Dakika 8 za Mbunge aliyetaka kuingia Zanzibar kutoka Tanzania bara iwe kwa pasipoti

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
    Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
    “Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
    Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
    “Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
    Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

ความคิดเห็น • 95

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 4 หลายเดือนก่อน +9

    Safi mbunge sisi Wazanzibari tunakubaliana na ww kwa asilimia 100% wacha baadhi ya Watanganyika watoke povu ila Wazanzibari tumekuelewa sana❤❤❤❤

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

      Sawaa hakuna shida jina liludi TANGANYIKA na muwe na passport yenu.msitumie hii iliokuepooo ya sasaaaa....

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

      Na nyie luja kwe2 mpka muwe na passport ya nchini kwenuuu zanzibar

    • @edwardmwambene3748
      @edwardmwambene3748 4 หลายเดือนก่อน

      Achaujinga kunamanufaagani ya uomuungano wenu kwendeni uko Yani kakisiwa Ako ndokakujigamba gamba Nako apa ilinitaifa kubwa atubabaiki napumba zenu izo

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

      @@edwardmwambene3748 uvunjik e tu Muuungano

    • @Kokhaako
      @Kokhaako 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wacha wazimu wako mnaoing'ang'ania Zanzibar ni nyinyi wa Tanganyika.
      Sisi ndio kabisa hatutaki Muungano huu kwanza sio halali.
      Huu Muungano ni batili x 1000.

  • @user-jc6dk2fe8g
    @user-jc6dk2fe8g 4 หลายเดือนก่อน +10

    Sisi Watanganyika hatuutaki huu muungano.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe mbona imekukera sanaaaa. Nikitu muhimu sana hicho. Dar es salaam iwe kuingia kwa passport na Zanzibar watafata na Immigration itatia kipato Fulani baada ya kuwa vurugu mechi.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 4 หลายเดือนก่อน

      Basi wewe uvunje Kama unayo power yako kwenye Dunia.

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 3 หลายเดือนก่อน

      Jaribu kama utaweza 😄😄😄😄👂🧠👆

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน

      Zanzibar ndio kabisaaaa. 😂😂😂😂 Weeee jaribu kuungana na jirani yako uwa mmoja utizame kama utaweza hilo vurugu mechi.

  • @Kokhaako
    @Kokhaako 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera Mhe Muh'd lssa kweli unajuwa wajibu w ulichopelekewa bungeni.
    Iteteye Zanzibar na uwateteye Wazanzibar.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hakuna Mzanzibar anayetaka Muun'gano na Wizi Watanganyika sawa,thanks

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 3 หลายเดือนก่อน

      Akili mgando😷

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mzanzibar anaetaka muungano labda chizi au mwanga au ccm​@@fatimahants1526

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 4 หลายเดือนก่อน +3

    He is right

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 3 หลายเดือนก่อน +2

    Halafu sisi Zanzibar hatuutaki muungano na hii mpaka lini Tanganyika mutatupatia uhuru wetu Zanzibar tushachoshwa na ukoloni wa mtanganyika kuitawala Zanzibar

  • @ChimamyShaa
    @ChimamyShaa 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteeeeee coz wanyamwezi wengi zenj asaiv

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 3 หลายเดือนก่อน +1

    ACt Wazalendo KAZI Kazini

  • @user-bx2wk2pk7r
    @user-bx2wk2pk7r 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jamaa akili nyingi kuliko wabunge wote haya maneno alishayaongeya mtaalamu mmoja pale bungeni

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 3 หลายเดือนก่อน +1

    hongera mh mbunge

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kabla ya MUNGANO zenji kwa PASPORT baada ya MUNGANO zenji kwa VIBOTI.

