WATOTO WASIMULIA MAZITO WALIYOKUTANA NAYO BAADA YA KWENDA KUISHI NA BABA YAO KWA MUDA MFUPI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • #geahhabibu #geahtv

ความคิดเห็น •

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 10 หลายเดือนก่อน +15

    Mungu tujalie afya na uzima tulee watoto wetu.....semeni amiiiin🤲🤲🤲🤲

    • @RakaPk
      @RakaPk 10 หลายเดือนก่อน +3

      Amin 🙏

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 10 หลายเดือนก่อน +1

      Amen

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 10 หลายเดือนก่อน

      Maisha hàya jmn usikute ndugu nao hawana umoja bwana had ndugu wa mume kutoa kauli hawatak huenda waliwakataa hao watt ndugu wa mwanamke jmn tupendane mtt wa ndugu yako wakwako endapo anatabia nzur na wakiwa sio vibur

    • @MsNajma-e6e
      @MsNajma-e6e 10 หลายเดือนก่อน

      Ameen

    • @MsNajma-e6e
      @MsNajma-e6e 10 หลายเดือนก่อน

      Ndugu zetu wa tz mnaroho mbaya sana ndg yako akienda nchi za nje kurea watto wa ndguzenu mnaona shida na ndiomana wariwazuiya meshindwa kuka nao,,,na we mwanaume unashindwa kurea watto wako wakanti mpo hai Nan hakurere watto wako mikojo yako ukojoe ww unataka kulelewa mbwa nyie wanaume mnashindwa kurea watto wenu

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 10 หลายเดือนก่อน +15

    Daaah 😭😭😭😭😭wamama leeni watoto wenu ndugu zangu 😭😭

    • @anifamickidard4555
      @anifamickidard4555 10 หลายเดือนก่อน

      Sio kwamba hatutaki kuishi nao ni mazingira ya utafutaji Tu ndugu yangu

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@anifamickidard4555kwakeweli tutafute tutakachokipata bac tuludi nyumban tukakaenawatoto wetu

  • @juliethndomba639
    @juliethndomba639 10 หลายเดือนก่อน +10

    😢dah! Ila wababa wengine ni shida

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mwanamke mwenzangu umekosea kumkabidi watoto huyo baba ni bora ungewaacha kwa ndugu zako,inauma sana 😢

    • @Yusufu940
      @Yusufu940 10 หลายเดือนก่อน

      Apana aukukosea mahana watoto wanaitaji malezi ya baba na mama zao tatizo Ni mkeo kama kuna ugovi bayana yy mkeo sio kwa watoto au ndugu. Wengi wanakosea sn

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 10 หลายเดือนก่อน +10

    Wababa siwalezi jmn ukimpata mwanaume anakea watoto shukuru Mungu

    • @sweetlisious
      @sweetlisious 10 หลายเดือนก่อน

      kwanza anamuachiaje watt baba miaka hii wanaume hawaaminiki

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 10 หลายเดือนก่อน +10

    Wazazi leeni watoto wenu

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 10 หลายเดือนก่อน +12

    Alipokosea mama yako kuwa peleka watoto kwa mzazi mwenzie wakati toka wadogo anawalea yeye pekee

  • @officialdaynesskavishe4143
    @officialdaynesskavishe4143 10 หลายเดือนก่อน +2

    Eeee Mungu wangu.kwanini baadhi ya wazazi wamekua na roho zakishetwaniiii.Mungu nisaidie niwaleee wanangu mpaka wajitambue

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 10 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢 poleni Sana Kwa kweli mana njie hatari

  • @BakariRamadhan-g3b
    @BakariRamadhan-g3b 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu tusaidie wamama wote tunao lea watoto wetu maisha marefu yenye upendo

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 10 หลายเดือนก่อน +11

    Sio onyooo afungweeeee

    • @hubakombe586
      @hubakombe586 10 หลายเดือนก่อน

      Ni makatili sana hawa watu. yaani miezi mitatu 3 kawachoka. Jamani

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 10 หลายเดือนก่อน +2

    Acha niteseke na watoto wangu,,,siamin mwanaume kwa chochote

  • @فيصلالبادي-ح1غ
    @فيصلالبادي-ح1غ 8 หลายเดือนก่อน

    Mm ninawawili na hangaika nao mwenyewe sitaki hata waende kwa baba yao. Huyo mama jinga sanaaaaa sio wanaume wote wanapenda watoto wao poleni sanaaaaa watoto wazuli mungu awe nanyi

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 10 หลายเดือนก่อน

    SubhanaAllah 💔 😢 kuna watu wana roho mbaya mmh!

