Simba 3-1 Al Ahli Tripoli | Highlights | CAF CC 22/09/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- Simba imefuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuichapa Al Ahli Tripoli jumla ya magoli 3-1 yote yakifungwa katika mchezo huu wa marudiano uliopigwa Dimba la benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Wageni Al Ahli walitanguliwa kupata goli kupitia kwa Cristóvão Paciência Mabululu dakika ya 17 lakini Simba wanacharuka na kuchomoa kwa goli la Kibu Denis dakika ya 36, Lionel Ateba dakika ya 45 na Edwin Balua dakika ya 90.
Anae ipenda simba Like ❤❤❤❤
Wanaomkubalii Musa Camara gonga like twende pamoja❤
Hapa Rwanda tunapenda Simba sc after APR FC Rwanda Ubaya ubuela♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
I love you simba sports club
Like Kwa Lionel ateba Wana simba wezangu
Gonga like kwa simba❤
Asante Mungu tulikuomba na umetenda, asanteee
Hongera ❤❤❤ simba
Camara ni nouma Mungu aendelee kumpa afya njema atupe heshima🎉🎉🎉🎉❤❤❤
mungu ibariki Simba na uzidi kuipa furaha🎉🎉❤❤
Nimefurah mno aisee simba nguvu moja❤❤
Na hapa bado hatujajipata onaa vitu ivoo je tukijipata itakuw ni moto wa kuotea mbali woooiii 😆🎉❤🦁🌹💪🙏
Mussa Camara Hana zambi anayeungana namm aje apa chap kwa like 😅😅
Simba ni 🔥
❤️ الحمدالله نادي سيمبا فرحان كثير جيدا على الفوز تنزانيا بلدن امين جيدا Thank you technikle bench thank you all players ❤🇹🇿 🇦🇪
Musa camala ni zaidi ya kipa ❤❤❤❤❤
Musa camara❤❤❤❤❤❤❤ pia na chemalon kazi kubwa licha ya wafungaji walio okoa tim🎉🎉❤❤
MUNGU ni MWEMA siku zote 🙏❤️🙏🙏🤝
❤❤hongera sana simba
Pa pa Che! you be the main man. Na to di push bro well done 🎉
I love more my team
Niwaambie Ateba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥😊😊😊😊
Like za kutosha kw Musa Camara
100
Dah hyo jamaa camara baraaa
Kweli huyu ni spider 🕷️
Spider Camara
Spider
Moussa Pin Pin Spider Man Camaraa 🔥🔥🔥🔥🔥
Simba nguvu moja 🔥🔥🔥
Mpanzu nimemwona ❤❤❤❤❤❤ hii Simba❤❤❤❤
Ateba 🥰🥰🥰
Ulamaa Iddy Kidedea 🦁💪🏽
Simba nguvu moja Simba next level NAIPENDA SIMBA CHAMA LANGU
ALHMDHULILLAH
Asante Azam tv
Mabululu anaipenda Simba ,,
Mussa kamara yuko vizur sana ukiskia ubaya ubwelaaaaaaa ndo huo🦁🦁🦁🦁💪💪
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ad bas
Simba bingwa 🏆🦁💪💪💪
Hiv kwanini gori linakataliwa lawaz kabisa
Ubaya ubwelaa❤❤❤❤❤❤
Nkana alianza kupata bao hivi hivi kupitia Walter Bwalya na mwisho wakafa 3-1 kama leo. Simba kweli mnyama mkali. Wapi likes za Camara
Hii ndo maana halisi ya ubaya ubwela❤❤❤
❤❤musa Kamala big kipa
❤❤❤❤❤
Sana mussa Camara namukubali sana yaan MUNGU amlinde aendelee hivo hivo
❤❤
Jamani wachezaji wetu wamejitoa kikamilifu leo walijuwa wazi kama wanadeni kwa wanamsimbazi.
