Simba 3-1 Al Ahli Tripoli | Highlights | CAF CC 22/09/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • Simba imefuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuichapa Al Ahli Tripoli jumla ya magoli 3-1 yote yakifungwa katika mchezo huu wa marudiano uliopigwa Dimba la benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Wageni Al Ahli walitanguliwa kupata goli kupitia kwa Cristóvão Paciência Mabululu dakika ya 17 lakini Simba wanacharuka na kuchomoa kwa goli la Kibu Denis dakika ya 36, Lionel Ateba dakika ya 45 na Edwin Balua dakika ya 90.

ความคิดเห็น • 199

  • @AizackMoneka
    @AizackMoneka 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Anae ipenda simba Like ❤❤❤❤

  • @barakamgimba5706
    @barakamgimba5706 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Wanaomkubalii Musa Camara gonga like twende pamoja❤

  • @habiyaremyepatrick4133
    @habiyaremyepatrick4133 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Hapa Rwanda tunapenda Simba sc after APR FC Rwanda Ubaya ubuela♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @ErikaMpagaze-k5w
    @ErikaMpagaze-k5w ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    I love you simba sports club

  • @MustaphaHasani-u1v
    @MustaphaHasani-u1v 26 นาทีที่ผ่านมา +3

    Like Kwa Lionel ateba Wana simba wezangu

  • @AbdulshakulHamza
    @AbdulshakulHamza ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Gonga like kwa simba❤

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    Asante Mungu tulikuomba na umetenda, asanteee

  • @AnnaBayo-nr1qr
    @AnnaBayo-nr1qr 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Hongera ❤❤❤ simba

  • @ZulphaMsangi-s9g
    @ZulphaMsangi-s9g 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Camara ni nouma Mungu aendelee kumpa afya njema atupe heshima🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @MarthaVicent-h9x
    @MarthaVicent-h9x 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    mungu ibariki Simba na uzidi kuipa furaha🎉🎉❤❤

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Nimefurah mno aisee simba nguvu moja❤❤

  • @Rehmathathman23
    @Rehmathathman23 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Na hapa bado hatujajipata onaa vitu ivoo je tukijipata itakuw ni moto wa kuotea mbali woooiii 😆🎉❤🦁🌹💪🙏

  • @JumaBakari-x4p
    @JumaBakari-x4p 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Mussa Camara Hana zambi anayeungana namm aje apa chap kwa like 😅😅

  • @GodwinLwanda
    @GodwinLwanda 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Simba ni 🔥

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    ❤️ الحمدالله نادي سيمبا فرحان كثير جيدا على الفوز تنزانيا بلدن امين جيدا Thank you technikle bench thank you all players ❤🇹🇿 🇦🇪

  • @fettyabuu2644
    @fettyabuu2644 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Musa camala ni zaidi ya kipa ❤❤❤❤❤

  • @dvannyclassic1756
    @dvannyclassic1756 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Musa camara❤❤❤❤❤❤❤ pia na chemalon kazi kubwa licha ya wafungaji walio okoa tim🎉🎉❤❤

  • @MartinDaridajega
    @MartinDaridajega 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    MUNGU ni MWEMA siku zote 🙏❤️🙏🙏🤝

  • @JeniMgina
    @JeniMgina ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    ❤❤hongera sana simba

  • @tibimunyam5369
    @tibimunyam5369 นาทีที่ผ่านมา

    Pa pa Che! you be the main man. Na to di push bro well done 🎉

  • @SalmaSalmaissaissa
    @SalmaSalmaissaissa 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    I love more my team

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Niwaambie Ateba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥😊😊😊😊

  • @OmanAlkamil-nl2zw
    @OmanAlkamil-nl2zw 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +82

    Like za kutosha kw Musa Camara

    • @YusterMashaka-tu2re
      @YusterMashaka-tu2re 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

      100

    • @BirinaSakhoo-gr4eo
      @BirinaSakhoo-gr4eo 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Dah hyo jamaa camara baraaa

