Njia pekee ya kupata mali ni kufanya kazi kwa bidii na kumtegemea mungu pekee. Hakuna njia ya mkato ya kupata mali , utaishia kwenye majanga kwa mali za kishetani. Hii ni hatari sana watu kumbe wanaua hata wazazi wao. Mungu nusuru kizazi hiki.kizazi cha sasa kinataka njia za mkato pamoja na kuua ndugu zao.
Duu, aisee bora nife masikini siwezi kuishi na masharti ya kinyama hivi. Hata raha ya pesa iko wapi sasa kwa hali hii. Hizi simulizi zinatufundisha kutopenda njia za mkato na kuepuka tamaa
Kwa mimi hawaniwezi YESU wangu ananitosha nashukuru sana MUNGU ni mwema nampenda sana huyu YESU yeye anasema "utajiri na heshima viko kwangu utajiri udumuo na haki pia natembea ktk njia ya haki niwarithishe mali wale wanipendao".
huyo binti nahic alikuwa n yule yule malkia na yule jamaa aliyekupeleka kwa mama wa mıkono 3 n yule mganga, ila ulikuwa ınachezewa tu akili Maana ulikaidi kumtoa mama ako kafara!! Nani kagundua hiliiiiiiii😂😂
Mke wako huna raha nao, watoto hawakujui na wazazi ndio hao unwanyofoa mikono. I hope your dad hukumfanyia haya mambo. Wewe ulivyoona yaliyokukuta mara ya kwanza ungeachana na hayo mambo ya hao mama zako wa ujijini. So what sort of life are you living for heaven sake?
Tandia davista aanze hii channel leo ndo nimekuwa wakwanza😂😂🎉 naombe likes zenu
Njia pekee ya kupata mali ni kufanya kazi kwa bidii na kumtegemea mungu pekee. Hakuna njia ya mkato ya kupata mali , utaishia kwenye majanga kwa mali za kishetani. Hii ni hatari sana watu kumbe wanaua hata wazazi wao. Mungu nusuru kizazi hiki.kizazi cha sasa kinataka njia za mkato pamoja na kuua ndugu zao.
Duu, aisee bora nife masikini siwezi kuishi na masharti ya kinyama hivi. Hata raha ya pesa iko wapi sasa kwa hali hii. Hizi simulizi zinatufundisha kutopenda njia za mkato na kuepuka tamaa
Ndonzuli
@@waidarajabu6977 nzuri kwako mm sitaki kabisa huo uchafu wa mali za mashetani nife tu na umasikini.
Yesu atulinde na haya mambo ama kwel tamaa ni mbaya
God bless this guy,to know there's God of another chance,
Watoto tunawazaa na wanatuuwa jamani Mungu tulinde na vizazi vyetu
Yani unazaa mtoto unaleta Kwa tabuu anakuwa unasema sasa nimepata msaidizi ndio anakuuwa apate mali jamanii uuuwiiii nimeogopa sana ghaaaaiii
Kwa mimi hawaniwezi YESU wangu ananitosha nashukuru sana MUNGU ni mwema nampenda sana huyu YESU yeye anasema "utajiri na heshima viko kwangu utajiri udumuo na haki pia natembea ktk njia ya haki niwarithishe mali wale wanipendao".
Ahsante sana, Davistar Matta
huyo binti nahic alikuwa n yule yule malkia na yule jamaa aliyekupeleka kwa mama wa mıkono 3 n yule mganga, ila ulikuwa ınachezewa tu akili Maana ulikaidi kumtoa mama ako kafara!!
Nani kagundua hiliiiiiiii😂😂
Kumbe nyie mkisikia mnataka kufa mnasikitika sana
good nice Davst
Wa sita on time🔥🔥
Tatizo la majini vigeugeu sana ndomana utajir wao unakuwa mwishoe wakudhalilishe mamake
DUUUH YAAN MWISH WA YOTE UNAKUW TENA MASKINI DAAAH
Mungu tukinge na utufunike na damu ya yesu kristo dunia ndio imetufikisha hapo kweli tamaaa mbayaa sana
Yes hii yenyewe ile uliludia iliyopita, nice story
halaf mama wa mikono mitatu ana tamaa, yan makafara yote lkn bado anataman!!
