Enyewe kaka LUMBASI aiheshimu kazi yako zaidi nikimpongeza ndugu jogoo pori nina imani siku moja ambayo haina jina wala haijulikani tutaonana tuu kwani nyie ni marafiki pia mashemeji na zaidi jirani zangu TZ ingawa mie nimzaliwa wa TZ japo wazee walifanya tuu kutafuta maishana kisha kurudi kwao kenya so TZ ni home big up boys.
Kwa hii simulizi nimejifunza kua... Ukishauri mtu vibaya Yani itakurudia wew mwenywe, marafiki Wa mama Latifa walijiebusha mno Na mwisho we walipata UKIMWI
Jmn kweli wanawake wengine wanapata nguvu wp ya kuacha wtt wao haswa wa kike??kweli wanawake tuweni na moyo wa huruma maana kama mungu bd amekupa pumzi bora kulinda viumbe vyake visivyo kuwa na hatia
Eeh na huo ndo ukweli halisia binadamu asilimia kubwa tunayo hiyo tabia ya kuchunguza maisha ya wenzio na huku hujui mwenzio anapitia changamoto ipi ktk maisha
Enyewe kaka LUMBASI aiheshimu kazi yako zaidi nikimpongeza ndugu jogoo pori nina imani siku moja ambayo haina jina wala haijulikani tutaonana tuu kwani nyie ni marafiki pia mashemeji na zaidi jirani zangu TZ ingawa mie nimzaliwa wa TZ japo wazee walifanya tuu kutafuta maishana kisha kurudi kwao kenya so TZ ni home big up boys.
Kwa hii simulizi nimejifunza kua... Ukishauri mtu vibaya Yani itakurudia wew mwenywe, marafiki Wa mama Latifa walijiebusha mno Na mwisho we walipata UKIMWI
Pole Latifa kwa yote uliyopitia, lakini saihvi umekua msomi wamsaidia mama yako aliekukata.Tujifunze kusamehea,maana bila msamaha hakuna maisha.
Leo nimekuwa wapili like
Pole Latifa kwa yote uliyopitia, lakini saihvi umekua msomi wamsaidia mama yako aliekukata.Tujifunze kusamehea,maana bila msamaha hakuna maisha.
Jmn kweli wanawake wengine wanapata nguvu wp ya kuacha wtt wao haswa wa kike??kweli wanawake tuweni na moyo wa huruma maana kama mungu bd amekupa pumzi bora kulinda viumbe vyake visivyo kuwa na hatia
Woyee, sio vizuri kabisa mama kufanya hivi ilhali ndiye anafaa kulinda mwanaye zaidi
Leo nimewahii
Pole Latifa kwa yote uliyopitia, lakini saihvi umekua msomi wamsaidia mama yako aliekukata.Tujifunze kusamehea,maana bila msamaha hakuna maisha.
Wahuni wengi ni kina saidi
Saaaafi
❤❤❤❤lucas mze wa kubembeleza nice 👌 voice 😊😊
Very stor ❤
Ilawa mama wakambo nawo daaa 😢😢😢
❤
Burudani swafi kbs ,🥰🥰🥰
😩😩 napenda hadithi zako sanaa 👊👊 very nice
❤❤❤❤😂😂
Eeh na huo ndo ukweli halisia binadamu asilimia kubwa tunayo hiyo tabia ya kuchunguza maisha ya wenzio na huku hujui mwenzio anapitia changamoto ipi ktk maisha
❤❤❤