinda

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 7 วันที่ผ่านมา +3

    اسعد الله أوقاتكم بكل خير والبركة

  • @nassorally2441
    @nassorally2441 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mashallah, Allah akulipe kheri.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +2

      @@nassorally2441
      Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @IssaNassor-g3o
    @IssaNassor-g3o 6 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi ni mjadida lakini akili yangu Iko huru sikubali kabisa kuburuzwa na yyte

    • @OmarAlly-iz8ot
      @OmarAlly-iz8ot 6 วันที่ผ่านมา

      Kama hukubali kuburuzwa na yeyote, umekua vipi jadida?

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 6 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@OmarAlly-iz8otkwasababu yuko na majadida

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@OmarAlly-iz8otunajua kuburuzwa ni kupi?nikupe mifano

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Nakuunga mkono usiburuzwe kama hao wasela waliokubali kuburuzwa😂😂😂😂

  • @shebbykiba
    @shebbykiba 6 วันที่ผ่านมา +3

    Sheikh piga kichwani bado wanapumua 😂😂😂😂😂

    • @AbuuDaawah
      @AbuuDaawah 5 วันที่ผ่านมา

      😂😂,😂

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣🤣🤣💪🦾🤸akiwapa mapigo haya hawapumui tena😊😊

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 6 วันที่ผ่านมา +2

    Hakuna shaka
    Kwamba
    Bwana mafuta kashaanguka
    Hata akizungumza jambo
    Tofauti ma zamani
    Watu hawamfuati
    Hata akimtahadharisha mtu watu hawaskilizi

    • @moussaabdallah-h4u
      @moussaabdallah-h4u 6 วันที่ผ่านมา

      Sio kweli .....

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Nikweli tupu,hii ni kawaida ya الله anapojinyanyu yoyote allaah humshusha

  • @husseinmbarouk
    @husseinmbarouk 6 วันที่ผ่านมา +2

    Waelemishe hao wanyooshe vizuri waache hizo fikra

  • @IsmailSanga
    @IsmailSanga 6 วันที่ผ่านมา +3

    Ukimaliza hapo uwaambie Al ajar TV waache kupiga ANASHID.

    • @nuruawadh9258
      @nuruawadh9258 6 วันที่ผ่านมา

      Amwambie pia swahib wake imam wa masjid quba jadid mombasa atoe jamatul tableegh mskitini kwake

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Nanyinyi swa'aafiqa,mwambieni murjifu mafuta aache uhuni ktk dini

  • @Ankoissa
    @Ankoissa 4 วันที่ผ่านมา

    Acha kutukana wew Bachu

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe anko issa,we nimwehuuu au?😢

  • @IssaNassor-g3o
    @IssaNassor-g3o 6 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu bachu ndo salafi anafichuwa uovu ktk fikra za walimu wetu na kuziweka wazi kwa wanafunzi

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Shukrani kaka kwa kulitambua hilo

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 7 วันที่ผ่านมา +3

    MASHAALLAH

    • @mohdjuma3637
      @mohdjuma3637 6 วันที่ผ่านมา

      Sasa huyo si ni hizbi mwenzako

  • @MussaAyubu-z9i
    @MussaAyubu-z9i 6 วันที่ผ่านมา +2

    Allah ataibainisha haqi inshaallah

  • @MasoudChoum-pp1ob
    @MasoudChoum-pp1ob 6 วันที่ผ่านมา +2

    Haya yanayozungumzwa ni ya hakki na ndio maana kila anaekuja kumtetea mafuta harudi tena kama muhameddi mafuta na dilele angekuja kasimu mwenye tukajua mbichi na mbivu ili mamb yaendele yeye hajabeba dini aje dini itaendelea asije dini itaendelea kama tulivyo letewa ndio tutakavyo waachia wenzetu njia sahihi ya uislamu

  • @muaadhegyptegyptairlegypta6699
    @muaadhegyptegyptairlegypta6699 6 วันที่ผ่านมา

    Baraka Allahu fiikum....Almuhim kuhusu picha inajuzu kupiga pasipo dharura ama sio sawa kupiga?

