INA UZWA 250,000,000 )) NYUMBA HIHAPA IPO KIGAMBONI BEI SHIRINGI MILIONI (( 250,000,000 )) INA ROOM5
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- HOUSE FOR SALE
DATE LISTED 17/ 3 /2024
HOUSE FOR SALE/ NYUMBA NZURI SANA
LOCATION: KIGAMBONI KIBADA
ASKING PRICE: MILION (( 250 ))
UKUBWA WA PLOT NI SQMT 120
MALIPO YA DALALI COMMISSION 5%
DOCUMENT SAFI HATI MILIKI
{MALIPO YA DALALI SERVICE CHARGE: UONYESHWAJI WA NYUMBA ZA KUNUNUA NI TSH 30,000}
==========================================================
5BedRoom & 3 Self Contained & Kitchen & Dinning & SittingRoom & Public Toilet & Allummium Windows Sliding & Car Parking Space & Ukiipenda Nyumba Piga Simu Moja Kwa Moja Ukicomment Utachelewa Kujibiwa:__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________
CONTACT:
#0713=966296
#0787=966296
#0765=507040 DALALI HAKWEYA
Bosi jongo naona chuma imepaki apo
Nyumba nzuri lakini panaonekana pana jaa maji njia nzima
@@renatusblandes1131 Bora pale kwako njiani hapajai maji pana jaa maziwa 🫶🏻
Salaam alleykum sio "areykum". Ni camera sio "kamela" Kasome lugha urudi acha kuvamia udalali wakati lugha hujui 😢
Matako yana kuwasha acha ushoga chizi wewe kampe elimu mama yako
Ìpo wapi kigamboni gani
Nyumba nzuri kabisa
Pana kupendeza hapa boss unatoka na ndinga yako kuelekea katika majukum yako nyumba una fanana nayo 😁😃🙏🏻
Unatuonesha nyumba au mazingira ?
Hakuna kazi isio kosa changa moto changa moto ya kwanza ni kama wewe usio jielewa mlinzi haja pewa mamlaka ya kuingia vyumbani
Kama ya mwijaku
😂😂😂😂😂
Pamoja sana kiongozi
Kazi kazi
Je ni karibu na Bahari?
@@Kwazulu1 Ipo baharini kabisa
Kigamboni sehemu gani mkuu
Kibada
Tunaomba tuhone ndani
Kwa leo ime shindikana kuingia ndani kwa moja kwa moja mama mwenye nyumba hakuwepo wa fanya kazi hawakupewa mamraka ya kulihusu mtu kufika ndani kabisa
Jamani. "Tuhone" ndani maana yake nini? WaTz mbona mmekuwa ovyo hivi lugha yenu lakini inawashinda? Kuna ugumu gani kusema tuone ndani?