KILICHOMKUTA DADA HUYU BAADA YA KUPATA MPENZI KWENYE MTANDAO IWE FUNDISHO KWA WENGINE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- Jamani tuwe makini kwenye mitandao humu na haswa Wanawake sisi mtu anaweza akajifanya kakupenda kumbe analake jambo..!Fwatilia kisa cha dada huyu na yliyomkuta baada ya kupata mpenzi wa mtandaoni
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
Huwo ni U tapeli wa Mtandaoni, Jameni kama ingekua kweli Unge muacha Kijana wa Watu sababu ya Sponsor, Makosa Dada Angu 🤔😡
Tamaa mbaya
Wanawake tupunguze tamaa jamani kaaaaaa
Umeolewa kisha unataka ziada mungu atunusur kutoshek nikitu kizur sana
Amiin atunusuru yarabb
Asieridhika huyu ndo maana kapata majanga
🤣🤣🤣🤣 wallah nimechoka sn we mwezi tu kodi ndy ukome Daaah Tanzania ndy mchi peke ukipata mwanaume kodi cm mara hera ya kura Daaah macho 3 passport anayo nenda xx
Huo utaperi upo kitambo.. Wanaobabaika na ngozi nyeupe ndo wanataperiwa sana, ela inatumwaje kwenye box wkt kuna urahic wa kutuma jmn
Ata mm ilinitokea adi nikatumiwa nikaona mzigo airport kabisa kumbe tapeli eti nitume ela kwenye bandarini weeeee komaaaa nashukuru siku tapeliwa
Jamani We Dada Umeolewa Halafu Wasema Ungeacha Mume Ukaenda Kwa Mume.Tamaa Mbele. Mumeo Akiskia Na Ataskia Tuu.
Ataachwa mda si mrefu
@@martalositotiktok6590 Anastahili Maana Amedharau Mumewe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣chezea uturuki ww
@@tayanabenard4392 🤣🤣🤣🤣 Halloooooo,,
penda
dodo kwenye mpera eenh !!!!!??? utazaa chura fala we
Unatamaa dada hivi mume akikuacha utafanyaje
Ukihacha udhaifu wake wakutokua muaminifu kwenye ndoa Kama waja tunavyo mlaumu hapa ametoa darasa ama funzo kwetu watu wengi wanaibiwa kwa njia hizi
Kwel fundisho tumepata
Darasa tosha
Washenzi hao watu walijaribu kwangu wakapata mimi ni mjanja kuwaliko vile ameeleza ndivo walinieleza but mimi niliwapiga chenga nilimwambia mmesema kuna pesa hapo ndani chukueni alafu mniletee mzigo wangu wakanivuruga but mimi nilikuwa nishawajua ni matapeli mwisho wasiku niliwatishia kuripot kwa police wakaniblock huyo alijifanya ako Canada na hawa wakupokea mzigo
Huyo alikua mnigeria hizo ndio tabia zao kuscam watu, ni wanigeria wenye wako Europe, tuned 🇰🇪
umeona eeeeh
Kweli kabisa
Kweli kabisa yaani wanaijeria matapeli wa kimataifa
@@aselina5862 tena wao hutumia pictures za wazungu wenye wako desperate sababu Kuna wazungu machokora Sasa wao hushirikiana nao
Kweli ata mm walitaka kunikoni hawa wa2 ni wezi
😭😭😭ya nilikuta hivii hapa niko na denii lkn story yangu sio ya mapenzi nilikuwa na tuma hela za kazi
Mariam nitafute 0693678308
Pole mwaya
Dada shukuru Mungu ungetapeliwa,hio number anayokupigia nayo ni landline dear,yashanikuta
😂😂😂😂😂
Dada nataka unielekeze pls hyo landline nikupe namba yangu
Mmezidi tamaa na kudanga
@@mahewamahewa6461 asante dear ,ila hakikisha nawe ni bikira ndio uwoe ,manake kama sio bikira sote tunadanga tu.
Leo number moja kwenye media ya Geah habibu, like 10 tu jmn.
