Muheshimiwa you're ,very right, serikali tatu itaua muungano, Na wale wasiojali kuvunjika muungano wakumbuke miaka sitini ya muungano wa watu sio mbuzi, Huku bara kuna Wanzanzibari wengi karibia sawa na waliokuwepo zanzibar
Ahh wp Leo tena?!!!!!! Umecherewa mheshimiwa hata useme nn hutuuamini tena, ulitutukana na kutukeji sana. Saiv ndo unajidai kujisafisha unatuona cc majuha?
Umeona Ehe? alimtukana Sana tena sana bila ata Aibu Marehemu Maalim Seifu na hajawai ata kumuomba Radhi mbaka Mzee wa watu katangulia mbele ya Haki sasa Leo hii Mwinyi hajampa Nafasi anaanza kuropokwa
Hongera sana Ali Karume. CCM ni chama cha majambazi bara na visiwani. Ukishakuwa humo lazma na mwanao aridhishwe mikoba yako hata kabla wino haujakauka kwenye cheti ulopata mlimani
Hata Tanganyika pia is a national of emigrate na watu wa mwanzo kuja kuishi Zanzibar ni watu kutoka Habash walikua wavuvi c o tanganyika coast wakati huo kulikua hata hakuna watu south east coast watu walikua wakipita njia tu kwenda kilwa na Zanzibar civilisation imeletwa na Persian (Shiraz).
Naapa katika kina la mwenyezi Mungu wazanzibar hamtokuja kupata rais mpenda haki kama Dr, Hussein mwinyi,Abadan hizi tamaa roho mbaya husda sifa,mtakuja juta,nasema haya Mimi namjua nimefanya kazi naye.Dr, Hussein usiyajari hayo makundi na hiyo nchi wamezoea uongozi wa akina komando salimin amour hao virungu tu, Kila siku Zanzibar Kila siku mnazua upuuzi haya mtafuteni malaika basi
Usiwe mjinga hata kocha haingii uwanjani lakini ndio "responsible" wa mchezo. Ama kuhusu kutoka Malawi ndio asili ya visiwa vyote duniani huundwa na watu wa mataifa mbali mbali angalau Malawi ni Afrika huwaoni typically Wahindi, Waarabu nk Zanzibar ambao wote ni Wazanzibar wenye HAKI zote. Nashauri tuache kutafutana asili tutajikuta kumbe Zanzibar haina wenyewe.
Usiwe mjinga hata kocha haingii uwanjani lakini ndio "responsible" wa mchezo. Ama kuhusu kutoka Malawi ndio asili ya visiwa vyote duniani huundwa na watu wa mataifa mbali mbali angalau Malawi ni Afrika huwaoni typically Wahindi, Waarabu nk Zanzibar ambao wote ni Wazanzibar wenye HAKI zote. Nashauri tuache kutafutana asili tutajikuta kumbe Zanzibar haina wenyewe.
@@hajihassan5433 kocha haingi wanjani why wanaminisha watu kua karume alikuwepo kwake hata hao watoto wake n wapambe wake wote wanasema alikuwpo kwake karume adi mkewe anasema hayo 😅😅😅 nyie mazezeta wa Ccm
@@hajihassan5433 Sasa usiwe Mjinga imekujaaje hapa? au wewe ndo Mjinga? Mtu ata hatujuani unaanza kuleta Matusi vipi wewe, alieanza kumbagua Mwenzie ni yeye Ali Karume, alafu ukisema Coach anakaa mbepeni hachezi basi Coach wa hayo Mapinduzi alikua Kambarage Nyerere huyo baba yake hajausika tu kawekwa tu, na waliopindua alikuja kuwachenjia Kina Saidi Washoto, Bavuai, Anthony kIsasi kina Saidi Washoto na Kaujore Rashid Abdalla Obote na Okole yeye kapewa tu Heshima
@@gangmore9091 Wafiki tu hawa Karume alikuwepo Dar alifichwa na Nyerere hayo Mapinduzi hajausika asa walopindua kina Washoto, na Bavuai na KIsasi, Abdalla kaujore kina Obote na wengine
Wazanzibari wakaazi ndio wafanye kazi kwenye, serikali ya Zanzibar, na kwenye taasisi za mambo 52 ya Muungano. Watanganyika wafanye kazi kwenye, serikali ya tanganyika, na kwenye taasisi za mambo 52 ya Muungano. Taasisi za Zanzibar wazanzibar pekee yao, Taasisi za tanganyika watanganyika pekee yao Taasisi za Muungano ni mchanganyiko Wazanzibar na Watanganyika
Yaani demokrasia nyepesi hivo unasema ulifundishwa marekani? Hata hapo Zanzibar inafundishwa. Kusoma marekani isiwe kigezo cha kuwa na uelewa kuliko wazanzibari wengine
Yakhe tumeshachoka kusikia Umarekani kila baada ya sentence zako! Lakini kwa nini husemi kitu cha awamu ya baba yako aliyezorotesha elimu, judiciary na social services kama hospitali. Jengine, alipokuteuwa uwaziri ulikuwa na khibra gani? Mlimuondoa Sultan Jamshid na kumleta Sultan Karume. Unazungumza a lot of Bull.