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watanganyika wanatuumiza kimaendeleo na kikazi wizara zote za muungano zipo Bara

  • @user-mg2vt9ik8b
    @user-mg2vt9ik8b 3 หลายเดือนก่อน

    I like this good boy not afraid just talk

  • @user-ug8wh1hg6r
    @user-ug8wh1hg6r 2 หลายเดือนก่อน

    Lengo lenu tanganyika linafahamika kwann kila kitu mnakataa au lengo lenu n kuitaifisha zanzibar moja kwamoja

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 3 หลายเดือนก่อน

    Tatizo sio muungano tatizo niubaguzi kama sote ni watanzania Tanganyika nilazima iwe na muhimili wake Rais wa muungano awepo na rais wa Tanganyika awepo na rais wa Zanzibar awepo kama ni viza iwe kote hata Tanganyika tunapaswa kulinda mbuga zetu bandari zetu thahabu alimasi nakila aina ya madini yetu tunufaike kama watanganyika na wao kwa sababu wana rais wao yasiyo husiana na muungano wanufaike wao KARAFU zao hapo kazi iendelee hapa kazi tu

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 3 หลายเดือนก่อน +1

    KAMA WATANGANYIKA HATUUTAKI MUUNGANO NA WAZANZIBAR HAWAUTAKI MUUNGANO VIONGOZI WANAUNGANGANIA WA NINI?????

    • @mussammsaji1110
      @mussammsaji1110 3 หลายเดือนก่อน

      Bado hamjasema

    • @Whoisthismantalking
      @Whoisthismantalking 3 หลายเดือนก่อน

      @@mussammsaji1110 acha tuwssaidie maisha, maana muungano ni wa kisenge sana wa kuwasaidia wazanzibar kila kitu utadhani wamekatika mikono.

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab4369 4 หลายเดือนก่อน +1

    eeh waje kwa paspot na kwao twend kwa paspot au uvunjweeeeeeeh

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 3 หลายเดือนก่อน

    Muungano hauvunjiki namkleta vyakuletwa tunaktandiken hamjui kuwa ni kolon la Tanganyika😂😂

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b 3 หลายเดือนก่อน

    Waliovamia unguja ni wapemba na sii watanganyika pia utalii wanafanya wageni kwa sababu kazi za makafiri hufanywa na makafiri.waislam hatuuzi sanam na pia mahotelini kunauzwa pombe na nyama za nguruwe.

  • @allyrembo6714
    @allyrembo6714 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mbunge anaonekana ni mbaguzi na nimtu hatari sana hivi tukisema wazanzibar wote warudi kwao na watanganyika turudi kwetu nani wataumia? Istoshe anajua ni kitu gani kilipelekea ukafanyika muungano?

    • @AyoubPapiy
      @AyoubPapiy 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hatoumia mtu kwani wewe ukienda kwenu unaumia"!!? Mtu hukubaliana na mazingira ya kwao na huyazoweapia, wewe inaonekana husamini kwenu.

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 4 หลายเดือนก่อน +1

      Endeleeni kutoa madongo ila Wazanzibari hatuutaki Muungano kabisa

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@OmerSuley-gl7gohata sisi hatuutak muungano ni hauna faida yeyote....iwekwe tu official bas kua sio tanzania tena ni TANGANYIKA na huko zanzibar na kuenda kwa mwenzake taratib za kimataifa zitahusika....

    • @user-co7bs2sm8g
      @user-co7bs2sm8g 4 หลายเดือนก่อน

      Tukivunja muungano Zanzibar mnaingia Islamic country mkipigana kama Somalia msingae huku kwetu bara

    • @user-co7bs2sm8g
      @user-co7bs2sm8g 4 หลายเดือนก่อน

      Kama Kuna muungano hakuna ulichonacho tukivunja utapata nn

  • @ibrahimmartinelli125
    @ibrahimmartinelli125 4 หลายเดือนก่อน

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson2695 3 หลายเดือนก่อน

    hahaha! wazanzibar hawana uwezo wa kuja tanganyika kisa umaskin na ushoga sas, mkiona idadi ya wanyakyusa wanakuja kula bata zanzibar mnaisi mnanyonywa senge kweli

  • @mainamwareri6984
    @mainamwareri6984 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani bungee zote za Africa mashariki, ugonjwa ni sawa. Yaani wabunge hawahudhurii vikao, viti ndio waakilishi.