  • @Bintimrembo-y1v
    @Bintimrembo-y1v 10 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo muuaji amekamatwa??

  • @VeronicaKalinga-r9d
    @VeronicaKalinga-r9d 10 หลายเดือนก่อน +3

    mhhh ee mungu wangu nais kuchanganyikiwa na wtt wangu wanaishi na baba yao😢😢

    • @RakaPk
      @RakaPk 10 หลายเดือนก่อน

      Muombe mungu kipenzi mm mwenyewe mtoto wangu yupo kwa baba yake ila anakeya sana watu awafanani

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu atujalie wanawake wote umri mrefu tuwalee wtt we2 baadhi ya wanaume wanaroho za kinyama🙆

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 10 หลายเดือนก่อน +3

    Family yakichawi hiyo walikuwa wanawalazimisha kuwaunganisha katika uchawi , waulizeni zaidi hao watoto

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 10 หลายเดือนก่อน

      Mpaka useme 😅

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@easternyerembe7271😀😀

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 10 หลายเดือนก่อน +2

    Khaaa mbona unyama huu.

  • @FaustinaBoniface
    @FaustinaBoniface 9 หลายเดือนก่อน

    Mm! Kesi ya upande mmoja nayo....

  • @zainab8251
    @zainab8251 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtihani wallah 😢😢

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kama hajalala nao Mungu mkubwa

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 10 หลายเดือนก่อน

      Kulala nao unamaana gani si unyooshe maelezo tu

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@joycekalago532apo kamaanisha kuwabaka

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 10 หลายเดือนก่อน

    Mama kayataka utawatupaje watt wako sasa akisikia mambo kama hayo atakua anaenjoy vp huko aliko

  • @ShekhahamedMuhsin
    @ShekhahamedMuhsin 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu inauma watoto wadogo

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 10 หลายเดือนก่อน

    Da Ghea umeongea ya ukweli, ila wengi sijuwi wana mashetani.

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 10 หลายเดือนก่อน +7

    Hiv watu hawajifunzi bado jaman mm mtt wangu haendi kukaa na ndugu bila mm 😢 nmekua siamini mtu akirud shule namuuliza kila kitu taratbu na nampekua

  • @thhtthht1485
    @thhtthht1485 9 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢jmn inauma sn

  • @SangioNgoo
    @SangioNgoo 10 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo kubwa ni kuwa hao kina Mwamposa ni kama waganga wa kienyeji. Hawa matapeli wanatakiwa kudhibitiwa kwani wako mstari wa mbele kueneza ushirikina ambao hauko. Huyo baba inatakiwa nyanganywe hao watoto.

  • @BahatiHaule
    @BahatiHaule 9 หลายเดือนก่อน

    Naombeni namba ya dada geah

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 9 หลายเดือนก่อน

    Namama yao hajielewi mjinga sana watoto ni mama

  • @ayshaoman6502
    @ayshaoman6502 9 หลายเดือนก่อน

    Naombeni mamba ya Dada

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wanawake tuna shida jamani umuangalie na baba au mzazi yukoje

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli 10 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭 Subhana Allah

  • @MaryamYussuf-u8p
    @MaryamYussuf-u8p 3 หลายเดือนก่อน

    Ila huwezi kumtizama halafu yy kamtelelkeza kondoa yy karudi dar kula maisha loohh

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni mshamba Sana

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kulea watoto wanadhani ni kitu lahisi Mungu huyu

  • @mbokamgomoka3091
    @mbokamgomoka3091 10 หลายเดือนก่อน

    iyo yababa kupiga pini mama asimuone mtoto imenikuta hiyo,nimelea mtoto kwa miaka tisa baba alikuwa na uhuru wa kumuona mtoto nikampa mtoto mwaka mmoja tu akanipiga pini,nimepora mtoto wangu na nina kesi mahakamani,ila nashkuru nimejifunza mtoto wangu ni mali yangu,kwenda kulelewa na mtu mwingine labda nikifa. wababa wa siku izi wana tabia za kishamba sana kama ukivyosema dada Ghea.