ulipopewa cheo cha unaibu waziri wakati huna hata akili ya kujinawisha mavi baada ya haja kubwa, hakuna mtu aliye simama akasema kwamba kwanza ufundishwe kujinawisha.
Lakini ndiye uliyesema Uchaguzi ukipita Basi hakuna haja tena ya vyama vya Upinzani kuendelea na shughuli za ziada mpaka Uchaguzi mwingine na maneno hayo yalipelekea nchi kupiga marufuku mikutanio ya siasa
Aaa mshayasiri ZANZIBAR kwa kila kitu. Leo tena Kila kitu mshanyanganywa. .mshajaza makanisa kila kona. Nakushauri nenda kalivunje lile sanamu pale makao makuu .uislam unakataza kuchonga sanamu Kiukweli hayo mauwaji ya 1964 naona mpaka hiii leo yanaendeleya..
Nchi imetulia waanza fitna....usiamshe fitna imelala utapata laana kwa Allah mwache kiongozi wetu aongoze nchi hakuna jambo kubwa kama amani Amani ni tunu waangalie walokasa amani wanavyoteseka Hapaliki wa hakulaliliki ibada pia watu zinawashinda...Nas alu llah aafiya wasalama
Sidhani kama Allah anatoa laana kwa namna hiyo. Nchi haijatulia, wachache kama wewe ndo umetulia na wachache waliomo serikalini. Wengine wengi wanaumia na kudhalilishwa kila uchaguzi.
Ali karume nafasi ya kuwa shujaa kama baba yako 2025 wao wamekukataa wakatae na ww /wao SI wamewatupa wa asisi wameweka watu wapya na nyie tieni pressure wazanzibar tuwakumbuke
Ali skiliza ww unapenda cheo huna lolote mh Hussein mwinyi kaondoa mambo ya ubaguzi hicho ndicho kinachokuuma ww wakati uko wazir muhula uliopita umefanfa nn zaidi ya kwenda bwawani ww na nyanya kulewa wacha hzo mwache Rais atumikie wananchi wa zanzibar wacha choyo ww
Huyu choyo tu kakosa nafasi ya kigombea uraisi Zanzibar lakini kumbekeni huyu jamaa kakayake alikuwa rais wa Zanzibar miaka 10 alifanya kitugani cha maana zaidi ya kuiba mjimkongwe mzima mpaka Jumba la mayatima firodhani walisema Lao na makao makuupia walisema yao
Kwani hukujua au hujui kama Rais wa Muungano ana Nguvu na Mamlaka Kwa Taifa zina ikijumlishwa na Zanzibar na Ana uwezo wa Kumpanhia kazi yeyote awe wa Visiwani au wa Bara hata kama mtu huyo ameteuliwa na Rais wa Zanzibar still Rais wa Muungano ana uwezo wa kuintervene na overturn Maamuzi yote ya Jamhuri ua Muungano.
Raisi wa muungano Ana nguvu kwene mambo yaliyooeodheshwa kuwa ni ya muungano na raisi wa zanzibar ananguvu kwene mambo ambayo si ya muungano hapo hawaingiliani..?
Huyu ana uchu na Madaraka so kama Mzee wako alikuwa president naww Kwan nilazima uwe president angalia famlia ya Nyerere mbona wametulia wakipewa vyeo SAWA wakinyimwa wanashukuru sio wewe Mzee mkubwa unaanza kujinadi na Nini
🥱Mkimaliza kuzozana kila mtu atafute kula ale na amuabudu mungu ili akifa akapewe nchi ya pekeake peponi ya hapa tutayaacha kwa lazima tutake📌 tusitake 📌
Kama huyu jamaa anavyosema ni kweli ana degree 4 za kutoka huko Colombia university, naamini hata vijana wa shule za msingi wakipekwa huko watarudi na hizo degree, ni aibu kuona huyu ndiyo jamaa aliyokuwa anawakilisha hii nchi huko nje kwa miaka yote hiyo.