Mdau Mwenzangu upo kotekote
@@fatmaalrshdii7615 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈 nimekuwa kama Corona dunia
Yalimkuta rafiki yangu, ilikua hivyo mnigeria akawa anajifanya mzungu. Kumbe mnigeria.
🤣🤣🤣🤣pole
Mm nilitaka kukoniwa hahaaa
@@mishibabu8946 Niko UK, nilimpigia huyo Mnigeria na kumtishia naenda kumripoti kwa police, hakuamini masikio yake. Alimdanganya rafiki yangu parcel la zawadi limekwama Malaysia. Hivyo vitu alivyomlistia. Hata celebrity wa huku hawezi kumpa mtu hawajawahi kumuona. Nilimwambia rafiki yangu hivyo vitu ni very expensive. Nipe namba nimpigie. Ndipo nilipokumbana lafudhi ya Kinigeria😁
Hahahaha hahahaha ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sina mbavu jamani kama unaamini mama huyo anajiuza gonga like kama zote
Kweli huyu dada mzinifuu aibu acheni tamaa wadada tulieni na waume zenu umalaya siyo dili kutafuta kunyongwa tu
Kwanza hajui hata bei ya dolali hajui
Tena bila haya eti ningemuacha namigodoro yake me yayuu kwa dodo ulaya
Wanawake tujitume kuombaomba pesa kwa wanaume ndio maana tunadhaulika kwanza wanaume wa kwenye social media siwataki hata kusikia 🙏🙏
Uyu Dada ameolewa lakn anaonekana mdangaji tu!!
Ni tamaa tu
Kabisa mana unafika kupeana hadi namba za sim nawewe mke wa mtu
Ana tamaaaa uyo mwanamke
Hana mume huyoo anadanga tuu
Jamani tulizike na all yetu
Kkam Una passport kwanini usije Oman kujitafutia rizki jaman
Nfanyie mm mpango bas
@@saumumrisho2532 Kama Unayo Passport Nitafute,
😂😂😂oman wanaogopa kunyonywa damu acha wakae tanzania wanyonywe jasho
@@sirimohammed785 Acha sisi tupambane 😂😂😂
@@sirimohammed785 😀😀😀😀 kazi kwao cc wengin tunamalix miak kumi na Zaid na hatujanyonywa damu watapat tabu
Kanifurahisha mwanamke mwenzangu kaaa, dodo chini ya mndimu mhh. Pole mwaya
Dodo chini ya mbuyu
😂😂😂😂
Jamaniii jamaniii mm mwenyewe nilifnyiw hvohvo nikafika hadiii airport hakun hili walaaa lileee nanilituma lkiii moja🤣🤣🤣😪😪😪poleeee sanaaaa Dada
😅😅pole
Tamaa mbaya sana pesa tangu lini ikatumwa kwenye kibox, wanatuma West Union, money gram, tigo pesa Mpesa.
Money gram,Western Union, PayPal account box Hilo kwioooo
🤣🤣🤣🤣 kwioooooo
No plz
😁
Yani mh eti box, hajiongezi hata😂
Box hilo la kuchora???
Mke wa mtu na tamaa juu jamani. Allaah atusamehe.
Huna haya ata kidogo
Natena hapo sikasema alikua asepe
Tafuteni kazi mfanye 😂😂😂
umeona eeeeeh
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha hah ha wamesha Ku mugoo😂😂😂😂😂jaman pole wapopo bana
Kweli kabisa
Shida wanaume wetu hawako romantic jamani ndio maana wadada wenzetu wanahangaika na wazungu jamani ...
pont👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Wanaume wa kitanzania full panda kitandani. Hahaha no romantic at all
Hhahahahahaha Solomo acha kunifurahisha ni kweli jamani kwan unahisi wangekuwa romantic wadada wangehangaika na wazungu wa nn waaaa
Ila wanawake wa bongo mmezidi. Unamuombaje mtu hata hamjakutana hela ya kodi
Makubwa😂😂😂
Mimi mwanangu kaambiwa pesa aliyotumiwa sawa na pesa za kitanzania sawa na milioni mia moja Tena na yeye katumiwa vitu kama hivyo hivyo yani mpaka computer mikoba simu ya macho matatu sasa mwanangu Katoa raki tatu na nusu katoa raki tatu kambiwa toa milioni moja ndio upate mzigo wako.