  • @HassanIddy-v1b
    @HassanIddy-v1b 6 วันที่ผ่านมา +1

    She sembe anasema niwajibu masheikh kujibu maswali yanao wahusu mbona kasim mrjifu hajibu maswali ya picha na yanamuhusu?!! Kwa mwenye akili atajuwa she sembe kampigaradi kasim murjifu😂😂😂😂😂

  • @Zuhurashamuni
    @Zuhurashamuni 7 วันที่ผ่านมา +2

    Walaikum salam

  • @mubariekabrahams2650
    @mubariekabrahams2650 6 วันที่ผ่านมา +1

    Sembe kashaiva sasa bado haji upepo apepea pepea kwa mbaliiiii

  • @salumuomar5188
    @salumuomar5188 6 วันที่ผ่านมา

    Bachu uyo Abuu Hatim Allah amhifadhi. Haumuwezi kielim utapotea ulizz wenzako

    • @JumaAbeid-y5p
      @JumaAbeid-y5p 6 วันที่ผ่านมา +2

      Ww unaonekana hii mijadala umefatilia juzic

    • @OmarAlly-iz8ot
      @OmarAlly-iz8ot 6 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂
      Ebu mwambie achomoze uso wake aone kitacho mkuta, kama atakuja na ujadida wake

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Kasim mafuta mwenyewe kafunga bakuli lake atakuwa huyo kifaranga😂😂

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 6 วันที่ผ่านมา

    MAASHAA ALLAH

  • @Masruur-tk8io
    @Masruur-tk8io 6 วันที่ผ่านมา +2

    jamani ni elimu gani hiy ya kuangalia madhaifu ya wezako tuu jman hem mche mungu sheikh

    • @fisabillah-o7r
      @fisabillah-o7r 6 วันที่ผ่านมา +1

      Tafuta elimu kwanza, ndio utamuelewa huyu sheikh anaongea Nini?

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 6 วันที่ผ่านมา +1

      laayaalamuna ww tafta elmu kwanza ndo utajuwa hili

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Du,kunawatu vichwa ngumu😂😂Yani wewe Bado hujajuwa kinacho kusudiwa hapa??!😊😊

  • @NASSORNassor-z7u
    @NASSORNassor-z7u นาทีที่ผ่านมา

    Maneno ya bachu kuwa na hikma na upendo kosowa kihikma

  • @RajabuAbdallah-yp5dp
    @RajabuAbdallah-yp5dp 4 วันที่ผ่านมา

    MUNGU WA MAWAHABI ANAVIUNGO VYOTE DUH

  • @elimikanamadrasa5490
    @elimikanamadrasa5490 4 วันที่ผ่านมา

    الرويبضة❗❗❗❗❗❗

  • @ZimamMbaruk
    @ZimamMbaruk 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hao ndo salafii, nguvu yao kubwa wameipeleka kwenye kuparaganyisha tu Waislam, kila mmoja nibora kuliko mwenzake, na haifai hata kumsiniliza, Hivi kweli wanania safi na Uislam hawa?

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 7 วันที่ผ่านมา +1

    Waalaykum salam warahmatullah
    wabarakatuh

  • @NasriSaidi-s4h
    @NasriSaidi-s4h 5 วันที่ผ่านมา

    WEWE UNASHIRIKIANA NA AKINAMAZINGE AKINASHAFI NA WALIKUTEMBELEAGA HAPO HIZBI WEWE MBONA HAWAENDI KWA PONGWE CHIZI WEWE

    • @NAJMASAIDI-e6b
      @NAJMASAIDI-e6b 4 วันที่ผ่านมา

      Nyie mazinge mna mshinda nin amesilimisha maelfu ya watu ,nyie m akufurisha2 mtaenda kujibu siku ya mwisho

