Yani najikuta narudia rudia hii simulizi..mama ni kiungo muhimu katika maisha na maneno ya mama niyaumuhimu sana tusiyapuuze ..wale wenzangu na mm ambao mamazetu walishatangulia mbele za mungu tusikate tamaa kwani mama za waume zetu ndio mamazetu tuwapendeni kwa moyo mmoja..Ahsante simulizi mix kwa mafunzo 👌👌
Like 20 👍 kwa mom 💓👩❤️👩
Aisey hii simliz inaniumiza mm duu
Nimeipenda sana hii asante anko j
M jamani mnalala humu asate sana simlizi fupi by ako j
Wapi sisi wakupitia comments be4 tuanze kuskiliza
Gonga like tukisonga
Wow ni simulizi nzuri na ya kuelemesha
Asante anko jey kwa simulizi muzuri naisikiliza nikiwa Kenya 🇰🇪 nimejifunza kitu, napenda simulizi zako zinakua na mafunzo mungu akulinde
Shukurani kwa simulizi nzuri
Hakuna kama mama nakupenda sana mama angu Mungu akupe maisha marefu i miss you
🥰🥰waoo ank j wangu akiii
asante sana anko jay kwa simulizi nzuri sana. hongera
Hiii story tam balaaa anko jay
Aunco j wachutekesha wallah .chapati bajia
Kweli damu ni nzito kuliko maji shukrani Anko j Kwa kazi nzuri na inayo tupa Raha pia mtunzi na team nzima ya simulizi mix hongereni
Hakuna kama Mama nakupenda sana mamangu
Mrongo siyo mama wote sawa.Mama yangu alikua sambuli ngine kabisa mungu amrehehemu.
Hakuna kama mama kwelii simulizi tamu 😋. thanks msimuliaji
Tulikumiss uncle Jay
Hakuna zaid ya mama ila ngoja kwanza nisikilize kilichomo ndan ili nijuwe vizur vya kusema nisije nikakurupuka tu au vp ANKO JAY
Hakuna kama mama nasikiliza halafu nitakoment tena anko jay mwenyewe shukraan kwa simulizi like zenu🥰🥰🥰🥰🥰
Ngoja nisikilize kwanza
Wacha nisikilize kwanza nitarudi tena kucomment nikimaliza simulizi
Yani hii sauti nikiskiliza tu nalala Yani huu ugonjwa wa hizi sauti sjui utaisha lini
Yaani wewe anko wewe acha to
Anko J Felix Mwenda amekwenda wapi bila kutuaga jamani😭😭
Nakukubali na simuliz zako anko jay na najifunz ving
@Anko Jay puurr ndio nini sasa 🤣🤣🤣anyway may God bless all mothers in the world
Jamani Anko Jay, hata chapati,maandizi kwa vituko hee...
Love u anko j wangu
Felix mwenda kwani yuko wapi jamani😏😏😏😏
😂😂😂 anko j unafurahisha kweli nipenda hapo ulipo sema ukimuona huyo shunga mamy nimecheka sana mimi
Ahahaaa anko j mbona andaz😂😂😂😂😂
Asante anko Jay
Mama ni mama 😍 💓 💖 💕 ❤ 💗
Anko Umeoa kwan😅
Karibu sheria wa 4
Wawo.simulizitamu ankojey
Anko J usifananishe sauti Yako na vitu vya ajabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
My favorite 🥳🥳
🙏🙏🙏👌🇰🇪
Hahaha anko jay mwenzio yuwadeka na sautu lake chura
Yani najikuta narudia rudia hii simulizi..mama ni kiungo muhimu katika maisha na maneno ya mama niyaumuhimu sana tusiyapuuze ..wale wenzangu na mm ambao mamazetu walishatangulia mbele za mungu tusikate tamaa kwani mama za waume zetu ndio mamazetu tuwapendeni kwa moyo mmoja..Ahsante simulizi mix kwa mafunzo 👌👌
Waooo kwelikabisa Hakuna kama mama
Ahsante ❤❤❤
Kumbe kushkana na jimama kunafainda mbelen coz kijanaa alitembea najimama na mwisho akapata baba yake naalikua hamujui so alimujua kupitia kwa jimama
Ahsante anko jay
🥰🥰🥰🥰🥰👌👌🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Pole pole ndio uweze kumnasa uyo mhusika ,maana pia SoFi alikuwa ni mwenye wivu na roho mbaya sana
Ankojey uko sauti nzuri hadi natamani kuja Tanzania nikuone nakuzikiza kutoka Kenya 🇰🇪 we love you
😍😍😍🥰to u mom
Ankounanishtua na hyo pruuuuuu🤣🤣🤣🤣
Anko jay wewe!
❤️❤️❤️❤️🥰
Plruuu manaake nni bloo😂😂😂
Hakuna kama mama yaani😭🤲
Kwani utumi ni mina namba 6 na ndawo yangu namba tano
Mama no mamatu❤🎉
%
😍😍😍😍