Hivyo vyeo vyote ulivipata kwa sababu baba yako alikuwa Rais lakini sasa unaona kuwa ulistahili. Ulipata kila kitu kiurahisi hivyo hujui watu wengine wanavyo sumbuka japo kupata haki zao wanazostahili hebu pumzika waachie walioko madarakani wafanye kazi zao kama ulivyoachiwa wewe. Hatuhitaji kuwafuatisha wamarekani au waingereza sisi ni huru sio watumwa wao. Achana na uchochezi hiyo CCM ndiyo iliyokufikisha hapo ulipo hebu ishukuru japo kidogo.
Hakuna hata hoja moja itakayojibiwa kwa uweledi ila ni kumbeza kwa kuongea ukweli,na ccm jambo hilo ndio hawataki kuambiwa ila nchi hii ina mengi yamejificha na wananchi wengi hatuyajui
Imekuwaje walane mazimwi wao kwao wewe ulikuwa msemaji mkubwa wa kuwakandamiza wapinzani leo walaumu nini jizi kubwa muuaji mkubwa wewe una laana wewe Yajayo Yametimia huna mpya Koko kalale huko
Ndio maana Watanzania hatua endelea kamwe... U maskini wetu upo kwenye Akili, ukiangalia comments nyingi humu.. Utatamani 😢tu.. We have been brainwashed to the highest level, that we can no longer be able to reason and see facts. Wacha tuendelee kubutuzwa nyambafu.
Nyie na kaka yenu muliiba sana mbona ulifunga mdomo sasa unatapatapa nini sisi au na wewe unataka kuwa raisi ushazeheka pumzika sasa unataka nini nyie ndio waharibifu mnaangalua matumbo yenu tuu ksja mtu ambae analeta mabadiliko makubwa znz na pemba kazi yenu ilikuwa kulewa tuu nani asieyejua
Mzee nafasi inayokufaa ni ya rais wa muungano sio ya rais wa Zanzibar.Nafasi Ya rais wa Zanzibar ni ndogo sana kwako, wewe ni SIMBA! Uwezo wako kiuongozi, ujasiri,uzoefu wa kimataifa,elimu yako kwenye masuala ya siasa, uchumi na biashara zote ni turufu muhimu za kuweza kukuvusha kwenda ikulu kama wazanzibari na watanzania kwa ujumla watakutazama kwa umakini kama nilivyokuona mimi! Namuona sheikh Abeid Amani Karume ndani yako….you have got power in within! Upo imara kama simba 🦁💪💪
Sasa kusoma Marekani doesn't mean ndiyo kwenye Democrasia yakweli.. Mimi sipendi hili swala la kuisifu Marekani kwa kila jambo.. Marekani nayo ina ina challenges nyingi.. Hakuna usawa.
Kwenu Tanganyika mnajiona wa maana kwa kumpanulia hayo mapaja Muingereza na Mmarekani. So, kila mtu wacha afanye yake. Utumwa umewajaa. Mnajifanya kumlaani mwarabu wakati wazungu wamekufanyieni ushenzi, utumwa na kisha nyie mnawaona watamu😂😂😂😂
Hukupata matatizo na mambo ya Nato na European union, kwani wewe kama ni balozi, waziri au hata rais wa nchi kama hii Tanzania yanakuhusu nini, au unakusudia vile kuomba bunduki au kwa Nato au hela kula kwa European union, sababu mie sijafahamu ni kitu gani wewe unaweza ukawa unahitajika kwa hao jamaa wa huko.
Maalim Seif,Tundu Lissu, Jussa n.k. Waliwaambieni nyie wakina Ally Karume kuwa msione hii Serikali yenu ya ccm inavowafunga na kuwatesa wapinzani mukasheherekea. Juweni kwamba hao serikali watayafanya hayo wanayoyafanya wakishatosheka watakuja kuwarudia na nyie ccm wenzao waje wawatafune. NDIYO HAYO SASA YANAYOTOKEA SASA. Tulieni dawa ya maccm wenzenu iwaingie.
Maneno mazima lakini kwanini usiseme pale upo madarakani .....? Kwa hakika kila mzanzibari mwenye uchungu na nchi hii lazima atasema yanauma sahivi imekuwa wabara ndio wenye nguvu na nchihii kuliko wazanzibari tunonyimwa vitambulisho vya uraiya wetu
Ukimkusudia mtu usianzie pasipo hatia Maalim alikua mtu mwenye busara na sifa za kua Kiongozi ugonjwa ni huko huko mpaka leo wala hakuna tamaa ya kuondoka ugonjwa huo cancer mpaka ikutoe roho haina dawa aslan Allah atuepushe na maradhi haya
Muheshimiwa you're ,very right, serikali tatu itaua muungano, Na wale wasiojali kuvunjika muungano wakumbuke miaka sitini ya muungano wa watu sio mbuzi, Huku bara kuna Wanzanzibari wengi karibia sawa na waliokuwepo zanzibar
Angekupa cheo hayo yote ungeongea? Usilete katiba ya Marekani.