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 3 หลายเดือนก่อน

    Haya mazanziba yanafanya nini huku kwetu, HATUTAKI WAZANZIBAR WAISHI HU KWETU WARUDI KWAO, NA MUUNGANO HATUUTAKI.

    • @user-hn6kv6xe7m
      @user-hn6kv6xe7m 3 หลายเดือนก่อน

      Watarudi zanzibar.lakini mnao shida nyinyi watanganyika mana nyinyi ndio wengi huku zanzibar.tena tunamani sana muungano uvunjike

    • @user-hn6kv6xe7m
      @user-hn6kv6xe7m 3 หลายเดือนก่อน

      Na nyinyi wanyamwezi mmejaa tele huku Zanzibar muondoke tumechoka na nyinyi wachafu sana watanganyika

  • @HorizonLtd-ty7ep
    @HorizonLtd-ty7ep 4 หลายเดือนก่อน

    Duh

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 4 หลายเดือนก่อน +1

    Akili mgando

  • @Worldunite
    @Worldunite 4 หลายเดือนก่อน

    Nyie mna mashamba au mabustani???

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 3 หลายเดือนก่อน

    MACHOGO WATANGANYIKA LAZIMA WAINGIE ZANZIBAR KWA PASS AKITAKA WASITAKE!

  • @abdallahmohd3777
    @abdallahmohd3777 3 หลายเดือนก่อน

    Watafahamu 2 kwani ukisema ukweli wananuna wanasem taarifa why ila tunajuwa one day yes

  • @user-rm8gp2kr9i
    @user-rm8gp2kr9i 4 หลายเดือนก่อน

    Maneno ya hayati Malim sefu ya kwamba wabara waludi kwao mana ya passport kuingianayo zanzibar

  • @HamisJMB
    @HamisJMB 4 หลายเดือนก่อน

    bc na wao kuingia bara na waingie na paspot 😅

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 3 หลายเดือนก่อน

    Tunataka passport zirejeshwe zanzibar

  • @thuweinmassoud9062
    @thuweinmassoud9062 3 หลายเดือนก่อน

    iwepo paspoti zanzibar

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 3 หลายเดือนก่อน

    Watanganyika ovyohovyo imewauma kwa kweli na uo ndo ukweli zanzibbar freee under tanganyika Inshaalllah wakiisikia ivoo wanapagawa zanzibar kuwa huru 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 4 หลายเดือนก่อน

    Kama anataka watanganyika tuingia na pasipoti sawa ila wanao waachie maeneo wanayo muliki uku na Waldingfield kwao waje na pasopoti pia

  • @PlatnamMogo
    @PlatnamMogo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Na wao wakija bara waje kwa passport ? au waje bure ?

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

      Yan jino kw ajino waje na passport na sio hii.tunayotumia hii inatolewa kwetu tunafanya amrekebisho kidg tu tunaandika TANGANYIKA alaf wao wakatfte style yaooo mbwa hawa...

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@JoshNgera8-ff3czMbona unawaita M’mbwa tena? si kila Mtu ana Mtizamo wake

    • @Stillrunlikeaball
      @Stillrunlikeaball 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@JoshNgera8-ff3czMmbwa Mama ako alo firwa akakuzaa aka kutolea kwa Mkunduni kwake Jimbwaa Mwenzake wewe

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 3 หลายเดือนก่อน

      @@Stillrunlikeaball mbwa alofirwa akanizaa ameshafariki nitamfikishia ujunbe pale kaburini

  • @IbniMohdAli
    @IbniMohdAli 3 หลายเดือนก่อน

    Kumekucha

  • @PhilipoMwita-ge2oj
    @PhilipoMwita-ge2oj 4 หลายเดือนก่อน

    Unganisha TZ na ZENJI ziwe nchi moja sio mnajikanyaga wee

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 4 หลายเดือนก่อน +2

      Inaonekana hujielewi kabisa TZ ni kifupo cha Tanganyika na Zanzibar sasa sijui unawezaje kuunganisha TZ na Zanzibar

  • @JoshNgera8-ff3cz
    @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

    Na kuja dar na kokote bara kuwe na pasaport ukitokea zanzibar...na piaaa....jina libandiloshwe officially muungano uvunjwe mana wazenji washaonesha hawatak na sisi hatuwashikilii maana hawatufaidishi kwa lolote.....

