MBOWE ATIKISA MOSHONO ARUSHA, AIVAA SERIKALI YA CCM | TANZANITE YAZUA BALAA |AZUNGUMZIA UKUTA WA JPM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 29

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s หลายเดือนก่อน +9

    Hongera sana kamanada wamewakaangia watoto wetu sumu ya elimu miaka msingi watoto wao wakalisha keki ya elimu nje na ndani ya nchi

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 หลายเดือนก่อน +4

    Tunakuelewa sanaaa baba"tumechoka na hyaa mambwa ya ccm

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 หลายเดือนก่อน

      Mtachoka sana wapendwa!😂😂😂

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 หลายเดือนก่อน +6

    Arusha wamenifurahisha

  • @wemakingdaily1462
    @wemakingdaily1462 หลายเดือนก่อน +4

    MUNGU IBARIKI TANGANYIKA

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 หลายเดือนก่อน

    Shikilieni Hayo Mnayoyasema.Iko Siku Nchi Punde Itakua Chini Yenu.Tumuombe Mungu Hili Litokee.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 หลายเดือนก่อน +5

    Iko hivi watoto wa kasimu majaliwa viongozi wote.wa serekali wao wanasoma elimu mnchanyiko wa kingereza ya juu ila kwetu walikuwa elimu ili watoto wao watutawale kisultanj baba raisi mtoto raisi uongozi kifamilia ktk nchi yetu

  • @shillabajumuzi
    @shillabajumuzi หลายเดือนก่อน +3

    Ongera kamanda endelea kugusa elimu ilani iwe elimu elimu tupate somo la elimu

  • @VenassJoseph
    @VenassJoseph หลายเดือนก่อน

    Sema mheshimiwa

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso หลายเดือนก่อน +2

    Arusha ni wanamabadiliko wa kweli

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kbx, ukienda mashulen ya private walimu ni wakenya. Pia tusome kiswahili hadi 4m4 wakati hukumu mahakaman hutolewa kwa kingereza, na miswaada bungeni hupitishwa kwa kingereza. Upuz kweli kupeleka mbunge wa lasaba bungeni

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 หลายเดือนก่อน

    Nwenyekii wa kudum

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r หลายเดือนก่อน

    Yani nikiliona jitu linasema Mimi ni ccm namwona tahira sana

  • @HumphreyNyiti
    @HumphreyNyiti หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba sna akili sana

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc หลายเดือนก่อน

    YAANI WEWE MBOWE UNANIFURAHISHA SANA NA HOTUBA ZAKO, WAPE VIDONGE VYAO MACCM

  • @evaemil856
    @evaemil856 หลายเดือนก่อน

    Du watu wanapiga miayo kuonyesha njaa, na wengi wamekunja nyuso kuonyesha maumivu ya maisha na hasira ya hali ngumu ya maisha na tax juu. Mali Ya serikali msichome, ni kuitoa CCM na Chama tawala kitakachokuja kitamiliki magari hayo na hizo nyumba. Magari mengi yatauzwa kwa wananchi kwa pesa halali kulingana na thamani ya gari.

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 หลายเดือนก่อน

    Mwamba Kazini

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s หลายเดือนก่อน

    Mifumo ya elimu yetu umetisoofisha halafu viongozi hawataki kufanya mabadiliko ila wanapeleka watoto wao kusoma shule za kiingreza mungu anawaona. Ukitaka kuwa taifa wanyime elimu bora

  • @user-pp1cq9op5y
    @user-pp1cq9op5y หลายเดือนก่อน

    Eti makonda atalipia maholi ya harusi wanatuona hatuna akili angesema atatupuguzia ugumu wa maisha tungemuelewa

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushi หลายเดือนก่อน +1

    Unaelimisha vizuri wajinga wengi hawaelewi Ni mbumbu.

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 หลายเดือนก่อน

    CHAMA DUME CHAMA IMARA KABISA WANANCHI TUBADIRIKE TUSIWE MISYUKA

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 หลายเดือนก่อน +3

    Arusha mmeletewa makonda awapumbaze.
    Nyie watu muwe na akili.tuliwaamini sana watu wa Arusha kwa mabadiliko msituangushe.
    2025 hakikisheni mnaisafisha arusha

  • @jacksonmwakosha3655
    @jacksonmwakosha3655 หลายเดือนก่อน

    Wambie mweshimiwa mbowe make tuliopitia tunajuta sana lkn watanzania tunalingia kiswahili wakati tunaabika sana

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 หลายเดือนก่อน

    Du watu wanatamani kulia.

  • @saidmwakasekela4589
    @saidmwakasekela4589 หลายเดือนก่อน

    Cff

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 หลายเดือนก่อน

    Kamati ya ukombozi au kusakaka majambazi wa Taifa?