Ahh wp Leo tena?!!!!!!
Umecherewa mheshimiwa hata useme nn hutuuamini tena, ulitutukana na kutukeji sana. Saiv ndo unajidai kujisafisha unatuona cc majuha?
Umeona Ehe? alimtukana Sana tena sana bila ata Aibu Marehemu Maalim Seifu na hajawai ata kumuomba Radhi mbaka Mzee wa watu katangulia mbele ya Haki sasa Leo hii Mwinyi hajampa Nafasi anaanza kuropokwa
ALLY karume kwanini maneno haya hujasema kipindi upo katika madarakani unayasema saizi wakati huna nafasi serikalini hizo ni chuki BINAFSI
good job my brother ali karume Salam zangu kutoka USA marekani
Hongera sana Ali Karume. CCM ni chama cha majambazi bara na visiwani. Ukishakuwa humo lazma na mwanao aridhishwe mikoba yako hata kabla wino haujakauka kwenye cheti ulopata mlimani
Hata Tanganyika pia is a national of emigrate na watu wa mwanzo kuja kuishi Zanzibar ni watu kutoka Habash walikua wavuvi c o tanganyika coast wakati huo kulikua hata hakuna watu south east coast watu walikua wakipita njia tu kwenda kilwa na Zanzibar civilisation imeletwa na Persian (Shiraz).
Mara marekani, Scotland, Australia uingereza toka zako huko
Huna issues with Zanzibar akhui just relax enjoy your life and tungi lako
ULIMUUA MTU NDIO MAANA KARUME ALIKUKIMBIZA. ULIMTUPA MTU GOROFANI NA POMBE ZAKO
Hilo halisemi anajisikia tu muuaji huyu anatakiwa kushtakiwa huu okoo unakaanga ya damu za watu walevi sana
Loh hiyo kweli?
Ali karume alitegemea kuwa Raisi wa Zanzibar!!! Anavyoongea maneno ya wivu mtupu,mbona wakati ulikuwa waziri au balozi hukuongea?
Hao ndio viongozi wa kiafrika,tamaa ya madarka wako tayari kuua,wako wengi hao wengine umri mdogo wengine mkubwa
Nipo arusha huyo nilisu wazanzibar unataka urais basi nakuchagua kuwa rais wa pombe
uko sawa ukweli utabaki ukweli
Poleni sana
Hospital bure hiyo nimeipenda 😮 kwa ajili hakuna matibabu..
Ewee kweli yajayo yanafurahisha 😅
😅😅😅😅
kiukweli zanzibar ina mengi Sana yanaumiza Sana dhulma kubwa inafanyika ila Alla yupo
Balozi Aliy Karume umenielimisha kuhusu katiba ya Zanzibar,jinsi ya kumpata Rais wa Zenj
Naapa katika kina la mwenyezi Mungu wazanzibar hamtokuja kupata rais mpenda haki kama Dr, Hussein mwinyi,Abadan hizi tamaa roho mbaya husda sifa,mtakuja juta,nasema haya Mimi namjua nimefanya kazi naye.Dr, Hussein usiyajari hayo makundi na hiyo nchi wamezoea uongozi wa akina komando salimin amour hao virungu tu, Kila siku Zanzibar Kila siku mnazua upuuzi haya mtafuteni malaika basi
Kwanza Karume hajashiriki Mapinduzi alifichwa Tanganyika na Nyerere mana yeye Ndio aliemleta kutoka Malawi, then alimleta Zanzibar na kumpa Uraisi
Usiwe mjinga hata kocha haingii uwanjani lakini ndio "responsible" wa mchezo. Ama kuhusu kutoka Malawi ndio asili ya visiwa vyote duniani huundwa na watu wa mataifa mbali mbali angalau Malawi ni Afrika huwaoni typically Wahindi, Waarabu nk Zanzibar ambao wote ni Wazanzibar wenye HAKI zote. Nashauri tuache kutafutana asili tutajikuta kumbe Zanzibar haina wenyewe.