  • @KhalfanJanga
    @KhalfanJanga 5 วันที่ผ่านมา

    Bachu mi naona sasa wapumuzishe hawa masalafi hamishia kambi kwa mashia sasa

  • @UmmuZinniyra
    @UmmuZinniyra 5 วันที่ผ่านมา

    Usipende kupost picha ya Shekh Kasim

    • @alwiyiynmission2820
      @alwiyiynmission2820 5 วันที่ผ่านมา +1

      Kwanini

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Lazima ipostiwe hatakama wewe chawa wake utakasirika,

  • @alwiyiynmission2820
    @alwiyiynmission2820 5 วันที่ผ่านมา

    Nimegundua TABU zenu zooote mumekosa Sehemu ya kuchukua Dini yenu.
    MTUME AMEUSIA QUR'AN NA AHLULBAYT.....HEBU RUDINI KWENYE WASIA WA MTUME, UGOMVI UTAONDOKA.
    QUR'AN NA AHLULBAYT -HAVITENGANI MPAKA VIRUDI KWA MTUME

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Eeeee shia huku watafuta nn?

  • @RamadhanAbdul-l1h
    @RamadhanAbdul-l1h 6 วันที่ผ่านมา

    HAAA
    KUMBE MUDI KUMBE WEWE HUFAI KISIKILIZWA WEWE NA GENGE LAKO MIMI SIKU SIKILIZI WEWE MUDI BACHU

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 6 วันที่ผ่านมา +1

    Majadida mmefungwa akili
    Ndo mnapofeli

  • @fwazaanAbdallah
    @fwazaanAbdallah 5 วันที่ผ่านมา

    Ulipoona shkhe wetu hkujibu unparamia kina shkh Nufaida

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Kasim atajibu Nini?😂 Mavi yanagonga chupi😂😂😂😂

  • @ibrahimramadhan6076
    @ibrahimramadhan6076 6 วันที่ผ่านมา

    th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIAeXMMn_ckWoTYZvPNE0Owr.html&si=1UlBoG43h7ExBPf1

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 6 วันที่ผ่านมา

      mashallah wakifungua tu wakiona niivi watakimbia mbio hawawez skiza ispokua fujo

    • @maulidisaidimuhani6859
      @maulidisaidimuhani6859 6 วันที่ผ่านมา

      FUNGUENII VITABU , ACHENII MATAARABU, BACHU NI MTU WA VITABU, mipasho hata wazaramo tunaiweza

    • @abdallahlahra8712
      @abdallahlahra8712 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@mhrmahir3756mambo Ya miaka3 nyuma😂

  • @AllyJuma-hy7wj
    @AllyJuma-hy7wj 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakika kama bado mtu ni mjinga bas atapata shaka katika msimamo wake kwa maneno ya huyu bachu , kwan anaongea sana lakn maneno yake yana talbis sana ila inahitaji ufahamu sana ndio utaelew. Kam we ni mwanafunzi emb nikupe kidog ktk yale anyojichanganya; eti anaulizwa swali ; unatumia kigezo gani, kwani huyo aliyesema haifai kumsikili abulfadhwl na wengine katumia kigezo gani? na hata kama vigezo vikifanana haiwezekani wote wakawa saw ila mmoja atakua sahh na mwengine atakua hayuko saw na mwenye ufaham ndo atajua hilo, mfano mzur hata watu wa maulid wanazitumia zinazopingana na maulid kuyatetea maulid wakat huo masal wanzitumia aya hizhizo kuyapinga maulid haya nambie wao wametumia kgezo gan na masalaf wametumia kgezo gani lakin yupo aliye sahh na yupo asiye sahh , wanlifaham hilo wale wenye ufaham kadhalik jambo lingine Imam Abuu Qilaba al-jarmiy alipotaja mfano wa ahlul- ahwaa katka zama zake haimanish ndio ukomo kua ndio hao pekee bali ahlul-ahwa ni weng husasan katika zama zetu hiz na zinafahamika hali zao, na manen si ya imam Abuu Qilabah pekee bali mane hayo wamezungumza wanachuon weng na makundi ya watu wa matamanio ni mengi na maneno ya wanachuon yanafanya kazi katik zama zote kwa mujibu wa zama na hali za watu, ukiwa mtu wa matamanio w ni mtu wa matamanio tu ila uache. Hivyo Bachu anajichanganya sana embu ikhwaa tusomen tutaijua haki na aliye katika haki inshaallah.