Toka lini.sheytwan akalizika miajali yote yanayo fanyika lakini hawaridhiki nawao wagomvi wao nibinadam tuuh
😂😂😂😂
Hii ni fundisho kwetu wengine
Kwakweli nimtihan mzito tamaa hizi mbaya jamani
Yote yanayompata ameyataka mwenyewe tamaa mbaya sana
@@robsonsadiki ndio mana alikua kishaa pona tatizo la mara yakwanza hasa kenda kule kule sheytwani niyule yule
Nihatr umetoka kwenye matatizo umerudia tena matatizo
Pesa za shetani Apana 🙌 doooh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hazina maana hata kidogo wallaah
Utajiri wa kichawi Ni mzigo
Subuhanallah dunia ina mambo hii
Pesa hutatua tatizo lkn pesa za matatizo huongeza matatizo unaitafuta kwa shida na inakupa shida dah
Tuko na wewe hadi majini wakuuwe kaka,,una Tamaa sana
Sura inaonekana Sana kwann mmekaa upande?
Eeh, Mwenyezi Mungu! What is This, why unaruhusu mambo haya yafanikiwe
Kweli ni kumtegemea mgu
Nilikufamisha part ya 15 mashetani wanataka watu wako wakalibu tu kuwaua🇹🇿🇬🇷⚓
Hakuna Raha yoyote uliyopata Yan utajiri wamateso kiasi icho wanini mie😂
Naomba umuulize nikwanini hawapeleki pesa bank ni za kuweka ndani tu je ukihifadhi bank haiziwwzi kukaa na zikadumu?
Benki zenyewe ni zakwao
Davista hebu muulize jee mama yake alikufa au alipona????
Dunia ina mambo hii hatar!
Yan hakun raha hata ya hizo pesa zenyewe aisee si stress hizo
@@elizabethleonce1089 bado wazazi masikini mara paa umefirithika wazazi wanabaki pesa hakuna naukilema juu
@@kalssambaboo9932 du!
Safar hii utajiri umekuja kwa moto na iyo binti alikuambia utajiri ulochagua nnwa moto Hy unejisema mwenyewe
Habari za kufikirika!
Mumi #0
🔥🔥🔥🔥
Mmmh uchawi shida Sana 😢umetoka hili unakwenda hili 😢lakini we nae uko na tamaa😅
Tatizo wale majamaa wanapenda kugeuzia vibao watu yani sadaka wanataka kila mwezi sasa si lazima majirani wakuogope maana daah
Hii. Dunia nihatariii Sana hakika pesa. Hizi nimitihan waarh 😢😢
Ngoja nifanye mpango wa kuanza kuroga
Utakuja kutusimulia hapa😂😂😂
siku hizi hamna kitu eti urafiki wamayo alipea nyoka mshikaji
Good
Part 17 please
Tutafika mbinguni tumechoka sana wallai
Safari nyingine mpya ya kuutafuta usafiri
Ukichunguz vizr utagund mattz yote baba ndo kayaleta
Lets gooo
Mkono mmoja ulikuwa unaleta kama kiasi gani?
Mke wako huna raha nao, watoto hawakujui na wazazi ndio hao unwanyofoa mikono. I hope your dad hukumfanyia haya mambo. Wewe ulivyoona yaliyokukuta mara ya kwanza ungeachana na hayo mambo ya hao mama zako wa ujijini. So what sort of life are you living for heaven sake?
Yani uyu mtu sio muogaa
Je, sasa huwa anaweza kujisaidia kwa Choo cha nyumbani?...Ama hali ni ile ile?
One
Shetani hana urafiki na binadamu hata siku moja!
Nyumba ni ileil bado hanakunya bar
❤
👊🙏✌.
muulize mama yake aliendelea vip
maana alikuwa hospitaliii😊😊😊
Mama mkono ulikatwa akaregeshwa nyumbani anauguziwa huko.
Lakusudi mtu hambiwi pole chande
hatariii
Atari sana
natarjıa part 17/18 leo hiii
Pesa izi
Mkono mmoja ni sawa na bei gani?
Ulivyo ombewa unge achana na vitu vyo duniani ona sasa una maliza wazazi viungo vyao kwa tamaa zako
Tamaa nakati sheytwan niyule yule yupo kazini mana alikimbia kamkimbia sheytwan karudi tena kwa sheytwan hasa alikimbia nn nakafata nini
Davista nataka uniunganishe na uyu kaka ama unipe namba zake
Na wewe unataka pesa za kichawi au
@@khadijakhadija6158 Hilo sidhani linakuhusu🙄
@@MedenMuthama-yb9gf sema usaidiwe jinga wewe ...
@@bryanlimbi326 sawa wewe mwerevu nisaidie basi juu mm n mjinga we mwerevu
Unataka kukatwa mkono au 😂😂
Hii ndo yenyewe sasa 16,,twende Kazi🏳️🌈
We mzima
@@jakembazi swali zuri🤔