Usiwe mjinga hata kocha haingii uwanjani lakini ndio "responsible" wa mchezo. Ama kuhusu kutoka Malawi ndio asili ya visiwa vyote duniani huundwa na watu wa mataifa mbali mbali angalau Malawi ni Afrika huwaoni typically Wahindi, Waarabu nk Zanzibar ambao wote ni Wazanzibar wenye HAKI zote. Nashauri tuache kutafutana asili tutajikuta kumbe Zanzibar haina wenyewe.
@@hajihassan5433 kocha haingi wanjani why wanaminisha watu kua karume alikuwepo kwake hata hao watoto wake n wapambe wake wote wanasema alikuwpo kwake karume adi mkewe anasema hayo 😅😅😅 nyie mazezeta wa Ccm
@@hajihassan5433 Sasa usiwe Mjinga imekujaaje hapa? au wewe ndo Mjinga? Mtu ata hatujuani unaanza kuleta Matusi vipi wewe, alieanza kumbagua Mwenzie ni yeye Ali Karume, alafu ukisema Coach anakaa mbepeni hachezi basi Coach wa hayo Mapinduzi alikua Kambarage Nyerere huyo baba yake hajausika tu kawekwa tu, na waliopindua alikuja kuwachenjia Kina Saidi Washoto, Bavuai, Anthony kIsasi kina Saidi Washoto na Kaujore Rashid Abdalla Obote na Okole yeye kapewa tu Heshima
@@gangmore9091 Wafiki tu hawa Karume alikuwepo Dar alifichwa na Nyerere hayo Mapinduzi hajausika asa walopindua kina Washoto, na Bavuai na KIsasi, Abdalla kaujore kina Obote na wengine
Wazanzibari wakaazi ndio wafanye kazi kwenye, serikali ya Zanzibar, na kwenye taasisi za mambo 52 ya Muungano.
Watanganyika wafanye kazi kwenye, serikali ya tanganyika, na kwenye taasisi za mambo 52 ya Muungano.
Taasisi za Zanzibar wazanzibar pekee yao,
Taasisi za tanganyika watanganyika pekee yao
Taasisi za Muungano ni mchanganyiko
Wazanzibar na Watanganyika
Am really thanks alot mr karume kwa hii intresting valuable an interview , also nawashukuru waloitengeneza hii dialogue
Maneno yako hayafahamiki juzi ulisema Zanzibar Ccm haijawahi kushinda.
Pia useme uliuwa mtoto wa watu na bastola kibabe kisa hakutaki unatakiwa kushtakiwa
unayo haki ya kumfunfulia mashitaka
@@hajikhatibhaji9434 na anavowavuruga CCM akifunguliwa mashtaka hatoki huyu, lzm mama mtu aingilie kati
Hii familia wanadhani hii nchi yao peke yao, hata sisi wanyonge tungekuwa kama wewe ila mmebebwa na wazee wenu
Huyu fala tu mbona kipindi cha kaka yake hakuhoji?
Mwache Rais yupo vizuri Wewe nenda kalewe huko
Zambi haifichiki ATA uifuche miaka 100 IPO siku utaisema mwenyew.yambayana
Jamaa amekuwaje ten mbona yajayo yanafurahksha ten
Aende Malawi
boara kutana na viongozi wenzako wa ccm muyazungumze kuliko kufanya mambo ya kitoto hivyo.
Mzee Sheni alivirugwa sana majungu sana
Mie nakushauri bora usizungumze maneno yako ni utumbo
Vipi mara hii umekosa kula naona mdomo mkubwa
Na wewe vilevile baba ako alikupa cheo, kwa hivyo waliofatiya wamechukuwa mikoba ya kuwasaidiya watoto wao kutoka kwa mzee wako
Yaani demokrasia nyepesi hivo unasema ulifundishwa marekani? Hata hapo Zanzibar inafundishwa. Kusoma marekani isiwe kigezo cha kuwa na uelewa kuliko wazanzibari wengine
Yakhe tumeshachoka kusikia Umarekani kila baada ya sentence zako! Lakini kwa nini husemi kitu cha awamu ya baba yako aliyezorotesha elimu, judiciary na social services kama hospitali. Jengine, alipokuteuwa uwaziri ulikuwa na khibra gani? Mlimuondoa Sultan Jamshid na kumleta Sultan Karume.
Unazungumza a lot of Bull.
ulipopewa cheo cha unaibu waziri wakati huna hata akili ya kujinawisha mavi baada ya haja kubwa, hakuna mtu aliye simama akasema kwamba kwanza ufundishwe kujinawisha.