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 3 หลายเดือนก่อน

    Mnasema wanao fanya kazi za. Utalii ni wageni mkasome mjitahidi kwenda shule

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 3 หลายเดือนก่อน

      Kazi za Utalii wala hazitaki Shule mana Watanganyika wingi wanaenda kufanya kazi kwenye Ma Hotels Zanzibar hawajasoma angelisema Wazanzibar hawapendi Kazi za Kitwana Sawa mana Kazi kubwa Mishaara midogo

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 4 หลายเดือนก่อน

    Wakitokeya viongozi tano kama huyo, muungano hatuna na wanaweza kutokeya tusiyatarajiya

    • @MAPETEE
      @MAPETEE 3 หลายเดือนก่อน

      Au sio

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 4 หลายเดือนก่อน

    Wazabari mtu wenu katuunzia bandari zetu,na mbuga za wanyama, kweli ni kero bora mmbaki kwenu huko

  • @isakasauna
    @isakasauna 4 หลายเดือนก่อน

    Amelewa huyo

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 3 หลายเดือนก่อน

      Hapana huyu Jamaa ata Sigara havuti, kasema Ukweli

    • @alikidungura9419
      @alikidungura9419 3 หลายเดือนก่อน

      Umelewa wew usio fahamu utakuwa wew mtanganyika safi japo upo Zanzibar au sibure unapewa kofia na fulana

  • @abdirahmanmohamed3814
    @abdirahmanmohamed3814 4 หลายเดือนก่อน +1

    angekaa kimya tu kuliko kuleta chuki

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 4 หลายเดือนก่อน

    nani amechukuwa viwanja? Ni akina nai hao wanaoitwa wageni? HUYU hajuwi kuwa na BARA kuna WAZANZIBARI wengi tu kwenye payroll za BARA na wanafanya kazi kwenye idara ambazo siyo kabisa za MUUNGANO?

    • @AliAhmed-jf9ys
      @AliAhmed-jf9ys 4 หลายเดือนก่อน

      ivi sisis na oman aunss na ulaya au amerika tuna muungano wangpa wana ishi huko na wana fanya shughuli zao achana na mawazo magndo

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 4 หลายเดือนก่อน

      Wazanzibari wapo kila sehemu na wanamiliki mali kulingana na sheria za nchi husika nyinyi muna miliki mali hapa kwa sheria za Zanzibar kwa iyo acha choyo

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

      Et wagen utazan sio watanzania😂😂😂kauli ya kibaguz kabisa...sema.sio kesiii....kama anavtaka hatujakataa ila.waooo pia kuja baraa waje na passport tena sio hii tunayotumia sab hii mal yetu watengeneze ya kwao...na sie tutalekebisha jina pale.TANGANYIKA.....

    • @user-ww5or9om1n
      @user-ww5or9om1n 4 หลายเดือนก่อน

      ​hio sio yenu,hio ya TANZANIA,rudisheni TANGANYIKA yenu kwanza ndio mpate chenu.

    • @JoshNgera8-ff3cz
      @JoshNgera8-ff3cz 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-ww5or9om1n of coz irudi tu tanganyika

  • @HorizonLtd-ty7ep
    @HorizonLtd-ty7ep 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa hana sifa za kuwa kiongozi
    Kwan yeye huku Tz bara amekuja kwa pasport ?

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani wewe ni Mzanzibari mbona kelele nyingi?

    • @user-qy4vk2qp9t
      @user-qy4vk2qp9t 4 หลายเดือนก่อน

      Sisi si tuanaenda kuwapelekea moto mashogazao wanona wivu 😂

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sio Jambo geni passports zilikuwepo Tangu Mwanzo wa Muungano sema Ali Mwinyi alipokuja kuwa Raisi wa Zanzibar Ndio aliondoa Passports

  • @IbniMohdAli
    @IbniMohdAli 3 หลายเดือนก่อน

    Kumekucha