Mnapenda mteremko na ukomeeee,kumbe mke wa mtu tena loooh 🤣🤣🤣🤣,naona ulipanga hata kumuacha mumeo,acha tamaaaa
Kweli 😀😀na unawez mwambia rafik ako alie nje akufungulie watsp kwa namba ya nje 😆ila inafurahisha hii story
kweli kabisaa jamani mke wa mtu mbona wasiwe waa minifu kwa wanaume zao kweli aki ndio Marathi inazidi duniani juu ya tamaa aki
Cjaona ajabu yy na mumewe sw ,mumewe wake wawili na yy waume wawili ngoma dro
Wacheni tamaa jamani.
Msifikirie kila mzungu ni tajiri !.
Hao mnowaamini kuwa wanapesa wenyewe wanaokota makopo na chupa kwenye mapipa kuuza ili kuishii maisha..
Umeonaee co kila mzungu anahela wengne hawana ttz la baadhi ya wanawake ukiona2 mtu mzungu au mwaeabu mnajua Sana hela kumbe majanga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tena Bora awe maskini muokota makopo siku hizi Kuna ushirikina jamani tuogopeni sana kwa kweli wachukuliwa waenda nyonyesha nyoka hukoo yupo mdada kafanyiwa hivo jamani
Hii lssue ni ipo sana tuu na sio wazungu ni wanaume wa kinageria mie ninae shoo wangu nae alitapeliwa hivyohivyo
Pole sana
😀😀😀😀😀huyu dada Amejua kunichekesha
Asante kwa kutufungua masikio
Kabisa
Ila wanawake tue makini sana
mkome tamaa watu wengi siku hizi wanazo no za nje na il hali wapo tz pengine aliwahi kwenda nje na aliporudi akaendelea kuitumia hiyo no kwa whatsapp tamaa mbele mauti nyuma Uliona wapi mzigo utumwe cargo ya ndege ufike kwa muda mrefu hivyo.
Wanawake bwhna mwalim we2 kipof kila cku aya 2nashkur ume2pa funzo na wengne!!
Hivi wewe dada mzungu yupi wa kukupa vitu vya namna hiyo tuulize sisi tunakaa ulya wazungu wengi wananuka mavi mtupu hawana jipy hata . Hata mwafrika akikupenda atakupa pesa ya maana suo mzungu wa leo .
Tamaa mbaya Sana
Hii store nakumbuka rafik yangu aliniambia mambo hayo sem alikuwa mjanja xna mpk leo ananiambia tuwe makini xna ila pole xna kwa kushtukia mapem nimejikuta nachek jamn matepal hawa mung anawaona kwl
Dooo pole sana mpndw wangu matapeli wanambinu nyingi sana kwakweli tuweni makini Tanzania inaongoza kwa utapeli jamani
Nigeria ndo kiboko, Tanzania tunajifunza
katibu tanzania utapel ni nchi zote shogaangu katapeliwa akiwa hapa Oman alipata bwana hivyo akataka muowa akamuelekeza kwao uganda wakapeleka vifrushi kama hivyo yeakalipia kaibiwa
@@sanisani5266 hayo yamenikuta mie juzi nimeambiwa nimeletewa mzigo wako na mpenzi wako kutoka London tuma liali 400 uje utumiwe mzigo wako au address namba nikamwambia naijua iyo kwamba ni mataperi 😂😂😂
Wewe nimalaya tu huwezi sema akituma hela tu sio kweli Mungu akulinde nyinyi wanawake wamtandao mnatumiwa sana
Hao Ni Wanaigeria Matapeli Wakubwa Love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole sana dada uwe makini na matapeli lizika na hali yakoo mpende mumeo je akisikia mumeo itakuwaje pole sana
