Mtambue kama mwalimu wako, lkn sahau kupewa nchi CHAGADEMA. Mbowe makengeza hana jipya yeye ni mfalme wa miaka 34 ndani ya Chagadema akiwa m/kiti halafu umpe nchi? Huo wazimu watz hawana
Kura zihesabiwe kwenye vituo tu. Msikubali masanduku yahamishwe. Kila chama kitapata majibu yake hapo kituoni..Baada ya hapo makaratasi yote zichomwe moto.
God bless the people of Moshi.Excellent initiative.
Hongera Mh.Lema kwa Nasaha nzuri kwa Bawacha.
Hii initiative na formula hii ni nzuri na iwe nchi nzima upinzani utashida kwa kishido ila kulinda wizi wa kura
Safi sana ❤🎉
Mimi na Chadema daima daima!!!! Mbowe mwalimu wangu wa siayasa....
Mtambue kama mwalimu wako, lkn sahau kupewa nchi CHAGADEMA.
Mbowe makengeza hana jipya yeye ni mfalme wa miaka 34 ndani ya Chagadema akiwa m/kiti halafu umpe nchi? Huo wazimu watz hawana
Hongera sana kujipa moyo.Komesha kwanza tofauti zilizopo Chadema.Maneno yako ni mazuri,ila migogoro na migongano ni adui wa maendeleo.
Mzee mtu safi pale katika viunga vya Moshi mjini kati ..
Mwalimu wa aina hii hakuna kufeli somo lake.
SAFI SANA sana
Hongereni Mungu aisikie maombi yetu na isimwagike damu yeyote e mungu tutete
Kura zihesabiwe kwenye vituo tu. Msikubali masanduku yahamishwe. Kila chama kitapata majibu yake hapo kituoni..Baada ya hapo makaratasi yote zichomwe moto.
Nimekuelewa baraaabara teacher
Jamani nawapenda
Bawacha Moshi (Tz) oyeeeeeeee
CHADEMA MKOMBOZI WA WATANZANIA KUTOKA MAKUCHA YA CCM(WAKOLONI WEUSI). MUHIMU KWETU NI UMOJA WETU NCHI NZIMA!
Chagadema hakiwezi kuikomboa nchi hii hata iweje.
Yaani tukaribishe wezi ina maana watz wamekuwa mazoba wa kiasi gani.
Karibu manyara baba
Chukua maua yako kamanda wetu Ngorongoro...wewe sio mzee wa rojorojo,na hawa walaji maccm safari hii watatafuna magodoro yao
Chandema mungu amewaona mchezo unaonekana tukaze buti kumuomba mungu awapige upofu wasiibe kula pa
Ni kweli ccm wenye hofu na Mungu wanataka chadema ishinde
Namfahamu sana huyu
Vitendo viwe mbele kuliko maneno
Magogoni kuna nini siku hizi?
Wanapora sana
Mbona mbulula hao ccma
CCM bye bye,,huyo rais wao wakatiba anategemea polisi
Hamna kitu hapo
Ukombonzi hamuwezi kuletwa Kwa vidole
Hata musipo pita??ila inatakiwa huyu mama akae pembeni hilo ndio ombi kwa inchi
Siyo rahisi hiyo ni Siasa tu maana Siasa mchezo mchafu
Kelele za mpangaji. Jipeni moyo, ubaya ubwege
Wewe ndiyo bwege utajua hujui
Walisha sema wao hawajawashinda kwa kura za kwenye box bali Goli la mkono
😢😢😢
watakupoteza,watu wasiojulikana unawajua?kama mtu kachoma picha aloichora yeye na kapotezwa,iweje wewe?
Hata hivi ikulu ni yenu fimbo yadhalimu liondolewe
Mnajaza hew tu