ZITTO AACHA MAWASLI MAGUMU KWA RAIS MWINYI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.พ. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Dah kwa mungu kuna hesabu kwl kwl
Na kl anaetudhulumu wallahi hatumsamehe mpk kwa Allah
Mashaallah umeongea vizuri ila kuna mambo mawili nakupinga.
👉 Kuhusu Denata ni kampuni nzuri inayotoa huduma kote Duniani.
👉 Kuhusu kuteremsha mzigo Zanzibar ni zaidi ya $7000 si kweli ushuru wa Zanzibar ni mdogo sana kutofautisha na nchi nyengine ndio mana hata vitu vya biashara vinavyokuja Zanzibar moja kwa moja kutoka nje ni rahisi sana.
Tsh 5B pesa zitakazotumika kujenga bandari ya Pemba sijaiona Pemba kufunguka.
Greetings via 101 !!!
Kama Zanzibar inajisimamia na Wazanzibar wenyewe mbona viongozi mnachaguliwa na wa bara Dodoma.
Zanzibar tuachie wenyewe usitumie nguvu nyingi katika kuongea. Utakuja kujamba Bure. Zanzibar itasimamiwa na wanzanzibar wenyewe . Bless Zanzibar . Free nation
Usifanye chuki kwa kila jambo. Hebu jaribu kusikiliza ayo maneno ya kweli au uongo....
Mm si Ccm wala Act lkn napenda kusiliza ili nijue nini kinatakiwa kuwekwa sawa ktk jamii ilo ndp jambo muhim mkuu... Hakuna mkamilifu.
@@omarjuma3678 sema tu we ACT
Sawasawa kiongozi in shaa allah zanzibar kamili yenye heshma yke yenye pesa yke yenye passport yke na yenye utamaduni wake kwa uwezo wa Allah itasimama tena in shaa allah.
Ccm miaka 60 bado wao wanadeal na bara bara tu🤣
Aise hii ki2 inaniuma sn miaka 60 barabara, skuli na hospital inauma sn wapumbavu wakijengewa barabara wanafurahi sn jinga hiii
Ukweli usema kiongozi wetu mungu awali nde awatiye nguvu muweze kutusaidiya
Huseni mwinyi yupo Zanzibar kwa ajali ya kuimaliza zanzibar
Toa ushahidi
Uyu anaye sema anafanya uchochozi eti zanziba haimuhusu mbona weye inaye kuhusu husemi ukweli wewe hujielewe kama wajielewa usinge sema hivyo hunakazi tuuu
Apo umeongeya Mweshimiwa 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nakupongeza kwa ushauri wa wazi.
Ila usiwe wa kupotosha.
Watu wengi Sasa wanashusha container zao Zanzibar
Mnawaburudisha tu hamna lolote nyinyi
It's True
DAAAH KUMBE SIO POWA JAMANI CCM WANAVYO TUFANYIA, NILIKUA NAPATA IMANI KUHUSU CCM ILA MMMH KUMBE MANYAGO MATUPU.
yan mweny kuipend ccm mm cielew nimchukuliej hv haon
Hawa ccm wote wajinga tu
Mara nyingi ukiwafatilia utagundua ni watu maslahi binafsi na uwongo
Sasa Mtanganyika na Cuf wapi na wapi hahahaha Nguruwe sili ila Nchuzi wake Nanywa
Sinzia
Ni mmoja wa wanasiasa wenye tamaa sjapata kuona
Ww ndio tamaa
Bandari mpya inajegwa Mangapwani mzee usiongee vitu ambavyo hauvijui ,Kuna Bandari la kimataifa linavurumishwa Mangapwani tuombe uhai tu
Una uhakika iyo bandari ishanza kujengwa ndugu na tulikua wapi miaka 60 ilopita mpaka leo tupo nyuma hivi miaka 60 ya CCM bd tunajenga barabara, skul na hospital hiii ni aibu kisiwa kidogo sn hichi miaka 60 bd tunajengewa barabara na skuli aibu
Hamnakitu nihadithi tuu
Halafu utasikia mwinyi mbara hatumtaki sasa huyu sijui anawaongoza hapa mpemba
Mpumbavu ww hujielewi wala hujui nn kinaendelea bora tu ukae kimya
@@yassirgiya6743 ila uhalisia nahis mpumbav n wewe ambae ndani ya chama chako mnaongozwa na mbara
@@yassirgiya6743 Mkiambiwa ukweli hayo ndio maneno yenu ,,,,Nyinyi hamuwapendi Watanganyika huyo Ni wa Kutoka wapi?Pemba au
Bro icho ni chama yy hataki Urais wa Zanzibar yy ni kiongozi wa chama na sisi tupo apo ili tufike safari ye2
@@rajabmsinzia1715 tatizo sio kuwachukia watanganyika sisi tunachotaka ni mamlaka ya Znz uyo ni kiongozi wa chama cha siasa sio kiongozi tunaetaka awe Rais wa Zanzibar yy na Lipumba ni sw sw
Usitusemee Mambo ya Zanzibar Hayakuhusu hiyo fitna na uchochezi
Ww msenge kweli asiseme kwann
Fala ww kwenda uko
Sema ww basi
Watu wataka c.c.m. tu
Sio maendeleo
Nchi za kiafrika tumelala sana
Midude km hii ndio iliyokunywa maji ya bendera
Nikwel umeongea point mh zitto
Yaani wewe ndio nilijua unaweza kuongea hoja za msingi ila ni wale wale ,bro Hata Dubai Airport yao wamewapa Danata so unazijua huduma zinazopatikana Dubai? hao wazawa hawawezi kushindana na Danata ,wazawa wapo kienyeji sana wana uammi mwingi hawapo serious na wanachokifanya miaka 60 sasa wapo nini wamefanya zaidi ya kuharibu tu ,Sehemu ya kuchukulia mabegi unayasubiri kwa toroli la kienyeji yaletwe na wahuni tu hata Uniform hawana ,,,Zanzibar we need changing bro...Hongera sana Muheshimiwa Hussein Mwinyi kwa kutosikiliza maneno kama haya ya kutaka kukukatisha tamaa ila kwa waelewa watakuelewa tu nini dhamira yako.
Dhamira yake kwa kuleta Donata ni kupata commission yake tu hakuna jipya
@@kassimali2273 Tatizo Wazanzibari walio wengi wamezowea maisha ya kukariri na mazowea yaani hakuna kitu hawapendi kama Mabadiliko hayajaalishi yawe mazuri yawe mabaya..Wazanzibari walikuwa wanahita aji Raisi aina ya Magufuli ila Wakae sawa .
@@rajabmsinzia1715 Airport y zamani wangepewa Danata wangefanya huduma kama wanavofanya hi mpya??
@@gangmore9091 Wasingefanya
shekh mm siipend ccm sw na watatulip haki zet t tutakufa sot kw mung hamn zulma anachimba mchang kweny ardh zet bil malip ss anatondoa kweny makaaz yet nyumb nzim kil kit unapew milion 5 utaifanyia nn ss tunazikataa na mung yup na ss kiam hakip mbal
Pumzika wewe
Unsama fitna wakati Mambo yako wazi
Hunajipya we mkreketw wakijan