Sio wazungu tu hata wabongo wako wa kutosha ,bila aibu wanaomba hela kwa mwanamke eti nataka nilipe pango 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha
Wewe Na sasahivi mtindo wa wanaume kuomba pesa za pango ndo usiseme
@@najma3268 ukitaka muachane mwambie Sina hela alafu hawataki mwanamke ambaye Hana kazi
Hao watu wapo na wana conection kila nchi nimatapele hatari wanafanya wanakutongoza wanakutapeli mana wanajua waafrica wanapenda wazungu ndomana wanatapeli sana
🤣🤣🤣🤣asante dada umenchekesha kweli, pst mgogo alisema vyabure vina gharama🇰🇪🇲🇩
Habari ya wazungu Sio mchezo jamani mnakopa na kuwapa matapeli kuweni makini sana, mzungu aje direct kwako sio kutumiana parcel 📦
Tena walinitisha elfu 70 za Kenya washenzi hao watu
Matapeli wa fb wamehamia insta 😜😜😜..Kaa na mmeo tulia
Apo walikula njama na mumeo wakijua maisha yaende 😀😀
😃😃😃😃😃
Wanaijeria wana garagaza kila kona 😂😂😂😂acc feki wanajidai wazungu
Kweli
@@sashaqueentz2917 Big noooo
Huyo aliwai kuishi nje Sasa amerudi tz
Subuhanallh kumbukeni mungu huu Ni uzinifu mtu unamume taamaa zanini
Tamaa mbaya jamanii 😂😂😂😂ndomana Mi sijibu DM za mtu nisiyemjua 😂😂Kwaza Sijawahi kupoat Picha Yangu insta 😂😂
Jamani sikuizi namba za tz zinaweza kutumika nchi yeyote mimi npo Oman ilanatumia namba ya tanzania matapeli wangi sasahv tuwemakin dada unamme tena unaha ngaika nini
Hao wazunguu hata siwapendi mana wanarohoo mbayaa wanaua wafrica sana mm hata waburee sitaki
sio wote mbona mimi nimechukuliwa tangu utotoni na wazumgu wananilea kama mtoto hadi na umri huu wangu sifanyi hataa kazi ngumu kenya naenda kila mwaka mzungu atapeli wa Africa no
Sio wazungu ni waafrika wanajifanya ni wazungu tena ni wanaijeria hao
@@judithmelvinealuchio8968 ndio dia
@@judithmelvinealuchio8968 niwewe bahati yako hiyo
@@nurafedrick378 wazungu sio wa baya nigerians kenyans tanzanians watu wetu hawa ndio wabaya mara mia uoni mwishowe namba ilikuwa ya bongo dear
Da gea hiii michezo iko mingiii sanaaaa wadada tunaibiwa kilaaaa sikuuu tujifunze jamaniii t3naaaa paleeee wanapokea watuuu wengiii wanapigwaaaa na mapolisi w paleeee wanajua kabisa
Au wale wahindi wa fb
Huyu mtanzania kabisa
Tena kwa kuomba kupewa hera ya bill hawa na vitu wanavyokutumia ni vya kukutia kichaa
Umejua kunichekesha
Yaaaani hua wanakera wale
Wahindi n kiboko
Yani umesema ukweli
Munguu kakuumbuaaa punguzaaa umalayaaa kengee wakikeee Ela zitakuponzaaa mtakujakuchinjwaaa Kama kukuuuuu unamakengoo yakumwachaaa mwanaumee kisa pesaaaa komaaa kirangaaaa
Kumbe Malaya huyu Dada Ana mume lakini anataka danga nje mtihani inalillah wInailahi rajuun
Mbona ata mumewke alkuwa anamsaport
Huyo ni Mna Nigeria wanatumia sana picha za wazungu,mimi nilitumia picha za mtoto na mke wake eti alikufa kwa ajili ya ajali sasa alipo niomba Account ya Bank hapo ndiyo nilimshitukia tena tulikuwa tuna chat kwa njia ya email.
