RAIS MWINYI KAMUINGIZA PETER KWENYE HOTELI CHINI YA BAHARI ILIYOPO ZANZIBAR | TANZANIA ROYAL TOUR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2022
- RAIS MWINYI KAMUINGIZA PETER KWENYE HOTELI CHINI YA BAHARI ILIYOPO ZANZIBAR | TANZANIA ROYAL TOUR
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #RaisMwini #TanzaniaRoyalTour - บันเทิง
Ukwei Ni kwamba..huyu Peter..alifaidi kutalii nchi yetu kuliko watalii wengine wote waliowahi na watakao kuja...
Inatafakurisha.....hivi inamwaminije mzungu ki rahisi rahisi tu...katumwa huyo.....
Peter, Peter, Peter.. Who's is this Guy? Mbona anatawala hivi? U Director tu wa hiyo movie.. No way
Nzuri ila sijazipenda izo ngazi za kushuka wima wima sio poa, kuna watu wengine ni wanene sana na wengine ni walemavu, kwaiyo kwa ilo lingefanyiwa mabadiriko
Km hauko fiti kuingia uko unataka kwenda kufanya nn sio kila sehem inapokea watu wote
Huko ni kwa wapiga madili uende ww kajamba Nani ukafanye nn!
@@ambrosehenryk5497 hahahahahaaa haweshi sababu binaadam pengine ndio kwanza anapaona analeta hoja dah
@@maryamnassor9482 wanaweza kukosa adi pepo hawa🤣🤣
Wanene tunawarusha kama mpira 😂😂😂😂 IVYO Hall PUNGUZA kula ovyo ili upite vizuri
Amazing
Masha Allah!!
Mashaallah ❤
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH
Its a very nice hotel. Hongera Tanzania
Peter, mmhhhh ,who is this guy ,tuwe makini watanzania kuna jambo linaendelea
Navojua ni mwandish wa habar nguli huko Texas ila kuwa makin tuwe tu🤣
Tanzania nii buree kwanini hata Kamala Harrison au snoozy Joe Biden hawajakuja. Peter kuja inamanisha hakuna serekali baada yaa ku uwa JPM. Suluhu hapa kazi ya kuzunguka tu
@@halimos295 Akili za Kisukuma hizi. Mijitu mna akili za kisenge sana. Hata Kagame aliandaa Rwanda Royal Tour na huyu huyu Peter wala hakujaibuka maneno ya kipumbavu kama haya ya kwenu. Mapumbavu makubwa njie mkafie mbeli na usenge wenu.
Wow😍😍😍😍
Nice one 👍
PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI*#
ttps://m.th-cam.com/video/wrdjNRzYUxg/w-d-xo.html
The Manta resort PEMBA Island ZANZIBAR 🏝
👏👏
Kumbe ni Rais Mwinyi uyo, mimi nilijua yule msanii Mtanga
safi sana,, watanzania tujifunze sana kuwashangilia viongozi wetu wanapofanya makubwa, na kufunga vinywa pale tusipo elewa hatua wanazozichukua na kumsii sana Mungu aliye hai juu ya afya zao, akili zao na wawe na nia njema juu ya taifa letu hili... Pengine hatupo katika nafasi za kulijenga taifa letu moja kwa moja lakini kwa kuwaombea viongozi wetu tuna kua tunafanya kazi kubwa sana katika kulijenga taifa hili, kwasababu nchi yetu sio ya serikali ya ccm na mama samia lakini ni yetu na vizazi vyetu.
Hivo vizaz vinakuw vya ssm au
@@darkplatnum9006 sina maana hiyo, nacho maanisha ni kwamba taifa hili ni letu na vizazi vyetu, sisi pia tuna wajibu wa kulijenga hili taifa si tu kazi ya viongoozi... sijui kama nimejibu swali lako?
Kwa kipi kwa mfano
@@hamisiliton5893 mh! sijalielewa swali lako.
Ningekutukana sema mchungaji amesema tuctukane watu tusiowajua
NDUGU ZANGU NAWAOMBA MNISAIDIE KUANGALIA NYIMBO YANGU MPYA ILI KUWAFKIA WENGI ZAIDI🥺🥺👇👇👇👇
th-cam.com/video/gnIe4ZeeTDY/w-d-xo.html
Wewe bure sana nchii ina uzwa na wewe una ongea kuhusu nyimbo mwanagu amuka umee lala
@@halimos295 Sawa nitaamuka😂😂
Namkubali sana hii royal tour .. haihitaji nguvu nyingi ya wasanii kuielezea hata mtoto mdogo Kwa kuangalia tu anafurahi
Home island
Uyo peter mpelekeni vijijini akatalii nyumba za matope na nyasi atafulahi na sio kwenye nyumba za vioo hao kwao ndo vinatoka ivyo vitu
Nchi zinaendelea kwa viwanda, siijui nchi iliyondelea kwa movie.