    • @EzraCpeace
      @EzraCpeace 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Kweli huyu ni spider 🕷️

    • @EzraCpeace
      @EzraCpeace 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Spider Camara

    • @HKeihMEw
      @HKeihMEw ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Spider

  • @nathanielmkaanga4693
    @nathanielmkaanga4693 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Moussa Pin Pin Spider Man Camaraa 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JosephMshanga-k7j
    @JosephMshanga-k7j 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Simba nguvu moja 🔥🔥🔥

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpanzu nimemwona ❤❤❤❤❤❤ hii Simba❤❤❤❤

  • @MohamediOmary-w8x
    @MohamediOmary-w8x 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Ateba 🥰🥰🥰

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Ulamaa Iddy Kidedea 🦁💪🏽

  • @fredrickndossi1078
    @fredrickndossi1078 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja Simba next level NAIPENDA SIMBA CHAMA LANGU

  • @Minjum-j5m
    @Minjum-j5m 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    ALHMDHULILLAH

  • @ALLVATV3539
    @ALLVATV3539 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Asante Azam tv

  • @fettyabuu2644
    @fettyabuu2644 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Mabululu anaipenda Simba ,,

  • @IzackKimosso
    @IzackKimosso 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mussa kamara yuko vizur sana ukiskia ubaya ubwelaaaaaaa ndo huo🦁🦁🦁🦁💪💪

  • @HusnaCharles
    @HusnaCharles ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ad bas

  • @SamsonSimba-k4l
    @SamsonSimba-k4l 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Simba bingwa 🏆🦁💪💪💪

    • @habibuhabibu9728
      @habibuhabibu9728 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hiv kwanini gori linakataliwa lawaz kabisa

  • @nicksondickson-l7b
    @nicksondickson-l7b 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Ubaya ubwelaa❤❤❤❤❤❤

  • @godfreyjohn2646
    @godfreyjohn2646 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Nkana alianza kupata bao hivi hivi kupitia Walter Bwalya na mwisho wakafa 3-1 kama leo. Simba kweli mnyama mkali. Wapi likes za Camara

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Hii ndo maana halisi ya ubaya ubwela❤❤❤

  • @Abdallahkaoneka
    @Abdallahkaoneka ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    ❤❤musa Kamala big kipa

  • @Hadija-m9t
    @Hadija-m9t 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤❤❤

  • @MartinDaridajega
    @MartinDaridajega 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Sana mussa Camara namukubali sana yaan MUNGU amlinde aendelee hivo hivo

  • @joshylucas1593
    @joshylucas1593 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    ❤❤

  • @ImranSalum
    @ImranSalum 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Jamani wachezaji wetu wamejitoa kikamilifu leo walijuwa wazi kama wanadeni kwa wanamsimbazi.

  • @ombeniemmanuel
    @ombeniemmanuel 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mussa kamaraa apewe sifaaa

  • @HalimaIbrahim-v9i
    @HalimaIbrahim-v9i 37 นาทีที่ผ่านมา +3

    Nyie huyu Mussa Camara anadaka mpk ndoa znazolegalega❤😂😂😂😂😂

  • @adamvandersar_
    @adamvandersar_ 55 นาทีที่ผ่านมา +1

    Simba kuingia hatua ya makundi ni lazima na sio ombi🔥

  • @neemacharles-us3xp
    @neemacharles-us3xp ชั่วโมงที่ผ่านมา

    So sweeet❤❤❤❤❤

  • @ombeniemmanuel
    @ombeniemmanuel 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Simba unyama mwingi

  • @JanethWillison-q1c
    @JanethWillison-q1c ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Camara safi sana,Simba ubaya ubwela

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Simba ya ubaya ubwela niahatari Sana mungu aendelee kutujalia

  • @NalailaNalaila-t6z
    @NalailaNalaila-t6z ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Pinpin 🙌