Huyu ame tingwa na maisha
Funika kombe mwanaharamu apite nafikiri inatosha achana na siasa kabisa tumia pesa ulokuwa nayo pumzika ustarehe achana na MH MWINYI
Fatani mkubwa huyo bhana hana chake huyo mlevi raqaam wahed
Mpambano wa watoto wa marais wa zanzibar ni kwa maslahi yao sio sisi walala hoi!!. Na bado mtauwana tu shauri ya kubebana.
Lakini ndiye uliyesema Uchaguzi ukipita Basi hakuna haja tena ya vyama vya Upinzani kuendelea na shughuli za ziada mpaka Uchaguzi mwingine na maneno hayo yalipelekea nchi kupiga marufuku mikutanio ya siasa
Unataka urais? Urais hautafutwi hivyo
Nnachokiona hapa naona loyal family zinavutana Yani anataka cheo
Aaa mshayasiri ZANZIBAR kwa kila kitu. Leo tena
Kila kitu mshanyanganywa. .mshajaza makanisa kila kona. Nakushauri nenda kalivunje lile sanamu pale makao makuu .uislam unakataza kuchonga sanamu
Kiukweli hayo mauwaji ya 1964 naona mpaka hiii leo yanaendeleya..
Hawa washazowea kila raisi atakae kuwepo na wao wawemo kwenye uwaziri sasahivi waachieni wenzenu wafanye kazi
Nchi imetulia waanza fitna....usiamshe fitna imelala utapata laana kwa Allah mwache kiongozi wetu aongoze nchi hakuna jambo kubwa kama amani
Amani ni tunu waangalie walokasa amani wanavyoteseka
Hapaliki wa hakulaliliki ibada pia watu zinawashinda...Nas alu llah aafiya wasalama
Muacheni aseme ukweli
Sidhani kama Allah anatoa laana kwa namna hiyo. Nchi haijatulia, wachache kama wewe ndo umetulia na wachache waliomo serikalini. Wengine wengi wanaumia na kudhalilishwa kila uchaguzi.
Nyie ndio mafitini
Nchi imetulia wakati tuna njaa
Ali karume nafasi ya kuwa shujaa kama baba yako 2025 wao wamekukataa wakatae na ww /wao SI wamewatupa wa asisi wameweka watu wapya na nyie tieni pressure wazanzibar tuwakumbuke
Endelea kufuatilia mchakato wa katiba mpya utujuze ktujue kinacho Endelea na makosa mbalimbali yakatiba au uzuri tuhujue
Ali skiliza ww unapenda cheo huna lolote mh Hussein mwinyi kaondoa mambo ya ubaguzi hicho ndicho kinachokuuma ww wakati uko wazir muhula uliopita umefanfa nn zaidi ya kwenda bwawani ww na nyanya kulewa wacha hzo mwache Rais atumikie wananchi wa zanzibar wacha choyo ww
Sawa sawa Group lake yeye Marehemu Nyanya na Mahafuzi Mtoto wa Nahila Jidawi na Muhamed Aboud full Mtungi na kuchukua vitoto vidogo
Kumbe unafahamu kama wazanzimbari hawana maendeleo ww mlevi kweli kwa hio waachwe waingie
Mbona ulipokuwa madarakani hukukosoa serikali !!
Apo sasa.
Kila mtenda wema atalipwa kwa wema nakila mtenda Mabya vivo atalipwa mabaya
Habari njema
Huyu choyo tu kakosa nafasi ya kigombea uraisi Zanzibar lakini kumbekeni huyu jamaa kakayake alikuwa rais wa Zanzibar miaka 10 alifanya kitugani cha maana zaidi ya kuiba mjimkongwe mzima mpaka Jumba la mayatima firodhani walisema Lao na makao makuupia walisema yao
Arusha moja hunahaya wala vibaya hujui mwanaharamu
Kwani hukujua au hujui kama Rais wa Muungano ana Nguvu na Mamlaka Kwa Taifa zina ikijumlishwa na Zanzibar na Ana uwezo wa Kumpanhia kazi yeyote awe wa Visiwani au wa Bara hata kama mtu huyo ameteuliwa na Rais wa Zanzibar still Rais wa Muungano ana uwezo wa kuintervene na overturn Maamuzi yote ya Jamhuri ua Muungano.
Raisi wa muungano Ana nguvu kwene mambo yaliyooeodheshwa kuwa ni ya muungano na raisi wa zanzibar ananguvu kwene mambo ambayo si ya muungano hapo hawaingiliani..?
