Hawa wafanyakazi wa ndani ni wa kuwaangalia sana ilimtokea jirani yangu tuklikuta Mtoto kanyolewa nywele pembeni ya sikio tulipofuatilia tulikuta na mambo ya ajabu ndugu zangu na alifanya kazi hapo miaka. Ni watu hatari mno wamama zingatieni hii simulizi.
Stori nzuri sana aiseeee nimeipenda
Asante anco jey stori nzuri
Asante kwa simulizi nzuri ira punguza marungu na vitumbua iwe kongi zaidi
Stori nzuri🤗
Simulizi nzuriii sana Asanteni Sana anko Jay mungu amuongoze arisi ktk ndoa yake
🥰🥰🥰😘😘😘😘😘ahsante anko j 💜💜💜
Haleluyaa Mungu nimwema kila nimwema Alice amerudi mpyaa
Daa aucle jay umetisha xn
😭🙆♀️🙆♀️🙆♀️mbona watu hupenda kujichaganya lakini.asante kwa funzo Mjomba
Nimejisikia kulia😭😭 hakika MUNGU wetu niwa kuogofya mnoo🙏
Mungu atuepushe n mabay jmn Asante San anko j
Waaah tuombe sana dungu zangu nimejifuza kusamee🙏
Simulizi nzuri
Asante mmmmh inaogopesha
Story nzur ila mambo ya ngono punguzeni kwenye simulizi zenu
Wacha Mungu aitwe Mungu na kila la heri katika maisha ya Alice kwa kuanza kumtumikia Mungu
Nc
Kweli mungu ni mkubwa
Hawa wafanyakazi wa ndani ni wa kuwaangalia sana ilimtokea jirani yangu tuklikuta Mtoto kanyolewa nywele pembeni ya sikio tulipofuatilia tulikuta na mambo ya ajabu ndugu zangu na alifanya kazi hapo miaka. Ni watu hatari mno wamama zingatieni hii simulizi.
Shukrani
Nzur sana
Mungu hamuachi mjawake nanguvu zagiza hazina nafasi
Mtihani sana
Mnyambo mgongo itwe omka titujira balogo bojo
Daaaah inaumaa kwa kweli 😭😭😭
Kweli nimejifunza mengiii
Pamoja kaka
😍😍😍
Tupo pamoja ✌️
Asante Anko na bikora
Asante kaka
Naomba kuuliza Simulizi Mix kwanini simulizi ya Kisasi cha Maiti mmezima sehemu ya Comments. Is weird ni Simulizi tu km Zingine au?
ANOTHER ONE
Daa
Brother vp
H je
Ank j p1 san