  • @AlksvJshd
    @AlksvJshd ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @MustaphaFatty-f2f
    @MustaphaFatty-f2f 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    ❤️⚽️🥇

  • @aminielsaidi8015
    @aminielsaidi8015 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mabululu kumbe amekula umeme gem ikiwa imeisha ila simba leo mmenifurashisha ateba ni mchezaji Camara sio shati ❤❤❤❤ simba nguvu moja asante Mungu kwa ushindi huu🙏🙏🙏🙏

  • @jamaldemardy698
    @jamaldemardy698 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Sema Mabululu mwana sana🫡

  • @BarikielMungi
    @BarikielMungi ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mabululu aitaka Simba maana hizofear play siyo za kawaida viongoz kazi kwenu

  • @NaftaryMgoye
    @NaftaryMgoye 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Simba nguvu moja

  • @amanizo96
    @amanizo96 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Amanizo 96 boy from Tanga muheza mungu nimwema❤

  • @MrBabutale
    @MrBabutale 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Like za kibuuu

    • @FootballGame-k5l
      @FootballGame-k5l 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      👏🏿🏟️🫅🏿👑🦁

  • @marcojonline7847
    @marcojonline7847 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Mabululu ndo kwaponza wenzake😂

  • @ombeniemmanuel
    @ombeniemmanuel 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mussa Camara ni nomaaaaa

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mabululu ataiota Simba mwezi mzima

    • @ZulphaMsangi-s9g
      @ZulphaMsangi-s9g 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @LiviniAviti
    @LiviniAviti 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mnyama

  • @FikiliMiraji
    @FikiliMiraji ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Moussa kamala nakubari ofsa

  • @ombeniemmanuel
    @ombeniemmanuel 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Wachezaji wote wa Simba nawapenda chapeni Kazi jamaniii mungu ni mwema mautundu yazidi kupita maelezo

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 58 นาทีที่ผ่านมา +2

    Mabululu kwaohuko😂❤❤

  • @AthumaniHashimu
    @AthumaniHashimu 57 นาทีที่ผ่านมา

    Bg up kamara

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 27 นาทีที่ผ่านมา +1

    Kama nikikosa basi usinikimbie nionye inatosha kauli ya boss Simba ubaya ubwela ❤❤🎉🎉🎉🎉🙏💪💪💯💯hii ndio maana ya sanda kwamba kila team itakayo kutana na Simba lazima ionje umauti 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🙏💯

  • @Amoslosipu
    @Amoslosipu 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Naipenda simba kuliko kitu chochote apa dunian

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Mungu jee?

    • @davismuzahula907
      @davismuzahula907 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@odilomwemeziernest646 amesema hapa Duniani😊 Mungu ni wa mbinguni

  • @TitusErnest-n4g
    @TitusErnest-n4g ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema❤

  • @LydiaErnest-j1b
    @LydiaErnest-j1b 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ubaya ubwela 🦁❤❤❤❤ lakn balua apunguze uchoyo

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    😂😂upendo wa coach wa simba na wanae ni wa juuu meng yanakuj😂

  • @pinieliSaningo
    @pinieliSaningo ชั่วโมงที่ผ่านมา

    simba noma

  • @FaithNthambi-z2w
    @FaithNthambi-z2w 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Simba jamani mutakuja kuniuuuwaaaaaaaa,,,Mimi ni masaiii Simba damuu walaiii Simba walaiii

  • @jumakissimba7172
    @jumakissimba7172 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    First man

  • @EzekieljohnEzekiel
    @EzekieljohnEzekiel 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Mabululu anamapenz na simba mana fair play kazizidisha tumkalibishe jaman

    • @stephanomtaita1215
      @stephanomtaita1215 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kweli kabisa mwamba anaipensa Simba

    • @Alexpastor-e7c
      @Alexpastor-e7c ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mh ni sawa lakin cdhan kama simba tunaweza toa fedha kama walizotoa tripol😂