  • @mohdjuma3637
    @mohdjuma3637 6 วันที่ผ่านมา +1

    Jahhhil kubwa wewe unataka uichafuwe DAAWATU SALAFIYA hutaweza maisha yako yote wewe

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 6 วันที่ผ่านมา

      Daawa au wahuni tu nyie
      Kapigeni picha uko

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 6 วันที่ผ่านมา

      Musitutoe Katika reli tunamtaka murjifu qassimu mafuta atoe Bayani kuhusiana na mapicha yakeee

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 6 วันที่ผ่านมา

      Huo sio usalafi huo ni uhizbi Salafy nyinyi mumemfanya usalafi ni kikundi

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 6 วันที่ผ่านมา

      Anayepinga daawatusalafiya ni hzb,ukipingwa wewe aimaanish imepingwa daawasalafyya,ukibainishwa ukengeufu wako haimaanini umekosolewa usalafy,pumbavu

    • @moussaabdallah-h4u
      @moussaabdallah-h4u 2 วันที่ผ่านมา

      @@hafidhwajina6718 na leo wengi tumeijuwa dawa salafiya kupitia masalafi wa Tanzania sasa eti leo ni majadida acheni uhizbi ......

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 6 วันที่ผ่านมา +1

    Si utumwa wa fikra wewe si katika watu waliosimama katika haki...masufy ndo marafik zako...mahiz.nk...wala si utumwa wa fikra bali ni kuilinda dini yetu sbb si kila mtu apaswa tegewa masikio...wengine amueleweki na sisi hatujatekwa na utumwa wa fikra bal hii ilmu lazima uangalie wapi wachukua si kuzoa mitandaon kwa kila mtu mfano wa ww...mm kiufupi siwasikiliz mahizb marafik wa masufy.

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 6 วันที่ผ่านมา +1

      Apa unafanya nn kama husikilz😂

    • @abdullatifmnyamis372
      @abdullatifmnyamis372 6 วันที่ผ่านมา +1

      Punguza mdomo,, maneno yananukuliwa haya

    • @OmarAlly-iz8ot
      @OmarAlly-iz8ot 6 วันที่ผ่านมา +1

      Kasumba hii wapeni watoto wenu wa chekechea, ila nikuulize ,kama hii Dini waijua kweli na wafahamu Assalaf maisha yao yalikua vipi, hebu tupe usawa wa majadida, na makosa ya hao munao waita Mahizbi.
      Hebu tuneshe ni wapi wametengeneza majadida, na niwapi wameharibu mahizbi.
      Niwapi majadida Da'wa yao ime leta athar na muamko mkubwa wa watu kusimama ktk maadili ya Kitabu na Sunnah juu ya fahamu za wema waliopita, na niwapi mahizbi wameleta majanga na maafa kwenye hili, kwa sbb ya mahizbi watu wakazidi kua vipofu kwenye Shirki na Uzushi, na ubaya wa tabia, na muamala mbaya baina yao?
      Ni nani ana elimisha, na ni nani anae wafunga watu akili kati ya majadida na mahizbi hawa tunao wajua, Shekhe Qassim Mafuta, Shekh Sembe, Duktoor Islam, na Shekh Muhammad Bachu.
      Lete maneno