  • @LucyMassalu
    @LucyMassalu 9 หลายเดือนก่อน

    Sijui nikwambiaje we baba we roho mbaya

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 10 หลายเดือนก่อน +4

    ana mapepo huyo baba

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 10 หลายเดือนก่อน

    Kwa mwamposa huwez pigwa makofi jmn punguza uongo ww dada na hz sindano sijui nb hayo n mammbo y kidunia tu hata ww unaweza ukafanyiwa kikubwa kaeni na watt wenu

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 10 หลายเดือนก่อน

    Mmm mmehalibu watoto we ndio chanzo

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 10 หลายเดือนก่อน +18

    Kiukweli mimi na watoto wangu niko tayari kufa nao sehemu yeyote nitakayo kuwepo 😭

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 10 หลายเดือนก่อน +4

      Usiseme hivo Tema mate chini ndugu na Omba Mungu yasikukute

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 10 หลายเดือนก่อน +2

      Ila wanaume wana maudhi haya mambo katika jamii yapo mengi mengi ni watoto kumi kwa mmmoja ndo wanakaa kwa upande wa baba kwa aman lkn mungu atausitiri na wenetu

    • @mwenieliasa6517
      @mwenieliasa6517 10 หลายเดือนก่อน

      Mm ndio maana wanangu bora niwaache na ndugu zangu kuliko kwa baba yao hapana kwa kweli inauma sana mwanao kufanywa kama hivi watu wana roho Zao kikatili kama nini​@@mariamdullazy8166

    • @marrypius576
      @marrypius576 10 หลายเดือนก่อน

      Sasa kam unaenda nchi nyingin utaenda nao?

    • @mwenieliasa6517
      @mwenieliasa6517 10 หลายเดือนก่อน

      @@marrypius576 nashangaa anasema tu huyo naona hajawahi kwenda nchini kwa watu kutafuta maisha atuulize sie sio kwamba tunaacha watoto zetu na watu tunapenda hapana Ila yote tunatafuta maisha kwa ajili ya hao watoto

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 10 หลายเดือนก่อน

    Hiyo familia ni ya kichawii😢muwachukue hao watoto watawaua

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 10 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa mama yao huko South anafanya nini?

    • @Yusufu940
      @Yusufu940 10 หลายเดือนก่อน

      Apo ndo atuji labda ana mme mwengine labda baba yao ana mengi moyoni Yana msibu

    • @ismailchibonda5005
      @ismailchibonda5005 10 หลายเดือนก่อน

      Anadanga huoni sign ya Mdogo mtu hapo triple A 😂😂😂

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 10 หลายเดือนก่อน

    Matokeo ya kuweka ligi mnashindana halafu majuto baadae. Siku zote kicheko mwana ila majuto mjukuu.

  • @maikojohn-xr5cg
    @maikojohn-xr5cg 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dada Sina mengi yakuongea ninachokuomba Mimi hao watoto uwachukue na usikubali kuwarudisha tena Kwa hiyo mpumbavu na tena hiyo ni bahati pengine mpaka Sasa yangekuwa mengine

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 10 หลายเดือนก่อน

    Daah poleni sn kwa mitahani migumu. Wanaume acheni izi shida tunzeni watoto kwa mahadili mema sio kuhuwa. Km una ongovi na mkeo au mpezi wako shida sio ndugu au watoto. Nakukoseana kupo sio vita jamani

  • @sadakombo-li7yi
    @sadakombo-li7yi 10 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani tatizo hali ya maisha ni ngumu mimi hapa nna watoto 5 nalia uck mchana kwn mda mwengine nashindwa hata huduma ila sijafikiria kuwapeleka kwa baba yao ila maisha ni magumu jmni

  • @ZawadianaMwangosi-is2jm
    @ZawadianaMwangosi-is2jm 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo Kuna ugomvi wa kidini!