😅😅😅 shoga yng pole
Umesema kwel kuna rafiki yngu alilizwa na mnaija
@@mariamzuberi6378 asante dear ila jamaa alitaka kuniingiza mkenge kweli eti yeye anafanya kazi kwenye Meli sasa anataka nimtumie account yangu anitumie hela nimtunzie kabla meli haijazama😂😂
Ng,ombe weweeee.
Dadaa alijua kaokota dodo ehe watu matapel jamn kama ulikuwa ndo unatuma vipicha vya uchi vya kujisexshaaaaa umekwishaaa
Kashatuma picha ya uchi uyo
Nimecheka vibaya
inaonekana wanawake walio na ndoa sikuiz wanaongoza kwa ku toka nje
Ndani joto. Matunzo hamna na yote hii wanawake wasiotaka kazi
@@ashuuuaisha9122 yaah shida ingine ni kwamba hatufundishi watoto wetu kuwa na kipato ni kama akiolewa ameedna kufanya kazi hawatambui penzi lina mwisho🤣
Daaah pole sanaaa ndugu huyo Alex ni tapeli mie pia ilishanikuta ila mie sikujihangaisha nasijawahi kumtumia Ata ukucha wangu Acha picha
hili dada ni dangaji la kimataifa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo iliwahi pia kumtokea rafiki yangu alidanganywa hivyo hivyo katumiwa kiboksi lkn kwanza alitakiwa alipe laki 5 ndio aletewe kiboksi chake, wadada tuwe makini na marafiki mitandaoni tufanye kazi tuache kutaka shoti kati ya maisha
Ilimkuta mpangaji wangu. Akanieleza nikamuambia nimatapeli wanatumia picha za wazungu.
Shukuru Mungu kupotea hizo 30 elfu za boda... Ungetapeliwa laki Tatu na nusu... Na ulivyojikwaa ilikuwa ni ishara kuwa safar so sahihi...
😅😅🤣
Umenusurika ... Rafiki angu yalimtokea km yako na wakamwambia atume laki tano na alituma mpka leo hakuna Cha mzigo wala nn
Hii ipo sana
Mpaka leo kuna watu wanaamini pesa inaweza kutumwa kwenye kifurushi Mungu tunusuru. Ni Nigeria hao wanashirikiana na wabongo kama wale wanafunzi wa chuo waliokamatwa na simu za kutapeli watu tamaa mbele mauti nyuma hebu tujitume kwenye kazi na biashara wanawake mbona tunaweza jamani hakunaga msaada usio na lengo.
Ila nakupongeza kwa kuamua kulisema ili kuwaelimisha wengine
Kinadada tuache tamaa Kwanza ukizingatia unamume Tama itakuweka sehemu mbaya sana
Story nzuri hii akirudi mumeo muhadithie
Umenichekesha mibao kama mibastola ungeipata hiyo😂😂😂😂
Mzinufu. Kama kwer. Umeorew. Naufay ukiambiy. Muuwe mumeo nikuowe mm tajir utamuuw😔😔
Kweli
Umeolewa
Hta nyie waume wazinifu wakubwa agekua mume wake pia agechat
Acheni unafiki kuolewa kwiyo
Pole dada lakin hata habari ya Wema haijakuamcha?milioni 16 za bule
Ambao wanaaminika kiasii wa Oman wa USA tenaa siwez kuamin kiivooo kwenye swala La mm nilipee elaa iyoo n filamuu iyoo
😂😂😂 wapo wengiii Facebook wamejaa
Ukitaka umkomeshe mpigie live
Pole Dada
Duh unaweza kucheka kama mazr
Nimecheka jmn hpo kwenye broken eti la mbele nyuma la nyuma mbele,
Mtachinjwaa tamaa tuu njoeni oman mpambane na maisha..wanaume kunawanaume wa kuhonga dunia hii wenyewe wanataka kuhongwa 😏😏😏
Hahaha jamn tuwe making dunia hiii ya sas
Mungu akulaaani na ufisadi wake
Stori kama hii tena hivi hivi nakumbuka ilipostiwa Instagram miaka ya nyuma