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 6 วันที่ผ่านมา +1

      Sisi tunamsikiza kwa kuwa anavunja shubha zenu

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Huyu jadida niwale gredi ya mwisho ktk ufahamu ukisikia muozo uvundo ndio gredi hii,maana hawa jadida wako aina nyingi mno,ya1-mguu ndani mguu nje(unafiki), ya2- wanajuwa wamepotea lakini watatokaje?na wamesha tukana vya kutosha?!! Ya3-niwale hawajitambui wamekaangwa wakakauka hawawezi kulainika kwa ukweli wowote kutoka kwingine maana funguo zao za akili zimeshikilwa na mashekhe zao masheikh ni rimoti wao ni tivii😢😢

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi 6 วันที่ผ่านมา

    Sheikh muhammad wallah kuna huyu upepo yaan naona anakutafuta sana na leo ametoa video anakwita majina mabaya na ametoa swal ktk clip yake anataka jibu kutoka kwako nahis anakutafuta kiundan na mada aloigusia yafaa umjibu ukipata muda InshaAllah

    • @mohdjuma3637
      @mohdjuma3637 6 วันที่ผ่านมา +1

      Na mm namuuliza sheikh wako elimu yake kaitoa wapi atuambie

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 6 วันที่ผ่านมา

      Utapata faida gani​@@mohdjuma3637

    • @abuusalimkibwana6233
      @abuusalimkibwana6233 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@mohdjuma3637hili akijibu atuambie Marhaala ya ilmu yake mimi kweli nitampa heshima yake kihaqi

    • @seifsaid9905
      @seifsaid9905 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@mohdjuma3637 namjibia Hilo elimu katoa Kwa walimu

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe wataka elimu au wataka madrasa yake?kweli wewe kichwa panzi😂😂​@@mohdjuma3637

  • @bacteria5184
    @bacteria5184 7 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa hiv kuna salafy wa mtwara,kuna salafy wa kariako,kuna salafy wa zanzibar,kuna salafy wa moshi na kuna salafy wa pongwe😂

    • @ibrahimjumaa538
      @ibrahimjumaa538 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา +1

      Wote masufi hao😂😂😂

  • @AllyJuma-q8g
    @AllyJuma-q8g 6 วันที่ผ่านมา

    Nimfrh hpo kweny neno baharia

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 7 วันที่ผ่านมา +1

    Watoto wa mjini wanasema dingi la manyambisi masufi mbona watakoma?

  • @IssaNassor-g3o
    @IssaNassor-g3o 6 วันที่ผ่านมา

    Sheikh bachu mjadida wote tunakusikiliza na wengi tunakukubali ila tukiwa huku markazi hatuwezi ........

    • @AllyMahmoud-m6v
      @AllyMahmoud-m6v 6 วันที่ผ่านมา

      Subhaana lmaliki itaqi rabbaka mchemola wako weye wacha kwongea kwenye mitandao Mambo yaurongo usiongee kuwafrahisha watu tambua haya yote unoandika utayakuta siku ya qiyama

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@AllyMahmoud-m6v:mwenyewe kathibitisha hilo wewe unakataa hivi niskili hiyo😂😂

    • @AllyMahmoud-m6v
      @AllyMahmoud-m6v วันที่ผ่านมา

      @@HassanIddy-v1b haya iko siku utalipia kwa huo urongo unowazushia watu

  • @saidabdurahman7936
    @saidabdurahman7936 6 วันที่ผ่านมา

    nikicomment khalid atanuna 😅😅

  • @mohamedadow1290
    @mohamedadow1290 6 วันที่ผ่านมา

    في القرن الثالث هل كان فيه أشاعرة وماتريدية ، والمأولة والمفوضة؟ يظهر والله أعلم أن الكتاب الذي سميته (عقيدة السلف) للمتأخرين.