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 7 หลายเดือนก่อน

      Wala sio Dini, familia ya mwanaume Wana chuki na mama wa watoto hivyo hasira zimehamia Kwa watoto ili kumvuluga mama yao

  • @qudratabdallah4745
    @qudratabdallah4745 7 หลายเดือนก่อน

    Nyie huyu baba afungwe tu

  • @sweetlisious
    @sweetlisious 10 หลายเดือนก่อน

    ongeeni habari z muhusika kutesa watoto mambo ya udini usituletee madame .. kwani alivyozaa na mkristo hakuona waislam wa kuzaa nao??

  • @KurthumKhamis
    @KurthumKhamis 10 หลายเดือนก่อน +1

    Atawang Mie anatabia Iyo yaan mpk Wanang wananimis😢😢

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 7 หลายเดือนก่อน

      Kwanini usiwachukue

    • @KurthumKhamis
      @KurthumKhamis 7 หลายเดือนก่อน

      @@TatoTato-t7s nasubili wamalize wete la saba

  • @Moshiarusha360
    @Moshiarusha360 10 หลายเดือนก่อน

    Hii iko pande zote SEMA wanaume hawasemi Wala kwenda huko polisi,Ila hili tatizo liko pote pote..watu kuweni makini muwe na hofu ya Mungu,hapo inaonekana Kuna tatizo la msingi,japo haliwezi kuwa sababu tosha ya kuwatesa watoto.

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt 10 หลายเดือนก่อน

    Watoto kwenda kwa baba yao si kosa maana wana haki kwa pande zote ila cha msingi ni kama alivyosema da geah huyo mwanaume ni bora angekataa kama hakuweza kuwalea watoto kuliko kuwapiga hivyo watoto

  • @HamisiForogo
    @HamisiForogo 9 หลายเดือนก่อน

    Kwani mama uliyezaa watoto wako kwa uchungu wanakushindaje kuwalea dah

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA 10 หลายเดือนก่อน

    Jeshi la Police lichukuwe nafasi huyo akamatwe na akae ndani asiharibu Ushahidi Atawaua huyo Hilo ni Jini hilo

  • @saumshemsanga
    @saumshemsanga 10 หลายเดือนก่อน

    Maskini😢😢

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 10 หลายเดือนก่อน

    KAE NDANI HUMO ASITOKE KWANZA.

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 10 หลายเดือนก่อน

    Dada wachukue wanao uyo baba ni katiri sana

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 10 หลายเดือนก่อน

    Na lifungwe ilo libaba 😏😏

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy 10 หลายเดือนก่อน

    Dah ndio maana Wana SEMA uchungu wa mwana aujuae mzazi na sio wazazi nitakomaa na mwanangu kokote nitakapo kuwepo baba anaweza kuzaa huko akaanzisha family yake na yako akaisahau 😢 Yani huyo baba muuaji kabisa doh

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 10 หลายเดือนก่อน

    Wa baba wasikuizi hawajiwezi kulea watoto 😢, wamama wanapitia mengi na watt. Mungu awape nguvu hawa watoto

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 10 หลายเดือนก่อน +1

      Siyo kwamba hawawezi bali ni wavivu sana na roho ya kishamba sana

  • @mankakimaro2570
    @mankakimaro2570 10 หลายเดือนก่อน

    Ntakufa na pochi yangu

  • @ZahratAhmad-o1v
    @ZahratAhmad-o1v 10 หลายเดือนก่อน

    Wapojamani waume wahivyo kunammoja nimezaa nae mie yukombezi Inn huko mndendeule mmoja anaitwa juma

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 9 หลายเดือนก่อน

    Mama ndio mlezi sahihi nasio baba nitakufa nawanangu siwez kumkabizi baba yao

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 10 หลายเดือนก่อน

    MIMI NAONA NI SHIDA TUU .

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 10 หลายเดือนก่อน +2

    Aisee story imenikuna hii hatar. Mwanangu yanamkuta haya na mama wakambo kila leo mchawi ww anaenda kwa Mwamposa anabeba maji anampa mwanangu akanyage Astaghafilullah mm ni muislam hayo maji kwangu hayafai hata kidogo aisee sipo Tz kungechimbika bila jembe km uchawi ni yy ndy anao aliyekuja kuitawanya familia mpuuzi yule ananijua vizuri sana

  • @kigahekigahe3872
    @kigahekigahe3872 10 หลายเดือนก่อน

    Hajamlawit??