Mussa kamaraa apewe sifaaa
Nyie huyu Mussa Camara anadaka mpk ndoa znazolegalega❤😂😂😂😂😂
Simba kuingia hatua ya makundi ni lazima na sio ombi🔥
So sweeet❤❤❤❤❤
Simba unyama mwingi
Camara safi sana,Simba ubaya ubwela
Simba ya ubaya ubwela niahatari Sana mungu aendelee kutujalia
Pinpin 🙌
🔥🔥🔥🔥
❤️⚽️🥇
Mabululu kumbe amekula umeme gem ikiwa imeisha ila simba leo mmenifurashisha ateba ni mchezaji Camara sio shati ❤❤❤❤ simba nguvu moja asante Mungu kwa ushindi huu🙏🙏🙏🙏
Sema Mabululu mwana sana🫡
Mabululu aitaka Simba maana hizofear play siyo za kawaida viongoz kazi kwenu
Simba nguvu moja
Amanizo 96 boy from Tanga muheza mungu nimwema❤
Like za kibuuu
👏🏿🏟️🫅🏿👑🦁
Mabululu ndo kwaponza wenzake😂
Mussa Camara ni nomaaaaa
Mabululu ataiota Simba mwezi mzima
😂😂😂😂😂😂😂
Mnyama
Moussa kamala nakubari ofsa
Wachezaji wote wa Simba nawapenda chapeni Kazi jamaniii mungu ni mwema mautundu yazidi kupita maelezo
Mabululu kwaohuko😂❤❤
Bg up kamara
Kama nikikosa basi usinikimbie nionye inatosha kauli ya boss Simba ubaya ubwela ❤❤🎉🎉🎉🎉🙏💪💪💯💯hii ndio maana ya sanda kwamba kila team itakayo kutana na Simba lazima ionje umauti 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🙏💯
Naipenda simba kuliko kitu chochote apa dunian
Mungu jee?
@@odilomwemeziernest646 amesema hapa Duniani😊 Mungu ni wa mbinguni
Mungu ni mwema❤
mwema sana
Ubaya ubwela 🦁❤❤❤❤ lakn balua apunguze uchoyo
😂😂upendo wa coach wa simba na wanae ni wa juuu meng yanakuj😂
simba noma
Simba jamani mutakuja kuniuuuwaaaaaaaa,,,Mimi ni masaiii Simba damuu walaiii Simba walaiii
First man
Mabululu anamapenz na simba mana fair play kazizidisha tumkalibishe jaman
Kweli kabisa mwamba anaipensa Simba
Mh ni sawa lakin cdhan kama simba tunaweza toa fedha kama walizotoa tripol😂
Simba mnyama mkali
Nimefurahi mpaka machozi yananitoka
ATEBA NI LA STRIKER
Mabuluto utakuja kuiota Simba mwaka mzima🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂
@@ZalhathamohdSaid-qn4jj amini Simba ni ya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 walioko ndani walioko nje asee MUNGU wangu ubaya ubwela
Hatari kubwa Simba Sports Club
Simba nguvu moj
Hawa wasenge Leo wanaenda lala pia kuoga mana sio Kwa hiii Simba ubaya ubwela
Huyu mabululu hv kumbe alionesha ishara yakunyamazisha🤔hajui Tim za Tanzania huwa hazinyamazishwiii🎉😂 polen Sana
Azam sijui mnatumia tecno kuchukua hz vdio
Mabululu ni feisal aliyechangamka yaani anatuziba midomo nyumban kwetu🤔mamaye tumemuonyesha UBAYA UBWELA live😂😂
Nguvu moja 💯💯
Camara
Nauliza VAR iko wapi
Kama zooted like
Simba nguvu moya
Mechi za kiumee hizi
Simba Ina timu jamn kama hutaki kumbatia transformer
Dah 😂😂😂😂🙌
Ubaya ubwela
Mmemuona mabululu!!?yaani amedata kwa baba esther mpaka amemkumbatia!!cheza na lunyasi weweee❤❤❤❤😂😂😂
Aseee ameshindwa kuvumilia kasema ngoja kipind kiishe angalau nikuhag kidogo
Mchezaji anaitwa Lionel we huogopi?
Huyo jamaa anaitwa Lionel Christian Ateba. Na ndio jina lake halisi yaan ni Ubaya Ubwela.
Mangi aPa kutoka muheza masimbani ubaya ubwelaaa
Ushauri kwa kocha fadru ninaomba uwashauliwschezaji mpira wa kuludishiana nyuma uuche una vijana wenye mikimbio ya kasi
Awesu yuko ap jamani
Idd Salum Kidedea hiko kiarabu kinanikosha sana roho nakumbukia enzi hizoo mechi na AS Vita, Al Ahly..