SIMULIZI FUPI: BINTI CAY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 มิ.ย. 2023
- BINTI CAY binti anaeishi kwa mama mdogo wake ambapo hapo anaishi na mtoto wa mama mdogo wake ambae ni wa lika la Cay na wanasoma darasa moja... mama huyo anamfanya CAY kama kijakazi wa hapo nyumbani ila mwanae anakua kama malkia..malezi hayo yanampelekea mwanae kua na tabia mbovu sana.. picha linaanza mtoto wa mama mdogo ananasa mimba akiwa bado mwanafunzi.. Lawama zinaenda tena kwa CAY kwamba kamfundisha mwanae umalaya.... Loh.. basi varangati la kisa hiki linaanzia hapo.. nini mwisho wa maisha ya binti CAY? Sikiliza mkasa huu wa kusisimua...
Na wasichana asilimia 98 niliosikia simuliz zako ni bikira isipokuwa yule wa mtoto wa mchumba wangu tu
😢😢 CAY nampenda Dan lkn sasa hawezi mrudia huyu alomuoa amekubali maana alimsaidia miasha yake lkn hana hisia nae alimsamehe Dan wapenzi ila wangeendelea na mlumbano na T
Mm nimempenda huyu dadacay hakuwa mwepesi wa kuvua chupi ndio maana alijijengeanheshima Yake ya kipekee
Dah simulizi nzuri sana jamaniii ❤❤❤
Haki usimwamini mtu hata siku moja maana dunia yaleo haina wema ila imejaa shari
Sumulizi nzuri msimuliaji anajua kuchekesha
Hongera Dogo Mungu azidi kukupigania. Ujasiri wako na Imani kwa Mungu ni funzo kwetu
Walah nmeipenda hii simulizi sana thanks❤❤❤
Ila wanawake walio bakia wenye misimamo kama cay bado wanaishi kwa wingi kweli maana mimi naamini wapo wakuigwa na kupigiwa mifano
Danieli anatia huruma jaman alipaswa kusamehewa Cay hujamtendea haki Danieli sijapenda😢
Dah hii simulizi imekuwa nzuri kweli ikiwa na uchungu na maumivu pole asante
❤❤❤hongera
Asante Anko jay kwa simulizi nzuri
Nmependa msimamo wake. Cay hongera yko🎉
Cay wewe ni mschana wa kuigwa Big up
Simuulizi nzuri sana ina mafunzo kama yote,Ila,Dany ana mazaifu yake,ila Ni mtu nzuri anasitari kusamehewa labda huyo j ndo mpumbavu Sana, Asante mtunzi.
Kazi nzuri❤❤
Mh cay nimempenda kwani alijitambua Sana Toka anasoma,ahsante kwako msimuliaji
Unawezea sana simuliz za mahaba,unajua kuutawala uwanja ipasavyo,sauti zote unazimudu,saiti ya binti,mama,baba kijana
Daaaaaah nimejifunza mengi kutokaa kwa cay keep it up jaman👍👍👍👍