Hahaahaaaaaaaa mwenzio nacheka kama. Mazuri yaan hao washenzi wamekuwa wengi mnoo mtandaoni mimi nilitaka kuliwa dollars 300 hahahaa hajanipata alhamdulillah. Jamani kuweni makini wapendwa acheni tamaa ndg zang. Yaan huyu dada anacho kiongea ni kweli kabisa
😂😂😂😂e mungu nime maisha malefu nione vioja vya dunia😂😂😂😂
Simu za macho matatu dda njoo uku mascat mbona rahis sana
Mumeo akiona hiii interview ndio talaka yako🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀
Tamaa mbaya
Hilo nalo neno
Hahaha
Hahaha
Wanaijeria hawoo ata huku wapo na hiyo kazi naijuwa vema tu daah pole sana
Riwe fundisho na kwa wengine
Huo utapeli upo muda mrefu Sana toka 2019. Huyo dada ni ushamba wake tu na uroho wa vitu vya dezo
Kuna mdada Arusha kaliwa pesaaa ivoivooooo tena yy alitumaaaa kbsaa
Mmmm mbona mambo umeolewa nahuku unataka kumdanganya mwengine pole sana mtihani
huyu angekua nayo iyo pesa basi mbaka sasa amesha toa kuwapa ila ashukuru tu alikua hana
Jamani pole dada hayo mapumbavu. Yapo mengi.
@@zuenajohn8325 funzo kwetu
Jamani huo ni utapeli juzi tu nimepigiwa na watu sijui wa vinyago walinipiga laki nne kimasihara sihara
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanageria hao na Malaya zao wa Ki Tanzania walio asia Wanasaidiana kutapeli watu
Daa geah anayosema huyu dada ni kweli rafikiangu pia alifanywa ivoivo afanyakazi katar yani ivo dada alivoelezea ni the same wallah tuweni macho
Hahaha😅😅watu hawana huruma jmnii alafu wew daad ni boya miezi yote ujawai kuongea na mtu video call
Hahahaha
😄😄😄
Imagine 🤣🤣🤣
Tena anaweza kupigia cm akaongea kama mzungu sauti yake awakubali video call ni wanaigeria awo mama ndo Wizi wao mm najua vzr hii ishu cz niliwahi kuwa na boyfriend mwiz WA ivyo mnaigeria
Wewe kumbe
Hii story nmeisikiliza nikacheka yani inaendana na mm nilitaka kutapeliwa hahaaa tueni makini wezi wapo kila kona
Haha mishi kwel wapo hawo halafu mimi mashtukaga halaka Sana najuwaga ni matapel tu wanajifanya wanataka kukutumia hila mimi najuwa mh uyu atawambia ugombowe na mtu kama uyo hatumu benk hela atakwambia hata bandal
Rafiki yangu anasema hata wauganda wanafanyiwagwa hivyo
Wamemficha sura hila kama mumewe anaweza kujuwa sauti yake
Uyo kwel itakuwa sio mzungu kama alivyosema mtu mwanzo anaweza kuwa, mnaijeria mana waswahil wengi wanafanyaga utapel wazungu ni marachache sana kufanya utapel uwo Kuna mtu alisema wazungu wa marekan wengine wezi wamejanjaluka kwasababu ya waswahil kule wapo wengi wamewajanjalusha
Uyo mtu alisema aliwambia muulize mtu ndo nimemtuma uyo mtu aliyemtuma anakuwa ni mwenziwe tapel mwenziwe. Uyo Mama mjanja kama mama mmoja mama bakar na Paka ongea yake
Wanawake wa KiTanzania tamaa sana!
Acheni tamaa mmmm mukome mitermko😅😅😅😅
Ndio anatumia voda yaaanimukae makini napia anatumapicha yupo ktk mamolananunua vitu inabidi jamani dada geahtunaomba ufuatilie huyomtu akamatwe jamani mtandao wavoda watamuona yupo maeneogani pls dada geah
akina mama na akina dada jamani kuweni waaminifu kwenye ndoa na mausiano zenu jamani 🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Da geah napenda saut yako
Namuombea ajira kwenye Radio au TV, sauti yake mubashara sana, mashallah.