Muongo balozi. Kama democracy wasikilizwe wananchi kitu gani wanataka kuhusu muungano ikiwa hawautaki
Wewe njaa inakusumbua tu kwa vile mara hii hujapewa kula kwanini hutosheki tu miaka yote hiyo wewe ni kiongozi ubinafsi huo unakutudia na unafiki wako
Mzee anaroho ya kwa nini kwa rais mwinyi Hana lolote
Make apo kwanza ncheke
Jamani kafanywa nini huyuu mbona anamwaga mabomu kwa weziwe
Wacha wakulane wenyewe kwa wenyewe
"Kwenye mamba kuna kenge"
Kakosa uluwa huyo
Huyu ana uchu na Madaraka so kama Mzee wako alikuwa president naww Kwan nilazima uwe president angalia famlia ya Nyerere mbona wametulia wakipewa vyeo SAWA wakinyimwa wanashukuru sio wewe Mzee mkubwa unaanza kujinadi na Nini
Baba yako alishindana na nani na kuuwa watu mpaka wakaikimbia Zanzibar je wewe baba yako mnyasa mama yako mnyaruanda Uzanzibari umeupata wapi
Hizo ni asili za wazazi wake 😅 nazani huyui maana ya uraia wa zanzibar unasemaje bora ukae kimnya.
ALLY KARUME tuweke wazi unachota ni nn unataka na ww kuwa rais inakuuma acha chuki mwache mwinyi afanye kazi
Mwachie atuongoze alhamdulilah
Ww nimkofi unalako jambo hufai kutawa hata kuku
🥱Mkimaliza kuzozana kila mtu atafute kula ale na amuabudu mungu ili akifa akapewe nchi ya pekeake peponi ya hapa tutayaacha kwa lazima tutake📌 tusitake 📌
Ah Leo tena
Rais wenu ni MNDENGEREKO wa Mkuranga
Kama huyu jamaa anavyosema ni kweli ana degree 4 za kutoka huko Colombia university, naamini hata vijana wa shule za msingi wakipekwa huko watarudi na hizo degree, ni aibu kuona huyu ndiyo jamaa aliyokuwa anawakilisha hii nchi huko nje kwa miaka yote hiyo.
Waamfanyie IQ test huyu jaamaa, hata ya wastani ya wajumbe wenzake hafikii.
Hivyo vyeo vyote ulivipata kwa sababu baba yako alikuwa Rais lakini sasa unaona kuwa ulistahili. Ulipata kila kitu kiurahisi hivyo hujui watu wengine wanavyo sumbuka japo kupata haki zao wanazostahili hebu pumzika waachie walioko madarakani wafanye kazi zao kama ulivyoachiwa wewe. Hatuhitaji kuwafuatisha wamarekani au waingereza sisi ni huru sio watumwa wao. Achana na uchochezi hiyo CCM ndiyo iliyokufikisha hapo ulipo hebu ishukuru japo kidogo.
Baba Ako alifanya Nini?
Mungu ni mwema sana ni suala la muda tu😂😂😂
Mie nakuona wewe tatizo unasumbuliwe na uroho wa madaraka tu. Hayo unayoyasema ni kwa sababu kwa kauli yako mwenyewe umeachwa bila kuteuliwa
Wamepata mshtuko hao.full speed.
Natumai hoja zote zitajibiwa na ccm hivi karibuni tena kwa ushahidi
Hakuna hata hoja moja itakayojibiwa kwa uweledi ila ni kumbeza kwa kuongea ukweli,na ccm jambo hilo ndio hawataki kuambiwa ila nchi hii ina mengi yamejificha na wananchi wengi hatuyajui
Kwani hapa kaisema CCM au kazungumzia mfumo?
Baba yako katoka malawi na weye rudi malawi kwa jamaa zako ulipokuwa wazir kimya ukisiya huu ndio unafki
Imekuwaje walane mazimwi wao kwao wewe ulikuwa msemaji mkubwa wa kuwakandamiza wapinzani leo walaumu nini jizi kubwa muuaji mkubwa wewe una laana wewe Yajayo Yametimia huna mpya Koko kalale huko
Nyinyi kila mtutaka kufa ndio mnashtuka wacha na wewe ufe kama Mzee moyo
Umelipa elimu kubwa😅
Ndio maana Watanzania hatua endelea kamwe... U maskini wetu upo kwenye Akili, ukiangalia comments nyingi humu.. Utatamani 😢tu..
We have been brainwashed to the highest level, that we can no longer be able to reason and see facts.
Wacha tuendelee kubutuzwa nyambafu.