  • @HassanIddy-v1b
    @HassanIddy-v1b 7 วันที่ผ่านมา +5

    Wachape kisawasawa لعلهم يرجعون huwenda wakarudi kwenye haki

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 6 วันที่ผ่านมา

      Ww hizoo shubha za watu walopinda na miongoni mwenu katika wao, answari sunnah ulamaa wamewatowa katika usalafi, wamepinda kiman hajji sasa ni watu wa bidaa tuuh! Shekh Albani shekh muqbuli shekh rabee, na shekh Amani ljamii wameona kupinda kwa answari ni watu wa makundi

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 6 วันที่ผ่านมา

      ​Usijifiche kwenyemajani ya karanga ukadhani hamuonekani, hapa nimwendo wa vitabu ruduudi waambie hao mahizbi wenzako akina murjifu k,mafuta akina m,mafuta elimu ziro akina dilele,wajibu hoja hizi,siowewe kifaranga hata manyoya hujaanza kuota siutakunya wewe!!!

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 6 วันที่ผ่านมา

      @HassanIddy-v1b aixee we jamaa tafuta ilmu acha ushabiki, kama mpk leo upo katika man hajji mseto, huelewi na unahisi upo katika sunnah, hatari xana si wenzio tulikuwa answari sugu kama ww, tukijita answari sunnah kumbe answari bidaa, taasubi mwisho tukaziweka kando tukafata hakki,hivi shekh Abul fadhil, uje ulminganishe na huyu kasuku, wa Zanzibar, bachu?? Kaokoteza ilmu humu humu, kiwango chake ni thanawi ndo alikoishia bachu, shekh abulfadhili amesoma Yemeni kwa shekh muqbuli, alama mkubwa wa ahlsunnah zama hizi, akaenda jamia islamiya kasoma kwa shekh ubeid ljabir, karudi kwa shekh rabeey, hivi umfananishe na kifaranga chenu mropokwaji huyo bachu mbona bado xana

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 วันที่ผ่านมา +2

      @@HassanIddy-v1b
      Swadaqta Sheikh
      JazakaAllaahu'khayran

  • @abumuadmahatmohamed
    @abumuadmahatmohamed 6 วันที่ผ่านมา +2

    Waeka vitabu huku na huku kisha wachungulia katikati.😂😂

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 6 วันที่ผ่านมา +1

      huku mlima na huku mlima

    • @xxy.1
      @xxy.1 6 วันที่ผ่านมา +2

      hilo nalo ni kosa? au ni uhizbi uo? au bidaa? au ujahil murakkab?
      katikati patamu eee ndo mana mnachukia
      ukiona ivo dawa inaingia

    • @muhammadnassibu7706
      @muhammadnassibu7706 6 วันที่ผ่านมา +2

      @@abumuadmahatmohamed 🤣🤣🤣🤣 sheikh Abdallah humeid aliniua Sana iyo😂😂😂

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@mhrmahir3756mipasho ya dilele hiyoo😂😂😂

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@xxy.1da,umepiga kwenye mbavu😂😂😂😂😂

  • @SaidoOmar-g2b
    @SaidoOmar-g2b 5 วันที่ผ่านมา

    Woyi n'a ra'di nyingi

  • @munirramadhan4435
    @munirramadhan4435 6 วันที่ผ่านมา

    Mnatandikana tu mlitikana mashekhe leo ndio mnageukana kma wanyama

  • @swalehemusakiluwa9405
    @swalehemusakiluwa9405 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hahahaha eti sijapenda kuitwa sheikh 😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 6 วันที่ผ่านมา

      Dalili ya unyenyekevu na ikhlasi ya huyu sheikh

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 6 วันที่ผ่านมา +1

      @@HassanIddy-v1b Na ile kusema nyokonyoko dalili ya nini? Au zlkua adhkaar zile? Huyu ni jaahili2 kama majaahili wengine.

    • @abdullatifmnyamis372
      @abdullatifmnyamis372 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@AlmasAbdallah-r3guna mdomo sana

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@AlmasAbdallah-r3g wewe jaahili kweli😂😂😂mbona nawe umesema hivyohivyo kwaivo na wewe ni dalili ya usho,,,,,,,,,acha ujinga swa'aafiqa jaahili