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 9 หลายเดือนก่อน

    Na nyie ndugu mnawaachia watoto kwenye ukatili kama huu kweli kisa mama anaenda kutafuta hela

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp 10 หลายเดือนก่อน +5

    Ww dada kweli ulee wanao mpaka apo uwaache waende kwa mwanaume ambae muliachana kweli ulishindwa nn kuwaachia mamako mpuuzi ww umeenda South kufata nn haswa cha maana

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 10 หลายเดือนก่อน +2

      We nawe acha mihemko ya kipumbavu. Sasa una faida gani kuzalisha bila kulea. Wanaume mnapenda sana mserereko hamtaki kulea mbegu zenu wakati mko hai

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 10 หลายเดือนก่อน

      We nawe Matako tu kama watu wengine kafwata nini hyo vipi kwani aliwaacha njiani sini kwa baba yao wewe unajuwa kaangaika nao vipi hadii wamefikya hapo Mbona asimkabidhi tangu wakiwa wa dogo kawalea kaona Maisha yamemuelemea na watoto wanazidi kukuwa wanahitaji kusoma kazi anaiyo ifanya Bongo haitakidhi kaamuwa kwenda mbele ilimradi tu wanae wasome na wapate maisha yanayo sitahili my dear kama hujapitya changamoto za kulea watoto wewe mwenyewe mshukuru Mungu Mimi hyo dda popote alipo siwezi kumlaumu kwa lolote Coz najuwa huko aliko yupo kwaajili ya Kutengeneza maisha ya wanae sizani kama Maisha ya pekeake ya ngemshinda hapa Dar kikubwa tu hyo baba yashughulikiwe na watoto wabaki sehemu usalama 😢 sngole Martha Tunapitya Mambo mengi sana nyau wa blue wewe unaropokwa tu 👌 ovyo

    • @mamaaisha6069
      @mamaaisha6069 10 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli angewaweka Kwa mamayake akipata anamtumia mamayake

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 10 หลายเดือนก่อน

      Hkik a dunia Ina viumbe vinaumiza sana Sasa watoto wanashida gani.mpqkq.uwqumize? Chuki kwa wtoto kwa ajili ya kumkomoq mzaz.mwenzio hasira unamalizia kwa.mtt😢

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watoto,watabadilishwa dini,rudisheni watoto,wa islaam mungu awaangamize,ikiwa hamtorudisha,, Allah alinde,hao watoto,

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 7 หลายเดือนก่อน

      Huna hoja ya msingi hapo hoja ya msingi ni malezi ya watoto wenu acheni ukatili wa kutesa watoto hiyo ndo hoja

  • @vincentjameskinogo3405
    @vincentjameskinogo3405 10 หลายเดือนก่อน

    Duuu mwanaume unakuwa katili kissing hicho??????

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 10 หลายเดือนก่อน

    Wanawake maamuzi yaliyokosa busara kamati hayo muyawache. Unapofanya maamuzi ya mihemko matokeo yake umeyaona ?

  • @devotalaiton5888
    @devotalaiton5888 10 หลายเดือนก่อน

    Siji kumpa mtu MWANANGU jmn

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mama wa hao watt ana kiranga tuu umuhimu wa baba kuwalea anauna sasa? Si mwehu huyo

  • @PriscarMwakarindile
    @PriscarMwakarindile 10 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 10 หลายเดือนก่อน

    Wanawake sometimes tujitafakari maamuzi yetu,inaonekana huyu mwanaume ni mshenzi tangu yuko nae,unawezaje kumpelekea watoto. Hii ni aina ya mijanaume ambayo linataka likunyanyase na ukiamua kuachana nalo linahamishia chuki kwa watoto,sasa unaanzaje kuliachia watoto bwana? We dada umenikera mfyuuu............ Haya ni majanaume yenye low self-esteem haliamini hata watoto kuhusiana na upande wa mama,Stupid cattle kabisa!

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp 10 หลายเดือนก่อน +5

    Waangalie kama hawajawaingililia tu

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 10 หลายเดือนก่อน

      Kabisa inatia mashaka.

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 10 หลายเดือนก่อน +2

    Watawaingilia hao wachukueni