  • @claudesimukoko1436
    @claudesimukoko1436 53 นาทีที่ผ่านมา +2

    Simba mnyama mkali

  • @mwajumaseifu216
    @mwajumaseifu216 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Nimefurahi mpaka machozi yananitoka

  • @dagraskaragane4730
    @dagraskaragane4730 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    ATEBA NI LA STRIKER

  • @abelyjoseph3440
    @abelyjoseph3440 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mabuluto utakuja kuiota Simba mwaka mzima🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥

    • @ZalhathamohdSaid-qn4jj
      @ZalhathamohdSaid-qn4jj 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂😂

    • @abelyjoseph3440
      @abelyjoseph3440 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@ZalhathamohdSaid-qn4jj amini Simba ni ya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 walioko ndani walioko nje asee MUNGU wangu ubaya ubwela

  • @MohamediChandima
    @MohamediChandima 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hatari kubwa Simba Sports Club

  • @zakariamartin3980
    @zakariamartin3980 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Simba nguvu moj

  • @NURUKIMEA-z6u
    @NURUKIMEA-z6u 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Hawa wasenge Leo wanaenda lala pia kuoga mana sio Kwa hiii Simba ubaya ubwela

  • @KaungaDori
    @KaungaDori 43 นาทีที่ผ่านมา

    Huyu mabululu hv kumbe alionesha ishara yakunyamazisha🤔hajui Tim za Tanzania huwa hazinyamazishwiii🎉😂 polen Sana

  • @Boniphacengassa-v6x
    @Boniphacengassa-v6x 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Azam sijui mnatumia tecno kuchukua hz vdio

  • @dynachriss5126
    @dynachriss5126 19 นาทีที่ผ่านมา +2

    Mabululu ni feisal aliyechangamka yaani anatuziba midomo nyumban kwetu🤔mamaye tumemuonyesha UBAYA UBWELA live😂😂

  • @mackMmathayo
    @mackMmathayo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nguvu moja 💯💯

  • @Wil_thug
    @Wil_thug 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Camara

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Nauliza VAR iko wapi

  • @Amiliboy
    @Amiliboy ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Kama zooted like

  • @BlesNissa
    @BlesNissa ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Simba nguvu moya

  • @AnnoyedClam-cf6iw
    @AnnoyedClam-cf6iw 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mechi za kiumee hizi

  • @Shinyg3l
    @Shinyg3l 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Simba Ina timu jamn kama hutaki kumbatia transformer

    • @twalibmgagi1652
      @twalibmgagi1652 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Dah 😂😂😂😂🙌

  • @AllyDeo-i8h
    @AllyDeo-i8h 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Ubaya ubwela

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mmemuona mabululu!!?yaani amedata kwa baba esther mpaka amemkumbatia!!cheza na lunyasi weweee❤❤❤❤😂😂😂

    • @SilvesterSebeje
      @SilvesterSebeje 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Aseee ameshindwa kuvumilia kasema ngoja kipind kiishe angalau nikuhag kidogo

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mchezaji anaitwa Lionel we huogopi?

    • @twalibmgagi1652
      @twalibmgagi1652 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Huyo jamaa anaitwa Lionel Christian Ateba. Na ndio jina lake halisi yaan ni Ubaya Ubwela.

  • @AbdiMsuya-b4z
    @AbdiMsuya-b4z 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mangi aPa kutoka muheza masimbani ubaya ubwelaaa

  • @revocatushindi7701
    @revocatushindi7701 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ushauri kwa kocha fadru ninaomba uwashauliwschezaji mpira wa kuludishiana nyuma uuche una vijana wenye mikimbio ya kasi

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Awesu yuko ap jamani

  • @shehamuumini6498
    @shehamuumini6498 44 นาทีที่ผ่านมา

    Idd Salum Kidedea hiko kiarabu kinanikosha sana roho nakumbukia enzi hizoo mechi na AS Vita, Al Ahly..