Peter yuko na shem lake
Pumbavu kabisa wewe 😂😂
Dah wana enjoy tu
#peter
Kwani uyo Peter ninan mbon anapenya penya ktk tz yetuu
Kwa filamu hii, umasikini kwaheli Tanzania
Tuna njaa mtaani..maisha magumu..vitanda vina kunguni tusaidieni kwa hili
We acha tu ndg yng
Sasa vitanda vina kunguni si ufue mashuka na uanike juani jamni 😂😂😂😂 kwani ni kazi ya Serikali
Acheni uchafu
Mkombozi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, usitegemee kuna siku kiongozi atakuletea pesa mkononi..!
@@ip_header huna akili ww
kwan huyu Peter ni nani?
Mm huyu peter mbona kama simuelewi huyu jmn
JPM hapa kazi tuu. Suluhu hapa kazi kuzunguka tuu
Acha chuki ndugu
Mimi binafsi cjaelewa huyu peter ni nani ,ni msanii, mwanasiasi au ni bilionea wa huko ulaya anayejua aniambie
Hii ni Baraka sana 🎶🎶🎶😊😊😊😊🔥🔥🔥🔥🔥👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼
th-cam.com/video/CTKEv7VUpRc/w-d-xo.html
Huyo mzungu mbona habadrishi nguo
Ngoja aje shark hapo, mbona hapatatosha. Piga pua moja anapasua hiyo kioo. Kuna haja ya wavu wa chuma.
huyu Peter ye kachangia bei gani du Kaivuruga nchi kila kona tena akiwa na ulinzi mkali kila kona...ni kama kaonja urais kwa mda
Huyu peter huyu mmmmhhhh
😂😂😂
Kila mahali yupo🤔
Utafkri yeye mwenye move
@@consojacob8636 huyo ndo kila kitu kwenye movie ndo kiongozi wa iyo movie ameshawaongoza wakongwe wengi kwenye movie nchini Marekani director mkongwe sana mtafute utampata tu
@@kennyrogers4734
Kenny Rogers unajua Kiswahili au unatumia Google Translater?
By the way, welcome to TZ.
@@unclepwechnov1381😂😂 Google
Peter ameupiga mwingi
Pemba hiyooo
.
Yuko ma shemej ake 😂
Wazungu wanawaangalia mabongolala wanacheeeeekaa Mana Ni aibu hii
Em tulia
@@nordenconrad14yearsago45 tulia ww mm stuoui
Iv uyu peter ninani? Kila sehemu peter peter aise ,apana anaupiga mwingi kwakweli
Inchi inahendeshwa kizanzibar😁😁😁😁 kishamba
Ilikuwa apelekwe mbuga za wanyama
Ndiooooooo
Washambaaaa
Lakini baina ya ZANZIBAR na kule porini CHATO wapi Shambaaa?
Watu wanatoka italy , spain ,russia ,uk ,canada ,south africa,France, germany wanakuja kutalii zanzibar watu maarufu kama steven curry,thiery henry ,matarazi wote hawa ni washamba au ww ndo mshamba ushazoea mapori
Inawezekana wewe ndo mshamba ila hujajishitukia tu
@@jambo3751 kwani mimi wa chato 🤣😂😂😂 muhulize mbowe
PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI*#
ttps://m.th-cam.com/video/wrdjNRzYUxg/w-d-xo.html
Shame on you! mnafanya vitu vya ovyo hk wananchi mmewajazia mizigo ya kutosha, one day your grandchildren will pay for this, they will sufforcate for you foolish you are doing on us today! They will pay for you! Mmetuona sisi mazuzu Sana we have no eyez! Mnakula kwa urefu wa kamba mnatumia Kodi zetu kwa upuuz wenu
Are you sure?
MJINGA Wewe Utakufa Kwa ROHO MBAYA TZ inaenda Kufunguka Acha WAZUNGU Waje tupate MADOLAR MJINGA MKUBWA WEWE na KIZUNGU Chako cha UGOKO icho😜😜😜😜
@@mbishkula1875 mshenzini nn! Mnalipwa kusifia upuuzi! Njaaa zako sitateketeza wajukuu zako! Viposho unavyopewa kutetea upuuzi huk shangazi yako hko porini anaumia kwa gharama za maisha it will cost you mbwa ww
@@mozejcs9160 Acha Kua BONGO LALA MJINGA WEWE
UTALII Ni Zaidi ya UTAJIRI TZ inaongoza Kwa Vivutio Vya Utalii DUNIANI Lakini inashindwa na EGYPT isio hata na MBUGA 1
Sasa tusipo utangaza Utalii wetu leo tutautangaza lini?
Halafu Kumamako Unalalamika MAISHA MAGUMU Hujui Kama Utalii Unamgusa kila Mtu?
MBWA KOKO Wewe Acha Tanzania ifunguke Wazungu waje na MADOLAR
KAZI IENDELEE
@@mbishkula1875 ivi nyie wanawaokotawapi mje kuwatetea kwenye mitandao ya kijamiii mbona hamna hoja hadi mnatukana waliwatuma wamewapa Uhuru Hadi wakutukana! Subir utaiona nguvu ya wananchi endeleeni kumpotisha huyo mwanamke