Wewe si hao mijizi miuwaji jitathimini wewee kama wao ni walewale nyoka mwenye sumu kali
dahhhhhhhh
Huyu mpumbavu sana
haya ni mmbo tunayotak wanachi wa zanzibar mzee ww unajua siasi kuwa jasiri ivyo ivy
Shika moo
Nyie na kaka yenu muliiba sana mbona ulifunga mdomo sasa unatapatapa nini sisi au na wewe unataka kuwa raisi ushazeheka pumzika sasa unataka nini nyie ndio waharibifu mnaangalua matumbo yenu tuu ksja mtu ambae analeta mabadiliko makubwa znz na pemba kazi yenu ilikuwa kulewa tuu nani asieyejua
Ungana na Baraka Shamte mfununguwe chama cha siasa mtumiye nguvu yenu ya kisiasa mumtowe aende kulima mananasi na mapapai kibaka wa mkuranga.
Mzee nafasi inayokufaa ni ya rais wa muungano sio ya rais wa Zanzibar.Nafasi Ya rais wa Zanzibar ni ndogo sana kwako, wewe ni SIMBA! Uwezo wako kiuongozi, ujasiri,uzoefu wa kimataifa,elimu yako kwenye masuala ya siasa, uchumi na biashara zote ni turufu muhimu za kuweza kukuvusha kwenda ikulu kama wazanzibari na watanzania kwa ujumla watakutazama kwa umakini kama nilivyokuona mimi! Namuona sheikh Abeid Amani Karume ndani yako….you have got power in within! Upo imara kama simba 🦁💪💪
😂😂😂😂
Ajengewe mnara pale Daranani
Sasa kusoma Marekani doesn't mean ndiyo kwenye Democrasia yakweli.. Mimi sipendi hili swala la kuisifu Marekani kwa kila jambo.. Marekani nayo ina ina challenges nyingi.. Hakuna usawa.
@@saiedbaba9968 ahh kabisa
Abakie huko huko Zanzibar, huku tanganyika hatutaki wazanzibar tena maana mmeanza kila kitu ruksa kwenu.
It's same blaa blaa
Zanzibari lazima muarabu awaoe kwa mara nyingine tena maana anakuja kwa kasi na viongoz kwa njaa mnapanua2 mapaja
Kwenu Tanganyika mnajiona wa maana kwa kumpanulia hayo mapaja Muingereza na Mmarekani. So, kila mtu wacha afanye yake. Utumwa umewajaa. Mnajifanya kumlaani mwarabu wakati wazungu wamekufanyieni ushenzi, utumwa na kisha nyie mnawaona watamu😂😂😂😂
@@WeyaniTvonline mhhhhhh! ngoma draw
@@stephanomoses7694 ukikua utaacha utoto😂😂😂
Hukupata matatizo na mambo ya Nato na European union, kwani wewe kama ni balozi, waziri au hata rais wa nchi kama hii Tanzania yanakuhusu nini, au unakusudia vile kuomba bunduki au kwa Nato au hela kula kwa European union, sababu mie sijafahamu ni kitu gani wewe unaweza ukawa unahitajika kwa hao jamaa wa huko.
Watoto wa waasisi wana kinga.Wana haki ya kusema chochote kufanya chochote. Sio peke yake. Wapo wengine.
Maalim Seif,Tundu Lissu, Jussa n.k. Waliwaambieni nyie wakina Ally Karume kuwa msione hii Serikali yenu ya ccm inavowafunga na kuwatesa wapinzani mukasheherekea.
Juweni kwamba hao serikali watayafanya hayo wanayoyafanya wakishatosheka watakuja kuwarudia na nyie ccm wenzao waje wawatafune.
NDIYO HAYO SASA YANAYOTOKEA SASA.
Tulieni dawa ya maccm wenzenu iwaingie.
😅😅Khatari
Ali Karume kazungumza vizuriii
Mmoja ya watu washamba kabisa wasiokuwa kifikra waroho wa madaraka ni pamoja na huyu mtu
Maneno mazima lakini kwanini usiseme pale upo madarakani .....? Kwa hakika kila mzanzibari mwenye uchungu na nchi hii lazima atasema yanauma sahivi imekuwa wabara ndio wenye nguvu na nchihii kuliko wazanzibari tunonyimwa vitambulisho vya uraiya wetu
😅😅😅😅😅
Ukimkusudia mtu usianzie pasipo hatia Maalim alikua mtu mwenye busara na sifa za kua Kiongozi ugonjwa ni huko huko mpaka leo wala hakuna tamaa ya kuondoka ugonjwa huo cancer mpaka ikutoe roho haina dawa aslan Allah atuepushe na maradhi haya
Hii ni story yà George Orwell The. Animal Farm
Y I'm n