Leo tuna ktu cha safar yang haya ngoja nisikilize kilochomo ndan kwanza ya simulizi hiii ila ANKO JAY Tnakujuwa ww huna mbaya ndy maana tunakupendaa sanaaaa ANKO weee 💓💓💓💓iiiii
Neno NINGE' latambulika maana baada ya mabaya, Ulichoona jana hakina namaana, Utaona muhimu wake Leo na kesho ukipungukiwa nacho... Maisha ni: kitu au vitu vimoja kufa ili wewe uweze kuishi. Huwezi ishi bira kura , na ili uweze kura papaswa kuwa Kiricho kufa wewe uwe kura na kuishi...! Huze kuwa Binadamu bira kuzariwa ! Na ila uwe mkweri wapaswa kupitia machungu ,na matatizoni ya vikwazo mno ,uweze kuwa mkweri mbere ya walio kuzunguka !
Wapi sisi wakupitia comments be4 tuanze kuskiliza simulizi
Gonga likes tukisonga
Waooooo tujuane wapenda hadithi na msimuliaji wetu mahili anko jay much respect anko jay and love youuuuuuuuu
Timu anko j naombeni like namimi leo jaman😂
Tafakuri hii inatafakarisha sana
Nimejikuta napata tumaini dumishi moyoni mwangu hakika nimeipenda 🫡🫡🫡🫡
Anko jay mwenyewe tunasikiliza halafu nitakoment tena like zenu kwa simulizi mix🥰🥰🥰🥰
Pamoja shadya mpenz
I'm no.1 thanks Smix kwa kibao chengine 👍🏻
Tulizo la wengi simulizi mix ❤🙏🥰
Nakupenda mno Jay kwa simliz zako
Haki simulizi hii na imani ni kali san
Anko jay mwenyewe ..ahsatum simulizi mix na msimuliaji mwenye sauti ya kukonga nyoyo za wasikilizaji👌👌
Leo tuna ktu cha safar yang haya ngoja nisikilize kilochomo ndan kwanza ya simulizi hiii ila ANKO JAY Tnakujuwa ww huna mbaya ndy maana tunakupendaa sanaaaa ANKO weee 💓💓💓💓iiiii
Be blessed AMEN ..ucsahau kunitumia ingine 💖❤💖❤ tamu
Anko j mwenyewe napenda Sana simulizi zako 😍😍
WHAT INTHE WORLD ARE YOU SINGING ANKO JAY 😂😂😂. VERY EDUCATIVE. 🔥🔥🔥
Jay nikisia vile unabadilisa sauti najipata nacheka sanaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Iko poa sana 😍😍
Asante studio
Mashallah jamani tunajifunza sana
Ni tamuuu sana💖
Kwani yaendelya ama imeisha hapo na utamu wake anko Jay jamni
Shuklan sana Anko J 🙏
Anko J mwenyewe acha niskilize hii story ya maisha yangu kama naweza kupata kitu cha kujifunza
Asante simulizi mix 👏
Anko jay umefany nitak kukimbia Kwa uimbaj wako😂😂🏃🏃🏃🏃
Pamoja san bro
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Neno NINGE' latambulika maana baada ya mabaya,
Ulichoona jana hakina namaana,
Utaona muhimu wake Leo na kesho ukipungukiwa nacho...
Maisha ni: kitu au vitu vimoja kufa ili wewe uweze kuishi.
Huwezi ishi bira kura , na ili uweze kura papaswa kuwa Kiricho kufa wewe uwe kura na kuishi...!
Huze kuwa Binadamu bira kuzariwa !
Na ila uwe mkweri wapaswa kupitia machungu ,na matatizoni ya vikwazo mno ,uweze kuwa mkweri mbere ya walio kuzunguka !
Hatar sanaaa anko j
Anko j simliz zako 🔥🔥🔥🙏🙏
Mbavu zangu😂😂😂😂jay wewe na kubadilsa sauti yako 😂😂
Asate sana simlizi mix ako j
Amakweli simuliz hii ina maana saana kama umejaliwa kuielewa kila siku huwa naisikia. Kwani nimeamuaga ku Download. Maisha marefu kaka J
Shukrani sana kaka Jay but to my side nimebakia njia,kwa maoni yangu ningependelea hii hadithi n km bado ndio tunaanza,sasa niko in suspence
❤❤❤❤
Thanks 🔥 😊
Niceee
Bonge la simuliz kam kawaida anko jay
To be continued
Complicated 🤔🤔🤔
Napenda sautiyako anko ubarikiae
Mashallah jamani tunajifunza sana
To be continued