Hakika tukimaliza kazi tutavalishwa taji .. Mwenyenzi MUNGU akupe furaha ya milele maana kiukweli ninakumbuka mbali sana kwa nyimbo zako .. Upumzike salama Mchungaji wa MUNGU
Rest In Peace Pastor Mwasasu you impacted the lives of many people not only in Tanzania but also in Kenya and the rest of the world. May God crown you for you finished your race well servant of God.
Gonga like,kama umekuja huku baada ya kusikia huyu mwamba amelala.
May his lovely soul Rest in Peace.
Dada Mary sie ni watu wa you tube kila tukio tunafatilia lazima tuangalie Kaz alizofanya mtumishi, Mungu tupe kujua nyakat
Du! kitambo sana, respect to you bishop, RIP.
@@kluzophilimon7186 kweli kabisaaaa nikiwa mbeya asubuhi wimbo huu ulikuwa unapigwa kwenye radio moja pale mbeya r.i.p
Huyu pastor alikuwa anaimba vizuri sana, R.I.P 😢💔. Safisheni tena hizi nyimbo zake zionekane vizuri. Napendaga sana kusikiliza nyimbo zake💖🔥
Mungu Akupe pumziko la Milele
Wokovu wa zamani ulikuwa moto wa roho mtakatifu kweli kweli kwanza ulikuwa ukikosa kanisani washirika wanakufuatilia sio sasa
Kiongozi umetutoka kimwili kiroho Bado huduma yako inafanya kazi pumzika Kwa aman .amina
Mungu akubariki sanaa hata kama haupo duniani kazi yako njema ipo
Ni moja kati ya gospel singer ananibariki sana.
Unanikumbusha mbali baba wa Imani
Rest in paradise man of God endelea kudifu huko mbinguni
Tukimaliza kazi tutavalishwa taji 👑.. Rest in peace, man of God.
Nashindwa fananisha unavyoshuka uwepo kwa nyimbo hizi. Na nyimbo za kisasa.
Hakika tukimaliza kazi tutavalishwa taji .. Mwenyenzi MUNGU akupe furaha ya milele maana kiukweli ninakumbuka mbali sana kwa nyimbo zako .. Upumzike salama Mchungaji wa MUNGU
Rest in peace man of God I loved your songs so much from kenya
Nimekumbuka siku nipo mbeya asubuhi wimbo huu ulikuwa unapigwa kwenye radio moja pale mbeya
MUNGU akupe pumziko la milele mtumishi hakika tumaini letu unaimba na malaika mda huu
Mimechelewa kujua leo ndio nimejua jamani kumbe umeondoka leo ninaifanya kukuomboleza Ephraim Mwansanuu
R.i.p legend, umemaliza kazi sasa
❤Baba nikisikia nyimbo zako nitapata furaha.
Amena sana mubarikiwe 💃💃🙏🙏
2024 nipo hapa
Rest In Peace Pastor Mwasasu you impacted the lives of many people not only in Tanzania but also in Kenya and the rest of the world. May God crown you for you finished your race well servant of God.
Bado nazienz nyimbo zake😢
This song was on my mother's wedding rest in peace bishop
Rest in eternal peace legend 💔💔shine on your way🙏🙏🙏
@Eliza 😱💔😭😭😭😭😭😭
Rip mtumishi
Amen
Tukimaliza kazi tutavalishwa Taji,taji ya uzima, pumunzika kwa amani baba.
Hakika tukimaliza kazi tutavalishwa taji ya uzma....hallelujah
Pumzika kwa Amani mtumishi😢
Ulimaliza yako 😢
Great timepiece
r.i.p mtumixh wa Mungu
RIP baba
Amina
Kaz nzur
Vizur san mtumishi
Umemaliza i r p
R.I.P MWASANSU
Ameen RIP
RIP mwansasu
rip
Amina
Rip mwansasu